Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Wapakistan 12 Wanaokabiliwa na Kesi ya Kusafirisha Dawa za Kulevya Wameomba Wapigwe Risasi Baada ya Kesi yao Kuzungushwa Kisutu ‪

$
0
0
Raia 12 wa Iran na Pakistan  wanaokabiliwa na kesi ya kukutwa na kuingiza nchini dawa za kulevya aina ya heroin kilo 200.5, zenye thamani ya sh. bilioni 9.02, wamelalamikia kucheleweshwa kwa kesi yao katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam.   Washtakiwa hao ni Kapteni Ayoub Mohamed, Buksh Mohamed, Fahiz Dauda, Khalid Ally, Abdul Somad, Saeed Sahury, Bashir Afraz, Morad Gwaram

Walimu Watatu Wamchapa Mwanafunzi wa Kidato cha Pili viboko Hadi Kufariki kwa Kufeli Mtihani wa Kiswahili huko KITETO

$
0
0
Picha  ya  Maktaba Mwanafunzi wa kidato cha pili katika Shule ya Sekondari Matui wilayani Kiteto, amefariki dunia darasani baada ya kudaiwa kuchapwa viboko na walimu watatu wa shule hiyo, kwa kile kilichodaiwa kufeli mtihani wa Kiswahili.    Polisi wilayani na mkoani Manyara, wanamshikilia mwalimu mmoja baada ya wenzake kukimbia baada ya tukio.   Akizungumza jana, Mkuu wa Wilaya ya

Hapa Nina Tamko La Jeshi La Polisi Pamoja Na Video Ya Tukio Zima La Majambazi Yaliyonaswa Jana Jijini Dar Baada ya Kumpora Mzungu

$
0
0
Watuhumiwa wanne wamekamatwa jijini Dar es Salaam katika makutano ya barabara ya Bibi Titi na Ohio karibu na Hotel ya Serena baada ya kumpora raia wa kigeni wakiwa na gari dogo rangi ya kijivu yenye nambari za usajili T787 DBU Toyota Cienta. Hivi karibuni kumeibuka wimbi la wahalifu kuwapora pesa na vitu vya thamani kama mikufu, bangili, hereni pia pete na vitu mbalimbali vya thamani

Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unataka kuimarisha mishipa yako ili uweze kwenda Raundi mbili na kuendelea??....Bofya hapa ukutane na JIKO

$
0
0
Neema  Herbalist  & Nutritional  Foods  Clinic  ni  wauzaji wa dawa  mbalimbali  za  asili. Tunapenda  kuwatangazia  wateja  wetu  kuwa  tunayo  dawa nzuri  ya  asili  inatibu na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume.  Dawa  hii iitwayo  JIKO  ni  ya  asili  kabisa  (PURE HERBAL) na inaponyesha  na  kumaliza  kabisa  tatizo  la  nguvu  za kiume

Mapambano Bado Yanaendelea......Jana CHADEMA na ACT-Wazalendo Nusura Wakutane Uso Kwa Uso Nyumbani Kwa Baba wa Taifa. Vurugu Za Mnyika Ziligonga Mwamba Kwa Mara Nyingine

$
0
0
Mtoto wa Hayati baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Andrew Nyere, akiteta jambo na Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe na kuvaa kofia ya Chama cha ACT-Wazalendo wakati viongozi wa chama hicho walipofanya ziara kijijini Mwitongo Wilayani Butiama. ************ Viongozi  wa Chama cha ACT-Wazalendo na Chama cha Demokrasia na Mendeleo (CHADEMA), jana nusura wakutane uso kwa uso

Mambo Yameiva: Mmiliki wa Gombe high School, Dkt Yared Fubusa Atangaza Nia Ya Kugombea Ubunge Jimbo La ZITTO KABWE Kwa Tiketi ya CHADEMA

$
0
0
Mwanzilishi na  Mkurugenzi wa Gombe school of Environment and Society (GOSESO) na mmiliki wa Gombe high school, Dkt Yared Fubusa ambaye pia ni kada wa chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) ametangaza nia ya kugomba ubunge jimbo la Kigoma kaskazini kupitia chama hicho. Akiongea na mtandao huu, Dkt Fubusa amesema kuwa ameamua kutangaza nia ya kugombea ubunge na kipaumbele cha

Breaking News: Watu 10 Wafariki Dunia Baada ya Basi la kampuni ya Unique Kugongana na Gari la Coca Cola

$
0
0
Habari  zilizotufikia  zinaarifu  kuwa  basi la Unique lenye namba za usajili T148 BKK likitokea jijini Mwanza kwenda Tabora limegongana uso kwa uso na lori la kampuni la Cocacola katika kijiji cha Ibingo kata ya Samuye Shinyanga. Watu 10 wamefariki na  50 wamejeruhiwa.Majeruhi wamekimbizwa katika hospitali ya mkoa wa Shinyanga. Picha  na  habari  ya  kina  itakuijia  baadae.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya Tarehe 23 April 2015

$
0
0
Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Alhamisi  ya  Tarehe  23  April  2015

Serikali Yaainisha Asasi za Dini na Kiraia Zitakazofutwa........Yakanusha Mpango wa Kufuta Asasi Zinazojihusisha na Siasa

$
0
0
Wizara  ya Mambo ya Ndani ya Nchi imesema kuwa  vyama ambavyo vitafutwa ni vile tu ambavyo haviwasilishi taarifa za kila mwaka za ukaguzi wa hesabu na ada ya kila mwaka kama sheria inavyoelezea.   Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Dar es Salaam jana na  kusainiwa na Msemaji wa Wizara hiyo Isaac Ntanga, alieleza kuwa ni vyema ikaeleweka kuwa zoezi linaloendelea kwa sasa halihusiani na

Watumishi Mafisadi Kitanzini....Serikali Yaibuka na Mwongozo Mpya , Tume ya Maadili Yapewa Meno Makali

$
0
0
Serikali imeendelea na mikakati ya kuwadhibiti viongozi wa umma wanaokiuka maadili na kushiriki kwenye vitendo vya wizi na ufisadi, ambapo sasa imeunda mwongozo mpya utakaotumika kuwabana.   Mwongozo huo ambao unatajwa kuwa suluhisho na mwarobaini wa watumishi wezi na wanaokwenda kinyume, pia utaipa meno zaidi ya kiutendaji, Sekretari ya Maadili ya Viongozi wa Umma, tofauti na ilivyo

Busu la Kajala Lilinifanya Nilale Usingizi Mnono- Senga

$
0
0
Mchekeshaji maarufu Bongo, Joseph Senga ‘Senga’ amefunguka kuwa busu alilompiga staa wa kike wa filamu, Kajala Masanja lilimfanya alale usingizi mnono sana ukizingatia kuwa hajawahi kubusu shavu laini kiasi hicho kwasababu warembo wengi wanazingua. Akizungumza na Centre Spread, Senga alisema alipata fursa hiyo ya kumpiga busu wakati wakiigiza filamu matata ya Pishu iliyoandaliwa na

Majambazi Yavamia Kanisani na Kuiba Chombo Kinachotumika Kuhifadhia Ekaristi Takatifu......Kwa Mujibu wa Sheria Za Roma, Ukristo Ndo Basi Tena Eneo Hilo

$
0
0
Watu watano wamevamia na kuvunja madirisha ya Kanisa Katoliki la Mtakatifu Joseph, Parokia ya Malolo na kuiba chombo kinachotumika kuhifadhia ekaristi takatifu (TABERNACULO).   Imeelezwa kuwa majambazi hayo yalidhani chombo hicho kimetengenezwa kwa dhahabu.   Tukio hilo lilitokea juzi, saa 8:30 usiku, baada ya majambazi hayo kuvunja madirisha ya kanisa hilo.   Kanisa hilo ni

Vyama Vingi vya Siasa Vinatamaa ya Madaraka na Vyeo - Zitto Kabwe

$
0
0
Kiongozi Mkuu wa Chama cha Alliance for Change and Transparency ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema kuwa vyama vingi vya siasa nchini,vinasumbuliwa na uroho wa madaraka pamoja na vyeo. Aliongeza kuwa vyama hivyo katika mikutano yake vimekuwa vikiacha kueleza matatizo yanayowakabiliwananchi badala yake ni kutukana mwanzo mwisho. Zitto alitoa kauli hiyo juzi wakati akizungumza na wakazi

Mkuu wa Jeshi La Polisi Nchini (IGP), Ernest Mangu Apiga Marufuku Vyama Vya Siasa Kuwa na Vikundi Vya Ulinzi

$
0
0
INSPEKTA Generali wa Polisi (IGP), Ernest Mangu amepiga marufuku vikundi vya ulinzi vya vyama vya siasa ambavyo vina muonekano na muundo wa vyombo vya usalama, kwani ni kinyume cha katiba na sheria ya nchi. Vilevile, amevitaka vyama hivyo kuhakikisha vinafuata muongozo uliotolewa na Ofisi ya Msajili wa vyama hivyo na kama vikienda kinyume jeshi litapambana navyo. Mangu  alitoa tamko

Mwanafunzi afariki kwa kupigwa na radi

$
0
0
Mwandishi wetu. MWANAFUNZI wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Kyela, iliyoko Mkoa wa Mbeya, Kharid Omary (13), amefariki dunia baada ya kupigwa na radi. Pamoja kifo hicho, watoto wengine wawili walipoteza fahamu kutokana na radi hiyo. Tukio hilo lilitokea juzi saa 12 jioni katika Kitongoji cha Bondeni, wakati mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali ilipokuwa ikinyesha.

Viziwi Hawapati Haki ya Kuwasiliana

$
0
0
CHAMA cha Viziwi  kimeiomba Serikali  na taasisi zake  kuandaa mikakati mahususi  na mipango bora  endelevu ya kuendeleza  Lugha ya Alama(LAT)  na kuondoa vikwazo vya mawasiliano kwa viziwi.   Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Profesa  Hendry Monzale, alisema ni vyema serikali ikachukua hatua za haraka  kuwaandaa wataalamu wa lugha ya alama

Janga la mabadiliko ya nchi lanukia.

$
0
0
Mwandishi wetu. HALI ya mazingira nchini imeendelea kuwa mbaya ambapo zaidi ya hekari 400,000 za misitu hupotea kila mwaka huku matukio ya uchomaji moto ovyo yakiongezeka hadi kufikia 1,123,000 kwa kipindi cha mwaka 2000-2011.   Hayo yalibainishwa jana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Mhandisi Dk. Bilinith Mahenge, wakati wa uzinduzi wa ripoti ya pili ya hali

Madereva waendelea kuigomea Serikali.

$
0
0
Mwandishi wetu. UMOJA wa Madereva Tanzania umegomea tamko la Serikali kwa madai kuwa hoja zao za msingi hazijajibiwa kama vile walivyoagiza.   Aprili tisa madereva hao walifanya mgomo wa nchi nzima kwa masaa saba wakiishinikiza serikali kutatua madai yao ya miaka mingi ambayo hayajapatiwa majibu.   Akizungumza na MPEKUZI Katibu Mkuu wa Umoja huo, Rashid Salehe, alisema wanalipinga

Mkuu wa shule alilia bweni kupunguza mimba

$
0
0
Mwandishi wetu SHULE ya Sekondari  ya Zimanimoto iliyopo Kata ya Ruvuma Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma, inakabiliwa na chanagamoto ya ukosefu wa bweni la wasichana, jambo ambalo linachangia wanafunzi wa kupata mimba. Hayo yalielezwa na mkuu wa shule hiyo, Kandidus Kowero,  mbele ya meneja wa Benki ya Posta tawi la Songea ,Joseph Shirima, ambaye alienda kutoa zawadi kwa wanafunzi

Wanafunzi wasomea kwenye mti Dodoma

$
0
0
Dodoma; WANAFUNZI wa Shule ya Msingi Chang’ombe B, iliyopo katika Manispaa ya Dodoma, wanalazimika kusomea chini ya mti kutokana na uhaba wa vyumba vya madarasa. Taarifa hiyo ilitolewa mjini Dodoma juzi na Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo, Jacob Kalonga, alipokuwa akitoa taarifa kwa Ofisa Elimu, Mkoa wa Dodoma, Juma Kaponda, aliyekuwa ametembelea shuleni hapo Kalenga alimwambia ofisa elimu
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live


Latest Images