Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Mafuriko Yaua Watu Jijini Dar, Nyumba Kibao Zafunikwa......Katapila latumika Kuokoa Watu

$
0
0
Mvua kubwa iliyonyesha kwa siku mbili mfululizo tangu juzi imesababisha vifo vya watu watano huku mamia wakikosa makazi baada ya nyumba zao kubomolewa.    Mvua hiyo iliyofikia kipimo cha milimita 132.5 kwa mujibu wa vipimo vilivyofanywa katika kituo cha Shule ya Msingi ya Maktaba, ilisababisha barabara kujaa maji na nyingine kuharibika na madaraja kadhaa kukatika.   Mkurugenzi Mkuu

Urais CCM: Hofu ya UASI Yatanda, Kambi Ya Mgombea Yadaiwa Kutenga Mamilioni

$
0
0
MAKUNDI ya wagombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), yanadaiwa kuanza mchakato wa kuhakikisha mgombea wanayemuunga mkono, ndiye anayeteuliwa na chama hicho kupeperusha bendera ya chama katika Uchaguzi Mkuu. Chanzo chetu cha habari kinasema kuwa, kundi la mgombea anayetajwa kutaka kuwania nafasi hiyo, limeanza kutumia kiasi kikubwa cha fedha na kuzigawa kwa baadhi ya Wajumbe wa

Marais EAC kuamua hatima ya Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi.

$
0
0
WAKUU wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wanatarajia kukutana Dar es Saalam Mei 13 mwaka huu, katika mkutano wa dharura utakaoamua hatima ya Rais Pierre Nkurunziza wa Burundi.   Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa jana, ilieleza kuwa hatua hiyo imechukuliwa wiki chache baada ya amani kuchafuka nchini Burundi kutokana na chama

Wananchi Sengerema Wampa BARAKA Ngeleja Kugombea Urais.......Wasema Jina Lake Likikatwa Arudi Agombee Ubunge

$
0
0
WAKAZI wa Vijiji vya Nyabila na Sigu, Jimbo la Sengerema, mkoani Mwanza, wamemuomba Mbunge wao, Bw. William Ngeleja kuwania nafasi ya urais kwa tiketi ya CCM katika Uchaguzi Mkuu ujao. Wamesema kama jina lake litakwama kupitishwa ndani ya chama, watamchagua kwa mara nyingine ili aendelee kuwa mbunge wao kwa kipindi cha miaka mitano kutokana na utendaji wake mzuri wa kazi. Wakazi hao

Jipatie Nyimbo Zote Kali Toka RUBEGA.....Wasiliana na Wasanii Wakubwa ( Diamond, Ali Kiba, Jide na Wengine ) Live Hapa hapa RUBEGA

$
0
0
Hii  ni  habari  njema  kabisa  kwa  wapenzi  wa  muziki  wa  Kiswahili. Rubega  wameamua  kuja  na  njia  mbadala  ambayo  itakuwezesha  kusikiliza  wimbo  wowote  wa  kiswahili  uutakao  kama  Bolingo,Bongo Hiphop,Genge,Injili,Jazz,Zilipendwa na Zouk . Nyimbo  zote  hizi utazisikiliza  BURE  kabisa, chakufanya ni  kufungua  akaunti  na  kujisali. Kujisajili   ni  BURE. Ili 

Kada wa CCM Aliyerusha Risasi Hewani katika Ofisi za Chadema Ahukumiwa Kwenda Jela Miez 6 Au Kulipa Faini sh.2000

$
0
0
Kada wa CCM Ahmed Ismail aliyerusha risasi hewani katika ofisi za Chadema wilayani Bariadi amehukumiwa kwenda jela miezi sita au kulipa faini Sh2,000 baada ya kukutwa na hatia.   Ismail alikuwa akikabiliwa na kesi ya matumizi mabaya ya silaha.   Mwendesha Mashtaka, Yamiko Mlekano alidai mahakamani hapo kuwa Aprili 22, mwaka huu, saa 10 jioni mshtakiwa huyo alikwenda kwenye mkutano wa

Mashaidi 15 Kutoa Ushahidi Kesi ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania, Johnson Minja.

$
0
0
Serikali imeandaa zaidi ya mashahidi 15 kwa ajili ya kutoa ushahidi kwenye kesi ya uchochezi inayomkabili Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania, Johnson Minja.   Minja alifikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Dodoma jana na kusomewa maelezo ya awali ya kesi inayomkabili. Alikana mashtaka yote mawili ya uchochezi mbele ya Hakimu Rhoda Ngimilanga.   Mwendesha

Sheria ya Makosa ya Mitandao IMESHASAINIWA Na Rais Kikwete.....Hapa Nimeweka Taarifa ya Wizara ya Mawasiliano Kuhusu Sheria Hii

$
0
0
TAARIFA YA MHE. PROF. MAKAME MBARAWA (MB), WAZIRI WA MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA KUHUSU SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO YA MWAKA 2015 KWA WAANDISHI WA HABARI  TAREHE 8 MEI, 2015____________________________ Ndugu Wananchi, Ndugu Waandishi wa Habari,  Kukua kwa kasi kwa matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) kumeleta mafanikio mengi katika nyanja mbalimbali za maisha ya

Sakata la Escrow: IKULU Yasema Katibu Mkuu, Wizara ya Nishati na Madini Ndugu Eliakim C. Maswi Hana HATIA

$
0
0
MATOKEO YA UCHUNGUZI WA AWALI KUMHUSU NDUGU ELIAKIM C. MASWI, KATIBU MKUU, WIZARA YA NISHATI NA MADINI _________________________________________________ 1.0    Utangulizi 1.1  Katika mkutano wake wa 16 na 17, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, pamoja na mambo mengine, lilijadili Taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali iliyotokana na Taarifa ya Ukaguzi wa

SAKATA LA OPARESHENI TOKOMEZA: Ikulu Yasema Mawaziri WOTE Waliofukuzwa Kwa Kashfa Hiyo Hawana HATIA

$
0
0
TAARIFA YA KUKAMILIKA KWA KAZI YA TUME YA UCHUNGUZI WA MALALAMIKO YALIYOTOKANA NA UTEKELEZAJI WA OPERESHENI TOKOMEZA ___________________________________________  1.0    Utangulizi: 1.1 Tarehe 01/05/2014, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete aliunda Tume ya Uchunguzi kuhusu malalamiko yaliyotokana na utekelezaji wa Operesheni Tokomeza. Aliteua

Miili ya Wanajeshi wa JWTZ Waliofariki Congo Yaagwa Rasmi Congo tayari Kurudishwa Nyumbani kwa Ajili ya Mazishi.

$
0
0
Jeshi la umoja wa mataifa linalolianda amani kaskazini mashariki mwa nchi ya kongo DRC wameanza harakati za kusafirisha miili ya askari wawili wa kitanzania kuja kuzikwa nyumbani baada ya kuuwawa katika shambulio la kigaidi huko beni. Askari wa Jeshi la Tanzania wakiaga miili ya askari waliofariki huko DRC.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi Ya Tarehe 9 May 2015

$
0
0
Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumamosi  Ya  Tarehe  9  May 2015

Mgawanyo Wa Majimbo UKAWA: CHADEMA Yaachiwa Jimbo Moja Zanzibar

$
0
0
UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), umeridhia Chama cha Wananchi (CUF) kusimamisha wagombea wake wa nafasi ya ubunge katika majimbo yote ya uchaguzi visiwani Zanzibar, isipokuwa katika Jimbo la Kikwajuni.   Akizungumza na waandishi wa habari jana Makao Makuu ya CUF, Mkurugenzi wa Oganaizesheni na Uchaguzi wa CUF, Omar Ali Sheikh, alisema Ukawa wamekubaliana katika Jimbo la Kikwajuni

Bilioni 8 Kutumika Kupanga Upya Jiji la Mwanza

$
0
0
SERIKALI inakusudia kutumia Sh bilioni nane katika mpango wake wa kulipanga upya Jiji la Mwanza kwa kuainisha sehemu za makazi, viwanda, biashara na huduma za kijamii. Kauli hiyo ilitolewa mjini hapa jana na Mkurugenzi Msaidizi wa Mpango Mkakati wa Kuyapanga Majiji kutoka Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mahenge Amulike, wakati wa ufunguzi wa mkutano wa wadau na viongozi wa

Aunty Lulu: Makalio Yangu Yananitesa, Wanaume Wananisumbua Sana!!

$
0
0
Mwigizaji Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ ametoa kioja cha aina yake baada ya kuibuka na kusema kuwa makalio yake yanamtesa akidai anasumbuliwa sana na wanaume wanaovutiwa nayo faragha. Aunty Lulu amelieleza gazeti la Risasi Jumamosi  kuwa wanaume wengi wamekuwa wakimiminika kutaka mapenzi kinyume na maumbile  baada ya kusambaziana kuwa mwigizaji huyo analitumia umbo lake ndivyo sivyo.

Hatima ya Lowassa, Membe sasa Mei 20

$
0
0
Filimbi ya kuanzisha mbio za urais kwa tiketi ya CCM itapulizwa Mei 23 baada ya kumalizika kwa kikao cha Halmashauri Kuu ya chama hicho tawala, huku makada sita walio ‘kifungoni’ wakitarajia kujua hatima yao kwenye mbio hizo Mei 20.    CCM imekuwa kimya kuhusu mchakato wake wa uchaguzi, unaohusisha ratiba ya chama hicho, kupitishwa kwa Ilani ya Uchaguzi na taratibu nyingine za

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya Tarehe 10 May 2015

$
0
0
Habari Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumapili  ya  Tarehe 10  May  2015

Urais CCM waiweka pabaya Kamati Kuu.....Yadaiwa Inafanya Upendeleo Kwa Baadhi ya Wagombea

$
0
0
Mbio za urais ndani ya CCM sasa zimefikia pabaya baada ya kuibuka hofu ya kuwapo kwa mpango wa kuivuruga Kamati Kuu kabla ya haijakutana kuchuja majina ya makada watakaotakiwa kupigiwa kura na Halmashuri Kuu ili kumpata mgombea atakayepeperusha bendera ya chama hicho kwenye Uchaguzi Mkuu.    Hadi sasa CCM haijatangaza ratiba yake kwa ajili ya kuongoza wanachama wanaotaka kuwania

Mganga akutwa akiroga mahakamani

$
0
0
MGANGA mmoja wa kienyeji amekamatwa akifanya ushirikina katika Mahakama ya wilaya ya Bunda mkoani Mara kwa kutumia tunguli ili kuwezesha kushinda kesi.   Mganga huyo ni moja kati ya waganga sita, ambao walikamatwa kwa kosa la kupiga ramli chonganishi na kufunguliwa kesi katika mahakama hiyo ya wilaya.   Mtuhumiwa huyo pamoja na wenzake hao, walikamatwa Machi 11 mwaka huu saa 6:00

Pinda: Tumedhamiria kuitokomeza malaria

$
0
0
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amesema Serikali imedhamiria kumaliza tatizo la ugonjwa wa malaria kwa kuamua kujenga kiwanda cha kisasa cha kutengeneza dawa za kuua viluwiluwi wa mbu wanaosababisha ugonjwa huo.   Kiwanda hicho cha viua wadudu vya kuua viluwiluwi wa mbu wanaoeneza ungonjwa wa malaria, kimejengwa eneo la Tamco wilayani Kibaha, Mkoa wa Pwani. Akizungumza baada ya kukagua
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images