Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Laizer ajitokeza kupambana na Lema

$
0
0
JOTO la ubunge kwenye jimbo la Arusha Mjini, limezidi kupanda mara baada ya kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Arusha, Francis Laizer kutangaza rasmi kuwania ubunge katika jimbo hilo, endapo akipewa ridhaa na chama chake kugombea.   Laizer amejitokeza kutangaza azma hiyo ikiwa ni siku chache baada ya makada wengine wa CCM, ambao ni Phillemon Mollel, Victor Njau,Thomas Munisi,

Maandamano Burundi yachukua sura mpya

$
0
0
Serikali ya Burundi imewataka  waandamanaji katika mji mkuu wa Burundi Bujumbura kusitisha maandamano yao dhidi ya hatua ya rais wa taifa hilo Pierre Nkurunziza kuwania muhula wa tatu katika uchaguzi wa mwezi ujao.   Serikali  imewapatia waandamanaji hao saa 48 kuondoa vizuizi walivyoweka katika barabara za mji huo,lakini hata hivyo inadaiwa maandamano yataendelea leo  siku ya

MWENYEKITI wa UVCCM Taifa,Sadifa Khamis Juma akemea siasa za maji taka

$
0
0
MWENYEKITI wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Sadifa Khamis Juma, amesema kitendo cha baadhi ya wanachama wanaotaka kugombea urais kuendelea kuchafuana ni dalili mbaya ndani ya chama hicho. Kauli hiyo aliitoa mjini hapa jana katika ziara yake ya kikazi wilayani Mwanga wakati akizungumza na wananchi katika mkutano wake wa hadhara. Alisema kuchafuana kwa baadhi ya

Kenya wamtaka Rais Kikwete kuingilia kati mgogoro Burundi

$
0
0
Wananchi  nchini Kenya wamemtaka mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki ambaye ni Rais wa Tanzania Dk. Jakaya Kikwete kuingilia kati mgogoro wa Burundi uliopelekea wanachi zaidi  ya kumi kufariki dunia na wengine kukimbilia nchini Tanzania.   Wakizungumza katika maandamano hivi karibuni  ya kumpinga Rais Nkurunziza  kugombea tena urais raia hao wa Kenya wamemshinikiza Rais

Diwani CUF Mbaroni kwa Tuhuma za Kuomba na Kupokea Rushwa ya Sh 150,000

$
0
0
DIWANI wa Kata ya Ngula wilayani Kwimba, Palu Mashagu (CUF), anashikiliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa ya Sh 150,000. Taarifa kutoka Kwimba na kuthibitishwa jana na Kamanda wa Takukuru, Faustine Maijo, ilisema Mashagu alikamatwa Mei 6, mwaka huu mchana katika ofisi ya Mtendaji wa Kata ya Ngula akidaiwa kuomba na kupokea Sh

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya Tarehe 11 May 2015

$
0
0
Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumatatu  ya  Tarehe 11  May 2015

Siwema Wa Nay Wa Mitego Atiwa Mbaroni.....Kisa Ni Kumpiga Picha Za Uchi Kigogo Wa Serikali

$
0
0
Mzazi mwenzake staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, Siwema Edson (27) ametiwa mbaroni na kusota rumande kwa siku kadhaa akidaiwa kujipatia mali kwa njia ya vitisho kutoka kwa kigogo mmoja serikalini (jina linahifadhiwa kwa sasa). Mei 2, mwaka huu, Siwema alilala ‘nyuma ya nondo’ (mahabusu) kwa siku mbili katika Kituo Kikuu cha Polisi, Wilaya ya Nyamagana jijini hapa

Wanafunzi 'WAPIGWA' Mkutano Ukawa Arusha

$
0
0
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, wanafunzi wa shule za msingi za Mwangaza na Ngarenaro, juzi walidaiwa kupata kipigo kutoka kwa vijana waliojiita ‘Makamanda’ wa umoja wa vyama vya siasa vya upinzani ujulikanao kama Ukawa, baada ya baadhi yao kufika katika mkutano huo uliofanyika viwanja vya karibu na shule yao.   Baadhi ya viongozi wakuu wa umoja huo, akiwemo mwanasheria wa Chadema,

Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unataka kuimarisha mishipa yako ili uweze kwenda Raundi mbili na kuendelea??....Bofya hapa ukutane na JIKO

$
0
0
Neema  Herbalist  & Nutritional  Foods  Clinic  ni  wauzaji wa dawa  mbalimbali  za  asili. Tunapenda  kuwatangazia  wateja  wetu  kuwa  tunayo  dawa nzuri  ya  asili  inatibu na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume.  Dawa  hii iitwayo  JIKO  ni  ya  asili  kabisa  (PURE HERBAL) na inaponyesha  na  kumaliza  kabisa  tatizo  la  nguvu  za kiume

CUF Yailamu Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) Kuandikisha Watoto na Wafu Kupiga kura Z’bar.....Maalim Seif Sharif Hamad Aitaka CCM Ijiandae Kukabidhi Nchi Kwa CUF

$
0
0
CHAMA cha Wananchi (CUF), kimetoa matokeo ya utafiti wake kuhusu Daftari la Wapiga Kura Zanzibar ikieleza kuwa watoto wasiotimiza umri wa miaka 18 na watu waliofariki dunia, majina yao yanaendelea kutumika katika dafrati hilo huku Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) ikikaa kimya.   Kutokana na hali hiyo CUF kimesema kinashangazwa na hatua ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) kuandaa

Lowassa: Huu ni Wakati wetu wa Kukimbia

$
0
0
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amesema ni muhimu kwa Tanzania kukimbia kwa kasi ili kukabiliana na changamoto za maendeleo ya kisanyansi duniani.   Lowassa ambaye pia ni Mbunge wa Monduli (CCM), aliyasema hayo jana alipokuwa akihutubia katika sherehe za Jubilee ya miaka 25 ya uaskofu na miaka 40 ya upadri ya Askofu Paul Ruzoka wa Jimbo Kuu Katoliki la Tabora.   Kwa mujibu

Makada 6 Waliofungiwa CCM Waendelea Kubanwa....Bofya Hapa Kuona Alichokisema Nape Kuhusiana na Akina Lowassa, Membe na Wengine

$
0
0
CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza ratiba ya vikao vya chama hicho kuanza mwezi huu ikionyesha mchakato wa kuchukua fomu za kuwania kugombea urais utafanyika wakati makada wake sita waliofungiwa wakiendelea kuwa kifungoni. Akizungumza na gazeti la Mtanzania jana, Katibu wa Halmashauri Kuu, Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, alisema baada ya ratiba ya uchaguzi kutangazwa ndani ya

Mwigizaji Lulu Michael Aanika Siri ya Kutoka Kimapenzi na Walio Mzidi Umri

$
0
0
Sexy lady kunako sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa anapenda kuminya ‘ku-date’      na wanaume wanaomzidi umri kwa sababu wanakuwa na nafasi nyingi katika maisha yake. Akizungumza runingani juzikati, Lulu alisema anapenda kuwa na wanaume wanaomzidi kwa sababu wana nafasi tatu katika maisha yake ya kawaida, wanakuwa kama kaka, baba na mpenzi.   “Siwezi kuwa

Watu 15 Wauawa Kwa Mapanga Geita

$
0
0
WATU 15 wameuawa kwa kukatwa mapanga katika matukio tofauti mkoani Geita kwa imani za ushirikina.   Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Joseph Konyo alisema matukio hayo ya mauaji yametokea katika  miezi mine kuanzia Januari hadi Aprili mwaka huu.   Konyo alisema  mauaji hayo yametokana na imani potofu za ushirikina na wahusika wakubwa wa matukio

Mwanafunzi Ahukumiwa Jela Miaka 30 na Viboko 24 Kwa Wizi

$
0
0
MAHAKAMA ya Hakimu Mfawidhi wa Wilaya ya Musoma mkoani Mara imemuhukumu kifungo cha miaka 30 jela na kuchapwa viboko 24, mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari Bukanga kwa  unyang’anyi wa kutumia silaha.   Joseph Marigeri (21) ambaye alidaiwa  kufanya unyang’anyi katika Kata ya Makoko Manispaa ya Musoma,alihukumiwa na Hakimu Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Baraka Maganga.  

Muhimbili Yakumbwa na Uhaba wa Damu

$
0
0
HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH) imekumbwa na uhaba wa damu hali ambayo imeulazimu uongozi wa hospitali hiyo kuomba msaada wa dharura kwa Serikali na watu binafsi.   Uongozi huo pia umewaomba Watanzania, mashirika ya umma, makampuni  na watu binafsi kujitokeza kusaidia kuchangia damu  kuokoa maisha ya wagonjwa  wanaopelekwa katika hospitali hiyo.   Taarifa iliyotolewa jana na Mkuu wa

Watuhumiwa wa UGAIDI Wagoma Kula Gerezani .....Watoa siku Saba Kesi Yao Isikilizwe, Vinginevyo Watafanya Wanavyojua Wao

$
0
0
KIONGOZI wa Uamsho na Jumuiya ya Maimamu Zanzibar, Sheikh Faridi Hadi Ahmed na wenzake 22 wanaokabiliwa na tuhuma za ugaidi wamegoma kula  gerezani. Washtakiwa hao wamegoma kula na wamedai mahakamani kwamba hata waitwe wahaini hawawezi kugeuza madai yao ya kutaka Zanzibar ipate mamlaka yake kamili. Hayo yalidaiwa jana na washtakiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu

Chadema Wazuiwa Kuhudhuria Mikutano ya CCM

$
0
0
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Wilaya ya Momba, Mkoa wa Mbeya, kimewapiga marufuku wanachama wake wasihudhurie mikutano ya hadhara ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).   Wito huo umetolewa juzi na Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la Chadema (BAVICHA), Wilaya ya Momba, Ayubu Sikagonamo, alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara katika Kata ya Sogea.   Sikagonamo alitoa agizo hilo

Tanzania, Uganda Kutatua Migogoro Mipakani

$
0
0
SERIKALI za Tanzania na Uganda zimepiga marufuku watu kujenga nyumba katika mipaka inayozitenganisha nchi hizo ili kuepuka migogoro isiyokuwa ya lazima. Agizo hilo lilitolewa mwishoni mwa wiki mkoani Kagera na wakuu wa wilaya za Misenyi kutoka Tanzania pamoja na wakuu wa Wilaya za Rakai na Isingiro za nchini Uganda.   Wakuu hao wa wilaya walitoa maagizo hayo baada ya kukutana kwenye

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya Tarehe 12 May 2015

$
0
0
Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumanne  ya  Tarehe  12  May  2015
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images