Taarifa kutoka mkoani Dodoma zinasema watu zaidi ya 10 wamefariki dunia usiku wa kuamkia leo , huku zaidi ya abiria 40 wakijeruhiwa vibaya baada ya basi la kampuni ya SIMIYU EXPRESS walilokua wakisafiria kutoka Mwanza kwenda DSM kupasuka tairi na kuacha njia na kugonga mbuyu na kisha kupinduka.
Taarifa zinasema ajali hiyo ni mbaya sana kuwahi kutokea mkoani Dodoma.Majeruhi
Ajali Mbaya ya Basi la Simiyu Express Yaua Watu Wengi Dodoma Usiku wa Kuamkia Leo
↧
↧
Zoezi la Uandikishaji BVR Dar Laanza kwa Changamoto Kibao........Maelfu ya Wakazi wa Dar Wajitokeza Kuandikishwa
MAELFU ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam, jana walijitokeza kwa
wingi katika siku ya kwanza ya uandikishaji wapigakura katika mfumo wa
kisasa wa kielektroniki (BVR), licha ya kuwapo kwa changamoto kadhaa.
Katika vituo vingi, licha ya wananchi kujitokeza kuanzia mapema
alfajiri, changamoto kadhaa zilijitokeza, ikiwemo mashine kushindwa
kufanya kazi kutokana na hitilafu, hivyo
↧
Mbowe Asema UKAWA Wana Mgombea Makini.......Asema Atajulikana hivi punde
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Freeman Mbowe
amesema pamoja na changamoto wanazokumbana nazo katika Ukawa, lakini
wanajitahidi kumpata mgombea mmoja.
Mbowe alisema hayo jana katika mkutano wa hadhara wa chama hicho
uliofanyika jijini Mwanza, ambapo pia aliwatambulisha wabunge waliohamia
Chadema kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mbunge wa Kahama, James
Lembeli na
↧
Wema Sepetu Aingiwa na Hofu Baada ya Jina la Edward Lowassa Kukatwa....Ahofia na yeye Kukatwa...
Habari
ya mjini kwa sasa ni mtoto mzuri Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu
‘Madam’ kuwania Ubunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida kwa tiketi ya
Chama Cha Mapinduzi (CCM), lakini nyuma yake kuna habari zinazodai kuwa
mrembo huyo ameingiwa na hofu ya kukatwa jina kama ilivyotokea kwa
Mbunge wa Monduli, Edward Ngoyai Lowassa aliyekuwa mmoja wa watia nia ya
kugombea urais, Amani lina mkanda
↧
Afande Sele amchana Sugu, adai hajafanya lolote bungeni kutetea muziki, Sugu ajibu
Rapper Afande Sele amesema wasanii hawajanufaika na ubunge wa Joseph
Mbilinyi aka Sugu licha ya kumsaidia kumpigia kampeni katika uchaguzi
uliopita.
Akizungumza na Planet Bongo ya East Afrika Radio, Afande alisema Sugu
ameshindwa kuwatumikia wasanii na kujinufaisha yeye mwenyewe.
“Sisi tuliamini akienda kule ndio mdomo wetu, kasahau kabisa wasanii
wenzake,” alisema.
“
↧
↧
D’Banj amlalamikia Diamond kwa kumzungusha kufanya collabo, Platnumz atoa sababu za kumkwepa
Muimbaji mkubwa wa Nigeria, D’Banj amemlalamikia Diamond kwa kumzungusha kufanya naye collabo.
Kokomaster amesema kuwa toka walipokutana na Diamond walizungumza na
kukubaliana kufanya collabo lakini amekuwa akimpiga chenga mpaka sasa.
Star huyo ambaye aliibuka na tuzo ya ‘MAMA Evolution’ katika MTV MAMA
2015, ameongeza kuwa kabla mwaka huu haujaisha anaamini collabo hiyo
itakuwa
↧
This is What RAY C Did in Her House That Has left MEN Salivating (VIDEO)
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
After confessing that she has always had a crush on President Uhuru
Kenyatta for long, Tanzanian singer, Ray C, has decided to tempt “team
mafisi” with her s3ductive dancing skills.
The aging singer decided to twerk vigorously in her house while dancing
to a catchy African tune. Her crazy dancing skills have
↧
Kambi ya Halima Mdee Yameguka
KAMBI ya aliyekuwa Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (Chadema), imeanza kusambaratika baada ya wafuasi wake kujiunga na Chama cha ACT-Wazalendo.
Wafuasi wake hao wakiongozwa na diwani aliyemaliza muda wake katika Kata ya Kunduchi, Janeth Rithe, wamejiunga jana ACT-Wazalendo na kukabidhiwa kadi na Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho, Msafiri Mtemelwa.
Wengine waliopewa kadi za ACT ni Mary
↧
Batuli kufuata nyayo za Kanumba, ajipanga kuandaa filamu yenye bajeti kubwa
Msanii wa filamu nchini, Yobnesh Yussuf maarufu kama Batuli amesema
mashabiki wake wa filamu wasione yupo kimya kwakuwa yupo kwenye mpango
kuthubutu kama alivyothubutu marehemu Steven Kanumba kwa kuaanda filamu
itakayogharimu zaidi ya shilingi milioni 40.
Batuli ameuambia mtandao huu kuwa licha ya kuwa anafanya filamu
zilizozoeleka, anajipanga kufanya kitu kikubwa ili kuipa heshima
↧
↧
Belle 9 haamini kama collabo zinaweza kumtoa kimataifa
Belle 9 amedai kuwa kwenye muziki wake haamini kama collabo ni njia sahihi ya kumfikisha kimataifa zaidi.
Akizungumza na mtandao huu, Belle amesema wapo wasanii kadhaa walioweza
kutoboa bila hata kufanya collabo na wasanii wa mataifa ya nje.
“Mimi nimefanya collabo na Joh Makini, I am proud kwa sababu ni
msanii mkubwa ambaye anafanya vizuri ndani na nje. Joh is too expensive
sio
↧
Nikiridhishwa KITANDANI sharti nimsifie mume Wangu- Joyce Kiria
Mtangazaji wa Kipindi cha Wanawake Live,
Joyce Kiria ametoa kali ya mwaka kwa kueleza kuwa, akishibishwa vilivyo
na mume wake ‘chakula cha usiku’, haoni sababu ya kumsifia kupitia
mitandao.
Joyce ambaye amekuwa na kusumba na kumpa
sifa kemkemu mume wake kila atokapo kula ‘chakula’ hicho ameeleza kuwa,
haoni tatizo kufanya hivyo kwa kuwa kila mtu anajua ukiolewa lazima
upewe ‘chakula
↧
Mapenzi Yamtokea PUANI Davina
Staa wa Filamu za Kibongo, Halima Yahaya amedaiwa kutoswa na mwanaume aliyemuachanisha na mumewe ambaye alikuwa bosi wake kwenye kampuni moja iliyopo Kinondoni jijini Dar.
Chanzo cha kuaminika kilichoomba hifadhi ya jina lake kimedai kuwa, baada ya Davina kuzinguana na mumewe kisa kikiwa ni bosi huyo (Jina tunalihifadhi kwa sasa) alifunguliwa ofisi maeneo ya Kinondoni jijini Dar kisha
↧
Rushwa yaahirisha kura ya maoni Chadema
Uchaguzi wa kura za maoni ndani ya Chadema katika Jimbo la Bariadi umeahirishwa baada ya kubainika kwa matukio yanayoashiria vitendo vya rushwa.
Wakizungumza baada ya kuahirishwa kwa uchaguzi huo, wajumbe wa mkutano mkuu wa wilaya walisema hawataki kuingiliwa na virusi vya rushwa ndani ya chama hicho, kwa kuwa hali hiyo italeta mpasuko na makundi.
Wajumbe hao wameutaka uongozi Chadema
↧
↧
Easta Bulaya ni Moto wa Kuoteka Mbali........Apata mapokezi ya kishindo Bunda, Amchamba na Kumlipua Wassira
ALIYEKUWA Mbunge wa Viti Maalumu mkoani Mara kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi.Esta Bulaya ambaye juzi alitangaza kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), amepata mapokezi makubwa Mjini Bunda jana akitokea jijini Mwanza akiwa na viongozi wa CHADEMA mkoani humo na Kanda ya Ziwa.
Akiwahutubia wananchi katika Viwanja vya Stendi ya Zamani, Bi.Bulaya aliwapongeza
↧
Magufuli Apata Mapokezi ya Kutisha Kibaigwa
Mgombea Urais alieteuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia wananchi wa Mji wa Kibaigwa, Mkoani Dodoma leo asubuhi , wakati akiwa njiani kurejea jijini Dar es Salaam akitokea Mkoani Geita.
↧
Auawa baada ya kuwachoma visu wenzake kwenye daladala
Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Mosha Mahona ameuawa na wananchi baada ya kuwachoma kwa kisu abiria watano waliokuwa kwenye daladala linalofanya safari zake kati ya Posta na Ubungo Simu 2000.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camilius Wambura alisema jana kuwa tukio hilo lilitokea juzi saa moja usiku katika eneo la Magomeni Usalama na Mahona aliuawa kwa kushambuliwa na wananchi
↧
Wema Sepetu AIPASUA CCM Singida......Mwenyekiti Atishia Kuhama Chama Iwapo Wema Sepetu Atapitishwa
Kinyang'anyiro cha ubunge wa viti maalum katika mkoa wa Singida kimeibua mapya, baada ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Wilaya ya Ikungi, Christina Hamis, kutishia kususia kuingia kwenye ofisi za jumuiya hiyo na kuhama chama.
Mwenyekiti huyo anakusudia kuchukua uamuzi huo kwa madai kuwa Katibu wa CCM wa wilaya hiyo, Aluu Segamba, anamlazimisha amuunge mkono
↧
↧
Shinikizo la Lowassa Kuhamia CHADEMA Lazidi Kupamba Moto......Mkewe Ampigia Magoti Akimsihi Asihame!!
Shinikizo dhidi ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, la kumtaka akihame Chama Cha Mapinduzi (CCM) linazidi kuongezeka na katika timu yake ya ndani ni watu wawili tu wanaonekana kumtaka abakie ndani ya chama hicho.
Habari za ndani ya vikao vya kujadili hatua za kuchukuliwa na Lowassa baada ya jina lake kukatwa kwenye mchakato wa kugombea urais kupitia CCM, zinasema kuwa wandani wake
↧
Wema Sepetu Apigwa CHINI kwenye Kura za Maoni Ubunge wa viti Maalum Singida
Msanii wa Filamu za kibongo anayeongoza kwa urembo ndani ya tasnia hiyo, Wema Abraham Sepetu, aliyekuwa anagombea
Ubunge wa Viti Maalum jimbo la Singida amebwagwa chini baada ya kupata kura 90 tu
katika uchaguzi huo.
Mgawanyo wa kura ulikuwa hivi;
1. Aysharose Mattembe (311)
2. Martha Mlata(235)
3. Diana Chilolo(182)
4. Wema Sepetu(90)
Baada ya matokeo hayo, Lulu Michael
↧
Mwigulu Nchemba Aipasua CCM Singida.......Wagombea Wenzake Watishia Kususa
WATANGAZA nia watatu kati ya wanne wanaogombea Jimbo la Iramba mkoani
hapa, wametangaza kugombea mchakato wa kura za maoni wakidai kuwa
mgombea mwenzao Mwigulu Nchemba 'anabebwa' ashinde.
Wagombea hao; Juma Killimbah, David Jairo na Amon Gyunda walisema
mjini hapa jana kuwa, baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Siasa ya Mkoa,
wanamfanyia kampeni za wazi Nchemba, ili apitishwe kuwa mgombea
↧
More Pages to Explore .....