Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Plot for sale.......Kinauzwa!!!...Kinauzwa!!!.....Kiko Bunju B. Changamkia Dili

$
0
0
Plot for sale Bunju B. Plot size Sq 2000 meter and its located in cool neighborhood just 1km from tarmac road with clean tittle deed access is good for residential house,Dawasco water and power is available!!.   It is located in a prime area.More details see the pictures and call +255784333968.

MWANZA : Takukuru yawaburuza kortini vigogo watatu wa Serikali

$
0
0
TAASISI ya Kupambana na Kudhibiti Rushwa nchini (TAKUKURU) imewaburuza mahakamani vigogo watatu  wa Serikali  kwa makosa mawili ya matumizi mabaya ya madaraka na   kutumia nyaraka mbalimbali kumtapeli mwajiri wao.   Vigogo hao ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala Mkoa wa Shinyanga, Patrick Karangwa (45), Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Magu Mkoa wa Mwanza, Ntinika Paul

Waziri: Waganda ngono kwanza chakula baadae

$
0
0
Waziri wa maadili nchini Uganda Simon Lokodo amedai kuwa ongezeko la maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi yanazidi kuongezeka zaidi kutokana na waganda wengi kufanya ngono mchana badala ya kula chakula cha mchana.    Pia waziri huyo aliendelea kwa kusema kuwa inabidi wapenzi waaminiane zaidi na kuelekeza macho yao kwenye kupunguza ngono zembe,na kuiambia kamisheni ya kuzuia maambukizi ya

Siwema adaiwa kujirudi kwa Nay wa Mitego

$
0
0
Mzazi mwenzake mwanamuziki nchini Tanzania, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ Siwema, anadaiwa kuanza kurudisha majeshi kwa mzazi mwenzake baada ya kutengana na kunyang’anywa mtoto.   Inadaiwa kuwa sambamba na maneno machafu aliyotoa mwanadada huyo kwa mwanamuziki Nay, ameonesha kujishusha baada ya mambo yake kwenda ndivyo sivyo baada ya kutengana kwao.   Inadaiwa kuwa ndugu

Dina Marious afunguka ya moyoni, akanusha bifu na Zamaradi

$
0
0
Mtangazji wa redio nchini Tanzania, Dina Marious, baada ya kuwa kimya bila kusikika katika vipindi vya redio muda mrefu amejitokeza na kufunguka siri ambazo watu wengi walikuwa hawajui baada ya kuulizwa mara kwa mara sababu za kutosikika redioni.   Kupitia mtandao wa kijamii amesema “Katika haya maisha hamna kitu kibaya kama kumuonea na kumnyanyasa mtu ambaye hana hatia.Kwa kutumia

BASATA wambana Amanda Poshi, wazuia shoo yake

$
0
0
Msanii wa filamu nchini Tanzania, Tamrina Poshi ‘Amanda’ amejikuta katika wakati mgumu baada ya BASATA, kumzuia kufanya shoo aliyopanga kufanya wiki iliyopita kutokana na kualika vikundi vya burudani ambavyo vipo kinyume na maadili.   Amanda, amesema kuwa shoo hiyo ilikuwa ifanyike katika ukumbi wa Mzalendo, Kijotonyama jijini Dar es Salaam, lakini ilishindikana kutokana na kupokea

Video ya Mwigizaji Lulu Michael Akicheza Wimbo wa Diamond yazua Gumzo Mitandaoni..Lulu Adai Diamond Ampe Kazi

$
0
0
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); Video ya muigizaji maarufu nchini, Elizabeth michael , aka lulu, imezua gumzo kwenye mitandao ya kijamii ambapo msanii huyo aliipost kwenye ukurusa wake wa instagram.   Video hiyo inamuonyesha msanii huyo akicheza wimbo wa mwanamuziki maarufu nchini, diamond platnums,

Shilole awatolea uvivu wanaojipitisha kwa mpenzi wake

$
0
0
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); Mwanamuziki nchini Tanzania, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amewatolea uvivu wanawake wanaomshobokea mpenzi wake kwa kuwapa mkwara mzito endapo wataendelea na tabia hiyo kwani hawajui wametoka wapi.   Hatua hiyo imefikiwa baada ya mwanamke mmoja kujitokeza katika vyombo vya habari na

Askari wa JWTZ watakaowapiga raia kukiona

$
0
0
Uongozi wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), umesema utawafukuza kazi askari wote watakaojihusisha na vitendo vya utovu wa nidhamu ikiwamo  kuwapiga raia wanaokosana nao mitaani.    Mkuu wa Utumishi jeshini, Meja Jenerali Vicent Mritaba alitoa onyo hilo mjibi hapa juzi alipokuwa akifunga mafunzo ya awali ya askari wapya katika kambi ya Jeshi la Kujenga Taifa la Oljoro.   “Jeshi

SMZ yaanza Kuwasaka Wahamiaji Pemba

$
0
0
SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar imesema itaendesha operesheni ya kuwasaka raia wa kigeni wanaoishi hapa nchini kinyume cha sheria, hata kama raia hao wameolewa au kuoa Watanzania. Katika mkutano wake na waandishi wa habari, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais, Mohamed Aboud Mohamed, alisema zipo fununu za kuwepo kwa raia wa kigeni Visiwani Zanzibar ambao wanaishi bila kuwa na

Wanaoficha watoto wenye vichwa vikubwa washauriwa kuacha

$
0
0
JAMII imeshauriwa kutowafungia ndani watoto wenye vichwa vikubwa, badala yake wa wawapeleke hospitali ili kupatiwa matibabu. Ushauri huo umetolewa na Mwenyekiti wa Chama cha Wazazi wa Watoto Wenye Vichwa Vikubwa (ASBAHT), Abdulhakim Bayakub, wakati akizungumza na waandishi wa habari katika mkutano wa kujadili changamoto zinazowakabili watoto hao. Alisema watoto wenye vichwa vikubwa

Mussa Zungu ataka Rais ajaye Alikabili Tatizo la Ajira

$
0
0
MBUNGE wa Ilala, Mussa Zungu (CCM), amesema kutokana na tatizo la ukosefu wa ajira linalowakabili vijana wengi nchini, ni lazima rais ajaye awe na ajenda maalumu ya kukabiliana nalo.   Zungu alisema hayo juzi jijini Dar es Salaam, wakati wa hafla ya kuwaaga wanafunzi wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) waliomaliza ngazi ya Cheti, Shahada na Astashahada ambao ni makada wa chama hicho.  

Waziri Lukuvi Ashusha kodi ya Ardhi

$
0
0
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, amesema wizara yake imehuisha viwango vya kodi, ada na tozo mbalimbali za ardhi kwa lengo la kupata viwango vinavyopangika. Lukuvi alitoa kauli hiyo bungeni mjini Dodoma jana, wakati akiwasilisha makadirio na matumizi ya wizara yake kwa mwaka 2015/16. Alisema kodi ya pango la ardhi imepungua kwa wastani wa asilimia 30 na

MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama Alipuliwa Bungeni

$
0
0
MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama, amehusishwa na tuhuma za kutaka kumiliki ardhi kwa njia za kifisadi katika maeneo mbalimbali, ikiwamo Wilaya ya Rombo mkoani humo. Kutokana na hali hiyo, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, imemwomba Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi kuzuia mchakato wowote haramu utakaofanywa na Gama kuhusu ardhi. RC Gama, alitajwa

Dk.Slaa Asaka Ubani wa Urais Ulaya

$
0
0
WAKATI vuguvugu la kusaka mgombea urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) likishika kasi, Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Willibrod Slaa, ameondoka kwenda barani Ulaya kusaka ubani wa urais kwa muda wa siku nane.   Dk. Slaa ambaye amekuwa akitajwa kuwa anaweza kuteuliwa na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kugombea urais Oktoba mwaka huu kutokana na rekodi yake, anafanya ziara hii ikiwa ni

Membe Akanusha kuwa na Undugu wa Damu na Kikwete

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Membe amekanusha uvumi ambao umekuwa ukienezwa kuwa yeye na  Rais Jakaya Kikwete ni ndugu wa damu.   Membe amesema kuwa japo wanafanana kwa sura lakini hawana uhusiano wowote wa kibaiolojia. Mhe. Membe alikanusha uvumi huo  jana Mjini Dodoma wakati akichukua fomu za kuwania urais kwa tiketi ya CCM, ambapo pamoja na mambo

Polisi Iringa yakamata DVD za Mafunzo ya kigaidi

$
0
0
Jeshi la polisi mkoani Iringa limekamata mikanda ya DVD yenye mafunzo ya kijeshi yanayohusiana na kikundi cha ugaidi cha Al shaabab cha nchini Somalia zilizokuwa zikitumika na watoto wa mitaani wanaodaiwa kuwa walikuwa wakichukua mafunzo kwakutumia DVD hizo. Kamanda wa polisi mkoa wa Iringa ACP Ramadhan Mungi ametoa taarifa hiyo mbele ya waandishi wa habari akieleza kuwa mikanda hiyo

Habari Zilizopo katika Magazeti ya Leo Jumanne ya Juni 9, 2015

$
0
0
Habari  Zilizopo  katika  Magazeti  ya  Leo  Jumanne  ya  Juni 9, 2015

Mabomu Yatumika Kuwadhibiti wanafunzi KIU

$
0
0
POLISI na askari wa Kikosi Maalumu cha Kuzuia Fujo (FFU) wamelazimika kutumia mabomu ya machozi kutawanya wanafunzi wa Chuo cha Kimataifa cha Kampala (KIU) baada ya wanafunzi wa Fani ya Afya kugoma kuondoka chuoni hapo wakifanya mkusanyiko kulalamikia kuwa fani wanayosoma haijasajiliwa.   Askari hao walifika na kuwatawanya wanafunzi kwa mabomu ya machozi na maji ya kuwasha jambo

Mangula Ataja Vigezo 13 Vya Mgombea Urais wa CCM

$
0
0
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Philip Mangula amesema vigezo 13, vitatumika kuwachuja wanachama wa chama hicho ambao wameomba kugombea urais CCM.   Alisema hayo jana mjini hapa wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari kwenye makao makuu ya CCM mjini Dodoma.   Aliwakumbusha watangaza nia kuwa hawaruhusiwi kutoa rushwa, kushawishi au kushawishika kuwapa rushwa wale
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images