Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya August 3
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya August 3
↧
↧
VIDEO: Wema Sepetu Amrekodi Nuh Mziwanda AKIMTONGOZA........Shilole Azimia Baada ya Video Kusambaa Mtandaoni
Katika hali ya kushangaza, sauti ya mpenzi wa staa wa muziki na filamu Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, Naftal Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ inayosikika akimtongoza Wema Sepetu imemfikia Shilole na kusababisha azimie.
Tukio hilo lililozua mtafaruku lilijiri wikiendi iliyopita kwenye Viwanja vya Leaders Club, Kinondoni jijini Dar kulipokuwa na pati ya bethidei ya mwigizaji Shamsa Ford.
Kwa mujibu
↧
Dk. Slaa apigwa 'STOP' CHADEMA..........Mbowe asema Wamempumzisha Kwa Muda Usiojulikana
Mwenyekiti wa chama cha Chadema Freeman Mbowe leo amesema kwamba chama cha Chadema kimempumzisha katibu mkuu wake Dk. Wilbroad Slaa kwa muda usiojulikana.
Akizungumza katika mkutano wa baraza kuu Chadema Mbowe amesema kwamba chama cha Chadema kimekubaliana kumpumzisha Dr. slaa kwa muda lakini nafasi yake ya katibu mkuu katika chama hicho iko pale pale.
“Tumekubaliana kwamba katibu
↧
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya August 4
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya August 4
↧
Rais Kikwete azuia ‘ULAJI ’ Trafiki.......Ataka Baraza la Usalama Lianzishe Mfumo wa Kulipa Faini Kwa Njia ya Benki
RAIS Jakaya Kikwete ameliagiza Baraza la Taifa la Usalama Barabarani, kuanzisha mara moja mfumo wa ulipaji faini kwa njia ya Benki na mitandao ya simu za mkononi ili kupunguza ushawishi wa vitendo vya rushwa kwa askari wa kikosi cha usalama barabarani nchini.
Pia, ameagiza kuanzishwa mfumo wa kuweka alama kwenye leseni za madereva wanaokiuka sheria na kutumia njia hiyo kuwafungia, ikiwa ni
↧
↧
Mtikila Kumshitaki Lowassa na Magufuli
MWENYEKITI wa Chama cha Democratic Party (DP), Mchungaji Christopher Mtikila, amesema chama chake kinaandaa taratibu za kwenda mahakamani ili kumshtaki mgombea urais mteule wa CCM, Dkt. John Magufuli na mgombea urais wa CHADEMA, Bw. Edward Lowassa.
Alisema wagombea hao kwa nyakati tofauti, wameshiriki kuiingizia Serikali hasara ya mabilioni ya fedha ambapo wanasheria wa chama hicho wapo
↧
Magufuli Kuchukua Fomu ya Urais Leo Saa Sita Katika Ofisi Za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)
MGOMBEA Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli leo anatarajiwa kuchukua fomu ya uteuzi katika Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ili kusaka wadhamini na kisha kuidhinishwa kuwa mgombea katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu.
Waziri huyo wa Ujenzi anatarajiwa kuchukua fomu saa sita kamili mchana, na kwa mujibu wa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Halmashauri Kuu ya
↧
Nape Asema Wanaohama CCM ni sawa na Mafuta Machafu.......Amtakia Kila la Heri Edward Lowassa
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye amesema wanachama waliokihama chama hicho wamejivua nguo mbele za watu na kwamba wapinzani wanaowachukua wanahangaika na mafuta machafu.
Aidha, amesema aliyekuwa Mbunge wa Segerea na Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk Milton Mahanga, alikuwa anatafuta sababu za kuihama CCM na anamtakia kila la heri, yeye na rafiki yake, Edward Lowassa.
Nape
↧
Mwenyekiti wa Wenyeviti CCM Taifa, Mgana Msindai Ahamia CHADEMA
Mwenyekiti wa wenyeviti ccm Taifa na mwenyekiti wa mkoa wa singida Mhe Mgana Msinda akiwasalimia wajumbe wa Baraza Kuu CHADEMA
****
Mwenyekiti wa wenyeviti wa CCM, Mgana Msindai jana alijiunga na
Chadema na kutambulishwa katika mkutano wa Baraza Kuu la Chadema.
Mgana,
ambaye aliwahi kuwa mbunge wa Iramba Mashariki (2000-2010)
alitambulishwa pamoja na Mbunge wa Arumeru Magharibi (
↧
↧
Madereva watangaza mgomo mwingine nchi nzima
Mgomo mwingine wa madereva nchini Tanzania unanukia
kufuatia Chama cha wafanyakazi madereva Tanzania-TADWU pamoja na wizara
ya kazi kushindwa kutekeleza makubaliano yayolifikiwa na tume iliyoundwa
na waziri mkuu kutatua mgogoro huo.
Kwa mujibu wa naibu katibu mkuu wa TADWU, Bwana Rashidi Salehe
amesema kwamba kutokana na Wizara kushindwa kutekeleza makubaliano hayo
wanatarajia
↧
Maelfu wamsindikiza Magufuli kuchukua fomu ya urais NEC
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Dk. John
Pombe Magufuli leo amechukua fomu ya kuwania urais kutoka Tume ya Taifa
ya Uchaguzi (NEC).
Maelfu ya wananchi wamejitokeza kumsindikiza kiongozi huyo aliyeanzia
makao makuu madogo ya CCM Lumumba, Dar kuelekea ofisi za NEC.
↧
Urais 2015: Lowassa, Haji Duni Wapitishwa Rasmi Kupeperusha Bendera ya Ukawa
Mkutano Mkuu wa Chadema kwa pamoja umempitisha Mwanasiasa Edward
Lowassa kama mgombea Urais na Juma Haji Duni kuwa mgombea Mwenza katika
uchaguzi mkuu utakaofanyika tarehe 25 oktoba 2015.
Katika upigaji kura Kanda zote zimepiga kura ya NDIYO kwa Mh.
Edward Lowassa na hakuna kanda iliyosema HAPANA, huku wakishangilia kwa
nguvu.
Kanda ya Kaskazini, Kanda ya kati, Kanda ya
↧
Kinana Asema CCM Inashindana Na MAKAPI Yake
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana amesema kwamba chama Chama Mapinduzi kinatarajia kupata ushindi mnono katika uchaguzi mkuu ujao utakaofanyika mwezi oktoba mwaka 2015.
Akizungumza na Wanachama wa CCM leo katika ofisi ndogo za CCM zilizopo Lumumba jijini Dar es salaam mara baada ya mgombea wake wa Urais Dk.John Pombe Magufuli kuchukua fomu ya kugombea urais tume ya Taifa ya
↧
↧
Picha: Vigogo wa CCM Wajiunga Rasmi na CHADEMA Katika Ukumbi wa Mlimani City Mchana
Mwenyekiti wa Chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA), Mh.Freeman Mbowe(kushoto) akimkabidhi kadi ya chama hicho Mwenyekiti
wa CCM Mkoa wa Singida ambaye ni Mbunge wa zamani wa Iramba Mashariki
Ndg.Mgana Msindai ambaye ametangaza kujiuzulu wadhifa wake, kujiondoa CCM na
kujiunga na CHADEMA.
Msindai ni miongoni mwa wafuasi "watiifu" wa
Mhe.Edward Lowassa. Inadaiwa wapo wenyeviti 15
↧
PICHA: Magufuli Alitikisa Jiji la Dar es Salaam Wakati Akichukua Fomu ya Kugombea Urais
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama
cha Mapinduzi (CCM),Dkt John Pombe Magufuli na Mgombea Mwenza Ndugu Samia
Suluhu Hassan wakionesha fomu zao za kuomba kugombea urais mara baada
ya kuchukua kwenye ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi jijini Dar es salaam leo,
ambapo walisindikizwa na viongozi mbalimbali pamoja na wanachama wa CCM
na wananchi kwa ujumla wakiwa
↧
Kikwete: CCM Si Chama Cha Mchezo.......Wapinzani Watakiona cha Mtema Kuni Mwaka Huu
MWENYEKITI wa Taifa wa CCM, Rais Jakaya Kikwete amesema chama hicho sio chama cha mchezo na kuvionya vyama vya upinzani kuwa watakiona cha mtema kuni katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.
Amesema CCM itapata ushindi katika uchaguzi huo kwa kuwa imejipanga kwa hoja na imeleta maendeleo nchini, huku akieleza kuwa wapo watu wenye tamaa ya uongozi ambayo imekithiri.
Aliungwa mkono na
↧
Waziri mwingine, wabunge 4 waanguka kura za maoni CCM
SIKU mbili baada ya mawaziri watano kushindwa katika kura za maoni ya ubunge ndani ya CCM, waziri mwingine, Gaudentia Kabaka anayeshughulikia Kazi na Ajira, naye amedondoshwa katika jimbo la Tarime Mjini.
Kabaka, kabla ya kujitosa katika siasa za majimbo, alikuwa mbunge wa muda mrefu wa viti maalumu. Aidha, katika kura hizo zilizofanyika kote nchini, zimewaacha katika hali mbaya wabunge
↧
↧
Nuh Mziwanda Ajibu Tuhuma za Kumtongoza Wema Sepetu
Baada ya kusambaa sauti ya Nuh Mziwanda akimtongoza Wema Sepetu, muimbaji huyo ameibuka na kukanusha kuwa sauti hiyo sio yake na kumtuhumu Wema kuitengeneza sauti hiyo.
Akizungumza na mtandao wa Bongo5 akiwa na mpenzi wake Shilole, Nuh amesema kitendo kilichofanywa na Wema pamoja na timu yake sio cha kistaarabu.
“Mimi nimetake easy, ni mambo ya dunia kwa sababu ni mambo ya dunia
↧
Dr Kessy Anakuletea Dawa za Kutengeneza Hips, Makalio, Nywele na Nguvu za Kiume Kwa Kutumia Dawa za Asili zisizo na Kemikali
OFFER/ PUNGUZO LA BEI KWA MWEZI HUU...PENDEZA NA KESSY PRODUCTS (BEFORE & AFTER) KWANZA NIDAWA ZA ASILI ZISIZO NA MADHARA WALA KEMIKALI, NA MATOKEO BAADA YA WEEK 2 HADI 4.
1.Kutoa Mvi sugu 70000/2.Refusha nywele nakuzuiy kukatika 50000/3.Tengeneza Shepu (hips NA Kalio)kwa@kupaka 50000/@daw yamaj 80000/@vidonge 1,00,000/
4.Punguza kitambi kwa@kupaka 55000/@mkanda was Daw 80000/@daw ya kunywaa
↧
Dr. Slaa Atasababisha Mpasuko CHADEMA- Wasomi
SIKU moja baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bw. Freeman Mbowe, kukiri kupumzika kwa aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho, Dkt. Wilbrod Slaa, baadhi ya wasomi wamedai huo ndiyo mwanzo wa kupasuka kwa CHADEMA.
Walisema mpasuko huo pia utavihusisha vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), kabla ya Uchaguzi Mkuu ujao.
Baadhi ya wanachama
↧
More Pages to Explore .....