Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo Apokelewa Kifalme Mpanda.

$
0
0
Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, akiwahutubia wakazi wa mji wa Mpanda mkoani Katavi jana, ambapo chama hicho kinaendelea na ziara za kutambulisha viongozi wake.  Mwanaharakati na Mshauri wa chama cha ACT Wazalendo, Mama Terry, akiwahutubia wakazi wa mji wa Mpanda mkoani Katavi jana, ambapo chama hicho kinaendelea  na ziara ya kutambulisha viongozi wake.

Vituo vya BVR Mara vyafungwa kwa ubovu wa mashine

$
0
0
Zoezi la uboreshaji wa daftari la wapiga kura kwa kutumia mfumo BVR katika maeneo mengi ya mkoa wa Mara limeingia dosari baada ya mashine zinazotumika kushindwa kufanya kazi na nyingine kuharibika, hatua ambayo imesababisha vituo vingi kufungwa na kuibua malalamiko mengi kutoka kwa wananchi.   Kasoro hizo zimeripotiwa katika

Katibu Mkuu wa CCM , Abdulrahman Kinana Aanza Ziara Mwanza Leo.

$
0
0
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, leo anatarajia kuanza ziara ya siku kumi mkoani hapa, kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi na kuimarisha uhai wa chama.   Taarifa iliyotolewa na Katibu wa CCM Mkoa Mwanza, Miraji Mtaturu kwa waandishi wa habari, imeeleza kuwa Kinana ataanzia ziara yake katika Kijiji cha Nyamadoke, Wilaya ya Sengerema akitokea mkoani Geita.

Wananchi Wafunga Zahanati

$
0
0
WANANCHI wa Kijiji cha Ibondo Kata ya Katoro Wilaya ya Geita, wameifunga zahanati ya kijijini hapo kwa madai kuwa inatoa huduma mbovu licha ya kutoza wagonjwa fedha.   Tukio hilo lilitokea jana ambapo baadhi ya wananchi waliozungumza na Mpekuzi walieleza kuwa wanataka mganga mkuu na muuguzi wa zahanati hiyo waondolewe kwa sababu wameshindwa kutekeleza majukumu yao ya kazi. Kwa mujibu wa

Hoteli JB Belmont Yafungwa Mwanza kwa Kushindwa Kutimiza Masharti ya Mkataba.

$
0
0
HOTELI yenye hadhi ya nyota tano ya JB Belmont iliyoko jijini hapa, imefungwa kwa kile kilichoelezwa kuwa imeshindwa kutimiza masharti ya mkataba baina yake na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF).   JB Belmont ambayo inatumiwa zaidi na wageni wa kimataifa wakiwamo viongozi wa juu wa Serikali na wafanyabiashara wenye ukwasi mkubwa, ilifungwa jana asubuhi kwa tangazo linaloaminika

Jaji Warioba: Sitaongea Chochote Kuhusu Uongozi kuelekea Uchaguzi

$
0
0
ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Mstaafu Joseph Warioba amesema hatoongea chochote kinachohusu masuala ya uongozi katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu unatarajia kufanyika Oktoba.   Jaji Warioba alitoa kauli hiyo jijini Dar es Salaam jana katika uzinduzi wa kampeni ya Vuguvugu la Uhuishaji Maadili inayofanywa na chama cha wataalam Mbalimbali wa wakristo(

Kocha wa Taifa Stars Maart Nooij na Benchi Lake Lote La Ufundi Watimuliwa Kazi

$
0
0
Kocha Mkuu wa Taifa Stars Maart Nooij akisindikizwa na ulinzi mkali usiku wa kuamkia leo baada ya kumalizika kwa mchezo wa Tanzania na Uganda wa kuwania kufuzu fainali za CHAN katika Uwanja wa Amaan mjini Zanzibar ambapo Taifa Stars ilichapwa 3-0. ******* Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) katika kikao chake cha leo pamoja na mambo mengine kilipitia mwenendo

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya Tarehe 21 Juni 2015

$
0
0
Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumapili  ya  Tarehe 21 Juni  2015

Kesi ya Askari Polisi Kuiba silaha, Risasi Yaahirishwa

$
0
0
KESI ya wizi wa silaha aina ya SMG na risasi zake 42 inayomkabili aliyekuwa Konstebo wa Polisi, GX 7274, Hamad Taimu Shilingi (25) katika Mahakama ya Wilaya ya Sumbawanga mkoani Rukwa imeahirishwa hadi Julai Mosi mwaka huu.   Hakimu wa Mahakama hiyo, Enock Matembele aliamuru mshtakiwa arudishwe rumande hadi Julai Mosi mwaka huu ambapo mahakama hiyo itaamua iwapo mshtakiwa huyo apewe

Watoto 92 Wanaishi na Virusi Vya Ukimwi Bunda

$
0
0
IMEELEZWA kuwa katika wilaya ya Bunda, mkoani Mara, kuna watoto wanaofikia 92 wanaoishi na maambukizi ya Virusi vya Ukimwi.   Taarifa hiyo ilitolewa jana na Ofisa Maendeleo ya Jamii katika Wilaya ya Bunda, Caroline Wanzagi.   Wanzagi alisema kuwa watoto hao wanaendelea kupata huduma ya matibabu na misaada mbalimbali kutoka katika mashirika, taasisi na serikalini.   Alisema kuwa

Serikali Kushusha Ushuru wa Mafuta leo?

$
0
0
SERIKALI leo inatazamiwa kujibu hoja mbalimbali zilizoibuka wakati wa mjadala wa Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2015/16.   Mbali na Wizara ya Fedha ambayo itakuwa na mengi ya kufafanua au kurekebisha kutokana na mapendezo yake mbalimbali yaliyomo kwenye Bajeti, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Dk Mary Nagu, naye atakuwa na ‘kibarua’ cha kujibu hoja za wabunge

Risasi Zarindima Vituo Vya BVR Arusha, Godbless Lema Atiwa Mbaroni

$
0
0
MILIO ya risasi ilisikika katika vituo vya uandikishaji kura katika kata ya Sokoni One jijini hapa, baada ya kuibuka kwa vurugu zilizohusisha vijana wa Chadema na wenzao wa CCM, chanzo kikitajwa madai ya kuwepo kwa watu ambao sio wakazi wa eneo hilo kutaka kujiandikisha.   Vurugu hizo zilisababisha takribani watu 15 kukamatwa akiwemo Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbless Lema (

Mwakyembe Ajivunia Kumshauri Vyema Rais Kikwete

$
0
0
WAZIRI wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Dk Harrison Mwakyembe amesema kati ya mambo anayoweza kujivunia wakati wa utawala wa serikali ya awamu ya nne ni kuwa miongoni mwa washauri wazuri wa Rais Jakaya Kikwete.   Alisema ni mmoja wa mawaziri wanaomshauri katika kusimamia na kutekeleza mambo ya maendeleo ambayo yamewezesha kuboresha huduma mbalimbali za kijamii.   Aidha, amesema ni

Mwandosya: Lowassa Asisite Kuniunga Mkono

$
0
0
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi Maalumu, Profesa Mark Mwandosya amemuomba mgombea mwenzake katika kinyang’anyiro cha kutafuta ridhaa ya kuteuliwa kuwa mgombea kupitia CCM, Edward Lowassa asisite kumuunga mkono kama walivyofanya watangaza nia wengine ili mambo yaishe mapema.   Aidha, amewaonya wanaotishia kukihama chama endapo hawatapitishwa, akisema huo ni upuuzi na pia vitisho

Lowassa Azidi Kupata Mapokezi Makubwa Kila Anakoenda.......Songea Alazimika Kukaa Juu ya Paa la Nyumba, Asema Jina Lake Haliwezi Kukatwa

$
0
0
WAZIRI Mkuu Mstaafu,Edward Lowassa amesema hana shaka na swala la kukatwa jina lake katika vikao vya Chama cha Mapinduzi(CCM), kwani anaamini Chama chao kitatenda haki kwa kurudisha jina lake kuwa mgombea urais wa Tanzania. Lowassa aliyasema hayo jana wakati akizungumza na wanachama wa CCM na wananchi wa Mkoa wa Ruvuma katika ofisi kuu za CCM Mkoani humo, wakati akitoa shukrani baada ya

Sugu Amfikisha Mahakamani Faiza Ally

$
0
0
Mbunge wa Mbeya Mjini kwa ‘leseni’ ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Joseph Osmund Mbilinyi ‘Sugu’ amemfikisha kortini aliyekuwa mkewe,  Faiza Ally akitaka apewe mtoto wao, Shaa (2) ili amlee kwa vile mama yake huyo si mwadilifu. Ijumaa iliyopita, saa 2:00 asubuhi, Faiza alipanda kwenye kizimba cha Mahakama ya Mwanzo, Manzese/ Sinza iliyopo Sinza-Makaburini jijini Dar

Baraza kuu la waislamu Tanzania (BAKWATA) lamteua Sheikh Aboubakar Zuberi kuwa Mufti mpya

$
0
0
Baraza kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) asubuhi ya leo limemteua Sheikh Aboubakar Zuberi kuwa Mufti Mpya wa muda. Sheikh Zuber atashikilia nafasi hiyo kwa muda wa miezi mitatu (siku 90) kuelekea katika uchaguzi wa kumpata atakayerithi nafasi hiyo kwa mamlaka kamili.

Video ya Interview ya Wema Sepetu Kuhusu Mtoto na Diamond, Mimba ya Zari na Alivyotoa Mimba

$
0
0
”Kukosa mtoto wakwangu inaniuma naishia kupenda watoto wa watu”- Wema   Hii  ni Part iv  ya Wema Sepetu aliyofanya katika kipindi cha Take One na Zamaradi , kafunguka mambo mengi na kumuongelea Zari .

Jack Patrick Akirudi, Vanessa Atakuwa na Nafasi Kwa Jux?

$
0
0
Super model ambaye yupo gerezani kwa sasa kutokana na ishu ya kukamatwa na madawa ya kulevyia nchini China Jack Patric .    Awali mwana dada huyo aliwahi kuwa na mahusiano yakimapenzi na mwanamuziki wa bongo fleva Juma Jux ,lakini baada ya mwanadada huyo kutupwa garezani kwa miaka kumi ,Jux ameamua kunzisha mahusiano na Vanessa Mdee  huku wakiwa wanaponda raha za  kufa  mtu. .   Awali

Jamani Housegirl wangu Huyu Ananitafuta ubaya! ......Naombeni Ushauri

$
0
0
Jamani naomba ushauri kuhusu hili. Mimi ni mume wa mke mmoja na watoto wanne. Hivi karibuni tumepata housegirl mpya kutoka Singida, amemaliza form four hakubahatika kuendelea na masomo kwa sababu ya kukosa sifa za shule za serikali.    Ni mzuri wa kawaida, yaani hana muonekano ule wa mahousegirl-naamaanisha muonekano choka mbaya kweli anafaa hata kuwa mke wa mtu.    Katika
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images