Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya Tarehe 1 July 2015
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya Tarehe 1 July 2015
↧
↧
Sakata la Walimu wa Kike Kuingiliwa Sehemu zao Za Siri Kishirikina Lachukua Sura Mpya
SAKATA la walimu wa Shule ya Msingi Nambaza iliyopo Jimbo la Mwibara, Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, kufanyiwa vitendo vya kishirikina wakidai kuingiliwa kimwili, kuibiwa mali na fedha, sasa limechukua sura mpya.
Hali hiyo inatokana na Mkuu wa Wilaya hiyo, Joshua Mirumbe kuagiza watuhumiwa (wachawi), ambao wananchi waliwabaini kuhusika na vitendo hivyo kwa kupigiwa kura, wakamatwe haraka na
↧
Majina ya Waliochaguliwa Kujiunga na Kidato cha Tano, 2015/ 2016
OWM-TAMISEMI inawatangazia majina ya wanafunzi
waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano na Vyuo vya Ufundi kwa mwaka
2015.Wanafunzi waliochaguliwa ni kutoka shule za Serikali na zisizo za
Serikali.
Jumla ya wanafunzi 55,003 wakiwemo wasichana 23,303 na wavulana31,700
wamechaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano na Vyuo vya Ufundi.
Kati ya
wanafunzi waliochaguliwa 29,744 wakiwemo
↧
Watu wanne wafariki Dunia Baada ya Basi Kugonga Treni Leo
Watu wanne wamefariki dunia leo na wengine 21 kujeruhiwa kufuatia
basi aina ya Isuzu kugonga treni ya abiria iliyokuwa ikienda bara
katika kilomita 276/0 kati ya stesheni za Kimamba na Kilosa Mkoani
Morogoro wilayani Kilosa majira ya saa 11:25 asubuhi ya leo.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na ofisi ya Uhusiano kwa niaba ya
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TRL Mhandisi Elia Mshana
↧
Jinsi ya Kutangaza Biashara yako Kwenye Mtandao Huu
I can help you promote your offline/online business, start-up, etc to my targeted blog readers and you will get a good value for your money.
You can use Sponsored post, Banner ads or Text ads to advertise on my blog.
Sponsored Post
I can publish a sponsored post about your business,website, blog, start
up, OR add your website address into an existing blog post as a
sponsor of the
↧
↧
Polisi Yanasa Mtambo Wa Kutengeneza Bunduki
POLISI mkoani Rukwa imewakamata watuhumiwa 19 na silaha za aina
mbalimbali zikiwemo bunduki 30, risasi 231 pamoja na mtambo wa
kutengeneza bunduki za kienyeji.
Katika msako uliofanywa na Polisi mkoani hapa, pia waliweza kukamata
nyara za Serikali yakiwemo meno, mikia miwili ya tembo na maganda mawili
ya risasi.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Rukwa, Jacob Mwaruanda alisema jana
↧
Mwalimu Ahukumiwa Kifungo Cha Maisha Jela Kwa Kumnajisi Mkjuu Wake
MWALIMU mstaafu, Rashid Mbogo (65) amehukumiwa kifungo cha maisha
jela na Mahakama ya Wilaya ya Mpanda mkoani Katavi baada ya kupatikana
hatia ya kumnajisi mjukuu wake wa kike mwenye umri wa miaka mitano.
Akisoma hukumu hiyo, Hakimu wa mahakama hiyo, Chiganga Ntengwa
alisema kuwa mahakama hiyo imeridhishwa na ushahidi uliotolewa na upande
wa mashtaka na utetezi ambapo haukuacha shaka
↧
Diamond Kuwasha Moto Miss Kilimanjaro
Tareheh 24 julai 2015 miss Kilimanjaro inatarajiwa kufanyika katika ukumbi
wa ”KILI HOME MOSHI”ambapo Daimond atawaburuudisha wageni
watakao fika katika ukumbi huo .
↧
Watuhumiwa wa EPA Waachiwa Huru.
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imewaachia huru Kada wa CCM Rajabu
Maranda na wenzake waliokuwa wanakabiliwa na kesi wizi wa Sh milioni 207
katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) kutoka Benki Kuu ya Tanzania
(BoT).
Jopo la mahakimu watatu likiongozwa na Hakimu John Utamwa, Ignas
Kitusi na Eva Nkya liliwaachia washitakiwa hao baada ya upande wa
Jamhuri kushindwa kuthibitisha
↧
↧
Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Alhamisi Ya Tarehe 2 July 2015
Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Alhamisi Ya Tarehe 2 July 2015
↧
Urais 2015: UKAWA Waahidi Neema Kwa Wachimbaji
SERIKALI itakayoundwa na Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) imeahidi
kuwapa kipaumbele wachimbaji wadogowadogo ikiwa ni pamoja na kuwajengea
uwezo katika shughuli za uchimbaji wa madini huku ikihakikisha kuwa
kampuni kubwa za uwekezaji zikilipa kodi stahiki ya Serikali.
Hayo yalisemwa juzi na Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) Profesa
Ibrahimu Lipumba, alipokuwa akiwahutubia
↧
Wanne Wahukumiwa Kunyongwa Hadi Kufa Baada Ya Kukutwa Na Hatia Ya Kumuua Albino
MKAZI wa Kiwira, wilayani Rungwe, Hakimu Mwakalinga ambaye aliwahi
kuhukumiwa adhabu ya kunyongwa hadi kufa kwa kukutwa na hatia ya kumuua
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Rungwe, John Mwakenja, amehukumiwa
adhabu hiyo kwa mara nyingine baada ya kupatikana na hatia ya kumuua
mlemavu wa ngozi (albino).
Mwakalinga pamoja na washitakiwa wenzake watatu walihukumiwa adhabu
hiyo katika
↧
Lowassa: "Nimechoka Kuitwa Fisadi .......Mwenye Ushahidi wa Rushwa dhidi Yangu Ajitokeze Ili Aeleze nilitoa lini, wapi na kwa nani."
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa jana aliwataka wanaomhusisha na ufisadi kuacha mara moja kwa sababu hakuna hata chembe ya ukweli katika tuhuma hizo.
Lowassa, aliyeonekana kuzungumza kwa hisia, alisema hayo jana mara baada ya kurejesha fomu ya kuwania kuteuliwa na CCM kugombea urais katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25.
Mbunge huyo wa Monduli alikuwa mmoja kati ya makada tisa
↧
↧
CHADEMA Yaibwaga CCM Mahakamani........Matokeo ya Uchaguzi Wenyeviti 16 Yatenguliwa
Chama cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara
imezidi kupata pigo baada ya Mahakama kutengua matokeo ya uchaguzi wa
wenyeviti wa vitongoji 16 vya mji mdogo wa Mirerani, kwa maelezo kuwa
ulikiuka sheria na utaratibu wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
Hii ni mara ya pili katika kipindi cha mwezi mmoja
kwa Mahakama kutengua matokeo ya uchaguzi huo ambao uliwaweka
↧
Afande Sele aeleza atakavyokuwa tofauti na wasanii wengine walioingia bungeni
Afande Sele amesema akiingia bungeni hawezi kuwasahau wasanii wenzake
kama walivyosahauliwa na wasanii wabunge waliotangulia kuingia
mjengoni.
Rapper huyo atawania kiti cha ubunge wa jimbo la Morogoro Mjini kwa tiketi
cha ya chama cha ACT na amesemakuwa akiingia bungeni wasanii
watarajie mambo makubwa kutoka kwake.
“Lengo langu kubwa kwa wasanii ni kupigania haki za wasanii,”
↧
Familia Yampa ONYO Rose Ndauka
Staa wa filamu Bongo, Rose Ndauka hivi karibuni amewekwa chini na familia yake na kupewa onyo kuhusu wanaume pamoja na maadili.
Kwa mujibu wa chanzo, Rose aliambiwa
maneno mengi na familia yake ikimtaka ajirekebishe na haswa ajitume
zaidi katika kazi zake anazofanya.
“Familia yake imeamua kumuweka chini na
kumwambia mengi kuhusu maisha haswa ikimtaka ajirekebishe tabia yake kwa
↧
Davido atoa uthibitisho mwingine kuwa hakuna ‘beef’ kati yake na Diamond
Bado una wasiwasi juu ya maelewano kati ya muimbaji wa Nigeria,
Davido na Diamond? Pamoja na Diamond kujibu kwenye Interview mbalimbali
kuwa hawana tatizo, Davido naye ametoa uthibitisho mwingine kuwa hakuna
‘beef’ kati yao.
Ni jambo gumu kupost kitu kinachomhusu mtu ambaye hamna maelewano,
ndio maana kwa post hii ya Davido watu wanapaswa kufahamu kuwa jamaa
hawa wawili wanaiva chungu
↧
↧
Kanye West "Ala za Uso" London
Staa wa Hip Hop, Kanye West hivi karibuni amekutana
na aibu kubwa jijini London wakati akiwa kwenye tamasha la kuadhimisha
Sikukuu ya Glastonbury baada ya kikundi fulani cha mashabiki kunyoosha
bendera juu iliyochorwa picha ya mkewe Kim Kardashian akifanya ngono na
Ray J.
Kwa mujibu wa vyanzo vya habari mbalimbali nchini Uingereza na Marekani,Kanye hakupenda kabisa kulizungumzia
↧
Msumbiji Yahalalisha Mapenzi Ya Jinsia Moja
Nchi ya Msumbiji imepitisha sheria
inayohalalisha mapenzi ya jinsia moja, na kuwa miongoni mwa nchi chache
Barani Afrika zinazoruhusu mapenzi ya jinsia moja.
Sheria hiyo iliyowekwa na wakoloni wa nchi hiyo, Ureno awali ilifutwa
na Bunge la nchi. Watetezi wa haki za wapenzi wa jinsia moja, wametaja
hatua hiyo kama ushindi mkubwa.
Hata hivyo nchi nyingi za Afrika zimeweka sheria
↧
Mzee Majuto Adai Kushobokewa na Vibinti
Staa mkongwe kunako filamu Bongo, Amri Athuman ‘Mzee
Majuto’ amefungukia shutuma anazopewa na mashabiki wake kwa kupenda
kuonekana na ‘vibinti’ kuwa wanamshobokea mwenyewe.
Mzee Majuto ambaye kifani ni bingwa wa
komedi amesema, kutokana na kazi yake ya uigizaji imemfanya kuzimikiwa
haswa na mabinti.
“Sijawahi kumshobokea binti yoyote ila wenyewe ndiyo huwa wananishobokea
↧
More Pages to Explore .....