Licha ya mwenyewe kukanusha vikali lakini madai mazito
yanasema kuwa, nyota wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ametimuliwa kwenye
nyumba aliyokuwa akiishi iliyopo Kunduchi-Beach jijini Dar baada ya
kukosana na mwanamke anayedaiwa kuwa ni mpenzi wake ambaye pia ndiye
mmiliki wa mjengo huo.
Kwa mujibu wa gazeti la Risasi, pamoja na Kiba
kuendelea kusisitiza kwamba si kweli, mwanamke
Ali Kiba Atimuliwa Kwenye Nyumba Aliyokuwa Akiishi.......Nyumba Ilikuwa ya Mwanamke Ambaye Amechukia baada ya Kusikia Ali Kiba na Jokate ni Wapenzi
↧
↧
Mfanyabiashara Wa Madini Apigwa Risasi Arusha
MFANYABIASHARA maarufu wa madini ya tanzanite jijini Arusha, Mathias
Manga amepigwa risasi nyumbani kwake juzi usiku na watu wasiojulikana.
Polisi imethibitisha tukio na kwamba majeruhi anaendelea vizuri na
matibabu.
Akizungumza na waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha
Liberatus Sabas alikiri kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa Manga
amepigwa risasi ubavuni saa
↧
Kauli ya Banza Stone Baada ya Kuzushiwa Kifo
Baada ya kuzushiwa kifo ,muimbaji mkongwe wa muziki wa dansi nchini, Banza Stone amesema si jambo la busara la kuzushiana kifo
Akizungumza kwenye AMPLIFAYA ya Clouds Fm jana june 24 alisema: "Mimi
nilikuwa nasumbuliwa na kichwa sana na ki homa homa fulani kama miezi
miwili lakini saaa hivi niko vizuri, naelendele poa na leo nilienda
hospitali daktari kufanya sound check akaniambia
↧
Rais Kikwete Awashangaa Wanasiasa Wanaokosoa Kitendo cha Serikali Yake Kukopa Fedha Nje
RAIS Jakaya Kikwete amewashangaa wanasiasa wanaokosoa kitendo cha
Serikali yake kukopa fedha nje ya nchi kuwa kinazidisha deni la taifa,
kwamba hawana ufahamu na kufafanua kuwa katika kuharakisha maendeleo ya
nchi, kukopa ni jambo la kawaida.
Alisema hata mataifa makubwa yaliyopiga hatua kubwa kwenye maendeleo
yamekuwa yanakopa na akasisitiza kuwa uamuzi wa serikali kwenda nje
↧
Urais 2015: Membe Awataka Wenzake Kuheshimu Matokeo
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe,
amewataka wenzake wanaowania kuteuliwa na CCM kugombea urais wa Tanzania
kuwa tayari kuyaheshimu matokeo yatakayoamuliwa na Kamati Kuu,
Halmashauri Kuu ya Taifa na Mkutano Mkuu wa CCM katika mchakato wa
kumpata mgombea bora wa chama hicho baadaye mwezi ujao.
Kutokana na maamuzi ya vikao hivyo amesema asitokee mtu wa
↧
↧
‘Papa Msofe’ Afutiwa Kesi, Akamatwa tena
MFANYABIASHARA maarufu Marijan Abubakar ‘Papa Msofe’ na mwenzake,
Makongoro Joseph, wamefutiwa kesi ya mauaji iliyokuwa inawakabili katika
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Hata hivyo, baada ya kuachiwa, Msofe alikamatwa tena na kufunguliwa kesi nyingine ya kughushi na kuwasilisha nyaraka za uongo.
Hakimu Mkazi, Renatus Rutta aliwaachia huru washitakiwa hao baada ya
kufuta kesi
↧
Kipindupindu Chalipuka tena Kigoma
WATU watatu wamefariki dunia katika Kijiji cha Kalagu kwenye mwambao mwa Ziwa Tanganyika Wilaya ya Kigoma Vijijini kutokana na mlipuko wa kipindupindi huku wengine 10 wakiwa wamelazwa katika zahanati ya Gungu.
Akizungumza na chanzo cha habari Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Dk. Leonard Subi, alisema mpaka jana kulikuwa na wagonjwa 10 waliolazwa katika Zahanati ya Mwakizega ya
↧
Millard Ayo Abanwa Kuhusu Uhusiano wake na Jokate, Lulu Michael na Wolper
Mtangazaji mwenye sauti nzito Bongo kupitia Clouds FM, Millard Ayo, Jumatatu iliyopita alibanwa azungumzie uhusiano wake na warembo wenye majina makubwa nchini, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’, Jacqueline Wolper na Elizabeth Michael ‘Lulu’ ambapo alimfungukia mmojammoja.
Katika mahojiano maalum na Kipindi cha Sporah Show, mtangazaji alimbana Millard akimtaka aseme ukweli kuhusu warembo hao ambapo
↧
Serikali Yavifuta Vyuo Vitatu na Kuvishusha Hadhi Vyuo 16
KATIKA jitihada za kuinua ubora wa elimu ya ufundi nchini, Baraza la
Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) limevifutia usajili vyuo vitatu na
kuvishusha hadhi vyuo kumi na sita.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Kaimu
Katibu Mtendaji wa NACTE, Dk Adolf Rutayuga alisema hatua hiyo imefikiwa
baada ya vyuo husika kushindwa kurekebisha kasoro zilizobainishwa na
↧
↧
Lowassa Avunja Rekodi Jijini Arusha......Apata Mapokezi ya Kishindo, WanaCCM 120,392 Wajitokeza Kumdhamini
Edward Lowasa ameendelea kuvunja
rekodi ya idadi ya watu wanaojitokeza kumdhamnini baada ya kupata
wadhamini 120,392 jana mkoani Arusha.
Rekodi hiyo ya Arusha imezipiku ile iliyowekwa na mkoa ya Iringa alikodhaminiwa na wanachama 58,562.
Mbunge huyo wa Monduli aliwasili jijini Arusha saa
9:00 alasiri na kupokelewa kwa mbwembwe zilizoambatana na nyimbo
mbalimbali za wasanii
↧
Wanafunzi Nchini Marekani wavumbua Kondomu inayotambua Maambukizi ya Zinaa
Wanafunzi katika shule ya Isaac Newton Academy iliyoko Ilford, Essex
nchini Uingereza wameunda mipira ya kondomu inayobadili rangi pindi
inapokutana na majimaji ya mtu anayeugua maradhi ya zinaa.
Kondomu hiyo iliyopewa jina la S.T.EYE inaweza kutambua maambukizi ya
Chlamydia Kaswende na Kisonono huku ikiwa na uwezo wa kubadili rangi
tofauti kulingana na bakteria waliopo.
↧
Shamsa Ford: Dickson (ex wake) amewahi kunitishia kutuua mimi na mtoto zaidi ya mara 10
Muigizaji wa filamu, Shamsa Ford amesema tangu aachane na aliyekuwa
mume wake Dickson Matoke, amewahi kuwatishia kuwaua yeye na mwanae zaidi
ya mara 10.
Shamsa alikiambia kipindi cha Take One cha Clouds TV kuwa ex wake huyo alikuwa na matatizo mengi ambayo alishindwa kuyavumilia.
“Namshukuru baada ya kuwa gizani sasa hivi nipo kwenye mwanga.
Dickson kanifanya nijifunze vitu vingi
↧
Faiza Ally akata rufaa, ataka kurudishiwa mtoto wake
Siku chache zimepita tangu Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi
‘Sugu’ kushinda kesi na kumchukua mtoto wake Sasha, aliyezaa na
mwanadada Faiza Ally, kwa madai kuwa mzazi mwenzake huyo ameshindwa
kumlea kutokana na kukosa maadili, hatua hiyo imepelekea Faiza kukata
rufaa ya kutaka arudishiwe mtoto wake.
Kupitia mtandao wa kijamii amesema kuwa “Nasitikishwa sana na maneno
yenu
↧
↧
Aging socialite VERA SIDIKA is back, See what she did for men, +18 VIDEO
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
After taking a break from social media, aging socialite, Vera Sidika, is back with her usual madness.
This time round, she decided to leave little to men’s imagination after
releasing her best twerk video ever. She did it in her house and few men
can get enough of her crazy moves.
↧
Wolper: Mimi ni Freemason Kitambo tu
Mtoto mzuri katika tasnia ya uigizaji Bongo, Jacqueline Wolper
Massawe ‘Twiga wa Jangwani’ amesema haoni sababu ya kuukana uanachama wa
taasisi ya Wajenzi Huru (Freemason) kwani ni dini kama zilivyo zingine
na kama katiba inavyoelekeza, kila mtu anayo haki ya kujiunga na dini au
taasisi yoyote ya kuabudu kulingana na matakwa ya imani yake.
Akiongea na mwandishi wetu, Wolper alisema ni
↧
Jokate Aoga Mvua ya MATUSI Toka kwa Mashabiki
Mwanamitindo na Msanii wa Bongo Fleva, Jokate Mwegelo, maarufu kama ‘Kidoti’ amejikuta akiambulia matusi ya nguoni kwa kosa la kumpongeza msanii mwenzake wa Bongo Fleva, Ali Kiba baada ya kutwaa tuzo tano za Kili Music Awards zilizotolewa mwezi huu jijini Dar.
Mwanadada huyo ameioga mvua hiyo ya matusi katika akaunti yake ya Mtandao wa Kijamii wa Intagram kwa watu tofauti kwa kile
↧
Ajinyonga Baada ya Kubainika Ana Virus Vya UKIMWI
MKAZI mmoja wa Mtaa Myegeya katika Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma, Mathias Ngimba (41), amekutwa amefariki dunia kwa kujinyonga kwa kutumia kipande cha nguo kwa kile kilichodaiwa baada ya kupimwa afya yake alibainika kuwa ana maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi (VVU).
Akizungumza jana Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Ruvuma, Mihayo Msikhela, alisema tukio hilo limetokea Juni 20, mwaka huu
↧
↧
Linah Alinasa Penzi la Kaka Yake Zari ( Mpenzi wa Diamond)
Mrembo anayefanya poa kunako Bongo Fleva, Estelinah Sanga ‘Linah’, anadaiwa ‘kujiegesha’ kimahaba kwa shemeji yake Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ aitwaye William Bugeme ‘Boss Mtoto’ ambaye ni kaka wa Zarina Hassan ‘Zari’ kiukoo.
Ndani ya Ukumbi wa Triple 7 uliyopo Kawe jijini Dar hivi karibuni, mwandishi wetu aliwaona wakiingia sambamba na kukaa beneti kama mtu na mpenzi wake jambo
↧
Kituko Sakata la Mama Mjamzito Aliyejifungulia Bafuni baada Ya Wauguzi Kumfukuza
SIKU mbili baada ya tukio la wauguzi wawili wa zahanati iliyopo Kijiji cha Shishiyu, Wilaya ya Maswa, mkoani Simiyu kudaiwa kumfukuza mama mjamzito aliyejifungulia bafuni katika nyumba iliyopo jirani na zahanati hiyo, uongozi wa halmashauri hiyo umewahamisha kituo cha kazi wauguzi hao badala ya kuwachukulia hatua.
Wauguzi hao (majina yanahifadhiwa), wanadaiwa kumfukuza mama aliyekuwa
↧
Urais 2015: Profesa Muhongo Aumbuka CCM Makao Makuu
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), na Waziri aliyejiuzulu kutokana na kashfa ya uchotwaji wa mabilioni ya fedha katika Akaunti ya Tegeta Escrow, Profesa Sospeter Muhongo, jana aliumbuka baada ya Chama chake kukataa kupokea lundo la makasha ya CD (santuri) zenye picha za wadhamini wake 675.
Badala yake, alielezwa kwamba, hakuna kipengele kinachoruhusu kuwa na kumbukumbu hiyo.
Profesa
↧
More Pages to Explore .....