Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Ijumaa Ya Tarehe 5 Juni 2015

$
0
0
Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  Ya  Leo  Ijumaa  Ya  Tarehe  5  Juni 2015

Ngeleja ajitosa urais, aikimbia Escrow......Akana Kuvuliwa Uwaziri Kwa Kashfa

$
0
0
MBUNGE wa Sengerema mkoani Mwanza, William Ngeleja ametangaza rasmi nia yake ya kuwania urais wa Tanzania, huku akiweka wazi kuwa yeye hakuhusika na kashfa ya Escrow kwa madai kuwa wapo watu wanaoitumia kashfa hiyo kwa lengo la kumchafua kisiasa.   Ngeleja alitangaza nia yake hiyo ya kuwania urais jana jijini Mwanza katika Ukumbi wa Chuo cha Benki Kuu (BoT) , akiwa ameongozana na baba

Bracelets/culture za kisasa Zinauzwa: Kama Unahitaji Wapigie kwa Hii Namba Watakuletea Popote Ulipo

$
0
0
Wauzaji wa bracelets/culture za kisasa  kutoka nchi mbali mbali wanakuletea popote ulipo ukinunua bei zao ni poa kabisa .....wale wapenda culture mpige 0653765078 .

Urais: Magufuri achukua fomu ya Kugombea Urais

$
0
0
Waziri wa Ujenzi Dk.John Pombe Magufuri akionesha fomu ya kugombea urais 2015   Waziri wa Ujenzi Dk. John Pombe Magufuri jana alichukua fomu  ya kugombea urais kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi.   Akizungumza mara baada ya kupokea fomu ya kugombea Urais Magufuri alisema kwamba  hajui kwenye fomu hizo kimeandikwa nini hivyo kuomba muda zaidi wa kuzisoma na

Fredrick Sumaye, Siyatemi wachukua fomu za kugombea urais

$
0
0
Waziri wa awamu ya Tatu Fredrick Sumaye akichukua fomu ya kugombea urais mwaka huu.   Waziri Mkuu mstaafu   wa  awamu ya Tatu Fredrick Sumaye pamoja na Amos Siyatemi  jana wamechukua fomu za kugombea urais kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi makao makuu  ya CCM Mkoani  Dodoma .   Pazia la kuchukulia fomu lilifunguliwa na Amos  Siyatemi  majira ya nne akifuatiwa na Sumaye

Edward Lowassa, Dk. Bilal wachukua fomu za kugombea urais

$
0
0
Mbunge wa Monduli Edward Lowassa mara baada ya kuchukua fomu  jana jioni.   Edward Lowassa katika ukumbi wa Nec makao makuu ya CCM Dodoma.   Mbunge wa Monduli Edward Lowassa pamoja  na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania wamechukua fomu za kugombea urais kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi .   Akizungumza na Waandishi wa Habari mara baada ya kuchukua Fomu

Jini Kabula: Sijawahi kulala gesti na mwanaume

$
0
0
STAA wa Bongo movies, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’, ametoa kali kwamba katika maisha yake ya mapenzi hajawahi kulala na mwanaume kwenye nyumba za wageni.   Kabula alisema wanaume aliowahi kuwa nao kimapenzi walipotaka kumpeleka katika nyumba hizo aligoma na badala yake aliwataka wampeleke wanapoishi kama hataki hapati kitu.   “Siwezi kuficha, ukweli ndio huo kama huamini basi,

Ray Ateswa na Picha za Uchi

$
0
0
Supastaa wa Bongo Muvi, Vincent Kigosi, ‘Ray’ anateswa na tuhuma anazopata kutokana na mtu asiyejulikana kufungua akaunti feki ya Facebook yenye jina la Ray kisha kuposti picha za utupu. Ray amesema kuwa japokuwa ametoa ufafanuzi kupitia mtandao wake wa Instagram kuhusu picha hizo na akaunti hiyo feki, anashangaa kuona watu wanamuandama na kukomalia kwamba yeye anahusika.  

Mahakama yawaonya Prof. Lipumba na Halima Mdee

$
0
0
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewaonya Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahimu Lipumba na wenzake kwa kuchelewa na Mbunge wa Kawe, Halima Mdee kwa kutohudhuria mahakamani.   Washtakiwa hao walionywa kwa nyakati tofauti jana wakati kesi zao zilipokwama kuendelea kusikilizwa kwa sababu yao. Kesi inayomkabili Profesa Lipumba na wenzake 31 ilitakiwa kuendelea kusikilizwa, lakini

Lowassa: Sina mpango wa kushindwa, Mimi sio Fisadi.....Mwenye Ushahidi Anitaje maana Siasa za Fitina na Matusi Zimenichosha

$
0
0
Lowassa, amechukua rasmi fomu ya kuomba kuteuliwa kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), huku akisema hana mpango wa kushindwa.   Lowassa aliwasili katika Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma  jana saa 10:20 jioni akiambatana na mkewe, Regina huku akisindikizwa na wabunge mbalimbali pamoja na wanachama wa CCM.   Akizungumza na waandishi wa habari pamoja na wanachama waliokuwapo

Urais 2015: Sitta achukua fomu, ataka miaka 5 tu kuwang’oa mafisadi

$
0
0
Waziri wa Uchukuzi Samweli Sitta akionesha fomu ya kugombea urais mara katika ukumbi wa NEC makao makauu Dodoma.   Waziri wa Uchukuzi Mh. Samweli Sitta akizungumza na Waandishi wa Habari mara baada ya kuchukua fomu leo. Waziri wa Uchukuzi  Mh. Samweli Sitta leo  amechukua fomu ya kugombea urais kwa tiketi ya  chama cha Mapinduzi makao makuu ya CCM yaliyopo White House  Dodoma 

Wafanyakazi wa ndani ( House Girl/ House Boy ) kulipwa kima cha laki moja

$
0
0
Serikali ya Tanzania imeweka mkakati wa kuandaa muswaada utakaosaidia sekta ya huduma ya wafanyakazi wa majumbani ili kuweza kupatiwa mishahara stahiki ikiwemo kutoa muongozo na usimamizi na haki za wafanyakazi hao. Hayo yamesemwa bungeni katika kipindi cha maswali na majibu na naibu spika wa wizara ya ajira na kazi Mh. Makongoro Mahanga ambapo amesema serikali imechukua hatua

Linah ashtushwa na uhusiano kati ya ex wake na Wema Sepetu

$
0
0
Linah Sanga amesema taarifa kuhusu uhusiano kati ya Wema Sepetu na aliyekuwa mpenzi wake umemshangaza. Akiongea kwenye kipindi cha Ala za roho cha Clouds FM, Linah alisema yeye na mpenzi wake waliachana rasmi miezi miwili iliyopita.   “Hata mimi nasikia kuwa sasa hivi anatoka kimapenzi na Wema Sepetu,” alisema Linah. “Unajua mtu kama alishawahi kuwa mtu wako lazima upate mshtuko,

Jokate na Alikiba Sio MAKOMBO Tena.......Wazidi kuuweka hadharani uhusiano wao, mashabiki waupa tick

$
0
0
Alikiba na Jokate Mwegelo wanaendelea kukusogeza karibu katika muungano wao wa hivi karibuni.    Wawili hao wanaonesha kuelemewa na uzito wa penzi lao kiasi cha kuanza kujiachia na kuualika ulimwengu kwenye dunia yao mpya. Jokate amepost picha Instagram akiwa na hitmaker huyo wa Chekecha na kuandika:All The Best Chèr.   Mashabiki wanaonekana kuufurahia uhusiano huo na wengine

Sakata la Picha za UCHI: BASATA Wamsamehe Shilole

$
0
0
Shilole a.k.a Shishi bybee sasa anaweza kupata usingizi mnono bila mawazo, sababu lile sakata la kusambaa kwa picha zake chafu zilizopigwa wakati akitumbuiza nchini Ubelgiji mwezi uliopita hatimaye limemalizika vizuri. Sakata hilo  lilifika hadi bungeni ambapo Naibu Waziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia alisema serikali ililiagiza Baraza la Sanaa la Taifa, BASATA

Lowassa atua jijini Mwanza kusaka wadhamini...Mamia Ya Wananchi Wampokea Huku Wakimwita Rais...! Rais!!

$
0
0
MAELFU ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi CCM, na wakazi wengine wa jiji la Mwanza, leo Ijumaa Juni 5, 2015, walifurika kwa wingi kwenye ofisi za CCM wilaya ya Nayamagana na ile ya Ilemela, wengine wakitaka kumuona na kupeana mikono na wengine kwa nia ya kumdhamini Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, alipofika jijini Mwanza kutafuta wana CCM wa kumdhamini katika safari

Nyama ya Punda Yasindikwa Nchini

$
0
0
SERIKALI imekiri kuruhusu uanzishwaji wa kiwanda cha kusindika nyama ya punda kilichopo hapa nchini. Imekiri hivyo baada ya Mbunge wa Ole, Rajab Mbarouk Mohamed (CUF), kuibua hoja hiyo juzi jioni wakati wa kupitisha makadirio ya bajeti ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kwa mwaka wa fedha 2015/2016.   Katika hoja yake, alitaka kujua juhudi zilizofanywa na Mamlaka ya Chakula, Dawa na

Vijana watakiwa Kuwaepuka Wanasiasa Matapeli

$
0
0
VIJANA wilayani Tarime wametakiwa kuepuka baadhi ya wanasiasa wanaowatumia na kuwafanya kuwa daraja la kupandia ili kupata vyeo kwa maslahi yao binafsi. Kauli hiyo ilitolewa hivi karibuni na Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Mfaume Ally Kizigo, wakati wa ziara yake ya kuhamasisha uhai wa chama wilayani Tarime. Alisema kuna haja vijana kuepuka wanasiasa

Bodaboda Kuanza Kukatiwa bima Kubwa

$
0
0
KAMPUNI ya Bima ya Zurich Brokers (EA) Ltd imeanza mchakato wa kuwaondoa waendesha bodaboda jijini Mwanza katika bima ndogo ya Sh 10,000  hadi Sh 125,000. Akizungumza Mwanza juzi, Meneja wa Zurich Insurance Broker (EA) Ltd, Kanda ya Ziwa, Curtis Mukami, alisema wameamua kumsafirisha kiongozi mmoja wa bodaboda hadi Dar es Salaam ili kufanya mazungumzo ya kuwasaidia kukata bima ya Sh

Watu saba wakamatwa na Bunduki na Risasi 59 jijini Da res salaam

$
0
0
JESHI la Polisi limefanikiwa kukamata Silaha, watuhumiwa wa uhalifu wa kutukia silaha katika oparesheni iliyoendeshwa kwa nyakati tofauti katika Jiji la Dar es Salaam.   Kamishna wa Polisi  Kanda Maalumu ya Jiji la Dar es Salaam(DCP), Simon Sirro alisema baadhi ya silaha hizo ni pamoja na bunduki aina ya SMG na jumla risasi 59.   Sirro alisema kuwa tarehe Juni 3 mwaka huu mtuhumiwa
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images