Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano Tarehe 6 May 2015
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano Tarehe 6 May 2015
↧
↧
Mgombea Urais Chadema Kupatikana Agosti
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kinatarajia kumpata mgombea wake wa urais Agosti 4, mwaka huu.
Kupatikana kwa mgombea huyo kutatokana na uamuzi wa mkutano mkuu wa taifa, ambacho ndio chombo cha juu cha uamuzi.
Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, wakati akitangaza kwa waandishi wa habari uamuzi wa kikao cha Kamati Kuu
↧
Nafasi Za Masomo na Fursa Za Ajira
Wewe ni kijana
wa kitanzania ? Unapenda kufanya kazi
kama MTAALAMU WA CHAKULA NA
LISHE ?
Kama
jibu ni ndio, basi hii ni habari
njema sana kwako.
Chuo
cha NEEMA HERBALIST COLLEGE, kinatangaza
nafasi za kujiunga na kozi ya CHAKULA NA LISHE
katika ngazi ya cheti cha msingi
yaani BASIC CERTIFICATE IN FOODS
AND NUTRITION.
Kozi
hii
↧
Pamoja Na Kumaliza Mgomo, Makonda Jana Alinusurika Kupigwa Mawe Na Madereva Ubungo
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda na maofisa wa Jeshi la Polisi
jana walijikuta katika wakati mgumu baada ya kunusurika kupigwa mawe na
vijana waliokuwa wamejazana katika Kituo Kikuu cha Mabasi Ubungo jijini
Dar es Salaam.
Makonda na maofisa hao, walifika eneo hilo kwa nia ya kuwaomba madereva
wa mabasi yaendayo mikoani kusitisha mgomo waliouanza juzi.
Maofisa wa
↧
Wanajeshi Wawili wa Tanzania Wauawa Katika Shambulio la Kushtukiza, 13 Wajeruhiwa.......Wanne Hawajulikani Walipo
Askari wawili wa Tanzania waliokuwa kwenye kikosi
cha usalama cha MONUSCO huko Congo, wameuawa
hapo jana baada kushambuliwa na watu wenye silaha huko Kivu ya
Mashariki.
Katika shambulizi hilo, wanajeshi 13 wamejeruhiwa na waasi hao huku wanajeshi wanne wakiwa hawajulikani walipo.
Msemaji wa MONUSCO, Felix Basse amevieleza vyombo vya habari kuwa shambulizi hilo
↧
↧
Mafuta Mwenge wa Uhuru Yaibua Hoja Kamati ya Bunge
SEKRETARIETI ya Mkoa wa Shinyanga imetumia Sh milioni tatu kununua mafuta ya magari wakati wa mbio za Mwenge wa Uhuru mkoani humo, bila kuwapo nyaraka zinazoonyesha matumizi hayo.
Hayo yalibainika jana katika kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) na viongozi wa Mkoa wa Shinyanga wakiongozwa na Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga, Rubanzibwa Prejectus.
↧
Makonda Atangaza Kamati Kusaidia Madereva.
Serikali imetimiza masharti ya madereva kwa kuunda kamati ya kushughulikia kero na matatizo ya madereva ambayo inatarajia kuanza kazi yake Ijumaa.Akizungumza Dar es Salaam jana,Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda alisema kamati hiyo itakuwa ya kudumu ambayo itakuwa ikishughulikia kero na matatizo ya barabarani nchini.
Kamati hiyo itaongozwa na Katibu Mkuu wa Wizara Uchukuzi,
↧
Wema Sepetu, Aunt Ezekiel Watibuana Kisa Zari wa Diamond
Gazeti la Risasi la leo limeripoti kuwa Mataa wa bongo movies ambao
ni mashosti wa kufa na kuzikana, Wema Isaac Sepetu na Aunt Ezekiel
Grayson wanadaiwa kugombana baada ya Aunt ‘kuposti’ kwenye ukurasa wake
wa Instagram tangazo lililohusiana na pati ya mwandani wa mwanamuziki
Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’
iliyofanyika Mlimani City jijini Dar
↧
Ray na Davina Nusura Wazichape Ukumbuni......Chanzo cha Varangati Hilo ni Ray Kushika Makalio ya Davina
Mastaa wa Bongo Movies, Vincent Kigosi ‘Ray’ na Halima Yahaya
‘Davina’ nusura wazichape kavukavu katika Ukumbi wa Mlimani City, jijini
Dar baada ya Ray kudaiwa kumshika mwenzake huyo sehemu nyeti.
Kwa mujibu wa chanzo ambacho kilikuwa
shuhuda wa tukio hilo, Davina alikuwa amekaa na wasanii wengine pamoja
na Mlezi wa Bongo Movies, mama Loraa wakipata vinywaji ndipo Ray
alipofika na
↧
↧
Zitto Kabwe Afunguka Kuwa Alipofukuzwa CHADEMA Alitamani Kujiunga NCCR-Mageuzi......Kazungumzia Pia Anakotoa Pesa za Kufanya Mikutano
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe amefunguka na kusema
kuwa alipofukuzwa Uanachama katika chama cha Demokrasia na Maendeleo
(CHADEMA) alitamani kujiunga na Chama Cha NCCR-Mageuzi kwani ndicho
chama ambacho kilikuwa kinaendana
na itikadi yake anayoifuata na kuiamini ambayo ni itikadi ya Ujamaa.
Zitto Kabwe alifunguka haya jana alipokuwa akichat Live kupitia ukurasa
wa
↧
MAPYA: Waajiri Waanza Kuwafukuza Madereva Waliogoma......CHAKUA, UWAMATA,CHAMAMATA Watoa Matamko
BAADHI ya madereva waliogoma katika mgomo wa juzi uliodumu kwa siku mbili wameanza kufukuzwa kazi na wamiliki wa mabasi hayo.
Mhasibu Mkuu wa Umoja wa Madereva Tanzania(UWAMATA) Issa Regan aliwataka matajiri kuwarudisha kazini dereva huyo na kama hawatawarudisha watawaambia madereva wote wa kampuni hiyo kugoma.
Regan aliongeza kuwa makosa sio ya madereva hao kwa kuwa walitii umoja
↧
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Nchini, Johnson Minja Kufikishwa Mahakamani LEO
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara nchini, Johnson Minja mwenye
shati la Drafti akiongoza na baadhi ya wanachama wa jumuia hiyo.
Mahakama ya hakimu mkazi ya wilaya ya Dodoma leo inatarajia kuanza
kusikilizwa kwa maelezo ya awali ya kesi ya uchochezi inayomkabili
mwenyekiti wa Jumuiya ya wafanyabiashara nchini, Johnson Minja.
Mahakama
ilishindwa kusikiliza maelezo hayo ambayo
↧
Godbless Lema Atamba Kushinda tena Ubunge bila Kampeni.
Mbunge wa Arusha mjini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(CHADEMA), Godbless Lema amesema kuwa atashinda tena ubunge kwa tiketi
ya chama hicho, hata asipopiga kampeni.
Aidha
amesema ni vyema wananchi wa Jiji la Arusha na maeneo mbalimbali nchini wakajitokeza kwa wingi kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura, ili
waweze kupiga kura na kuchagua wagombea wanaotaka
↧
↧
Profesa Lipumba Aieleza Mahakama ya Kisutu kuwa Polisi WALIMPIGA, Akana Kufanya Maandamano
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam kuwa, hawakufanya maandamano wala kupata barua ya zuio badala yake alipigwa na polisi.
Prof. Lipumba aliyasema hayo mahakamani hapo jana wakati yeye na washtakiwa wengine waliposomewa maelezo ya awali, mbele ya Hakimu Mkazi, Cyprian Mkeha.
Mawakili wa Serikali,
↧
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi Ya Tarehe 7 May 2015
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi Ya Tarehe 7 May 2015
↧
Lulu Michael Akana Kuwa Na JINI MAUTI
MSANII nyota wa filamu, Elizabeth Michael `Lulu’
amekanusha uvumi kuwa matatizo yanayowatokea wanaume aliowahi kuwa nao
yanatokana na yeye kuwa na Jini Mauti anayesababisha hali hiyo kutokea,
Amani linakujuza.
Akizungumza na Gpl juu ya madai ya wadau mbalimbali kuhusiana
na matukio mengi yanayomtokea, muigizaji huyo wa filamu ya Foolish Age,
alisema maisha yake ya siku hizi ni ya
↧
Mrema Avuliwa Uanachama TLP
KAMATI ya Ukweli na Maridhiano ya Chama cha Tanzania Labour (TLP),
imetangaza kumvua uanachama Mwenyekiti wa chama hicho, Agustino Mrema.
Akizungumza jana, jijini Dar es Salaam na vyombo vya habari,
Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Joram Kinanda alisema kuwa kamati hiyo
imefikia uamuzi huo baada ya kupitia kwa kina malalamiko yaliyokuwa
yakimuhusu Mrema, ambaye pia ni Mbunge wa Vunjo.
↧
↧
PICHA: Mvua Yaliharibu Jiji La Dar es Salaam...Polisi Watoa Tahadhari
Jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam, limetoa
tahadhari kwa watumiaji wa barabara kutoka maofisini mapema kufuatia
baadhi ya barabara kujaa maji.
↧
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya Tarehe 8 May 2015
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya Tarehe 8 May 2015
↧
Andiko la Wema Kuhusu Sheria ya Makosa ya Mtandao ....Anasema Yupo Tayari ATUKANWE Kuliko Kukubali Serikali Iwafunge Midomo Watanzania
Naomba mimi kama Wema Sepetu, nitoe tamko langu rasmi kuhusu hii Sheria
mpya iliyopitishwa bungeni. Naongelea Sheria ya cybercrime au
cyberbulling.
Ukweli ni Kwamba watanzania tunatumia vibaya mitandao ya
kijamii. Matusi yamekuwa ni mengi na sometimes hawavumiliki. Kwa kweli
kunahitahija Kuwa na laws in place za kupunguza unyanyasaji kupititia
mitandao ya kijamii. That said, yes
↧
More Pages to Explore .....