Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete
ametoa msamaha kwa wafungwa 4,129 kwa ajili ya maadhimisho ya miaka 51
ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Kati
ya wafungwa waliopewa msamaha 400 wataachiwa huru na 3729 watapunguziwa
vifungo vya na kuendelea kubaki gerezani kutumikia sehemu ya kifungo
kilichobaki.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu
Sherehe za Muungano: Rasi Kikwete Asamehe Wafungwa 4,129......Kati Yao 400 Wataachiwa Huru, Serikali Yataja Vigezo
↧
↧
Kanisa Langu Halitakufa, Anayetaka Kuliangamiza Ataangamia yeye- Gwajima
Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, amesema kuna watu
wanaotaka kuua kanisa lake lakini kamwe halitakufa na litang’aa hadi
katika kizazi cha mwisho.
Akizungumza katika ibada yake iliyofanyika katika Viwanja vya Tanganyika
Packers, Dar es Salaam jana, Askofu Gwajima alisema watu hao wamekuwa
wakisema kuwa hawalipendi Kanisa la Ufufuo na Uzima na kutaka life.
↧
Dr. Slaa: CHADEMA Tukiingia Ikulu Tutaifuta Katiba Inayopendekezwa na Kuanza Mchakato Upya
Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa (pichani), amesema kuwa iwapo Watanzania watakipa ridhaa chama hicho ili kushika dola katika uchaguzi wa mwaka huu, kitu cha kwanza watakachoanza nacho ni kuifuta Katiba inayopendekezwa sasa na kuanzisha mchakato wa Katiba yenye maslahi ya wananchi.
Dk. Slaa alisema hayo wakati wa mkutano wa hadhara
↧
Majambazi Wavunja Kaburi....Wamvua Marehemu Nguo Na Viatu, Watimka Na Mabegi Aliyozikwa Nayo
Watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wamebomoa kaburi la Napegwa
Kishaluli (75) mkazi wa Mailimoja Kibaha mkoani Pwani aliyezikwa Aprili
20 mwaka huu na kumvua nguo zote pamoja na kuchukua mikoba aliyokuwa
amezikwa nayo.
Tukio hilo lilitokea Aprili 24 mwaka huu katika Kata ya Tangini
jirani na soko la Loliondo ambako baada ya mazishi kaburi hilo
liliwekewa mlinzi kwa muda wa wiki
↧
MBOWE Apigilia Msumari Kauli Ya Mnyika.....Asema Hawatamruhusu Kiongozi wa ACT Zitto KABWE Kujiunga na UKAWA kwa Madai Kuwa Atavujisha SIRI Zao
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman
Mbowe, amesema hawatamruhusu Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto
Kabwe, kujiunga na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
Kauli ya Mbowe imetolewa siku chache baada ya Zitto kutangaza kuwa ACT
ipo tayari kujiunga na Ukawa kama wanavyotaka Watanzania wakiwamo baadhi
ya viongozi wa umoja huo.
Alitoa kauli
↧
↧
Mastaa Wanaoongoza Kwa Kutukana ( Kutukanwa) Mtandaoni
Imekuwa ikielezwa kuwa wasanii ni kioo cha jamii. Kwa maana hiyo
wanatakiwa kufanya mambo ambayo yanaweza kuigwa na wale wanaowatazama.
Hata hivyo, maisha wanayoishi baadhi ya wasanii hayaakisi msemo huo.
Wengi wamekuwa wakikumbwa na skendo mbalimbali zinazowafanya wasiwe na vigezo vya kuitwa kioo cha jamii.
Miongoni mwa mambo yanayowafanya wakati mwingine wadharaulike ni
kutoa
↧
Serikali imezifutia usajili Asasi zisizo za Kiserikali(NGOs) 24 zinazodaiwa kukiuka matakwa ya kisheria katika utendaji wake wa kazi.....Orodha Kamili Iko Hapa
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
inapenda kutoa taarifa kwa umma kuwa asasi za kiraia (NGOs)
zilizoorodheshwa hapa chini zimefutiwa usajili wake kuanzia tarehe ya
tangazo hili; kutokana na kukiuka matakwa ya kisheria katika utendaji
kazi.
Kwa tangazo hili, uhalali wa kufanya kazi kwa mashirika haya umekoma na
kuendelea kufanya kazi baada ya kufutiwa usajili ni kosa la jinai.
↧
Picha za Diamond Platnumz na Mpenzi Wake Zari Wakila BATA Visiwani Zanzibar
Diamond akilibusu tumbo la mpenzi wake Zari ambaye ni mjamzito.
Mwanamuziki Nasibu Abdul 'Diamond' akijiachia na mpenzi wake Zarinah Hassan 'The Boss Lady' Visiwani Zanzibar.
Zari na Diamond wakizidi kula maisha huko Zanzibar walipokwenda kwa ajili ya shoo iliyofanyika Juni 25, mwaka huu.
*******
STAA wa Bongo Fleva nchini, Nasibu Abdul 'Diamond' na mpenzi wake
Zarinah Hassan 'The
↧
Urais 2015: CCM Imejiandaa na Changamoto za Kumkubali au Kumkataa Edward Lowassa?
Ni ukweli usio na shaka kwamba Mheshimiwa Waziri Mkuu wa zamani, Ndugu Edward Ngoyai Lowassa ana dhamira ya kugombea kiti cha urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama chake cha CCM.
Ni ukweli usio na shaka pia kwamba ili afikie hatua ya kuwa mgombea urais wa CCM ni lazima kwanza ashinde kwa kuruka na kuvuka “viunzi” na “vigingi” vya Kamati ya Maadili, Kamati Kuu,
↧
↧
Breaking News: Ajira Mpya za Walimu Kwa Mwaka 2015 Zimetoka......Bofya Hapa Kuona Majina
A: Orodha ya Walimu na Mafundi Sanifu Maabara Ajira Mpya
Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI inatangaza ajira ya wahitimu wa mafunzo ya ualimu na mafundi sanifu maabara katika mamlaka ya Serikali za Mitaa kama ifuatavyo:-
i. walimu wa cheti (Daraja IIIA) kwa ajili ya shule za msingi 11,366;
ii. walimu wa stashahada 4,151 na shahada 12,490 kwa ajili ya shule za sekondari
iii.
↧
Muswada wa Sheria ya Mtandao 2015 : Ikulu Yasema Hauna Tatizo Lolote.......Yaweka Wazi Kuwa Rais Kikwete Atausaini
Ikulu imesema Rais Jakaya Kikwete atasaini Muswada wa Sheria ya
Makosa ya Mtandao ya mwaka 2015, kwa kuwa umepitia taratibu zote. Pia,
Ikulu imesisitiza kuwa sheria hiyo ni nzuri na itadhibiti matumizi
mabaya ya mtandao.
Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Salva Rweyemamu alitoa taarifa hiyo
jana, alipozungumza na waandishi wa habari, Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rweyemamu alisema
↧
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya Tarehe 28 April 2015
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya Tarehe 28 April 2015
↧
Mgomo...! Mgomo..! Mabasi Yote Ya Abiria Yapanga Kugoma Nchi Nzima
Siku 17 baada ya madereva wa mabasi mchini kugoma na kutikisa nchi, Chama cha Wamiliki wa Mabasi yaendayo mikoani (Taboa) kimetangaza mgomo mwingine nchi nzima.Mgomo wa Aprili 9, mwaka huu uliodumu kuanzia alfajiri hadi saa 7:00 mchana ulitikisa nchi na kuwaathiri abiria wengi waliokuwa wanasafiri kwenda maeneo mbalimbali ya nchi.Jana Taboa walitangaza kusitisha utoaji huduma kuanzia kesho
↧
↧
Ridhiwani Kikwete Awaonya Vijana Kutumiwa na Al Shabaab
LONGIDO
VIJANA nchini wameonywa na kutakiwa kuwa makini kwa kutokujihusisha na makundi yanayoweza kuwashawishi wajiunge na vikundi vya kigaidi kama Al-Shabaab.
Aidha, vijana wametakiwa kutokutumika vibaya na wanasiasa “uchwara” wakati huu kuelekea Uchaguzi Mkuu ambapo baadhi yao wamekuwa wakitumiwa na wanasiasa kwa manufaa yao binafsi.
Hayo yalisemwa juzi na Mbunge wa Chalinze,
↧
Wanafunzi wa Chuo cha Ualimu Patandi Wapigwa Mabomu baada ya Kugoma Wakishinikiza Mkuu wa Chuo Aondolewe
Wanafunzi wa Chuo cha Ualimu wa Elimu Maalum Patandi, mkoani Arusha jana walifanya vurugu zilizowalazimisha Polisi kuwasambaratisha kwa mabomu.
Wanafunzi waligoma na kufunga barabara kuu ya kutoka Moshi -Arusha kwa kutumia mawe kwa takribani saa moja kuanzia saa 4 hadi 5 asubuhi.
Wakizungumza na mtandao huu chuoni hapo jana, wanafunzi hao walisema lengo la mgomo wao ni kushinikiza mkuu
↧
Ikulu Yakana Kuwepo kwa Njama za Kutaka Kumdhuru Dr. Reginald Mengi Zilizodaiwa Kuandaliwa na Rais Jakaya Kikwete
Ikulu imekana kuwapo njama zozote za kutaka kumuangamiza Mwenyekiti Mtendaji wa IPP, Dk. Reginald Mengi, zilizodaiwa kuandaliwa na Rais Jakaya Kikwete, kwa kile kilichodaiwa kuwashughulikia wanaoihujumu serikali yake na kupanga kumshughulikia.
Njama hizo ziliripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari, ambavyo vilidai kunasa mazungumzo kati ya Rais Kikwete na Kiongozi wa chama cha
↧
Makonda Akana Kuwatukana Makada Wenzake wa CCM, Guninita na Msindai
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda, amekana kutoa maneno ya
kashfa dhidi ya Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Singida, Mgana Msindai na
Mwenyekiti mstaafu wa chama hicho Mkoa wa Dar es Salaam, John Guninita.
Amedai kwamba alichozungumza kiliungwa mkono na viongozi wa juu wa chama
hicho akiwamo John Malecela na Waziri Mkuu mstaafu Cleopa Msuya.
Makonda alidai hayo jana katika
↧
↧
Breaking News: Majina Ya Walimu Waliopangiwa Kufundisha Shule Za Sekondari YAMESITISHWA Kwa Muda Kutokana Na Kasoro Za Kiufundi Zilizojitokeza
Orodha ya wahitimu wa shahada na stashahada waliopangiwa katika halmashauri mbalimbali inafanyiwa marekebisho baada ya kubainika kuwa uongozi wa Chuo Kikuu cha Sebastian Kolowa (Sebastian Kolowa University College-SEKUCO) cha Lushoto uliwasilisha orodha ya wahitimu wapatao 491 wa mwaka 2013 ambao walishaajiriwa badala ya wahitimu wa mwaka 2014.
Kutokana na sababu hiyo, orodha tajwa
↧
SUMATRA Waukana Mgomo wa Mabasi ya Abiria.......Wamiliki Wasisitiza Kuwa Msimamo Wao Uko Palepale
MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA), wamesema hawajapata taarifa rasmi juu ya mgomo wa wamiliki wa mabasi ya mikoani.
Akizungumza na MPEKUZI kwa njia ya simu jana, Ofisa Habari wa Sumatra, Daud Mziray, alisema hakuna taarifa yoyote iliyowafikia ofisini kwao ya wanachama wa Taboa kugoma.
“Mimi niko mkutanoni Morogoro, mkutano wenyewe unahusiana na mambo ya
↧
Habari Zilizop Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya Tarehe 29 April 2015
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya Tarehe 29 April 2015
↧