Mtoto wa miezi mitatu, Ng’wanza Samweli, amekufa baada ya kukwapuliwa
na fisi kutoka mgongoni mwa mama yake wakiwa njiani kwenda nyumbani
kwao katika kijiji cha Ngugunu, wilayani Meatu mkoa wa Shinyanga.
Fisi huyo aliwashambulia mama na mtoto huyo katika kijiji hicho kilichoko kata ya Kisesa mkoani Shinyanga.
Akizungumza na mwandishi wa habari hizi juzi, Kamanda wa Polisi wa
Fisi akwapua mtoto mgongoni kwa mamaye
↧
↧
Ajinyonga mtini kwa Shati lake.....Kabla ya Kujinyonga Aliwafuata Polisi na Kutaka Awekwe Mahabusu
Mkazi wa Ilembo wilayani Mpanda , Petro Magawe (40) amejinyonga kwa kujitundika mtini akitumia shati lake.
Mtu huyo alijinyonga hadi kufa saa 2 asubuhi juzi karibu na Ofisi ya Misitu iliyopo Mtaa wa Majengo A mjini Mpanda.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi , Dhahiri Kidavashari alisema Mei 30
, mwaka huu, Magawe alifika Kituo Kikuu cha Polisi Wilaya ya Mpanda
mjini Mpanda,
↧
Msanii Salma Jabu ‘Nisha’ Abadili Jinsia Yake........Asema Aliamka Asubuhi na kujikuta Kawa Mwanaume!
Staa wa kike wa bongo Movies mwenye visa na vituko, Salma Jabu ‘Nisha’ amabaye kwa sasa anatamba sokoni na MTAA kwa MTAA amewaaacha hoi mashabiki wake baada ya kuwaeleza kuwa viongo vyake vimebadilika na sasa sio mwanamke tena.
Nisha aliuanika ukweli huo kupitia ukurasa wake wa Instagram ambapo alitupia picha hii na kuandika; “Nimeamka nimejikuta nna mabadiliko
↧
Shamsa Ford Aonyesha Jeuri kwa Mzazi Mwenzake
Staa wa filamu Bongo, Shamsa Ford ameonesha jeuri
kwa kueleza kwamba anamlea mwanaye Terry kwa mapenzi tele ili
asimkumbuke baba yake, Dickson ambaye wamemwagana.
Amesema tangu wamwagane na mzazi
mwenzake, mtoto wake hajawahi kumuuliza baba yuko wapi kitendo
kinachomfanya azidishe mapenzi kwake kwani hata yeye alilelewa na mama
yake bila baba.
“Kama baba yake alikuwa
↧
Mgombea Urais UKAWA Kujulikana Mwezi Huu
MWENYEKITI wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia, amesema mgombea urais kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) atapatikana wakati wowote kuanzia sasa ndani ya mwezi huu.
Mbatia alitoa kauli hiyo jijini Dar es Salaam juzi wakati akihojiwa katika Kipindi cha Dakika 45 kinachorushwa na Kituo cha Televisheni cha ITV.
Alisema mchakato wa kumpata rais ndani ya umoja huo unakwenda
↧
↧
Daftari la Wapiga Kura: Wananchi kuandikishwa siku 7 kwa kila kituo kanda ya ziwa (Geita,Simiyu,Mwanza na Shinyanga)......Mwisho tarehe 4 July
Zoezi la Uandikishaji daftari la kudumu la wapiga Kura linatarajia
kuanza katika mikoa ya Geita, Simiyu, Mwanza na Shinyanga, zoezi
litakaanza rasmi tarehe 2/06/2015 hadi 04/07/2015.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Tume ya Taifa ya uchaguzi
imebainisha kuwa zoezi hilo litafanyika kwa kutumia teknolojia ya BVR
(Biometric Voters Registration.Vituo vya uandikishaji vitakuwa
↧
Nyalandu Kuchukua Fomu ya Urais Juni 8
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu atahutubia wananchi
mkoani Singida mwishoni mwa wiki hii, ikiwa ndio mwanzo wa kwenda
kuchukua fomu za kugombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Tukio hilo litaoneshwa moja kwa moja na vituo vya televisheni vya
EATV, STAR TV na ITV kuanzia saa 10 jioni kutoka kwenye Uwanja wa Namfua
mjini Singida.
Baada ya kuhutubia
↧
Picha: Mwandosya achukua fomu ya kugombea Urais
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Profesa Mark Mwandosya akionesha fomu ya kugombea Urais.
Wajumbe wa CCM waliohudhuria mkutanoa huo.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Profesa Mark Mwandosya akizungumza na waandishi wa habari .
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Profesa Mark Mwandosya
amechukua fomu ya kugombea urais kwa tiketi ya
↧
Urais 2015: Wassira atinga makao Makuu CCM kuchukua fomu ya Urais
Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Stephen Wassira akikabidhiwa fomu ya kugombea urais.
Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Stephen Wassira akishuka kwenye Gari ili kuchukua fomu ya kugombea urais 2015 .
Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Stephen Wassira akiwasili ukumbini katika mkutano na Waandishi wa Habari leo.
Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Stephen
↧
↧
Lowassa aahirisha Kuchukua fomu ya Kugombea Urais
Mbunge wa Monduli ambaye aliwahi kuwa Waziri mkuu wa Tanzania Edward
Lowassa amaeahirisha kuchukua fomu ya kugombea urais kwa tiketi ya chama
cha Mapinduzi hadi siku ya kesho ambayo ni alhamisi.
Hadi sasa mwanasiasa aliyefungua dimba la kuchukua fomu ya urais ni
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Profesa Mark Mwandosya pamoja na Waziri wa Kilimo, Chakula
na Ushirika
↧
Majina ya watakaochukua Fomu ya Kugombea Urais Kesho Alhamisi
Majina ya watakaochukua Fomu ya Kugombea Urais Kesho Alhamisi
↧
Samweli Sitta: Nina Ari, Uwezo Na Utayari Wa Kuliongoza Taifa Hili......Nipeni Hii Miaka Mitano Nifanye Mabadiliko Makubwa
WAZIRI wa Uchukuzi, Samuel Sitta ametangaza rasmi nia ya kugombea
urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM na kusema ana ari,
uwezo na utayari wa kuiimarisha nchi na kwamba kipindi kimoja tu cha
miaka mitano kinamtosha.
Mbali na hilo, Sitta amesema akifanikiwa kupata nafasi ya kuongoza
nchi atahakikisha anatenganisha masuala ya siasa na biashara, kwa sababu
ndiyo
↧
Dr. Bilal na John Magufuli Wajitosa Urais Kimya Kimya......Leo wataungana na Akina Lowassa Na Sumaye Kuchukua Fomu
WANACHAMA watatu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo wanatarajiwa
kuchukua fomu, kuomba ridhaa ya uteuzi wa kuwania urais wa Tanzania,
wakati wakiwa hawajatangaza nia kama ilivyo kwa wengi wao.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Mohammed Gharib
Bilal, Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli na Katibu Msaidizi wa Siasa
na Ushirikiano wa Kimataifa katika Ofisi Ndogo ya CCM,
↧
↧
Aunt Ezekiel Alimwa Talaka
Kuna madai kwamba, Aunt Ezekiel alishaandikiwa talaka na ipo
nyumbani kwa wazazi wa aliyekuwa mumewe, Sunday Demonte, Temeke Mwisho
jijini Dar.
Kwa mujibu wa chanzo, talaka hiyo iliandikwa na mumewe huyo baada ya
kupata taarifa kwamba, mkewe huyo ana ujauzito unaodaiwa kuwa ni wa
Mnenguaji wa Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Moze Iyobo.
“Hivi mnajua kwamba, Aunt
↧
Nkurunziza aahirisha Uchaguzi wa Rais na Wabunge
Serikali ya Burundi imetangaza kuwa uchaguzi wa rais na wabunge
uliotarajiwa kufanyika Ijumaa hii umehairishwa mpaka tarehe nyingine
itakapopangwa.
Msemaji wa rais Nkurunzinza,Wily Nyamitwe amesema kuwa tarehe itapangwa na wasimamizi wa uchaguzi wa nchi hiyo.
Mabadiliko hayo yamekuja kutokana na taifa hilo kuingia kwenye
machafuko tangu Rais Piere Nkurunzinza kutangaza
↧
Pinda aongoza wabunge kumuaga mbunge wa Ukonga Aliyefariki Dunia Juzi
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa mbunge wa Ukonga Eugen Mwaiposa kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Juni 3, 2015.
Mwili
wa marehemu Mhe. Eugen Mwaiposa aliyekuwa mbunge wa Ukonga ukiwasili
kwenye viwanja vya bunge jana mjini Dodoma kwa ajili ya kuagwa.
Katibu
Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi Ombeni Sefue, Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri
ya
↧
'Mimba' Ya Lulu Michael Yapotea
Miezi miwili iliyopita kuliibuka madai mazito kwamba staa bei mbaya
wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameongezeka tumbo hivyo
mashabiki wake wakapiga vigelegele kwamba huenda ana mimba lakini sasa
tumbo hilo limeyeyuka.
Kwa mujibu wa vyanzo vya kuaminika, Lulu kwa sasa anakatiza viunga
vya chuo anachosoma cha Magogoni jijini Dar akichukua masomo ya Uhusiano
wa Umma,
↧
↧
Mpinzani wa Lipumba afukuzwa uanachama
BARAZA Kuu la Uongozi la Chama cha Wananchi (CUF), limemvua uanachama
mjumbe wake kutoka Mkoa wa Shinyanga, Chifu Lutayosa Yemba.
Chifu Yemba ambaye pia alikuwa ni mpinzani wa Profesa Ibrahim Lipumba
katika kuwania uenyekiti wa CUF kwenye uchaguzi uliofanyika mwaka jana,
alivuliwa uanachama kwa tuhuma za ubadhirifu wa fedha za chama pamoja na
kutumia vibaya jina la mwenyekiti wa
↧
Plot for sale.......Kinauzwa!!!...Kinauzwa!!!.....Kiko Bunju B. Changamkia Dili
Plot for sale Bunju B. Plot size Sq 2000 meter and its located in cool neighborhood just 1km from tarmac road with clean tittle deed access is good for residential house,Dawasco water and power is available!!.
It is located in a prime area.More details see the pictures and call +255784333968.
↧
Mwakyembe Akana kutumia Richmond Kumchafua Lowassa...... Umoja wa Ulaya nao wakana kuhusika Kumchafua.
WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Harrison Mwakyembe,
ameibuka na kusema hajawahi kumshambulia kwenye mitandao Waziri Mkuu wa
zamani, Edward Lowassa kuhusu sakata la Richmond.
Kauli hiyo ya Dk. Mwakyembe imekuja siku chache baada ya kusambazwa kwa
waraka unaodaiwa kuandikwa naye, ukimuhusisha na tuhuma za kumshambulia
Lowassa, jambo ambalo amelifananisha kuwa ni sawa na
↧
More Pages to Explore .....