Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Mgomo Wa Daladala Waleta Shida Jijini Dar

$
0
0
Mgomo wa wafanyakazi wa mabasi yanayotoa huduma jijini Dar es Salaam, leo asubuhi umesababisha mtafaruku mkubwa kwa wakazi wa jiji hili ambapo wengi wao walionekana wakitembea kwa miguu kuelekea kazini na katika shughuli zao mbalimbali.   Mgomo huo ambao unaenda sambamba na usafiri wa mabasi ya abiria nchi nzima, unafuatia ule uliotokea Aprili 11 mwaka huu, ambapo wenye mabasi na

Aliyekuwa Mpenzi wa Nay wa Mitego Siwema Atupia Picha za Mitego Mtandaoni..Aonyesha Kiuno chake Akijiandaa Kwenda Party

$
0
0
Aliyekuwa Mpenzi wa Nay wa Mitego Siwema Ametupia Picha za Mitego Mtandaoni  akionyesha Kiuno chake wakati akijiandaa Kwenda Party ya Instagram Mwanza... Alitupia picha hizi na Kuandika;" Instagram party loading ...." na nyingine akaandika " Still loading.....70%...#saturday mode# still on bed." Instagram party loading ......🙈🙈🙈 A photo posted by siwema edison (@wemalicious)

CHADEMA Waelezea HOFU Yao Kuhusu Kuahirishwa kwa Uchaguzi Mkuu wa Mwaka Huu

$
0
0
Licha ya Rais Jakaya Kikwete kusema hana mpango wa kuongeza muda na kuwa Uchaguzi Mkuu utafanyika Oktoba, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimezidi kuonyesha wasiwasi wake kikieleza kuwa hakuna dalili za uchaguzi huo mwaka huu.    Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe alikieleza kikao cha Kamati Kuu ya chama hicho kuwa uchaguzi huo unaweza kuahirishwa kama ilivyotokea kwenye

Picha Za Instagram Party Ya Wema Sepetu Iliyofanyika Jijini Mwanza

$
0
0
Picha  Za  Instagram  Party  Ya  Wema  Sepetu  Iliyofanyika  Jijini  Mwanza

Mgomo wa Madereva Waendelea Kuleta Balaa

$
0
0
Askari wa  Jeshi la Polisi wakiwa katika eneo la Mbagala Rangi Tatu jijini Dar es salaam asubuhi ya leo kusimamia  usalama kufuatia mgomo wa madereva wa mabasi ulioanza leo kwa mara nyingine kushinikiza kutekelezewa matakwa yao  Mabasi yanayofanya safari zake kati ya Dar es salaam na mikoa ya kusini yakiwa yameegeshwa kwenye kituo cha Mbagala Rangi Tatu jijini Dar es

Waziri Mkuu Aunda Kamati Kushughulikia Usafiri

$
0
0
Waziri Mkuu, Mizengo Peter Pinda ameunda kamati maalumu ya kudumu ya kusimamia Usafiri wa barabarani nchini ili kutatua changamoto zinazoikabali sekta ya Usafiri. Katika kamati hiyo mwenyekiti wake atakuwa katibu mkuu wa wizara ya chukuzi, Katibu akiwa kamishna wa polisi barabarani na Mkurugenzi wa SUMATRA huku wajumbe wakiwa ni pamoja na katibu mkuu wizara ya kazi ya na ajira, katibu

Balozi Liberata Mulamula Ateuliwa Kuwa Katibu Mkuu Wa Wizara Ya Mambo Ya Nje Na Ushirikiano wa Kimataifa

$
0
0
 TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amemteua Balozi Liberata Rutageruka Mulamula kuwa Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa. Kwa sasa Balozi Mulamula ni Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico. Rais Kikwete pia amemteua Balozi Hassan Simba Yahya kuwa naibu Katibu Mkuu katika Wizara

Taarifa Ya Wizara Ya Mambo Ya Ndani Kuhusu Raia Wa Burundi Walioingia Nchini Kuomba Hifadhi

$
0
0
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi inapenda kutoa taarifa kuwa hadi jana tarehe 03 Mei, 2015 raia wa Burundi waliongia nchini kuomba hifadhi walikuwa 1,852.    Raia hawa wa Burundi waliingia nchini kupitia vijiji mbalimbali vya mkoa wa Kigoma. Vijiji hivyo ni pamoja na kijiji cha Kigaye, Sekeoya na Kakonko.  Vingine ni Kosovo, Kagunga na Kibuye, huku wengine wakiwa wamepitia katika Kituo cha

Shuka yamuua mwendesha pikipiki Kiteto

$
0
0
MKAZI wa Kijiji cha Ndeleta kilichopo wilayani Kiteto, Mkoa wa Manyara, Saria Kidali (47), amefariki dunia baada ya kunyongwa na shuka alilokuwa amejifunika wakati akiendesha pikipiki. Tukio hilo la aina yake lilitokea jana asubuhi wakati Kidali alipokuwa akitoka shambani kwake Nadosoiti.   Kabla ya kifo hicho, shuka ya mwendesha pikipiki huyo ilinasa kwenye tairi ya nyuma na shuka

Mitihani Kidato cha sita Yaanza

$
0
0
Wanafunzi wa Kidato cha Sita wa  Shule ya Sekondari ya Coaster High School wakijisomea jana kabla ya kuingia katika chumba cha mtihani  ambapo mtihani wa kitaifa ulianza jana nchi nzima. MTIHANI wa kidato cha Sita uliyoanza jana kote umeendelea licha ya mgomo wa madereva uliofanyika nchini nzima na kusababisha tatizo la usafiri.   MPEKUZI ilifanikiwa kuzunguka katika baadhi ya shule

Sophia Simba: Rais Kikwete Bado HAJASAINI Muswada wa Sheria ya Mtandao, lakini Atausaini Muda si Mrefu

$
0
0
Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, Sophia Simba (kulia), akikata utepe kuzindua rasmi Taasisi ya maendeleo ya jamii ya Sitti Tanzania Foundation iliyofanyika Dar es Salaam juzi (kushoto) ni Mwenyekiti wa Taasisi hiyo, Sitti Mtemvu. Na Mwandishi Wetu, Mpekuzi-Dar es Salaam WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba, amesema kuwa kutokana na hali ya nchi kwa

Upepezi Kesi ya Gwajima Mbioni Kukamilika

$
0
0
UPELELEZI wa kesi inayomkabili Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Mchungaji  Josephat Gwajima na wenzake watatu unadaiwa uko mbioni kukamilika.   Taarifa hiyo iliwasilishwa jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Shadrack Kimaro mbele ya Hakimu Mkazi Frank Moshi wakati kesi hiyo ilipotajwa.   Wakili huyo alidai kesi hizo zililetwa mahakamani hapo

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya Tarehe 5 May 2015

$
0
0
Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumanne  ya  Tarehe 5  May  2015

Mateso...!......Mateso...! Mgomo wa Madereva Wakwamisha Maelfu ya Abiria

$
0
0
MGOMO wa mabasi ulioibuka jana, umeitikisa nchi kiasi cha kusimamisha shughuli nyingi na kusababisha adha kwa wadau katika sekta nzima ya usafirishaji.   Mbali ya abiria waliokuwa wasafiri ndani na nje ya nchi kutoka Kituo Kikuu cha Mabasi Ubungo na kwingineko nchini, wanafunzi wa Kidato cha Sita walioanza mitihani yao jana, baadhi yao waliathirika kwa kushindwa kufika kwa wakati

Mtoto wa Miaka 8 Auawa na Mbwa

$
0
0
Aisha Ally mwenye umri wa miaka 8 (pichani), mkazi wa Mtaa wa NSSF, Mbezi Beach jijini Dar es Salaam ambaye pia alikuwa mwanafunzi wa darasa la tatu  wa Shule ya Msingi ya St. Joseph, Dar, amefariki dunia baada ya kung’atwa na mbwa anayedaiwa kuwa na kichaa. Tukio hilo lilijiri hivi karibuni nyumbani kwao Mbezi wakati mtoto huyo alipotumwa na mama yake mkubwa kwenda dukani kununua

Mgomo wa Madereva: Milio ya Risasi na Mabomu Yarindima Stendi Kuu ya Mabasi Ubungo Dar

$
0
0
Jeshi la Polisi limelazimika kutumia mabomu ya machozi leo asubuhi katika kituo cha mabasi ubungo jijini Dar es Salaam baada ya madereva ambao wanaendesha mgomo kuanza kuwarushia mawe baadhi ya viongozi waliofika kwa ajili ya mazungumzo na madereva hao akiwemo mkuu wa wilaya ya Kinondoni Bw. Paul Makonda na mkuu wa kikosi cha usalama Barabarani, DCP Mohamed Mpinga. Akiongea na mtandao 

Madereva Arusha Wasalimu Amri, Wasitisha mgomo

$
0
0
Abiria waliokuwa wamekwama mkoani Arusha kutokana na mgomo wa mabasi wameendelea na safari zao baada ya jeshi la polisi kudhibiti vikundi vya watu waliokuwa wanatishia kuwashambulia madereva waliokuwa tayari kuendele Kamanda wa kikosi cha usalama barabarani mkoa wa Arusha Harson Mwakyoma amesema wamejipanga kikamilifu kukabiliana na

Mgomo Wa Madereva: Mbowe Apokelewa Kwa Shangwe Na Madereva Waliogoma Ubungo, Dar

$
0
0
Kiongozi wa kambi ya Upinzani bungeni na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe amewasili kituo cha mabasi Ubungo na kupokelewa kwa shangwe na Madereva walioko kwenye mgomo Mgomo huo  leo  umeingia  siku  ya pili na  hali  bado haieleweki kuwa lini mwisho wa ukomo wa mgomo huu kutokana na  ukimya  wa  mamlaka  husika. Katika kituo kikuu cha mabasi ubungo wapo abiria wakiwa na

Mgomo Wa Madereva Wamalizika.....Mabasi Yaanza Kuondoka Ubungo Kuelekea Mikoani

$
0
0
Mgomo  Wa  Madereva  Umemalizika  Mchana  huu  baada ya majadiliano ya muda mrefu na mkuu wa wilaya  ya  Kinondoni. Akisoma  makubaliano  hayo  mbele  ya  wenzake, kiongozi wa madereva   amesema  kuwa  madai  yao  yatatatuliwa  ndani  ya  siku 7 kupitia  timu  ya  madereva iliyoundwa kushughulikia  madai  hayo. Mabasi ya mikoani kutoka Ubungo sasa yameanza safari baada ya mgomo wa

Picha 8 za Mwenyekiti wa ‪ CHADEMA‬ Freeman Mbowe Alivyoungana na DC wa Kinondoni Paul Makonda Kutatua Mgomo wa Mabasi leo Ubungo Dar es salaam

$
0
0
Mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA mh Freeman Mbowe aliwasili leo katika stend ya mabas ubungo kuzungumza na madereva ambao walikuwa wakiendelea na mgomo na kuitaka serikali iwasikilize shida zao.   Mbowe ambaye aliwasili  majira ya saa nne kasoroo asubuhi alijikuta katika wakati mgumu baada ya wananchi kumshangilia kwa nguvu huku wengine wakifuta barabara ili gari
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images