Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Sarafu ya Sh 500 YAHUJUMIWA....... Yanunuliwa kwa Sh. 2500 hadi 5000 ili Kutengeneza Mikufu, Benki Kuu Ya Tanzania (BoT) Yatoa Tamko

$
0
0
SARAFU mpya ya shilingi 500 inadaiwa kuhujumiwa na baadhi ya watu ambao huinunua kwa Sh 2,500 na baadaye kuiyeyusha kwa ajili ya kutengenezea mikufu ya fedha (silver).   Taarifa ambazo tumezipata kutoka vyanzo mbalimbali zinaeleza tangu sarafu hizo zilipotolewa kwa mara ya kwanza Oktoba mwaka jana, baadhi ya watu wamekuwa wakizikusanya na kuzifanya kuadimika mtaani.   Imeelezwa kuwa

Vurugu Burundi: Mitandao ya Kijamii Ikiwemo Facebook,Twitter,Whatsapp Yafungwa

$
0
0
MAMLAKA nchini Burundi zimekata mawasiliano ya mitandao ya kijamii kupitia simu za mkononi, ambayo yamekuwa yakitumika kupanga maandamano ya kumpinga Rais Pierre Nkurunziza.   Mamia ya waandamanaji wako barabarani kwenye mji mkuu wa Burundi, Bujumbura kwa siku ya nne jana wakipinga uamuzi wa Nkurunziza kuwania urais kwa muhula wa tatu.   Mawasiliano hayo ni kupitia mitandao ikiwamo

IRAQ: Wapiganaji 91 wa Kundi la Dola la Kiislamu (IS) Wauawa

$
0
0
WAPIGANAJI 91 wa kundi la Dola la Kiislamu (IS) wameuawa na jeshi la Iraq lililokuwa likisaidiana na wapiganaji wa kujitolea katika sehemu mbalimbali huko nchini Iraq. Wapiganaji hao waliuawa katika matukio mawili tofauti wakati vikosi vya jeshi la Iraq vilipokuwa vikipambana na wapiganaji hao. Vyombo vya habari nchini Iraq vimetangaza kuwa Wizara ya Ulinzi ya Iraq imetoa taarifa kuwa

Taasisi Ya Kiislam Yatishia Kuandamana Nchi Nzima......Yaipa Serikali Siku 15 Kufungua Madrasa na Kuwaachia Huru Masheikh Waliokamatwa

$
0
0
Jumuiya na Taasisi za Kiisalam nchini, imetoa tamko na kuipa serikali siku 15 kabla ya kufanya maandamano nchi nzima kuelekea Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, wakidai kufunguliwa kwa madrasa zilizofungiwa kwa kuhusishwa na kutoa mafunzo ya ugaidi. Masharti mengine ni kuachiliwa huru au kwa dhamana masheikh na maimamu waliokamatwa wakituhumiwa kutoa mafunzo na mazoezi ya kigaidi. Maeneo

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya Tarehe 1 May 2015

$
0
0
Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Ijumaa  ya  Tarehe  1 May  2015

UKAWA: Uchaguzi Mkuu Oktoba 2015 LAZIMA,Rais Kikwete Asiongezewe Muda.....Kura Ya Maoni Baadae

$
0
0
Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA)  vimetoa msimamo wao juu ya njama za kuahirisha Uchaguzi Mkuu unaotakiwa kufanyika Mwezi Oktoba mwaka huu.   Ukawa imesisistiza kwamba kuahirisha kwa Uchaguzi Mkuu huo ni sawa na kumuongezea Rais Jakaya Kikwete na Chama chake cha CCM muda wa kuendelea kuitawala Tanzania.   Ukawa imesema jaribio lolote la kuahirisha Uchaguzi Mkuu

Mzee Moyo: Nilitumwa Kumshawishi Seif Akubali Matokeo 2010.......Pamoja Na Kuifanya Kazi Hiyo, Tuzo Waliyonipa CCM ni Kunivua Uanachama

$
0
0
Mwanasiasa mkongwe aliyevuliwa uanachama wa CCM, Hassan Nassor Moyo (80) amesema yeye ndiye aliyefanya kazi kubwa, usiku kucha, kumshawishi Maalim Seif Sharrif Hamad, aliyekuwa mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF, akubaliane na matokeo ya Uchaguzi Mkuu mwaka 2010 kabla ya hata kutangazwa.   Akizungumza katika mahojiano maalumu na mwandishi wa habari hizi nyumbani kwake Tanga

KAMPENI: Jerry Silaa Ampa Magufuli Mbinu za Kushinda Urais

$
0
0
Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa amemtaka Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli kuangalia uwezekano wa kuongeza fedha za Mfuko wa Barabara katika mkoa wa Dar es Salaam ili kujihakikishia kura ikiwa atagombea Urais kama anavyotajwa.    Silaa alitoa kauli hiyo juzi wakati wa hafla ya kuweka jiwe la msingi la upanuzi wa barabara ya Uhuru iliyopo katika Manispaa ya Ilala. Alisema mkoa

Diamond: Nimemvalisha Pete ya Uchumba Zari,Kuingia Katika Ndoa Mwaka Huu

$
0
0
Diamond na mpenzi wake Zari katika Exclusive One on One Interview ya Power Breakfast ya Clouds FM na 360 ya Clouds TV. ***  STAA wa Bongo Fleva nchini, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' amefunguka kuwa tayari amemvalisha pete ya uchumba mpenzi wake Zarinah Hassan 'Zari' na anatarajia kupata mtoto wa kike mwaka huu. Diamond ameyaongea hayo hivi punde katika Exclusive One on One

Serikali yaipa Taboa wiki mbili, mgomo wasitishwa rasmi

$
0
0
Serikali imewapa Wamiliki wa Mabasi (Taboa) wiki mbili za kutafakari namna gani watapata hasara, iwapo watatumia nauli mpya zilizopendekezwa na Mamlaka ya Udhibiti na Usimamizi wa Usafiri wa Nchikavu na Majini (Sumatra).    Hatua hiyo imekuja baada ya wamiliki hao juzi kutangaza kuwa wangeanza mgomo wa siku saba kuishinikiza Serikali ibatilishe matumizi ya nauli mpya ilizozipitishwa

Selcom Yapigwa Marufuku Kuuza Umeme wa LUKU

$
0
0
Serikali imefuta mkataba wake na kampuni ya Selcom iliyokuwa inauza umeme wa Luku kwa kile kilichodaiwa kuwa ni ubabaishaji katika kutoa huduma hiyo.    Pia kampuni hiyo, ambayo imekuwa ikinunua umeme wa jumla kutoka Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) imesitishiwa mkataba huo kutokana na kukiuka sheria na taratibu za ulipaji wa kodi.   Hata hivyo, mkurugenzi mtendaji wa Selcom,

Mbowe Apata Mpinzani wa Ubunge Hai

$
0
0
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Chama Kikuu cha Ushirika mkoani Kilimanjaro (KNCU) Maynard Swai, ametangaza kuwania ubunge katika Jimbo la Hai kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).    Kwa tangazo hilo, Swai sasa atakuwa na kibarua kizito cha kukabili upinzani kutoka kwa mbunge wa  sasa wa jimbo hilo, Freeman Mbowe (Chadema) ambaye tayari ametangaza nia ya kutetea nafasi yake katika

Rais Kikwete Kuaga Wafanyakazi Leo Jijini Mwanza Kwenye Kilele cha Maadhimisho ya Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi)

$
0
0
Rais Jakaya Kikwete,  leo, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye kilele cha maadhimisho ya Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi), huku Mkoa wa Mwanza ukiahidi kumuenzi na kukumbuka mchango wake katika utumishi wake wa miaka 10 katika uongozi wake.    Rais Kikwete anatarajia kustaafu mwaka huu baada ya kuwatumikia Watanzania, kwa miaka 10, na sherehe za leo zitakuwa za mwisho kwake

Breaking News: Marekebisho Yamekamilika.......Ajira za Walimu WAPYA 2015 Zimetoka Upya. Majina Yako hapa.

$
0
0
  A: Orodha ya Walimu na Mafundi Sanifu Maabara Ajira Mpya   Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI inatangaza ajira ya wahitimu wa mafunzo ya ualimu na mafundi sanifu maabara katika mamlaka ya Serikali za Mitaa kama ifuatavyo:-   i. walimu wa cheti (Daraja IIIA) kwa ajili ya shule za msingi 11,366;   ii. walimu wa stashahada 4,151 na shahada 12,490 kwa ajili ya shule za sekondari   iii.

Moja ya mabango ya leo katika sherehe za Mei Mosi-Mwanza

$
0
0
Rais katika hotuba yake, Rais Kikwete amesema ujumbe wote wa mabango yote umemfikia, "hata wa mashemeji zangu, ukioa Mwalimu..." akatamka mambo kadhaa ambayo Serikali imeyapanga na yanaendelea kukamilika, kisha akasema, "Shemeji zangu baada ya kufanya hayo, nina uhaki ninawaacha pazuri."

Mgawanyo wa Majimbo Ndani ya UKAWA: CHADEMA Yapewa 50%, CUF 35%.......Vita ya Maneno Yaibuka, CUF Watuhumiwa Kuwa na Undugu na CCM

$
0
0
WAKATI ugawaji wa majimbo 211 ukikamilika kwa vyama vinavyounda Umoja ya Katiba ya Wananchi (Ukawa), imebainika kwamba Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeibuka na asilimia 50 katika majimbo hayo.    Chama kilichofuata ni Chama Cha Wananchi (CUF) ambacho kinadaiwa kupata asilimia 35-40, NCCR-Mageuzi asilimia 10 huku NRD kinachoongozwa na Emmanuel Makaidi kuachiwa asilimia 1-2.

Kikwete: "Nisingekuwa Rais Ningekuwa Msanii Mkali wa Bongo Fleva.".........HOTUBA Nzima ya Rais Kikwete Aliyoitoa Jana Mei Mosi Iko HAPA

$
0
0
RAIS Dkt. Jakaya Kikwete, ametamba kuwa angakuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya basi angelikuwa wa “BongoFleva” kutokana na kuwa na sauti nzuri yenye kumudu kuimba nyimbo kwa ufasaha zaidi. Kauli hiyo aliitoa  jana jijini Mwanza kwenye uwanja wa michezo wa CCM Kirumba wakati wa maadhimisho ya kilele cha sherehe za Mei mosi zilizofanyika Kitaifa jijini Mwanza kwa mwaka huu wa mwisho wa

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya Tarehe 2 May 2015

$
0
0
Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumamosi  ya  Tarehe  2  May  2015

Kigogo Mpya Wa Jack Wolper Anaswa

$
0
0
Achilia mbali akina pedeshee Mangi, Dallas na Gee Modal, kigogo mpya wa staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe safari hii amenaswa laivu wakijiachia kwa raha zao.   Kwa mujibu wa chanzo, kigogo huyo ni mtu mwenye fedha zake aitwaye Jimmy Mgaya ambaye ni Mbongo mfanyabiashara aishie nchini Afrika Kusini ‘Sauz’.    Chanzo hicho kilishusha data kuwa jamaa huyo ndiye

Rais Kikwete Aahidi Kuwaongezea Mishahara Wafanyakazi.....Awashangaa UKAWA, Asema kwa Nini Wamepagawa??? Asema Hakusudii Kuongeza Muda wa Kukaa Ikulu

$
0
0
RAIS Jakaya Kikwete ameahidi kuongeza mishahara ya wafanyakazi kuanzia Julai mwaka huu, ili walau kima cha chini kikaribie Sh 315,000 ambazo Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta) limekuwa likiipigia kelele kwa muda mrefu.   Kikwete alisema hayo alipokuwa akihutubia wananchi waliohudhuria sherehe za Siku ya Wafanyakazi Duniani, zilizofanyika kitaifa kwenye viwanja vya CCM Kirumba
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images