Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, jana alikana kutoa lugha ya matusi dhidi ya Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, kwamba mtoto, hana akili na mpuuzi.
Askofu Gwajima alikanusha tuhuma hizo wakati akisomewa maelezo ya awali mbele ya Hakimu Mkazi wa Wilfred Dyansobera anayesikiliza kesi hiyo katika Mahakama ya
Gwajima Asomewa Mashitaka ya Kumtukana Askofu Pengo.......Mashahidi 7 Waandaliwa Kumkabili
↧
↧
Said Alf awakimbia CHADEMA, Ataka ubunge kwa CCM
MBUNGE wa Jimbo la Mpanda Mjini, Bw. Said Amour Alfi (CHADEMA) ni miongoni mwa makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambao wamechukua na kurejesha fomu za kuomba kugombea ubunge katika Jimbo jipya la Nsimbo, Wilaya ya Mlele, mkoani Katavi kwa tiketi ya CCM kwenye Uchaguzi Mkuu ujao.
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Katibu wa CCM mkoani Katavi, Averin Mushi amethibitisha Bw. Arfi
↧
Magufuli Aundiwa Zengwe na Wapinzani Wake
Mteule wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika nafasi ya urais kwenye uchaguzi mkuu ujao, Dk.John Pombe Magufuli, anaundiwa zengwe zito na wapinzani wake kisiasa baada ya kubaini kuwa watapata taabu kubwa kuibuka na ushindi katika patashika hiyo itakayofanyika Oktoba mwaka huu.
Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali, zengwe hilo linahusu kile kinachodaiwa kuwa ni kuanza kwake mapema kufanya kampeni
↧
Mbunge wa Kahama Kupitia CCM, James Lembeli Atangaza Kujivua uanachama wa CCM na kujiunga na CHADEMA
2015 ni mwaka wa Uchaguzi Mkuu Tanzania, kila siku stori za Siasa zimekuwa kwenye headlines nyingi kuanzia Magazetini, kwenye TV, mitandaoni na Radioni .
Mbunge James Lembeli alikuwa pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Mazingira na Maliasili.. kuna habari za baadhi ya Wabunge wametangazwa kuhama Vyama vyao, Lembeli kathibitisha kuhama CCM kwa maneno yake mwenyewe.
"
↧
Majibu ya Diamond kwa Jokate kuhusu post yake iliyoleta utata
Story ya Diamond na Jokate imeingia kwenye hatua nyingine.
Mshindi huyo wa ‘Best Live Act’ kwenye MTV MAMA baada ya kurejea
Tanzania, amejibu shutuma alizozitoa Jojo dhidi yake kuhusu video
aliyoipost, ya mrembo huyo aliyewahi kuwa mpenzi wake akifurahia wimbo
wa ‘Mdogo Mdogo’ na kuandika “Mbona Bado, Mtanyooka Tu”.
Kupitia 255 ya XXL ya Clouds Fm, haya ndio majibu ya
↧
↧
Video: Finally, Donald and Diamond ‘Wangu’ collabo is out
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
It’s finally here! The East Africa and South Africa collaboration you have been waiting for, from award winning musician Donald and Tanzania’s superstar Diamond Platnumz is out.
‘Wangu’ is produced by DJ Clock, and the video directed by Justin Campos for Gorilla Films.
Watch the masterpiece.
↧
Nay wa Mitego kamvalisha pete Shamsa?
Jana kupitia ukurasa wake wa @Instagram Shamsa Ford alimshukuru Nay wa Mitego
kwa kumvalisha pete…
Nay amesema amempa tu pete kama zawadi na si
kumvalisha.
Amesema anaona hiyo ni zawadi ambayo ataweza kumkumbuka nayo
tofauti na zawadi nyingine…amesema kama itakuwa vinginevyo atakuwa
tayari kuweka wazi.
Thank u my cousin .nimeipenda kidole kinang'aaaa @naytrueboy
A photo
↧
Uhusiano Kati ya Ugonjwa wa Kisukari na Tatizo la Ukosefu wa Nguvu za Kiume
Ugonjwa wa kisukari ni miongoni mwa vyanzo vikuu vya tatizo la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume.
Asilimia kubwa ya wagonjwa wa kisukari wanakabiliwa na tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume.
Unajua ni kwa nini wanaume wenye kisukari wanasumbuliwa pia na tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume ?
JIBU NI RAHISI SANA, NALO NI KWA
↧
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya July 22
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya July 22
↧
↧
CHADEMA Kumtangaza Mgombea Wake wa Urais LEO Jijini Mwanza
Baada ya vuta vikuvute ya muda mrefu, hatimaye leo Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kinatarajia kumtangaza mgombea wake wa urais katika mkutano maalumu utakaofanyika jijini Mwanza.
Habari zilizopatikana na kuthibitishwa na viongozi wa chama hicho Kanda ya Ziwa Magharibi na makao makuu zilisema kuwa leo mgombea huyo atatangazwa mkoani hapa huku zikibainisha kuwa anayepewa nafasi
↧
Mbunge Wa Karatu kwa Tiketi ya CHADEMA Ajitoa Rasmi Katika Siasa........Atangaza Kurudi Katika Kazi yake ya UCHUNGAJI
Mbunge wa Karatu kwa tiketi ya Chadema, Mchungaji Israel Natse, amejitoa rasmi katika siasa na kurudia kazi yake ya uchungaji katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini.
Akizungumza na mtandao huu kwa njia ya simu ya kiganjani jana, alisema makubaliano yake na chama walimwomba agombee kipindi kimoja tu na sasa anapisha mwingine.
“Mimi ninarudi kwenye
↧
Nchimbi Afunguka baada ya CCM Kulikata Jina lake Kwenye Kinyang'anyiro cha Ubunge
Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi na Mbunge wa Songea Mjini, Dk. Emmanuel Nchimbi (pichani), amefunguka kuhusu mambo kadhaa na kueleza kuwa Watanzania wanapaswa kuelewa kuwa kutofautiana katika vyama vya siasa ni jambo la kawaida katika nchi yenye demokrasia.
Dk. Nchimbi alisema hayo jana ikiwa ni siku moja baada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Songea Mjini kuikataa fomu
↧
Majambazi 27 wenye silaha wakamatwa mkoani Pwani
Jeshi la polisi Mkoa wa Pwani limefanya msako mkali katika mapori
mbali mbali na kufanikiwa kuwakamata watuhumiwa wa ujambazi 27
pamoja na risasi 153,bunduki 2 mabomu 3 ambavyo walikuwa
wakivitumia katika matukio ya uharifu.
Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani Kamishina mwandamizi
Jafari Ibrahimu amesema kwamba watuhumiwa hao wamekamatwa baada ya
kufanyika
↧
↧
Hekaheka za Nairobi wanavyojiandaa kumpokea Obama
Rais Obama na Familia yake, hii ni kama TBT hivi… picha moja ya zamani zamani kabisa.
Kila ukiingia kwenye Mitandao ya Kijamii Kenya stori nyingi kubwakubwa na zenye headlines ni kuhusu ujio wa Rais Obama.. sio kitu kigeni kwa sababu hata alivyokaribia kuja TZ stori zilikuwa nyingi vilevile na zinazofanana na hizo.
Leo nimekutana na pichaz nyingine pamoja na stori nyinginyingi kuhusu
↧
Wimbo Mpya: Navy Kenzo Ft. Vanessa Mdee- Game
Habari Njema kwa wale wapenzi wa Bongo Fleva kundi la Navy Kenzo limerudi na ngoma yao mpya iitwayo Game waliomshirikisha Vanessa Mdee (VeeMoney).
Kama wewe ni mpenzi wa miondoko flani ya dancehall yenye fleva ya kibongo basi Navy Kenzo na VeeMoney wamekurahisishia kazi kwenye ngoma hii.
Nimekusogezea wimbo huo hapa chini.
>
↧
Bifu Jipya la Wema Sepetu na Aunt Ezekiel
Mafahari wawili Bongo Movies, Aunt Ezekiel na Wema Sepetu ‘Madam’
wamezidi ‘kusherehesha’ bifu lao baada ya kupigana vikumbo kwenye
mgahawa unaojulikana kama Snow Cream na kuchuniana kama vile hawajuani.
Kwa mujibu wa gazeti la Risasi,
Wema ndiye aliyekuwa wa kwanza kuingia kwenye mgahawa huo na wapambe
wake kisha baada ya muda kidogo kupita, Aunt pamoja na watu wengine nao
walifika
↧
James Lembeli na Easter Bulaya Watambulishwa Rasmi CHADEMA
Maelfu ya wananchi jana walijitokeza kuwapokea wanachama wapya
kutoka Chama Cha Mapinduzi CCM ambao ni Mzee James Lembeli na Easter
Bulaya ambao wamekihama chama Chama cha Mapinduzi kwa madai mbalimbali
ikiwemo kuhujumiwa.
Aidha, Dk. Wildroad Slaa na Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe
nao walikuwepo pamoja na wanachama wengine akiwemo Mbunge wa Kawe
Halima Mdee.
↧
↧
Wafuasi 10 wa CHADEMA na CCM Wakatana Mapanga Kisa ......
WATU zaidi ya 10 wanaosadikiwa kuwa wafuasi wa Chama cha Maendeleo na
Demokrasia (CHADEMA) na Chama Cha Mapinduzi (CCM), wamejeruhiwa katika
mapigano, yaliyosababishwa na mabishano ya kisiasa wakati wakinywa
pombe.
Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana mjini hapa, tukio hilo lilitokea
katika kijiji cha Kegonga tarafa ya Ingwe wilayani Tarime mkoani Mara.
Imeelezwa kuwa miongoni
↧
Joshua Nasssari Achaguliwa tena Kupeperusha Bendela ya CHADEMA Jimbo la Arumeru Mashariki
Aliekuwa
Mbunge wa Arumeru Mashariki mkoani Arusha,Joshua Nassari akizungumza
namna alivyotekeleza ahadi zake katika kipindi kilichopita wakati wa
mkutano Mkuu wa Jimbo uliofanyika kwenye Mji mdogo wa Usa River ambapo
alichaguliwa bila kupingwa ili kupeperusha bendera ya Chadema katika
uchaguzi utakaofanyika Oktoba mwaka huu.
Wanachama
wa Chadema wakipiga kura za maoni
↧
Picha: Diamond awashukuru watanzania kwa ushindi wa tuzo ya MTV MAMA
Mshindi wa tuzo ya mtumbuzaji bora wa Afrika kwa muziki wa MTV MAMA, Nasib Abdul aka Diamond Platnumz amewashukuru watanzania kwa kumwezesha kupata tuzo ya mtumbuizaji bora wa Afrika huku akiwataka wasanii wa Tanzania kuungana kwa pamoja ili kuufikisha muziki mbali zaidi.
Akizungumza na waandishi wa habari jana katika hoteli ya Tansoma jijini Dar es salaam, Diamond aliwashukuru watanzania
↧
More Pages to Explore .....