Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Mwili wa mwanafunzi Kiteto Aliyefariki Kwa Kuchapwa Viboko na Walimu wafikishwa Dodoma

0
0
MWILI wa mwanafunzi wa kidato cha pili katika Shule ya Sekondari Matui iliyoko Wilaya ya Kiteto, Mkoa wa Manyara, aliyedaiwa kufariki baada ya kuchapwa viboko na walimu wake, Emmanuel Mbigima (15), umefikishwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma. Wakati mwili huo unafikishwa hospitalini hapo jana asubuhi, ulikuwa umewekwa kwenye gari la Halmashauri ya Wilaya ya Kiteto ukisindikizwa

Jack Dustan: Waume za Watu Watatuua

0
0
Staa aliyepata umaarufu kupitia Shindano la Maisha Plus, Jacqueline Dustan amefunguka kuwa mastaa wamepachikwa nembo ya kuwa ni vinara wa kubeba waume za watu jambo ambalo linawapa sifa mbaya. Akizungumzia mwenendo wa mastaa wengi kuhusishwa na skendo ya kutembea na waume za watu, Jack alisema:   “Yaani sisi mastaa tumepachikwa nembo ya kupora waume za watu. Imefika wakati hata

Tatizo la Kushindwa Kuzaa: Wema Sepetu Akubali Waganga 26 Kumtibu

0
0
Kufuatia  tatizo la kushindwa kupata ujauzito alilonalo msanii maarufu Bongo, Wema Sepetu, hivi karibuni waganga wapatao 26 kutoka sehemu mbalimbali nchini walijitokeza na kuomba kuunganishwa na staa huyo ili wamtibu. Waganga hao wa tiba asilia pamoja na madaktari kutoka hospitali mbalimbali kwa nyakati tofauti walipigia simu  na kueleza kuwa, wanashangaa kuona Wema anakosa amani

Askofu Pengo: Nasumbuliwa na uti wa mgongo, Watanzania Chagueni Rais Masikini

0
0
Hatimaye Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amewatoa hofu Watanzania kuhusu afya yake kwa kueleza kuwa anaendelea vizuri baada ya kufanyiwa uchunguzi wa matatizo yake ya uti wa mgongo.   Kardinali Pengo pia amegusia nafasi ya urais katika Uchaguzi Mkuu ujao kwa kuwataka watanzania kumchagua rais fukara kuliko anayetafuta nafasi hiyo

CHADEMA Nusura Wampe Kichapo Andrew Chenge.......Aokolewa Kwa Risasi. CHADEMA Wanamshutumu Kupiga Muziki Karibu na Ofisi Zao

0
0
MBUNGE wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge juzi aliokolewa kwa risasi katika vurugu za kundi la wananchi, waliomvamia karibu na ofisi za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Simiyu na kusababisha taharuki katika ofisi za chama hicho.   Mmoja wa watu waliokuwa kwenye gari la mbunge huyo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), aliyekuwa na msafara wake kutekeleza shughuli za ubunge

Januari Makamba: Nikiukosa Urais Mwaka Huu Itakuwa Ni Vigumu Sana Kuupata Tena

0
0
Mbunge wa Bumbuli (CCM) na Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba amesema haweki utani katika suala la kugombea urais na akikosa kiti hicho kipindi hiki itakuwa vigumu kukipata miaka ijayo.    Makamba ameliambia  gazeti  la  Mwananchi, hivi karibuni , kuwa kauli zinazotolewa na watu, ikiwemo ile ya yeye kutumiwa kutangaza nia ili baadaye aje kumuunga mkono

CCM Wamjibu Dr. Slaa Kuhusu NEC......Wakanusha Kukisaidia Chama Kipya Cha ACT-Wazalendo

0
0
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, amekanusha madai yaliyotolewa na  Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilbroad Slaa, kwamba Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeanza kuandikisha Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika ngome za CCM na kueleza kuwa  huo ni upotoshaji mkubwa kwani Tanzania  nzima ni ngome ya chama hicho. Mbali

Afande Sele: Nikichaguliwa Kuwa Mbunge Nitakataa Posho na Mishahara Mikubwa

0
0
Mwana hip hop na Bongo Fleva nchini, Afande Sele, ameweka wazi kwamba hata kama atakuwa mwakilishi wa wananchi katika bunge la mwakani, hataweza kuacha kufanya muziki kwa kuwa ndiyo njia ya kumuingizia kipato.   Alisema licha ya kuwa bungeni, atakuwa akitegemea zaidi fedha zinazotokana na muziki wake badala ya kufikiria mishahara minono na posho zinazopatikana bungeni.   “Kazi

Udampo wa Bidhaa za nje Anguko la Shilingi ya Tanzania

0
0
Shilingi ya Tanzania itaendelea kuporomoka kila mara endapo nchi itaendelea kutegemea bidhaa toka nje kwa kiwango kikubwa kuliko inavyozalisha ndani.   Akizungumza na MPEKUZI Profesa Prosper Ngowi toka Chuo Kikuu cha Mzumbe alisema watanzania wasitegemee miujiza wa kukua kwa uchumi wa nchi yao endapo nchi itaendelea kuwa dampo la bidhaa toka nje ya nchi.   Alisema Tatizo kubwa la

IPTL Kujenga Zahanati Kawe

0
0
KAMPUNI ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), ambayo ni kampuni tanzu  ya Pan Africa Power Solutions (T) Limited (PAP), inatarajia kujenga zahanati katika Kata ya Kawe ili kupunguza tatizo la upatikanaji wa huduma za afya kwa wakazi wanaozunguka kampuni hiyo.   Kauli hiyo imetolewa jana na Katibu na Mshauri Mkuu wa Sheria wa makampuni hiyo, Joseph Makandege,  wakati

CCM Yaanza 'Kusaka' Wasaliti wa Chama Hicho

0
0
Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Philip Mangula amemaliza ziara yake katika majimbo ya Mkoa wa Dar es Salaam, na kuagiza kila mwanachama awe mlinzi wa mwenzake, amchunguze ili kuepuka wasaliti.   Akizungumza na waandishi wa habari jana, Mangula alisema kuna wanachama wamekuwa wakikisaliti chama hicho tangu mwaka 2010 na wengine bado wapo, ambao wamekuwa wakisababisha CCM

Serikali Yaanza Tathmini Kero za Muungano

0
0
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais( Muungano) Samia Hassan Suluhu amesema kero mbalimbali za Muungano zilizoibuliwa zimeanza kufanyiwa tathmini na Serikali.   Suluhu alisema hayo  jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa wakati alipokuwa akizindua onesho la miaka 51 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar.   Alisema moja ya hatua zilizoanza kuchukuliwa na Serikali juu

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya Tarehe 25 April 2015

0
0
Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumamosi  ya  Tarehe  25  April  2015

ACT-Tanzania Yabadili Jina

0
0
Chama kipya cha ACT-Wazalendo kinachoongozwa na Mbunge wa zamani wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto (pichani juu), kimebadili jina lake la awali la ACT-Tanzania. Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini imekubali maombi ya chama hicho huku ikiwataka kurudisha cheti cha usajili wa awali na kupewa cheti kingine. Awali ACTL-Wazalendo ilipata usajili kwa jina la ACT-Tanzania na

Muuguzi amchapa mjamzito viboko......Ni wakati wa uchungu wa kujifungua, Mtoto afia tumboni.

0
0
Muuguzi mmoja wa zahanati ya Muungano, Chamwino, mkoani Dodoma, amekumbwa na kashfa nzito baada ya kudaiwa kumchapa viboko mama mjamzito, wakati akiwa katika hali ya uchungu wa kujifungua na kusababisha mtoto aliyetaka kujifungua kufariki akiwa tumboni. Aidha, mama huyo ambaye kwa sasa amelazwa katika chumba cha uangalizi maalumu (ICU) katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma, hali

Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unataka kuimarisha mishipa yako ili uweze kwenda Raundi mbili na kuendelea??....Bofya hapa ukutane na JIKO

0
0
Neema  Herbalist  & Nutritional  Foods  Clinic  ni  wauzaji wa dawa  mbalimbali  za  asili. Tunapenda  kuwatangazia  wateja  wetu  kuwa  tunayo  dawa nzuri  ya  asili  inatibu na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume.  Dawa  hii iitwayo  JIKO  ni  ya  asili  kabisa  (PURE HERBAL) na inaponyesha  na  kumaliza  kabisa  tatizo  la  nguvu  za kiume

Zaidi ya Watu 900 Wadaiwa Kupoteza Maisha kwa Tetemeko la Ardhi Nchini Nepal

0
0
TETEMEKO la ardhi limetokea nchini Nepal jana  na na kupoteza maisha ya watu  ya 900 na kuangusha Mnara wa Karne ya 19 Mjini, Kathmandu pamoja na kusababisha maporomoko ya theluji kutoka katika milima.  Taarifa zinadai kuna uharibifu katika maeneo ya nje ya kitovu cha tetemeko hilo lenye ukubwa wa kipimo cha richter cha 7.9 maili 50 kutoka Pokhara mji wa pili kwa ukubwa nchini

Picha za Feeman Mbowe Alipounguruma Mkoani Simiyu

0
0
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, akizungumza na halaiki ya vijana wa chama hicho muda mfupi baada ya kuifunga kambi ya mafunzo ya vijana hao iliyofanyika Kijiji cha Lagangabilili Wilaya ya Itilima mkoani Simiyu juzi. Mamia ya wananchi wa Wilaya ya Itilima mkoani Simiyu, wakimshangilia Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),

Kusimamishwa Kwa Shindano la Miss Tanzania Kwa Misimu Miwili Kuko Palepale- BASATA

0
0
Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na taarifa kwenye vyombo vya habari na mitandao mbalimbali ya kijamii kwamba shindano la urembo nchini maarufu kwa jina la Miss Tanzania limefunguliwa na Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) na kwamba Kampuni ya Lino International Agency LTD ambayo ni waendeshaji wa shindano hilo imewataka mawakala wake kuanza maandalizi ya shindano hilo. Taarifa

Watanzania 26 Waliokuwa Afrika Kusini Warejea Nyumbani.......20 Wengine Kuhakikiwa na Kurejeshwa

0
0
Kundi la Watanzania 25 limerejea nyumbani kutoka Afrika Kusini jana tarehe 26 Aprili, 2015 kufuatia mashambulizi ya wazawa dhidi ya wageni. Kundi hilo la kwanza kurejea nyumbani liliwasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere saa 11 alfajiri na Ndege ya Fast Jet. Watanzania hao walikuwa wanaishi katika kambi za dharura za Isipingo na Phoenix zilizopo jijini
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images