Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Mwanaume Afumaniwa Gesti Na Mke Wa Rafiki Yake

0
0
Kashikashi za kuambiwa umefumaniwa zisikie kwa mwenzako tu! Utakuta mtu mkubwa, bonge, lakini akidaiwa amefumaniwa, nguvu zote zinakwisha! Sijui kwa nini?! Mfanyabiashara mmoja wa jijini Arusha ‘pedeshee’ aliyejulikana kwa jina la Aldina Hashim, mkazi wa Unga Limted, amechezea kichapo baada ya rafiki yake kipenzi, Emmanuel Mwambije kudai amemfumania na mke wake, Felista Mwambije.

Ili Aweze Kuzaa, Wema Sepetu ni Lazima Alale Juu ya Kaburi au Arithiwe na Ndugu Yake Steven Kanumba

0
0
Baba mzazi wa aliyekuwa mwigizaji mkubwa Bongo, marehemu Steven Kanumba ‘The Great’, Charles Kusekwa Kanumba amefunguka kuwa ili azae, staa wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu anatakiwa alale juu ya kaburi.    Hayo yanakuja siku chache baada ya Wema aliyewahi kuwa mchumba wa Kanumba kudai kusumbuliwa na tatizo la kukosa uwezo wa kuzaa hivyo mzee huyo kujiongeza na kusema ni kwa

BASATA Yalaani Tabia Chafu Na Isiyo Na Maadili Iliyoonyeshwa Na Msanii Shilole Katika Onesho Lake Ubelgiji

0
0
 TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) ambalo ni msimamizi wa sekta ya Sanaa na burudani nchini limeona picha chafu na zisizo na maadili za Msanii Zuwena Mohamed maarufu kama Shilole alipokuwa akifanya onesho lake nchini Ubeligiji hivi karibuni.   Katika picha hizo ambazo zimelaaniwa na watanzania wengi nchini kupitia njia mbalimbali ikiwemo mitandao ya

Wanajeshi wa Pande Hasimu Wakabiliana Burundi......Milio ya Mabomu na Risasi Yaendelea Kusikika.

0
0
Makundi hasimu ya wanajeshi yanakabiliana katikati  ya mji mkuu wa Burundi- Bunjumbura, mahala ambapo tangazo lilitolewa jana Jumatano kuwa Rais Pierre Nkurunziza, amepinduliwa.   Makabiliano ya risasi yanaendelea kwa sasa, huku milipuko kadhaa ikisikika.   Redio na runinga ya taifa inang'ang'aniwa kwa sasa huku wanajeshi waaminifu kwa rais Nkurunziza ndio wanaoidhibiti. Kwa  mujibu

Picha: Waziri wa Maliasili na Utalii Akimpongeza Askari wa Wanyamapori

0
0
Waziri  wa  Maliasili  na  Utalii, Mh.Lazaro Nyalandu akimpongeza Askari wa kike wa wanyama pori kwa kazi nzuri na ya kijasiri ya kuzuia majangiri ( Picha: Udaku specially)

Jipatie Nyimbo Zote Kali Toka RUBEGA.....Wasiliana na Wasanii Wakubwa ( Diamond, Ali Kiba, Jide na Wengine ) Live Hapa hapa RUBEGA

0
0
Hii  ni  habari  njema  kabisa  kwa  wapenzi  wa  muziki  wa  Kiswahili. Rubega  wameamua  kuja  na  njia  mbadala  ambayo  itakuwezesha  kusikiliza  wimbo  wowote  wa  kiswahili  uutakao  kama  Bolingo,Bongo Hiphop,Genge,Injili,Jazz,Zilipendwa na Zouk . Nyimbo  zote  hizi utazisikiliza  BURE  kabisa, chakufanya ni  kufungua  akaunti  na  kujisali. Kujisajili   ni  BURE. Ili 

Utafiti wa TEDRO Kuhusu Uchaguzi Mkuu: Lowassa Anaongoza kwa Kukubalika akifuatiwa na Mwigulu Nchemba.....Dr. Slaa Yupo Nafasi ya Tatu

0
0
Kutokana na kero zinazowakumbuka wananchi kuhusu suala la elimu, maji na afya taasisi ya utafiti wa Maendeleo ya Elimu nchini Tanzania (TEDRO) imetoa ripoti ya tafiti yake iliyofanya mikoa mbali hapa nchini juu ya Viongozi wanaoaminiwa na wananchi kuwa wakikamata nchi wanaweza kumaliza matatizo hayo.   Kutokana na ripoti hiyo ya Taasisi ya utafiti (TEDRO) inaonesha kuwa endapo

Mapinduzi ya Burundi: Rais Pierre Nkurunziza Ahojiwa na Kituo cha habari cha Burundi RTBN.......Asema Yupo Tayari Kumsamehe Mwanajeshi Atakayesalimu Amri

0
0
Kituo cha habari cha Burundi RTBN kimemhoji rais Pierre Nkurunziza kwa simu mwendo wa saa sita.   Katika  mahojiano  hayo  ambayo  Shirika la habari la Reuters lilifanikiwa  kuyanukuu, Rais Nkurunziza amesema  yupo  tayari  kumsamehe  mwanajeshi  yeyote  atakayekubali  kusalimu  amri. ''Ninalishtumu kundi lililopanga mapinduzi, nawashkuru wanajeshi wanaorudisha hali ya kawaida na

Tangaza Biashara Yako Au Bidhaa Yako Kwenye Mtandao huu Kwa BEI NZURI Kabisa

0
0
Tunakaribisha  matangazo  ya  aina  zote.Bei  zetu  ni  nzuri  sana  na  kamwe  hutajuta  kutangaza  biashara  yako  kupitia  mtandao  huu....   Mpekuzi  inatembelewa  na  Watu  zaidi  ya  laki 2  kwa  siku.Kati  yao, 46%  ni  wanawake  na  54%  ni  wanaume. Kama  una  tangazo, basi  wasiliana  nasi  kwa  kutuandika  email  ambapo  tutakutumia  "quotation"  na 

Aliyemng’ata ‘house girl’ Avamiwa na Majambazi

0
0
KESI ya kumtesa mfanyakazi wa ndani inayomkabili mkazi wa Mwananyamala, Amina Maige (42), imeahirishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni jana kutokana na mshtakiwa kuvamiwa na watu wasiojulikana na kumkata kwa mapanga.   Shauri hilo litakuja tena Juni 16, mwaka huu endapo hali ya mshtakiwa ikiendelea vizuri.   Mbele ya Hakimu Yohana Yongolo, Wakili upande wa Jamhuri ulidai kwamba

Mvua zakwamisha ujenzi daraja la Kigamboni

0
0
MVUA zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam zimesababisha kutokamilika kwa wakati mradi wa ujenzi wa daraja la kisasa la Kigamboni.   Ujenzi wa daraja hilo linalojengwa na Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa sasa umekamilika kwa asilimia 80. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam juzi, Meneja wa mradi huo, Karim Mataka, alisema kutokana na hali hiyo wanatarajia

Taasisi ya mifupa MOI yapata msaada

0
0
TAASISI ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu (MOI) imepokea msaada wa kifaa cha kufanyia upasuaji chenye thamani ya Sh milioni 700 kutoka Chuo Kikuu cha Tiba cha Weill Cornell cha nchini Marekani. Msaada huo umetolewa na chuo hicho ikiwa ni sehemu ya ushirikiano kati ya taasisi ya MOI.   Akizungumza jana Meneja Ustawi na Uhusiano wa taasisi hiyo, Almas Jumaa, alisema kifaa hicho kitatumika

Mafuriko yaua askari mmoja wa JWTZ

0
0
ASKARI wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) Kambi ya Lugalo, Barnabas Mataja (48), amefariki dunia baada kusombwa na maji katika Mto Mzinga.   Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, ACP Japhari Mohamedi, alisema tukio hilo lilitokea Mei 11, mwaka huu katika eneo la Kimbangulile, Kata ya Tambani, Wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani.   Mohamedi alisema

Kugombea Urais CHADEMA Ni Sh. Milioni 1

0
0
Mwanachama atakayetaka kuwania urais kwa tiketi ya Chadema atatakiwa kulipia Sh1,000,000 za fomu, ambazo atarejeshewa iwapo hatapitishwa kuwa mgombea pekee wa vyama vinavyoundwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), chama hicho cha upinzani kilisema jana.    Sera hiyo ya kurejesha fedha pia itahusu watu wengine watakaotaka kuwania ubunge na udiwani baada ya Chadema na vyama vingine

Mali za Hospitali Ya AMI Zakamatwa Kufidia Kodi Ya Pango Bilioni3

0
0
Madalali wa Mahakama Kuu jana waliondoa na kukamata mali za Hospitali ya African Medical Investment Ltd (AMI) maarufu kama Trauma Center ya Msasani Jijini Dar es Salaam, baada ya kushindwa kulipa kodi ya pango kwa zaidi ya miezi 26, inayofikia zaidi ya dola za kimarekani milioni 1.6. Akizungumza na waandishi wa habari, Mwakilishi wa kampuli ya MEM Auctioneers and General Brokers Limited

Rais Pierre Nkurunziza Arejea Burundi Baada ya Jaribio la Kumpindua

0
0
Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza  amerejea nchini humo, huku naibu kiongozi wa mapinduzi akikiri kuwa jaribio la kumuangusha Nkurunziza limeshindwa. Umoja wa Mataifa umetaka kurejeshwa haraka utawala wa sheria. Mshauri mwandamizi wa mawasiliano wa rais Willy Nyamwitwe, alisema Nkurunziza amerejea nchini humo, lakini hakutoa maelezo zaidi kwa kile alichosema ni sababu za kiusalama.

Padri wa Kanisa Katoliki Anaswa Kichakani Ndani Ya Gari Akiwa Na Mrembo UCHI

0
0
KAMA mti mbichi unatenda haya, itakuwaje kwa mti mkavu?! Ndivyo inavyoweza kutafsiriwa kwa Katibu Mtendaji wa Idara ya Mawasiliano wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (Tanzania Episcopal Conference, TEC), Padri Anatoly Salawa kufuatia kunaswa kichakani akiwa na mrembo. Kiongozi huyo wa dini alinaswa hivi karibuni majira ya saa 8: 02 usiku akiwa ndani ya gari aina ya Toyota

Mafuriko Dar: Rais Kikwete Awataka Wakazi Waishio Mabondeni Wahame

0
0
RAIS Jakaya Kikwete amewataka wananchi wanaoishi mabondeni, wakubali kuhama, kwani Serikali itawapatia maeneo yaliyo salama ili kuepukana na adha ya mafuriko kila inapofika msimu wa mvua.   Akizungumza wakati wa ziara yake ya kukagua maeneo yaliyokumbwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha Dar es Salaam na maeneo mengine nchini, Rais Kikwete aliwataka wananchi

Albino Mwingine Akatwa Mkono

0
0
MWANAMKE mwenye ulemavu wa ngozi (albino), Remi Luchoma (30), mkazi wa kijiji cha Mwamachoma kata ya Mamba wilaya ya Mlele mkoa wa Katavi, amekatwa mkono wake wa kulia na watu wasiojulikana, kisha wakatokomea na kiganja cha mkono huo kusikojulikana.   Kwa sasa, mtu huyo amelazwa katika Hospitali ya wilaya ya Mpanda kwa ajili ya kupatiwa matibabu.   Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya

James Lembeli Aitaka Ikulu Imsafishe Pia Lowassa Kama Ilivyowasafishwa Watuhumiwa Wa Escrow.

0
0
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Bunge kuchunguza madhara ya Operesheni Tokomeza, James Lembeli, amekosoa ‘mchezo mchafu’ wa serikali kuwasafisha baadhi ya viongozi wanaotuhumiwa kwa kashfa mbalimbali. Amehoji kama suala ni kusafishana, kwanini juhudi kama hizo zisitumike kuwasafisha wengine pia kama Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa. Lowassa alijiuzulu wadhifa wake kutokana
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images