Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Kura ya maoni na Uchaguzi Mkuu HAVITAFANYIKA Pamoja--NEC

0
0
Tume ya uchaguzi nchini Tanzania NEC, imetoa ufafanuzi juu ya suala la upigaji wa kura ya maoni ya Katiba Inayopendekezwa kuchanganywa na uchaguzi mkuu na kusema kuwa mambo hayo hayatafanyika kwa pamoja. Mwenyekiti wa Tume hiyo Jaji Mstaafu Damian Lubuva amesema kuwa mpaka sasa tume haijaamua ni lini kura ya maoni itafanyika ila kwa sasa wanachofanya ni kuendelea na uandikishaji wa

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya Tarehe 26 April 2015

0
0
Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumapili  ya  Tarehe  26  April 2015

Ray C: Nimenenepa lakini kiuno bila mfupa kiko pale pale!

0
0
Rehema Chalamila aka Ray C amewatoa hofu mashabiki wa muziki wake, kuwa unene wake haujakiathiri kiuno chake bila mfupa bali kimemwongezea uwezo wa kukatika kuliko zamani! Ray C ambaye alitamba na nyimbo kama ‘Sikuhitaji’ na ‘Umeniacha’, ameiambia Global TV kuwa anahisi uwezo wake wa kukatika umeongezeka zadii kutokana na unene.   “Sina tofauti na Ray C wa zamani,” alisema. Ray C

Professor Jay asema siasa haiwezi kumtenganisha na muziki, aizungumzia project mpya ya muziki ‘The Icon’

0
0
Rapper mkongwe Joseph Haule aka Professor Jay amesema siasa haiwezi kumtenganisha na muziki, na pia amejipanga kuja na project mpya ya muziki iitwayo ‘The Icon’. Professor ameiambia Mpekuzi kuwa, hata kama akipata nafasi ya ubunge atahakikisha mashabiki wake wanapata muziki kama kawaida.   “Nitaendelea kuwatumikia mashabiki wa muziki wangu kama kawaida, najua sasa hivi nadeni kubwa

Filikunjombe Atishia Kumchapa Viboko Diwani

0
0
Mbunge wa jimbo la Ludewa mkoani Njombe, Mh. Deo Filikunjombe amesikitishwa na kitendo cha diwani wa kata ya Luilo wilayani humo, Bw. Mathew Kongo kwa kitendo cha kuwashinikiza wananchi wasishiriki shughuli za maendeleo. Akizungumza na wananchi wa kijiji cha Lifua na Luilo katika kata ya Luilo wilayani Ludewa, Mh. Filikunjombe amesema baadhi ya viongozi wanakichafua Chama Cha

CCM Inatengeneza Wapinzani Wake Yenyewe

0
0
Hawra Shamte – Mwandishi wa Makala hii Hayati Mwalimu Julius Nyerere aliwahi kusema: “Hakuna vyama vya upinzani vyenye uwezo wa kuing’oa CCM madarakani, upinzani wa kweli utatoka CCM, wenyewe kwa wenyewe watatofautiana kisha wataanzisha chama chao.”   Ipo siku utabiri huo utatimia, utatimia kwa namna gani, mimi sifahamu. Wapo waliojaribu kutoka CCM na kuanzisha vyama vyao au

Mvua yasababisha vifo vya watu wawili Tanga

0
0
Watoto wawili wamekufa huku wengine wawili wakijeruhiwa vibaya baada ya ukuta wa nyumba waliyokuwa wamelala kuwaangukia na kuwafunika kitandani kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha mkoani Tanga. Wakizungumza na Mpekuzi katika eneo la tukio lililopo barabara ya 18 jijijni Tanga viongozi wa serikali na wale wa wananchi wa eneo hilo wamesema limetokea jana majira ya saa 11 Alfajiri

Leo TANZANIA inaadhimisha Sherehe za Miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar

0
0
Rais Jakaya Kikwete ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, leo anawaongoza watanzania katika kuadhimisha miaka 51 ya kuzaliwa kwa Tanzania baada ya kuunganisha nchi mbili huru za Tanganyika na Zanzibar. Katika‬ muungano huu ambao leo hii tunausherehekea nikwamba Mwalimu Nyerere alikuwa Rais wa kwanza na Kiongozi wa serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ),

Mtoto wa Miaka 13 Akutwa Akiwa UCHI Akiwanga

0
0
Mtoto mwenye umri wa miaka 13 amekamatwa usiku akiwa uchi kwa madai kuwa alikuwa akiwanga katika duka moja lililopo kijiji cha mpunguti Mkoa wa Mbeya.   Mashuhuda wa tukio hilo walidai kuwa mtoto huyo ni mzoefu kwa kuwa wafanyabiashara wamekuwa wakipotelewa na fedha katika amzingira ya utata ambapo walitega mtego ili kubaini upotevu huo na kumbaini akiingia kwenye duka moja ambalo

CHADEMA Wakamatwa na Vifaa vya Kijeshi

0
0
Mnamo tarehe 24/4/2015 huko maeneo ya Sogea Tunduma Wilaya ya Momba Mkoa wa Mbeya, METHEUS ANGANILE MWAFONGO, Mndali, 37yrs, Mkuu wa Ulinzi CDM Wilaya Momba, pamoja SALEHE TABLEI@SICHALWE, 22yrs, mkazi wa Majengo Tunduma walikamatwa kutokana na taarifa za kiintelijensia.   Watu  hawa walikamatwa wakiwa na buti pair 2 za kijeshi, kofia pair 2 za kijeshi, kamba kurukia ya mazoezi,

Picha: Sherehe za Miaka 51 Ya Muungano Zafana Jijini Dar es Salaam Leo

0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, akipunga mkono kuwasalimia wananchi wakati alipokuwa akiwasili kwenye Uwanja wa Uhuru, Jijini Dar es salaam, leo  kuhudhuria Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Kushoto ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Davis Mwamunyange  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa

Vurugu Burundi: Polisi wapambana na Waandamanaji Wanaompinga Rais Nkurunzinza kugombea Urais tena.......Katiba ya Nchi hiyo hairuhusu mihula mitatu

0
0
WAPINZANI wa Serikali nchini Burundi, wameitisha maandamano makubwa leo ya kupinga hatua ya Chama Tawala cha CNDD-FDD kumtangaza Rais Pierre Nkurunziza, wa nchi hiyo kuwania mhula wa tatu katika uchaguzi ujao (Katiba ya Nchi hiyo hairuhusu mihula mitatu). Mkuu wa Chama cha FNL kilichipigwa marufuku nchini humo, Agathon Rwasa, amepinga vikali uamuzi huo na kusema kwamba unaenda kinyume na

Serikali Yaombwa Kutenga Fedha za Kutosha

0
0
TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora(THBUB),wameiomba Serikali kutenga fedha za kutosha kwa taasisi zote za Serikali zinazohusika na suala la kukomesha ukatili dhidi albino.   Lengo  kutekeleza programu za kuelimisha umma, kuharakisha upelelezi na uendeshaji wa kesi za watu wanaodaiwa kufanya ukatili huo.   Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Tume

Minyoo, kichocho vyatesa Kilimanjaro

0
0
SERIKALI mkoani Kilimanjaro imesema magonjwa  ya minyooo na kichocho ni tishio kwa afya ambapo mwaka jana pekee wagonjwa 57,014 waliofika katika vituo vya afya mkoani humo waligundulika kuugua magonjwa hayo. Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama, aliyasema hayo wakati akifungua warsha ya uhamasishaji juu ya magonjwa yasiyopewa kipaumbele (NTD) kwa wakurugenzi na wenyeviti wa

Mkuu wa Wilaya Ilala Alilia Madawati.

0
0
HALMASHAURI ya Manispaa ya Ilala imeendesha harambee ya uchangiaji wa madawati kwa shule zake za msingi 113.   Akizungumza katika hafla ya uchangiaji wa madawati hayo iliyopewa jina la ‘Usiku wa Mswahili’ Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi alisema Halmashauri hiyo inakabiliwa na uhaba wa madawati yapatayo12,000.   “Halmashauri yetu ina wanafunzi takriban 150,800 ambapo wanafunzi

Sherehe za Muungano Zakwamisha Kikao cha Madereva

0
0
KIKAO cha umoja wa vyama vya Madereva nchini kilichoahirishwa kupisha sherehe za Muungano sasa umepangwa kufanyika aprili 29 mwaka huu.   Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Katibu Mkuu wa umoja huo, Rashidi Salehe alisema wameamua kusitisha kikao hicho cha madereva nchi nzima ili kuwapa mrejesho wa majibu ambao wanadai hawakuridhishwa nao kutoka kwa Naibu Waziri wa

Habari Zilizopo Katika agazeti ya Leo Jumatatu ya Tarehe 27 April 2015

0
0
Habari  Zilizopo  Katika  agazeti  ya  Leo  Jumatatu  ya  Tarehe 27  April  2015

Sherehe za Miaka 51 ya Muungano: Vikosi Vya Ulinzi Vyafanyiwa Maboresho...... Mtu Mmoja Akamatwa na Wanajeshi Kwa Kujifanya Usalama wa Taifa

0
0
Na Mwandishi wetu,Mpekuzi. Baada ya Rais Kikwete kuingia alipokelewa na Mkuu ya Jeshi la Wananchi(JTWZ),Generali Davis Mwamunyange ambaye alimpeleka kukagua vikosi vya ulinzi na usalama.   Jeshi hilo limeonekana kufanya maboresho katika gwaride la mwaka huu ambapo waliandaa gadi 20 huku gadi 13 zikiwa nje ya uwanja na gadi 7 zikiwa ndani.   Gadi 13 zilizokuwa nje ya uwanja zilivalia

Makala Ya Sheria: Sheria Inaruhusu Kujikinga Hadi Kuua

0
0
NA  BASHIR  YAKUB- Kifungu  cha 18  cha  Sheria  ya  Kanuni  za  adhabu  sura  ya  16  kimeeleza  hatua  ya  mtu  kujikinga  mwenyewe,  kumkinga  mwenzake  ,  mali  yake  mwenyewe  na  mali  ya  mwenzake.    Kujikinga( defence)  maana  yake  ni  kujilinda  au  kujitetea  inapokwa  imekutokea  dharula   ya  kuvamiwa  na  mtu  au  watu  waovu.    Uovu  ni  uovu  si  lazima  awe  mwizi .

MARKSON BEAUTY PRODUCTS Inakuletea Dawa za Kurefusha Nywele, Kukuza Makalio, Kupunguza Tumbo, Kung'arisha Ngozi na Zingine Nyingi

0
0
Je, unapenda kuwa mrembo na mwenye mvuto kwa haraka? MARKSON BEAUTY PRODUCTS inakuletea bidhaa zenye ubora na matokeo ya haraka zisizo na kemikali wala madhara kwa mtumiaji.    Tuna uzoefu wa miaka 15 na bidhaa zetu zote zimethibitishwa.                  TUNAZO BIDHAA ZA:- 1. Kurefusha nywele na kuzuia kukatika ovyo @80,000/=. 2. Kutengeneza shepu (hips na makalio) @
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images