Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

UKAWA Washindwa Kuafikiana.......NCCR Mageuzi Yawasilisha Hoja Ya Kujitoa, CUF Watoa Masharti Mazito

0
0
KIKAO cha viongozi wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kimeshindwa kuendelea baada ya baadhi ya wajumbe kushindwa kuafikiana kuhusu hoja iliyowasilishwa na Chama cha NCCR-Mageuzi, ya kutaka kujitoa kwenye umoja huo, imefahamika.   Viongozi hao walikutana jijini Dar es Salaam jana katika Ofisi Kuu ya Chama cha Wananchi (CUF), ambapo pamoja na mambo mengine walikuwa

Mahakama Kuu Kenya Yakubali Ombi La Vyama Vya Mashoga Kusajiliwa

0
0
Katika hatua ya kushitua, Mahakama Kuu nchini Kenya imesalimu amri mbele ya mashinikizo ya watetezi wa vitendo vichafu vya ulawiti, usagaji, ushoga na kusema kuwa sasa watu wanaojihusisha na vitendo hivyo vya uasherati wanaweza kusajili mashirika ya kile kinachodaiwa ni kutetea haki zao za kibinadamu.   Majaji watatu wa mahakama hiyo wameiamuru Bodi ya Kusimamia Mashirika yasiyo ya

Rais Kikwete Akutana na Rais Mstaafu wa Marekani Bill Clinton jijini Dar es Salaam

0
0
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Rais Mstaafu wa Marekani Mhe Bill Clinton Ikulu jijini Dar es salaam jana April 29, 2015. Rais Jakaya Kikwete akifanya mazungumzo na Rais Mstaafu wa Marekani Mhe Bill Clinton (kushoto) Ikulu jijini Dar. Rais huyo wa 42 wa Marekani yuko nchini  kukagua miradi ya maendeleo na afya inayofadhiriwa na taasisi za Clinto Development Initiative (CDI)

Rais Kikwete Azindua Meli Mbili Za KIVITA Kwa Kishindo Jijini Dar

0
0
RAIS Jakaya Kikwete, jana amezindua na kuzitunukia Kamisheni meli mbili za kivita za Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania Kamandi ya Wanamaji ambazo zitatumika kufanya doria na kulinda mipaka ya majini katika Bahari ya Hindi. Meli hizo zimepewa majina ya P77 Mwitongo na P78 Msoga zenye urefu wa mita 60 na zina uwezo wa kufanya doria katika kina kirefu cha maji. Rais Kikwete alisema,

Baby Madaha: Natamani Zitto Kabwe Anioe, Pia Natamani Kujiunga na Freemason

0
0
NYOTA wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph  Madaha amesema kuwa anatamani kuolewa na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Zuber Kabwe, akisema ni mwanaume mwenye sifa zote za kuwa mume kwa mwanamke anayejiamini.   Akizungumza katika mahojiano maalum na gazeti la Risasi wiki iliyopita jijini Dar es Salaam, Baby Madaha ambaye alizungumzia masuala mbalimbali ya sanaa na

Godbless Lema Amshambulia Zitto Kabwe......Amtuhumu Kuikosesha CHADEMA Ushindi Mwaka 2010

0
0
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimewatoa hofu wanachama wake mkoani Shinyanga kikidai propaganda zinazoenezwa na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Bw. Zitto Kabwe, anayedai chama hicho kimepoteza mwelekeo si za kweli bali ni uongo. Mbunge wa Arusha Mjini ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA Taifa, Bw. Godbless Lema, aliyasema hayo hivi karibuni mkoani

Majambazi Matatu (3) Yauawa na Jeshi la Polisi Mkoani Kigoma

0
0
JESHI  la Polisi Mkoani Kigoma limefanikiwa kuuwa majambazi watatu baada ya kurushiana risasi na kukamata silaha mbalimbali za kivita. Akizungumzia tukio hilo ofisini kwake Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kigoma,Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Frednand Mtui alisema kuwa majira ya saa nane usiku katika eneo la  mto kahabwe mpakani mwa Wilaya ya Kakonko na Kibondo, askari

Dr. Shein Azindua Mbio Za Mwenge Mkoani Ruvuma Leo

0
0
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein (kushoto)akimkabidhi Kiongozi wa Wakimbiza Mwenge Kitaifa Juma Khatibu Chum (kulia) Mwenge wa uhuru leo mjini Songea baada ya uzinduzi wa mbio hizo Kitaifa mkoani Ruvuma. Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu(kushoto) akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Songea Profesa Norman Sigalla King(kulia) Mwenge

Magufuli Amwagiza Mtendaji Mkuu TANROARD Kukabidhi Barabara ya 'DART'

0
0
WAZIRI wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli amemwagiza  Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara nchini (TANROADS), Eng. Patrick Mfugale, kukabidhi barabara  ya magari yaendayo kasi kwa Wakala wa Mabasi Yaendayo kasi(DART) ili zianze kutumika wakati sehemu zilizobaki zikiendelea kukamilika. Hayo ameyazungumza Waziri wa Ujenzi Dkt. Magufuli katika hafla uzinduzi wa barabara ya Uhuru ya Manispaa ya

Msanii Ommy Dimpoz Aringishia Sehemu Zake za SIRI

0
0
Star wa bongo flava Ommy Dimpoz leo asubuhi kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Instagram alichapisha picha inayoonyesha uume wake ukiwa umetuna ndani ya suruali.    Ommy amepiga story na Gossip Cop Soudy Brown ndani ya XXL ya Clouds fm, mskize hapo chini

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya Tarehe 30 April 2015

0
0
Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya Leo  Alhamisi  ya  Tarehe  30  April  2015

Yanga kuibeba Simba CAF?

0
0
BAADA ya watani zao wa jadi Yanga kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu vita ya kuwania kushiriki michuano ya kimataifa sasa mwakani imesalia kwa vigogo wengine wa soka nchini Simba SC na Azam FC. Yanga SC kwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu imekata tiketi ya kushiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa barani Afrika, huku wakiziachia kivumbi Simba na Azam ambazo mechi zao za mwisho katika Ligi Kuu ndizo

Tambwe Apania Kuvunja Rekodi ya ‘Hat-trick’

0
0
STRAIKA wa kimataifa wa Yanga, Mrundi Amisi Tambwe amesema kuwa bado anahitaji kupiga ‘hat- trick’ moja ili aweze kuvunja rekodi yake aliyoiweka Simba msimu uliopita. Tambwe aliyeibuka mfungaji bora katika ligi iliyopita baada ya kufunga mabao 19 akiwa na kikosi cha Simba, ameweza kupiga ‘hat trick’ mbili msimu huu akiwa na Yanga na kufikisha mabao 14. Katika mchezo wao wa juzi dhidi

WAZIRI wa Habari, Vijana, Utamuduni na Michezo, Dk. Fennela Mukangara Kuikabidhi Yanga kombe

0
0
WAZIRI wa Habari, Vijana Utamuduni na Michezo, Dk. Fennela Mukangara anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika sherehe za kukabidhi Kombe la Ubingwa wa Ligi Kuu Bara klabu ya Yanga, Mei 6 mwaka huu katika mchezo kati ya Azam FC dhidi ya timu hiyo. Yanga imetwaa ubingwa huo Jumatatu hii ikiwa ni mara ya 25 tangu ilipoanza kushiriki ligi hiyo, baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya

TFF Yatembeza Adhabu kali Ligi Kuu

0
0
MWAMUZI wa mechi kati ya Azam FC na Kagera Sugar, Stephen Makuka na msaidizi wake namba mbili Said Mnonga wameondolewa kwenye orodha za waamuzi wa Ligi Kuu na kufungiwa kwa muda wa mwaka mmoja baada ya kushindwa kumudu mchezo huo. Meneja wa Kagera Sugar, Mohamed Hussein anapelekwa kwenye Kamati ya Nidhamu ya TFF kwa kutoa lugha ya matusi kwa waamuzi na kutaka kumpiga mwamuzi msaidizi

Mwanafunzi auawa baada ya kukutwa na barua ya mapenzi

0
0
MWANAFUNZI wa Kidato cha Pili, Jofrey Robert Mwakatenya (15) anatuhumiwa kuuawa kikatili na baba yake mzazi, Robert Mwakatenya (35) baada ya kumkuta akiwa na barua ya mapenzi, inayodaiwa aliandikiwa na rafiki wake wa kike.   Mzazi huyo ambaye ni mfanyabiashara na mkazi wa eneo la Majengo ‘D’ Manispaa ya Sumbawanga, anadaiwa kumwadhibu mwanafunzi huyo, ambaye ni mtoto wake wa kwanza

Msajili Avionya Vyama Vya Siasa....Avitaka Viache Siasa Za CHUKI ili Kuepusha Machafuko Ya Kisiasa

0
0
MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi amevionya vyama vya siasa na wanasiasa wasikamiane na kukomoana kwa sababu, kufanya hivyo hakujengi demokrasia wala kuisaidia nchi.   Badala yake, amevielekeza viimarishe uelewano na kusaidiana, ili kujenga Tanzania yenye amani na utulivu, hasa katika kipindi hiki cha kuelekea katika uchaguzi mkuu.   Akizungumza Dar es Salaam

Mbunge Bahi , Omary Badweli, Ashinda Kesi ya Kuomba RUSHWA

0
0
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemwachia huru Mbunge wa Jimbo la Bahi mkoani Dodoma, Omary Badweli, aliyekuwa akikabiliwa na mashtaka mawili ya kuomba na kupokea rushwa kwa aliyekuwa Mkurugenzi wa Wilaya ya Mkuranga. Akisoma hukumu hiyo Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo, Hellen Riwa, alisema  mahakama imemwachia huru mshtakiwa huyo kutokana na upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha shtaka

Diamond, Ali Kiba wachuana Tuzo za Watu

0
0
WANAMUZIKI mahiri wa muziki wa Bongo fleva nchini, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’ na Ali Kiba, ni miongoni mwa wasanii wanaochuana katika Tuzo ya Msanii Bora wa Kiume katika Tuzo za Watu 2015.   Kwa mujibu wa Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya Bongo 5 Media Group, inayoratibu tuzo hizo, Nancy Sumari, wasanii wengine walio katika kipengele hicho ni Elias Barnaba, Ommy Dimpoz na Jux.  

Kaseja, Mgosi Wagoma Kurudi Simba

0
0
WAKATI kukiwa na tetesi za Simba kutaka kuwarudisha kundini wachezaji wake wa zamani Juma Kaseja na Mussa Hassan ‘Mgosi’ ili kuimarisha kikosi chao msimu ujao, wachezaji hao kila mmoja ametoa lake la moyoni.   Wakizungumza na MPEKUZI  kwa nyakati tofauti walisema hawajafanya mazungumzo yoyote na Kamati ya Usajili ya Simba ingawa taarifa za wao kutakiwa wanazisikia tu mitaani. Musa
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images