Wakati Lipumba akiwaambia waandishi wa habari jana kwamba kadi yake ya uanachama bado iko hai hadi mwaka 2020, akimaanisha kuwa ataendelea kuwa mwanachama wa CUF nje ya uongozi, taarifa zilizotufikia zinasema kuwa chama hicho kinajiandaa kumfukuza.
Katika sehemu ya taarifa iliyotolewa jana na Kaimu Mkurugenzi wa habari, Uenezi na Umma wa CUF,
Profesa Lipumba kuvuliwa Uanachama wa CUF kesho
↧
↧
Dr. Slaa Akubali Kurejea Ofisini
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, anatarajiwa kuwasili ofisini kwake leo, baada ya kutoweka tangu Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, alipojiunga na chama hicho hivi karibuni.Hatua hiyo inakuja siku chache baada ya Baraza Kuu la chama hicho kuridhia apumzike kwa muda, baada ya kutofautiana na Kamati Kuu kwa kile kilichoelezwa kumkaribisha
↧
Profesa Lipumba Aondoka Nchini Akiwa Chini ya Ulinzi
Saa chache baada ya Profesa Ibrahim Lipumba kutangaza kujiuzulu wadhifa wa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), ametoweka nchini.
Hata hivyo, haikufahamika mara moja amekwenda nchi gani na atakaa kwa muda gani.
Profesa Lipumba aliondoka nchini baada ya kumaliza mkutano wake na waandishi wa habari katika Hoteli ya Peacok jijini Dar es Salaam, ambako alitangaza kujiondoa katika chama
↧
Uhusiano Uliopo Kati ya PUNYETO na Ukosefu au Upungufu wa Nguvu za Kiume
Ukosefu na/ama upungufu wa nguvu za kiume, ni tatizo linalo wakabili mamilioni ya wanaume duniani.
Zipo sababu nyingi zinazo sababisha tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume.
Miongoni mwa sababu hizo ni pamoja na maradhi kisukari, presha,shinikizo la damu, moyo, figo, matatizo kwenye mishipa ya ubongo & mishipa ya uti wa mgongo, matatizo
↧
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya August 8
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya August 8
↧
↧
Maalim Seif Amlipua Profesa Lipumba........Asema Wanachama Waliojiunga CUF Kwa Sababu ya Lipumba Wanaweza KUONDOKA Pia
Wafuasi wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) na pia mwenyekiti mwenza wa muungano wa wapinzani wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Profesa Ibrahim Lipumba, wameanza kushughulikiwa na kutakiwa kuchagua moja; kuendelea kuwa ndani ya chama hicho au kutoka.
Ingawa Profesa Lipumba alipojiuzulu uenyekiti, alisema ataendelea kuwa mwanachama wa CUF, lakini Katibu Mkuu wa
↧
Zitto Kabwe Asema Magufuli ni FISADI.......Awaponda UKAWA Kumteua Lowassa Kuwa Mgombea Urais Kwa Kuwa naye ni FISADI
Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), John Magufuli si msafi katika utendaji kazi wake kama inavyoelezwa kwa Watanzania.
Moja ya kigezo kinachotumiwa na Zitto ni madai ya ‘kukwapuliwa’ kwa Sh. bilioni 87 za Wizara ya Ujenzi anayoongoza.
Alisema fedha hizo ni sehemu ya Sh. bilioni 252 za miradi ya umeme, barabara na miradi
↧
Sophia Simba Akana Kuhamia CHADEMA......Asema Atafia CCM
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi (UWT), Sophia Simba, amesema hana mpango wa kukihama chama hicho.
Kauli ya Simba imekuja baada ya kuwepo kwa tetesi zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa ana mpango wa kukihama chama na kumfuata Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa.
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Simba alisema hana mpango wa kukihama CCM
↧
NEC yatangaza ratiba mpya uhakiki kadi ya mpiga kura
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza ratiba nyingine
inayowataka wananchi kujitokeza walipojiandikisha ili kuhakiki taarifa
zao.
Kwa habari zaidi soma hapa.
↧
↧
Wema Sepetu Awavua nguo Nuh Na Shilole
Lile sakata la mrembo
Wema Sepetu kutakwa kimapenzi na mpenzi wa msanii mwenzake, Zuwena
Mohamed ‘Shilole’, Nuh Mziwanda limeendelea kushika kasi ambapo Wema
ameibuka na kuwavua nguo kwa kuwatolea maneno ya shombo.
Wema alitoa maneno hayo hivi karibuni
baada ya Shilole na Nuh kumgeuka na kusema kwamba aliwachezea mchezo
mchafu ili kuwagombanisha kwa sababu anawaona wanapendana
↧
Mamia ya Wanachama Wamiminika Ofisi za Chadema ‘KUMLAKI’ Dk Slaa
Mamia ya wanachama na mashabiki wa Chadema jana walifika katika ofisi za Makao Makuu ya chama hicho, Kinondoni Dar es Salaam kumsubiri Katibu Mkuu, Dk Willbrod Slaa baada ya kuenea habari kuwa angeingia ofisini.
Hata hivyo,wanachama hao waliokuwa na shauku ya kumwona kiongozi huyo, hawakufanikiwa baada ya kuambiwa kuwa Dk Slaa asingefika katika ofisi hizo kinyume na taarifa zilizokuwa
↧
Lowassa Kuchukua Fomu za Urais Katika Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jumatatu Saa tatu Kamili Asubuhi.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetoa taarifa kuhusu utaratibu wa Mgombea wa UKAWA, Edward Lowassa kuchukua Fomu za Urais katika ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi.
Akitoa taarifa hizo mbele ya waandishi wa habari leo mchana, Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, ndg Salum Mwalimu ambaye kwa sasa anakaimu nafasi ya Katibu Mkuu wa Chadema amesema
↧
Vyama 22 Kushiriki Uchaguzi Mkuu Wa Mwaka Huu
VYAMA vya siasa vinavyotakiwa kushiriki kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka huu baadaye Oktoba 25 mwaka huu ni 22.
Taarifa iliyotolewa na Msajili wa Vyama vya Siasa jana Dar es Salaam na kusainiwa na Msajili Msaidizi, Sisty Nyahoza, imetaja idadi hiyo ya vyama vyama hivyo, ambavyo ni vyenye usajili wa kudumu kuwa ni ni Chama Cha Mapinduzi (CCM), Chama cha Wananchi (CUF), Chama cha Demokrasia na
↧
↧
Zaidi ya Wafugaji 300 wa CCM Wazichoma Kadi zao na Kuhamia CHADEMA
Zaidi ya wanachama mia 300 waliokuwa chama cha CCM kutoka jamii ya kifugaji katika kata ya Engaruka wilaya ya Monduli wamezichoma kadi zao za CCM na kujiunga na CHADEMA huku wakidai maamuzi yao yametokana na utashi wao binafsi kwa kuzingatia hali halisi ya kisiasa ilivyo hivi sasa
Mamia ya wanachama walikusanyika katika mkutano wa hadhara kukusanya kadi za CCM kuzichoma moto na kuchukua
↧
KIKWETE: Hakuna Mtanzania Aliyekufa kwa Njaa
Rais Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa hakuna mtanzania aliyewahi kufa njaa kwani nchi haikuwahi kuwa na upungufu wa chakula na kusababisha hali ya kuleta athari za kifo kutokana na njaa kwa wananchi wake.
Dkt. Kikwete aliyasema hayo jana mjini Lindi wakati akiwahutubia watanzania katika maadhimisho ya kitaifa ya sikukuu ya wakulima nanenane yaliyofanyika mkoani humo
Dkt. Kikwete
↧
Pinda Atoa Ya Moyoni Alivyokatwa Dodoma.......Asema Alitamani Sana Kuwa Rais wa Tanzania, Bahati Mbaya Tamaa hiyo Imeishia Kuwa Fikra Tu
Waziri Mkuu Mizengo Pinda, ambaye alianguka katika hatua za awali za mbio za urais ndani ya CCM, amesema ameishia kuwa “rais wa fikra”.
Pinda, ambaye amekuwa Waziri Mkuu kwa takriban miaka minane, hakuweza kuingia katika orodha ya makada watano ambao majina yao yalipelekwa Halmashauri Kuu kwa ajili ya kupata majina matatu ya kupelekwa Mkutano Mkuu kwa ajili ya kupata mgombea urais kwa
↧
Nape Nnauye Awatuhumu UKAWA Kwa Kutengeneza Kadi Bandia za CCM
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, amedai kuwa chama hicho kimebaini mchezo mchafu unaotaka kufanywa na Ukawa wa kutengeneza kadi bandia za chama hicho na kuzigawa kwa watu wao, ili baadaye asipopita mgombea wao, ionekane wana CCM wanakihama chama kwa kurudisha kadi zao.
Akizungumza katika Makao Makuu ya CCM, mjini Dodoma jana, Nape
↧
↧
Baada ya Kujivua Uenyekiti wa CUF, Profesa Lipumba Kajificha Burundi
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF),Profesa Ibrahim Lipumba amesafiri kutoka jijini Dar es Salaam hadi nchini Burundi kwa shughuli ambazo hazijafahamika wazi.
Profesa Lipumba aliondoka Dar es Salaam, Alhamisi ya Agosti 6 mwaka huu kwa ndege ya shirika la ndege la Rwanda (Rwanda Air), huku ikiwa haijulikani alikoelekea muda mfupi baada
↧
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha na Katibu Mwenezi Wahamia CHADEMA...........Diwani wa CCM Mwanza na Wanachama 100 Wahamia CUF
Hali ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mwanza si shwali baada ya aliyekuwa Diwani wa Kata ya Mkuyuni, Charles Lugo (Fashion), na wanachama zaidi ya 100 kujiunga na Chama cha Wananchi (CUF).
Tukio hilo linakuja ikiwa ni mwendelezo wa wimbi la wanachama wa CCM kuhamia upinzani hususani Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Diwani na wanachama hao kutoka matawi mbalimbali ya
↧
Habari ya Mjini Kwa Sasa ni LOWASSA na MAGUFULI.....Uchaguzi wa Mwaka Huu ni Wa Kipekee Sana
Uchaguzi mkuu wa Rais mwaka 2015 utakuwa wa aina yake kufuatia matukio makubwa matatu makubwa kukoleza safari ya kumtafuta rais ajaye kwa kipindi kingine cha miaka mitano.
Matukio hayo ni pamoja na (a) Vyama vya Upinzani kuungana (b) Waziri mkuu wa zamani CCM kuhamia Upinzani-Edward Lowassa (c) Vijana wengi kujiandikisha katika daftari la wapiga kura.
Matukio hayo matatu
↧