Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Viongozi Afrika Mashariki kuijadili Burundi Dar

$
0
0
VIONGOZI wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wanatarajia kukutana kesho Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kujadili msimamo wa Burundi wa kuendelea na uchaguzi wakati bado nchi hiyo ipo kwenye machafuko.   Taarifa hiyo ilitolewa bungeni jana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe wakati akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Dk.Mary Mwanjelwa (CCM).   Katika

MOI Yaongoza kwa Upasuaji Kidunia

$
0
0
TAASISI ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu (MOI) imetangazwa kitovu cha weledi duniani katika upasuaji wa mfupa mrefu wa paja na wa chini ya goti kutokana na kuwa na idadi kubwa ya wagonjwa waliofanyiwa upasuaji wenye mafanikio makubwa kuliko nchi nyingine yeyote duniani.   Akizungumza na Mpekuzi  jana jijini Dar es Salaam Meneja Ustawi na Uhusiano wa Taasisi hiyo Almas Jumaa, alisema zaidi

Wanafunzi waipa Siku saba Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)

$
0
0
MTANDAO wa wanafunzi Tanzania (TSNP) umeipa siku saba Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kutoa ufumbuzi juu ya namna gani wanafunzi wenye sifa za kupiga kura watakavyoandikishwa kwenye mfumo mpya wa Biometric Voters Registration (BVR) kufuatia kuingiliana na ratiba za masomo.   Tamko hilo limetolewa jana Jijini Dar es salaam, kupitia kwa Kaimu Mwenyekiti wa umoja huo Shitindi Venance, ambapo

Kina Mramba na Daniel Yona Kuhukumiwa Juni 30......Wanakabiliwa na Matumizi Mabaya ya Ofisi

$
0
0
HUKUMU ya kesi inayowakabili aliyekuwa Waziri wa Fedha, Basil Mramba, aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona na wenzao inatarajiwa kusomwa Juni 30, mwaka huu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Uamuzi huo ulifikiwa jana mbele ya jopo la mahakimu watatu likiongozwa na Jaji John Utamwa baada ya kupangwa kwa tarehe za majumuisho ya mwisho wa kesi hiyo. Mahakimu wengine katika

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya Tarehe 30 May 2015

$
0
0
Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya Leo  Jumamosi  ya  Tarehe 30  May  2015

John Magufuli Atangaza Kugombea Urais......Historia Yake kwa Ufupi Kuhusu Elimu yake na Uzoefu wa Kazi Viko Hapa

$
0
0
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, ametangaza rasmi nia yake ya kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Waziri huyo ambaye amekuwa kimya kwa muda mrefu kuhusu mbio hizo za urais, kwa sasa ametangaza nia yake hiyo kwa kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimekwishatangaza rasmi ratiba ya mchakato wa urais kwa wanachama wake.    Kwa mujibu wa Dk. Magufuli, ambaye ni mmoja wa

Lowassa aitikisa Arusha......Watu wafurika, Wakosa vyumba Walala katika Magari, wengine wajiapiza Kulala Uwanjani....... Mkuu wa Majeshi mstaafu naye Atinga, fulana zenye Picha yake Zapanda Bei

$
0
0
NYUMBA za kulala wageni katika Jiji la Arusha na viunga vyake zimeanza kufurika kutokana na makundi ya watu yanayowasili jijini hapa kushuhudia mwanzo wa ‘Safari ya Matumaini’ ya Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa  Monduli Edward Lowasa, anayoianza rasmi leo.   Mwanasiasa huyo mwenye ushawishi mkubwa miongoni mwa makada wa CCM walioonyesha nia ya kugombea nafasi ya urais kupitia chama

Wema Sepetu na Idris Nusura Wazichape

$
0
0
Malkia anayemiliki Kampuni ya Endless Fame Production, Wema Isaac Sepetu na Mshindi wa Big Brother Africa 2014/15, Idris Sultan ambao wamekuwa marafiki wakubwa katika siku za hivi karibuni, nusu wazichape kavukavu baada ya kupishana kauli huku wivu wa kimapenzi ukitajwa. Tukio hilo lilijiri mwishoni mwa wiki iliyopita nje ya Hoteli ya Hyatt Regency Dar es Salaam, The Kilimanjaro

Video mpya ya Diamond Ft. Mr. Flavour-Nana

$
0
0
Video  mpya  ya  Diamond  Ft. Mr. Flavour-Nana

Hili Ndo Jukwaa Ambalo Edward Lowassa Atalitumia Kutangaza Nia LEO Ya Kugombea Urais 2015........Hapa kuna picha 5

$
0
0
Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha jijini katika maandalizi ya Mkutano wa Edward Lowassa.   Muonekano wa uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.   Wamasai wakitoa burudani katika maadalizi ya mkutano wa Edward Lowassa.   Akina mama wa Kimasai katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.   Baadhi ya wananchi katika uwanja wa Sheikh

MARKSON BEAUTY PRODUCTS Inakuletea Dawa za Kushepu Maziwa, Kukuza Makalio, Kupunguza Tumbo, Kuondoa Michirizi na Zingine Nyingi

$
0
0
Je, unapenda kuwa mrembo na mwenye mvuto kwa haraka? MARKSON BEAUTY PRODUCTS inakuletea bidhaa zenye ubora na matokeo ya haraka zisizo na kemikali wala madhara kwa mtumiaji.    Tuna uzoefu wa miaka 15 na bidhaa zetu zote zimethibitishwa.                  TUNAZO BIDHAA ZA:- 1. Kurefusha nywele na kuzuia kukatika ovyo @80,000/=. 2. Kutengeneza shepu (hips na makalio) @

Hotuba Ya Mh. Edward Lowassa Aliyoitoa LEO jijini Arusha Wakati Akitangaza Nia Ya Kuomba Kuteuliwa na CCM Kuwa Mgombea Urais Wa Tanzania

$
0
0
UTANGULIZI: Ndugu zangu wana-CCM na Watanzania wenzangu, Hii ni siku muhimu kwangu na kwa nchi yetu. Leo nimeamua kuwaita ili kuwatangazia rasmi Watanzania wenzangu azma yangu ya kutaka kuomba ridhaa ya chama chetu, Chama Cha Mapinduzi (CCM), niweze kuteuliwa kuwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Nasema hii ni siku muhimu kwangu kwa sababu naamini historia yangu

Lowassa Aitikisa Nchi Wakati Wa Kutangaza Nia Ya Kugombea Urais....Bofya Hapa Kuona Picha

$
0
0
Mtangaza nia ya kuwania Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa akiwapungia mkono maelfu ya wananchi waliofurika kwa wingi kwenye Uwanja wa michezo wa Sheikh Amri Abeid,jijini Arusha jioni ya leo, wakati wa kutangaza nia yake hiyo ya kuwania Urais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mtangaza

Afungwa miaka 30 kwa kumbaka mtoto wa miaka tisa

$
0
0
Mkazi wa Malampaka mkoani Simiyu, Benedictor Bulobo (30) , ametupwa gerezani atakakotumikia kifungo kwa miaka 30 baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka binti wa miaka tisa.  Alihukumiwa  na Mahakama ya Wilaya ya Maswa juzi na Hakimu Mwandamizi Mfawidhi  Agatha Chigulu, baada ya kuridhishwa  na ushahidi uliotolewa na upande wa mashtaka. Akitoa hukumu hiyo hakimu huyo alisema kuwa

Tuko Live kutoka ukumbi wa BOT Mwanza: Mkutano wa Steven Wassira kutangaza nia ya Kugombea Urais

$
0
0
Waziri wa Kilimo na Chakula Mhe. Steven Masatu Wasira leo anatangaza nia ya kugombea nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa  tiketi  ya  CCM  katika ukumbi wa BOT uliopo jijini Mwanza. Tukio  hili  linarushwa  live  na  ITV na  Star  Tv Kuna wabunge ambao wamemuunga mkono mh Wassira ambao ni Nyangwine,kuna mbunge wa Dole na Bukoba Vijijini mh Charles Rweikiza.Wassira ni

Tuko Live Kutoka Chuo cha Mipango, Dodoma Katika Mkutano wa Mwigulu Nchemba kutangaza nia ya Urais

$
0
0
Sasa  ni  zamu  ya  Mwigulu  Nchemba  kutangaza  nia  ambapo tayari amewasili katika ukumbi wa Mwl. Nyerere katika chuo cha mipango Dodoma ili kutangaza   nia  yake  ya  kugombea  Urais  kwa  tiketi  ya  Chama  cha  Mapinduzi, CCM. Hapa  nimekuandikia  pointi  muhimu  anazotoa  Mwigulu Nchemba (Zinaanzia  chini  kuja  juu); 25: Mh. Mwigulu tayari amemaliza kuzungumza na sasa anaendelea

Ushirikiano wahitajika kudhibiti kipindupindu kwa Wakimbizi Wa Burundi

$
0
0
SERIKALI imewaomba wananchi kushirikiana na taasisi za Serikali pamoja na mashirika binafsi, kudhibiti mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu ulioibuliwa na wakimbizi kutoka nchi jirani ya Burundi.   Wito huo umetolewa jijini Dar es Salaam juzi na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Donald Mbando, wakati akifunga mkutano wa tatu wa sayansi ya afya ulioandaliwa na Chuo Kikuu

January Makamba: Taifa liko njia panda, Wananchi Chagueni Kiongozi Atakayeleta Maendeleo

$
0
0
NAIBU Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Januari Makamba, amesema kwa sasa nchi ipo njia panda, hivyo kuna haja ya kutumia busara ili kuchagua kiongozi atakayeleta maendeleo.   Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam mwishoni mwa wiki , wakati akizungumza na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Tumaini Tawi la Mwenge, kuhusu utandawazi na maendeleo ya jamii.   January, Mbunge wa Bumbuli,

CHADEMA Wamteua Godbless Lema kuwa Kamanda wa Operesheni ya Uandikishaji wa Daftari la Wapigakura

$
0
0
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Kaskazini, kimemchagua Mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho Godbless Lema, kama Kamanda wa Operesheni ya Uandikishaji wa Daftari la Wapigakura katika kanda hiyo.   Hayo yalisemwa juzi jijini hapa na Katibu wa Chadema Mkoa wa Arusha, Calist Lazaro, alipokuwa akizungumza  katika kikao maalumu cha mkakati  kilichowashirikisha viongozi wa

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya June 1, 2015

$
0
0
Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumatatu  ya  June 1, 2015
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images