Diva wa filamu Bongo ambaye kwa sasa ni mama wa
mtoto mmoja anayetambulika kwa jina la Cookie, Aunt Ezekiel, amefungukia
kuhakikisha anampa sapoti ya nguvu shosti wake, Wema Sepetu katika
harakati zake za kuwania ubunge.
unt amesema kuwa pamoja na kwamba yeye
hafahamu siasa hata kidogo na hatarajii kujiingiza huko, lakini
anatambua Wema ameamua kutangaza nia ya kugombea, hivyo kama
Aunt Ezekiel: Nitamuunga Mkono Wema Sepetu Katika Safari Yake ya Kugombea Ubunge
↧
↧
Tume Ya Uchaguzi Yatangaza Kuanza Uandikishaji BVR Dar es Salaam na Pwani
Zoezi
la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la wapiga kura kwa teknolojia ya
Biometric Voters Registration (BVR) lililoahirishwa katika jiji la Dar
es salaam na mkoa wa Pwani hivi karibuni sasa litafanyika kuanzia Julai
7-20 kwa mkoa wa Pwani na Julai 16- 25 kwa jiji la Dar es salaam.
Uboreshaji
wa Daftari hilo kwa jiji la Dar es salaam na Mkoa wa Pwani uliahirishwa
kutokana na
↧
Ray C : Naomba kuwatangazia kuwa natafuta mchumba wa kuishi naye milele! Atoa vigezo 10 vya mume amtakaye
Msanii wa muziki Rehema Chalamila aka Ray C amefungua mlango kwa mwanaume yoyote anayetaka kumuoa ajitokeze ilimradi awe na vigezo 10 ambavyo ameviainisha.
Kupitia ukurasa wake wa instagram Ray C ameandika:
“Habari zenu wapendwa wote dunia nzima!Leo na habari nzuri sana kwenu,Naomba kuwatangazia kuwa natafuta Mchumba wa kuishi nae milele!nataka niwe nae milele na nimzalie watoto wawili
↧
Atiwa Mbaroni Akituhumiwa Kumuua Baba Yake kwa Shoka
MKAZI wa kijiji cha Igongwa wilayani Maswa mkoani Simiyu, Majingwa
Ndushi (32) amekamatwa na jeshi la Polisi baada ya kutoroka akikwepa
kufikishwa mahakamani kwa tuhuma ya kumuua baba yake mzazi, Ndushi
Majingwa (65) kwa kumkata na shoka kichwani.
Mbele ya mahakama hiyo, ilidaiwa na Mwendesha Mashtaka wa jeshi hilo,
Mkaguzi wa polisi Nassibu Swedy, kuwa mshtakiwa huyo alitenda kosa
↧
Kesi ya Gwajima Yapigwa Kalenda
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jana imeshindwa kumsomea maelezo ya
awali Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima na wenzake
wanaokabiliwa na kesi ya kutumia lugha ya matusi na kushindwa kuhifadhi
silaha.
Kesi hiyo ilitajwa jana kwa ajili ya washitakiwa kusomewa maelezo ya
awali lakini iliahirishwa kwa kuwa Hakimu Mkazi Wilfred Dyansobera
anayesikiliza kesi hiyo
↧
↧
Amuua Mwenzake Kwa Kisu Wakigombea Mwanamke
WATU watatu wamekufa katika matukio matatu tofauti katika Wilaya za
Tarime na Rorya akiwemo mtu aliyeuawa wakati wanagombania mwanamke.
Waliokufa ni Chacha Mwita (24) aliyechomwa kisu kifuani na mwenzake
wakigombea mwanamke wa baa huko Sirari.
Wengine ni Juma Nguka (25)
aliyeuawa na watu wenye hasira baada ya kutuhumiwa kupora pikipiki yenye
namba za usajili MC 936 ACA, mali ya
↧
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya July 3
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya July 3
↧
Ijue Sayansi ya Kusimama na Kusinyaa kwa UUme ( Sayansi ya Nguvu za Kiume)
Ukosefu na/ama upungufu wa nguvu za kiume, ni tatizo linalo wakabili mamilioni ya wanaume duniani.
Tatizo la ukosefu/upungufu wa nguvu za kiume ni nini ?
Ukosefu ama upungufu wa nguvu za kiume ni ile hali ya mwanaume kutokuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa kwa ukamilifu
Hatua mbili Muhimu katika Kusimama kwa Uume
Ili mwanaume aweze
↧
Hukumu ya Kesi ya Mramba na Wenzake Kutolewa Jumatatu.
HUKUMU ya kesi ya kuisababishia Serikali hasara ya Sh bilioni 11.7
inayomkabili Waziri wa zamani wa Fedha, Basil Mramba na wenzake
imeahirishwa kwa mara ya pili kwa sababu hakimu anaumwa.
Kesi hiyo ilitajwa jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa
ajili ya kusomwa kwa hukumu, baada ya kuahirishwa kwa mara ya kwanza Mei
30 mwaka huu.
Hata hivyo, Hakimu Mkazi, Saul Kinemela
↧
↧
Roboti Lamuua Mfanakazi wa Kiwanda cha Magari
Hiki ni moja ya viwanda vinavyotengeneza magari aina ya Volkswagen nchini Ujerumani.
Roboti zikichomelea magari katika kiwanda cha Volkswagen.
Hapa ndipo mfanyakazi wa Volkswagem alipofariki kwa kuuawa na roboti kaskazini mwa jiji la Frankfurt, Ujerumani.
Frankfurt, Ujeruman
ROBOTI moja iliyokosa mwelekeo imemuua mfanyakazi mwenye umri wa
miaka 22 katika kiwanda cha kutengeneza
↧
Esha Buheti Akiri Kuchepuka Nje ya Ndoa.
Mwigizaji Bongo, Esha Buheti, licha ya kuwa ndani ya ndoa, amekiri kuchepuka na mcheza mpira mmoja ambaye hakutaka kuweka wazi jina lake.
Akizungumza na na gazeti la Ijumaa, Esha aliweka wazi hisia zake kuwa kwa sasa ana kifaa kipya chenye hadhi na amekuwa akitupia picha zake mitandaoni kisha anazitoa.
“Najua wambeya watataka kumchunguza mpenzi wangu wa sasa ndiyo maana namuweka
↧
Muziki wa Tanzania umepenya vipi wakati tunawakilishwa na msanii mmoja tu? – Dudu Baya
Dudu Baya anapingana na kauli kuwa muziki wa Tanzania umepenya Afrika.
Akiongea kwenye kipindi cha Siz Kitaa cha Clouds TV, rapper huyo
amesema muziki wa Tanzania haujapenya kwakuwa anayeiwakilisha Tanzania
ni mmoja tu – Diamond.
Amesema ili muziki wa Tanzania uweze kusemwa umepenya kimataifa ni
lazima kuwepo na wasanii wengi wanaofanya vizuri kama ukubwa wa Diamond
kwa sasa.
↧
Snura asema baada ya Ramadhan ni video mpya na filamu ‘Siku 5′
Snura amedai kuwa baada ya mwezi wa Ramadhan atatoa video ya wimbo
wake uliovuja ‘Unajidabua’ pamoja na filamu mpya iitwao Siku 5.
Muimbaji huyo amesema wimbo huo haujapata promotion kubwa kwakuwa ulivuja tu.
“Kiukweli wimbo haujafika mbali kwakuwa hata kuitoa rasmi sijautoa,”
amesema.
“Kwahiyo siwezi kuuzungumzia. Lakini sasa hivi nimeufanyia
video ndo nitautoa rasmi baada ya
↧
↧
Wabunge 11 Wa UKAWA Watimuliwa Bungeni Kisa Kupinga Muswada wa Sheria ya Petrol
BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Watanzania limewasimamisha wabunge 11 kwa kudharau mamlaka ya Spika jana.
Hatua hiyo ni baada Spika wa Bunge hilo, Anne Makinda, kuwashitaki
katika Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge,
wabunge hao wa Kambi Rasmi ya Upinzani, wakiongozwa na Mnadhimu Mkuu wa
Kambi hiyo, Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema).
↧
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya July 4
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya July 4
↧
Chuchu nje nje: Huddah apost picha za aibu kwenye Instagram!
Huddah Monroe anafahamika kwa maisha yake controversial hivyo si
jambo la ajabu kwa followers wake wa Instagram kumuona akila bata kwenye
beach za Ulaya huku akiwa na nguo inayoonesha nipples zake! Jionee
mwenyewe!
↧
Mtoto wa marehemu Chacha Wangwe abadili mawazo kugombea ubunge
Marehemu Chacha Wangwe
MTOTO wa marehemu, Chacha Wangwe, Zakayo Wangwe, ambaye alitangaza nia ya kugombea ubunge Jimbo la Tarime hivi karibuni, amebadili mawazo na kutangaza kugombea udiwani Kata ya Turwa.
Uamuzi huo aliuchukua jana na kuwaeleza waandishi wa habari kwamba, amejitathmini na kuona agombee udiwani badala ya ubunge.
“Nimepokea simu na meseji nyingi kutoka kwa watu wangu
↧
↧
Jose Chameleone aahidi kumpiga jeki Wema kwenye safari yake ya kuwania ubunge
Jose Chameleone yupo tayari kumsaidia Wema Sepetu kwenye harakati
zake za kuwania nafasi ya ubunge wa viti maalum mkoani Singida.
Petit ambaye ni mmoja wa watu walio karibu na Wema amepost screeshot
kwenye Instagram ya mazungumzo na Chameleone kwenye WhatsApp.
“S/O to my bro Jchameleone kwa kuonesha support pale inshallah
atakapochukua mama form ya kugombea Ubunge Viti maalum..
↧
ACT yailalamikia CHADEMA kuhujumu mikutano yake.
CHAMA cha Alliance for Change and Transparency(ACT), kimebaini kuwepo kwa mipango inayoratibiwa na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ya kuhusika kuhujumu mikutano yake mbalimbali.
Hujuma hizo zimebainishwa jana jijini Dar es Salaam na Katibu wa Mipango na Mikakati Taifa wa ACT Habibu Mchange, aliyesema kuwa chama hicho kimekuwa kikihangaikia ACT na kusahau kushughulikia
↧
Ray C: Sitanii niliposema natafuta mwanaume wa kunioa
Ray C amedai kuwa hafanyi utani kufuatia tangazo lake la kutafuta mume wa kumuoa.
“Hahaaha yaani leo nimeipata fresh, simu na msg ni nyingi sana wengi
wanadhani natania!Niko serious jamani!endeleeni na maombi huwezi jua u
could be the lucky one,” ameandika kwenye Instagram.
“Ila ishu ya kutumia simu moja kidogo imeleta tafrani so inaonyesha
michepuko ni mingi kwenye ndoa ila
↧
More Pages to Explore .....