Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

TID: Ni Kweli Navuta Bangi

$
0
0
Kwa mara ya kwanza, ‘mnyama’ katika anga la muziki wa Bongo Fleva, Khaleed Mohamed ‘Top In Dar’ (TID) amekiri kutumia mihadarati aina ya bangi huku akijiapiza kuwa hajawahi kutumia madawa mengine ya kulevya ‘unga’ ikiwemo cocaine kama ambavyo amekuwa akinyoshewa vidole na baadhi ya watu. Akizungumza na Gazeti  la  Ijumaa katika mahojiano maalum wikiendi iliyopita, TID ambaye ni mmiliki wa

Ommy Dimpoz aoga mvua ya matusi mtandaoni

$
0
0
Mwanamuziki nchini Tanzania, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ amejikuta katika wakati mgumu baada ya kushambuliwa na mashabiki wake katika mtandao wa kijamii muda mfupi  baada ya kuweka picha ya tangazo la video mpya ya Ali Kiba, kuonyeshwa TRACE TV June 28 2015 kwa kile walichodai kuwa anamsaliti rafiki yake mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’.   Sambamba na hilo inadaiwa kuwa

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya Tarehe 30 Juni 2015

$
0
0
Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumanne  ya  Tarehe 30  Juni 2015

Urais 2015: Lowassa afunga mahesabu ya Wadhamini Morogoro

$
0
0
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amehitimisha safari ya kusaka wadhamini katika mikoa 15 ya Tanzania bara na mitatu ya visiwani Zanzibar.   Akiwa Mkoani Morogoro Lowassa amepata wanaccm 104,038 waliojitokeza kumdhamini katika safari yake ya matumaini aliyoa ianza mara baada ya kutangaza nia ya kugombea urais uwanja wa sheikh Abeid Karume  jijini Arusha may 29 maka huu.  

Serikali Yawaonya Wauza Mafuta.....Ni Kutokana na Habari za Mgomo Kusubiri Bei Mpya

$
0
0
SERIKALI imesema itawachukulia hatua kali wafanyabiashara wa mafuta, ikiwamo kuwafungia vituo vyao na pia kufuta leseni zao watakaobainika kugoma kuuza nishati hiyo. Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage amewaonya wamiliki wa vituo vya mafuta nchini wasije wakajiingiza katika mtego wa kufanya mgomo wa kuuza mafuta katika vituo vyao. Mwijage alitoa tamko hilo wakati wa

Ofisa Mtendaji atupwa mahabusu kwa kutafuna fedha za shule

$
0
0
MKURUGENZI wa halmashauri ya wilaya ya Igunga mkoani Tabora, Rustika Turuka amemweka mahabusu Ofisa Mtendaji Kata ya Kining’inila John Maduhu, kwa tuhuma za kutafuna Sh milioni 21 za ujenzi wa maabara katika shule ya sekondari Kining’inila.   Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake juzi, Turuka alisema mtendaji huyo aligundulika kula fedha hizo baada ya mlezi wa kata hiyo

Urais CCM: Kigwangalla Awataka Wagombea Wenzake Waache Kujadili Afya Za Wengine

$
0
0
Mbunge wa Nzega, Dk Hamis Kigwangalla amewataka wanaowania kuteuliwa na CCM kugombea urais kuacha kukashifiana, kutukanana, kudharauliana na kuzungumza juu ya afya za wengine kwa kuwa mpaka sasa haijulikani nani atashinda.    Akizungumza na wana-CCM waliojitokeza kwenye ukumbi wa CCM Manispaa ya Iringa kwa ajili ya kumdhamini, Dk Kigwangalla alisema baadhi ya wanaowania kuteuliwa na

Pinda: Nikiwa Rais Ntaimarisha Muungano

$
0
0
Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema iwapo chama kitampitisha na kupewa ridhaa na wananchi kuwa rais, atahakikisha anaimarisha misingi ya Mapinduzi ya Zanzibar na Muungano.   Alitoa kauli hiyo jana alipokuwa akisaka wadhamini huko Dimani, Mwera, Mjini na Wilaya ya Kaskazini B mjini Zanzibar. Alisema Mapinduzi na Muungano ni mambo muhimu yanayohitaji kuenziwa na akawataka wanachama wa CCM

Urais 2015: Ngeleja Awaomba Watanzania Wampime Kwa Haya Mambo 15 Aliyoyafanya

$
0
0
Mbunge wa Sengerema ambaye pia ameomba kuteuliwa kuwania urais kwa tiketi ya CCM, William Ngeleja amewataka Watanzania kumpima kwa mambo 15 aliyofanya wakati wa uongozi wake serikalini. Alisema hayo jana wilayani Nanyumbu alipokuwa akisaka wadhamini. Alisema wakati alipokuwa Naibu Waziri na baadaye Waziri wa Nishati na Madini, aliweza kufanya mambo makubwa 15 ambayo amewataka

Urais 2015 : Mkapa Atoa 'ONYO' Kwa Wagombea Urais.

$
0
0
Rais wa serikali ya awamu ya tatu, Benjamin Mkapa, ametoa wosia  kwa wanasiasa wanaowania uongozi katika uchaguzi mkuu ujao nchini,  wawe makini na matamshi wanayoyatoa wakati wanapotafuta nafasi wanazotaka ili kuendelea kudumisha amani na utulivu nchini. Mkapa alitoa wosia huo  juzi, kwenye  kilele cha Maadhimisho ya miaka 19 tangu kuanzishwa kwa Radio Maria Tanzania yaliyofanyika Kanisa

Ali Kiba: Chekecha Cheketua (Official Video)

$
0
0
Ali  Kiba:  Chekecha  Cheketua  (Official  Video) (adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});

Escrow Yaendelea Kumtesa Tibaijuka

$
0
0
Mbunge wa Muleba Kusini (CCM), Profesa Anna Tibaijuka amemshambulia Mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee pamoja na baadhi ya vyombo vya habari kwamba vinatumiwa na wabaya wake kumkashifu katika utendaji wake.    Profesa Tibaijuka alitoa shutuma hizo wakati akihutubia wananchi wa Kata ya Bureza. Alisema alikumbwa na kashfa ya Escrow, kutokana na kupata fedha kutoka kwa kaka yake

Rais Kikwete Kuvunja Bunge July 9

$
0
0
Hatimaye imebainika kwamba Bunge la 10 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, litafikia ukomo wake Julai 9, mwaka huu. Hadi kufikia mwisho wa uhai wake, Bunge hilo lililoongozwa na Spika Anne Makinda (pichani),  na Naibu Spika Job Ndugai, litakuwa limefanya mikutano 20  huku vikao vya mwisho vikiwa ni 38. Ratiba ya nyongeza iliyotolewa jana na ofisi ya Bunge baada ya kikao cha Kamati ya

'Acheni UONGO, Nyerere Hakuwahi Kumkataa Edward Lowassa'

$
0
0
Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa, amehitimisha ziara yake ya kutafuta wadhamini katika Mkoa wa Morogoro huku kada mkongwe wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kanali mstaafu Issack Mwisongo, akisema Baba wa Taifa hayati Mwalimu Julius Nyerere, hakuwahi kutamka kumkataa mbunge huyo wa Monduli kama ambavyo baadhi ya viongozi wanasema. Katika Mkoa huo ambao ni wa 31, Lowassa alipata wanachama

Kumekucha: Mwinyi, Mkapa, Aman Abeid Karume Wakutana Rasmi Kuwajadili Wagombea Urais Wa CCM

$
0
0
Hatimaye marais wastaafu, Ali Hassan Mwinyi na Benjamin Mkapa wameungana na wajumbe wenzao wa Baraza la Ushauri la Wazee wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuanza kuwajadili makada waliojitokeza kuwania urais na kutoa ushauri utakaowezesha kupatikana kwa njia bora za kumpata mgombea wa chama hicho. Tayari vikao vya baraza hilo vilivyokuwa vikisubiriwa kwa hamu vimeshaanza na leo vinaingia katika

Membe Arudisha Fomu Ya Urais......Akana Kuhusika Na Ufisadi Wa Mabilioni Ya Libya.

$
0
0
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. Bernard Membe, jana amerudisha fomu ya kuomba kuteuliwa na CCM ili aweze kuwa mgombea urais katika Uchaguzi Mkuu, Oktoba 25, mwaka huu, kwa tiketi ya chama hicho.Mbali ya kurudisha fomu hiyo katika Ofisi Kuu ya CCM, Mjini Dodoma, Bw. Membe alitumia fursa hiyo kuzungumzia taarifa za uvumi dhidi yake kuwa anahusika na ufisadi wa mabilioni

Nimezaa na Mose Iyobo lakini ndoa yangu ipo pale pale – Aunty Ezekiel

$
0
0
Msanii wa filamu nchini Tanzania, Aunty Ezekiel, amekiri kuzaa nje ya ndoa na kusema kuwa licha ya kuzaa nje ya ndoa bado anaamini  ndoa yake ipo palepale na mume wake Sunday Demonte.   Amesema kuwa ameamua kuzaa na Mose Iyobo,  dansa wa Diamond kwa kuwa muda wa kuitwa mama ulikuwa umefika. “Mimi niliamua kupata mtoto baada ya kuona wakati umefika,” amesema.   “Kwasababu siku

Dotnata Aingilia Kati Ugomvi Wa Wema Sepetu Na Kajala

$
0
0
Mwigizaji mkongwe, Husna Posh ‘Dotnata’ ameengilia kati ugomvi kati ya mastaa wa Bongo Movies, Wema Sepetu na Kajala Masanja kuwataka waachane na hali hiyo kwani bifu lao halina faida kwao na katika jamii.   Akizungumza na Tanuru la Filama, Dotnata alisema kuwa  kwa akili ya kibinadamu ugongvi huo hauwezi kuisha  kutokana na kila mmoja kumuona mwenzake ndiyo mbaya.   "Namuomba

Waliokosa Ajira Watakiwa Kutoa Taarifa Bodi Ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB)

$
0
0
SERIKALI imewataka wanufaika wote wa mikopo ya elimu ya juu ambao bado hawajapata ajira kutoa taarifa kwa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB).   Taarifa hiyo ilitolewa bungeni jana na Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudentia Kabaka, wakati akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Kasulu Mjini, Moses Machali (NCCR-Mageuzi).   Katika swali lake, Machali alitaka kujua Serikali inawasaidia vipi

Mbunge Aiomba Serikali Ipige Marufuku Pombe za Kienyeji na Za Viwandani ( Bia)

$
0
0
MBUNGE wa Mji Mkongwe, Ibrahim Sanya (CUF), ameitaka Serikali kupiga marufuku unywaji wa pombe kwa kuwa ni kichocheo cha maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU). Akiuliza swali bungeni jana, Sanya alisema ni wakati mwafaka kwa Serikali kupiga marufuku uuzwaji wa pombe hizo zikiwemo za kienyeji na pombe za viwandani.   “Kama hilo haliwezekani basi katika bajeti ijayo iongeze tozo pombe kwa
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images