Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Gwajima: Asiyempenda Lowassa Akale Limao!!!

$
0
0
Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Askofu Josephati Gwajima amesema kwamba mwananchi  au mwanasiasa  yeyote asiyempenda Mbunge wa Monduli Edward Lowassa akale limao   Askofu Gwajima alisema hayo juzi  mara baada ya Edward Lowassa kumaliza hatuba yake wakati akitangaza  nia ya kutaka kugombea  urais katika uchaguzi mkuukwa  tiketi  ya  Chama cha Mapinduzi, CCM.   Kabla ya

Makalio ya Agness Masogange Yasababisha Ajali

$
0
0
Lile kalio la haja la muuza nyago maarufu kwenye video za wasanii wa Bongo Fleva, Agness Gerald ‘Masogange’ limesababisha ajali kati ya bodaboda na Bajaj maeneo ya Sinza-Mori baada ya mrembo huyo kushuka kwenye gari akielekea saluni. Shuhuda wa tukio hilo alisema kuwa bodaboda ilikuwa ikitokea upande wa Baa ya Meeda na Bajaj ilikuwa ikitokea upande mwingine ambapo muendesha bodaboda

Marais EAC wataka uchaguzi wa Rais Burundi uahirishwe

$
0
0
WAKUU wa Nchi za Jumuia ya Afrika Mashariki (EAC), wameitaka Burundi kuahirisha uchaguzi kwa takribani mwezi mmoja na nusu ili kurejesha hali ya amani nchini humo na kulitaka Bunge kusimamia mchakato huo.   Aidha, wametoa wito wa Umoja wa Afrika (AU), Umoja wa Mataifa (UN)na wadau wengine kuunga mkono juhudi za EAC katika kumaliza matatizo ya Burundi.   Akisoma maazimio ya viongozi

Profesa Mwandosya na Makongoro Nyerere Kutangaza Nia za Kugombea Urais Leo ......Titus Kamani na William Ngeleja kesho

$
0
0
Utangazaji  nia ya kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) umeanza kwa kishindo, huku machifu wote wa Mkoa wa Mbeya wakitarajiwa kumuunga mkono Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Profesa Mark Mwandosya, ambaye leo anatarajiwa kutangaza nia mkoani Mbeya. Miongoni mwao ni Chifu wa Rungwe, Mbozi na Chifu wa Jiji la Mbeya, Mwashiga ambaye atawaongoza pia wazee wote wa jiji

Urais 2015: Kigwangalla aja na kipaumbele cha ajira .....Hapa Anaeleza Ni Kwa Nini Amechagua kuzalisha Ajira kuwa Kipaumbele cha Kwanza

$
0
0
Nchi yoyote ili iendelee lazima watu wake wawe na amani, uhuru, furaha, uzalendo, uwajibikaji, nidhamu ya kazi, ubunifu na uchapakazi. Ili watu wetu wawe na vitu hivi lazima tujenge misingi ya usawa na motisha.    Usawa utawafanya watu waone nchi yao inawajali na hivyo watavumilia jua na mvua. Motisha itawafanya watu wawe tayari kupigania na kuifia jamii na nchi yao.   Motisha itawafanya

Ukweli wa Sakata Zima la Richmond Na Jinsi Lowassa Alivyohusishwa na Sakata Hilo

$
0
0
Kwa  mara  ya  kwanza  Waziri  Mkuu  wa  Zamani, Edward  Lowassa  amefunguka  na  kueleza  ukweli  halisi  wa  sakata  zima  la  Richmond  lililomfanya  achukue  uamuzi  wa  kujiuzulu  wadhifa  wake  wa  uwaziri  mwaka  2008. Katika  maojiano  maalumu  na  Mpekuzi,Lowassa  amewaka  wazi  kuwa  anapata  shida  kujua  kama  tupo  makini  kusimamia  ipasavyo  mambo  yanayohusu  maisha  yetu

Profesa Muhongo Kutangaza Nia Ya Kuwania Urais LEO

$
0
0
WAKATI makada watano wakiwa wamejitokeza kutangaza nia ya kuwania urais kwa tiketi ya chama tawala, CCM, leo ni zamu ya Waziri wa Nishati na Madini aliyejiuzulu, Profesa Sospter Muhongo.   Kwa mujibu wa kambi ya mwanajiolojia huyo maarufu duniani, atatangaza dhamira yake hiyo akiwa katika ukumbi wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) Tawi la Musoma mkoani Mara.   Muhongo

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya Tarehe 2 Juni 2015

$
0
0
Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumanne  ya  Tarehe 2 Juni 2015

Diwani NCCR-Mageuzi afukuzwa Uanachama

$
0
0
CHAMA cha NCCR-Mageuzi kimemfukuza uanachama Diwani wake wa Kata ya Kasulu Mjini, Isack Rashid kikimtuhumu kutoa siri za chama na kuzusha migogoro kati yake na viongozi wenzake.   Akitoa taarifa kwa Baraza la Madiwani la Halmashauri ya wilaya ya Kasulu, Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo, William Rutuli alisema kuwa halmashauri imepokea barua kutoka chama hicho juu ya uamuzi huo.  

Mrema alia na hujuma za CCM dhidi ya jimbo lake

$
0
0
Mbunge wa jimbo la Vunjo, Augustino Mrema, ameonesha kukata tamaa kutokana na kupewa tuhuma mbalimbali na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhusiana na ubadhilifu wa fedha jambo ambalo ni kunyume na ukweli uliopo.   Akichangia Bungeni mjini Dodoma, amesema kuwa anajua tuhuma hizo ni kutokana na  kutaka kumuangusha kisiasa ili kuweza kuchukua jimbo la Vunjo, na kudai kuwa kamwe wananchi wake

Maelfu ya wananchi kumsindikiza Lowassa kuchukua fomu ya Urais

$
0
0
Waziri Mkuu Wa zamani Edward Lowassa  anatarajia kwenda makao makuu ya chama cha Mapinduzi maarufu kama White House mkoani Dodoma  june 3 akisindikizwa na maelfu ya wananchi. Kwa  mujibu wa  Mnyetishaji  wetu  aliyezungumza  na mtandao  huu,  amearifu  kuwa wakazi wa Manispaa ya Dodoma watakwenda  kumpokea  Mbunge wa   Monduli   Edward   katika   wilaya  ya Manyoni   akitokea  mkoani 

Mtoto Wa Nyerere Avuruga Urais CCM.....Adai Lowassa, Pinda, Wassira na Mwigulu ni WEZI na Wanahonga.....Atangaza Nia ya Urais Butiama

$
0
0
Mbio za kusaka urais kwa makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) zimezidi kushika kasi baada ya mtoto wa tano wa Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, Charles Makongoro Nyerere kujitosa kwenye kinyang’anyiro hicho.   Wakati Makongoro akichukua uamuzi huo kwa mara ya kwanza katika historia ya familia ya Mwalimu Nyerere, mkoani Mbeya Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Kazi Maalumu, Profesa Mark

Dk Slaa: "Watanzania Wanataka Safari ya Uhakika na Siyo ya Matumaini......Chagueni UKAWA Maana ni Safari ya Uhakika"

$
0
0
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk  Willibrod Slaa amesema Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), mwaka huu, unaingia kwenye uchaguzi ukiwa na safari ya uhakika na siyo ya matumaini kama ilivyotolewa na mmoja wa watangaza nia ya kugombea urais katika Uchaguzi Mkuu ujao.    Dk Slaa alisema, kauli hiyo ni moja kati ya nyingi zinazotolewa na viongozi wengi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambazo

Wanaotangaza Nia ya Urais Wasichafuane na Kupakana Matope na Badala yake Wajipange Kuwaeleza Watanzania Jinsi ya Kuboresha Maisha Yao

$
0
0
Hakika Mungu ni mwema sana. Ametuwezesha leo kuwa na nguvu ya kutafakari hatima ya nchi yetu ambayo inaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015 hapo Oktoba.   Mwishoni mwa wiki iliyopita tulishuhudia makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakijitokeza kuwania urais kupitia chama hicho na tayari wameanza kuchuana kutangaza nia yao baada ya vikao vya Kamati Kuu Taifa (CC) na Halmashauri

Mwanafunzi Chuo Kikuu Mzumbe atangaza nia kuwania urais CCM

$
0
0
Hamasa ya wanaCCM kutangaza nia ya kuwania urais imemwibua mwanafunzi Shahada ya Uzamili ya Utawala wa Umma katika Chuo Kikuu cha Mzumbe, Maliki Malupu (34).    Malupu alitangaza nia ya kugombea urais kupitia CCM akiahidi kushughulikia suala la elimu, afya, kilimo na michezo huku akijua kuwa umri wake haujatimia miaka 40 inayotakiwa kikatiba.   Akitangaza nia hiyo mjini Morogoro jana

Mambo 9 Aliyoyasema Fredrick Sumaye LEO Wakati Akitangaza nia yake ya Kuwania Urais Kupitia CCM

$
0
0
WAZIRI Mkuu Mstaafu, Mhe. Fredrick Sumaye ametangaza nia ya kuwania Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) akiwa katika Ukumbi wa Hoteli ya Hyatt Regency Dar es Salaam, The Kilimanjaro jijini Dar leo.   Sumaye amesema kuwa ameamua kutangaza nia akiwa Dar es Salaam maana anataka kuwatumikia Watanzania wote siyo wa nyumbani kwake pekee.   Kauli mbiu yake ni ‘Uongozi Bora, Komesha

Pigo jingine CCM: Mbunge Eugene afariki Dunia, bunge lahairishwa

$
0
0
Mbunge wa jimbo la Ukonga Dar es Salaam kupitia tiketi ya (CCM) Eugen Mwaiposa amefariki dunia usiku wa kuamkia leo akiwa usingizini nyumbani kwake Dodoma. Kwa mujibu wa Naibu Spika wa Bunge Mh. Job Ndugai ambaye amelitangazia bunge leo majira ya saa 7 mchana, marehemu Mwaiposa alikuwa akisumbuliwa na tatizo la shinikizo la damu kwa muda mrefu. Ndugai amesema kuwa kwa sasa msiba upo

Alichokiongea Profesa Muhongo LEO Wakati Akitangaza Nia Yake ya Kugombea Urais Kwa Tiketi ya CCM

$
0
0
1.Niko mbele yenu sio kufanya kampeni ya urais, niko mbele yenu kuomba ridhaa ya yenu kugombea nafasi ya urais muda ukifika.    2. Siko hapa kumlaumu mtu au ukimshambulia kwa sababu ukimlaumu mtu umAsikini bado uko palepale. Nikisema historia yangu yote muda hautatosha, kisomo nimesoma mpaka mwisho wa kusoma, kama ni taalumu nimefikia mwisho.   3.Nimepata bahati ya kusoma vyuo vikubwa

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya Tarehe 3 Juni 2015

$
0
0
Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumatano  ya  Tarehe  3 Juni 2015

Watano Kuchukua Fomu za Urais Leo.....Ataanza Mwandosya(Saa 4), Atafuata Wassira (Saa 5), Lowassa (Saa 7), Amina ( Saa 8) na Nyerere ( Saa 9)

$
0
0
Vumbi la kinyang’anyiro cha uteuzi wa kuwania urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), linaanza rasmi Dodoma leo kwa wanachama wake watano kuchukua fomu wakiomba uteuzi huo.   CCM imepanga kuanzia leo Juni 3 hadi Julai 2, mwaka huu, kuwa siku za kuchukua na kurudisha fomu za wanachama wake wanaoomba uteuzi kuwania urais.   Uteuzi huo ni kwa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images