Mlinzi wa baa ya Darajani Stop Over iliyo kando kando ya barabara kuu
ya Morogoro Dar es salaam jirani na daraja la Mzambarauni
Bw Mika Athumani amechinjwa na majambazi usiku wa kuamkia leo.
Habari
zilizopatikana eneo la tukio zilidai kwamba majambazi hayo yalivamia baa hiyo iliyojitenga usiku wa manane na kumvamia mlinzi huyo
na kumchinka kama kuku na baadae kuvunja baa hiyo
MLINZI WA BAR ACHINJWA KIKATILI NA MAJAMBAZI USIKU WA KUAMKIA LEO
↧
↧
SERIKALI YAAHIDI KUWACHUKULIA HATUA KALI VIONGOZI WA WIZARA YA ELIMU WALIOSABABISHA UBOVU WA MATOKEO YA FORM FOUR
Mizengo Pinda.
Serikali
imeahidi kuwajibisha watendaji watakaobainika kwenda kinyume katika
uingizaji wa mfumo mpya wa usahihishaji mtihani wa Kidato cha Nne mwaka
2012, ambao matokeo yake yamefutwa.
Akijibu
swali la papo kwa hapo la Mbunge wa Viti Maalumu, Magdalena Sakaya
(CUF), Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alisema kinachosubiriwa sasa, ni
maelezo ya kina ya Tume ya Taifa
↧
"NIMEAMUA KUTOA PICHA ZANGU ZA NUSU UCHI ILI NIMUONESHE LOVENESS DIVA KWAMBA MIMI NI
Mrembo wa kenya anayedai kuporwa mume na loveness Diva wa clouds Fm ameamua kuachia picha zake za laana kwa lengo la kuonesha ubabe wake wa Diva.....
Huddah anamtaka DIVA naye atoe pix zake alafu jamii ilinganishe ni nani BOSS....!!!
...DIVA , Boss anaomba umjibu kwa vitendo...Vinginevyo anataka umuachie mpenzi wake na badala yake umrudie
↧
"TAFUTA HELA MBWA WEWE....HATA HELA YA SIGARA HUWA UNAOMBA CLUB"..HAYA NI MATUSI ALOPEWA TID BAADA YA KUMTOSA LADY JAYDEE
↧
PICHA ZA NUSU UCHI ZA KUNDI LA "ZE KOMEDI' ZAVUJA'.....HII NI ZAIDI YA AIBU
Picha
za aibu zinazowaonesha wasanii wa kundi la Ze Komedi wakiwa kwenye fukwe moja
ya huko Kigamboni zimezua balaa kubwa ......
Happy kabla hajavua nguo....
==
Mtandao huu umefanikiwa kuzipata picha hizi kutoka kwa msomaji wetu mpendwa ambaye kwa uzalendo wake ametutumia kwa njia ya email huku akielezea kwa kifupi kuhusu sakata hilo la aibu.....
↧
↧
WANAWAKE JIJINI MBEYA WAMVAA MCHUMBA WA DR. SLAA BAADA YA KUMKASHIFU MKE WA RAIS KIKWETE
UMOJA
wa wanawake wa chama cha Mapinduzi Mkoani Mbeya(UWT) umemshukia
Bi.Josephine Mushumbusi ambaye ni mchumba Katibu Mkuu wa chama chaDemokrasia na maendeleo CHADEMA kufuatia kauli za udhalilishaji dhidiya Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.
Hatua hiyo inatokana na kauli za kiudhalilishaji zilizotolewa mwishoni
mwa wiki na mchumba huyo wa Katibu Mkuu wa Chadema kuwa mama Kikwete
↧
HAYA NDO MAJINA YA WANAFUNZI WA CBE NA UDSM WALIONASWA WAKIJIUZA ( MAKAHABA)
Wanafunzi wa kike wa chuo kikuu cha Dar es salaam [UDSM],Chuo cha elimu
ya biashara [CBE]na chuo cha mamlaka ya Elimu na ufundi stadi
[VETA],Dar es salaam ,wamefikishwa katika mahakama ya jiji samora
wakidaiwa kufanya biashara ya kuuza mili yao.Washitakiwa
hao waliokamatwa katika eneo la kona Baa Ambiance Sinza wilayani
kinondoni ambao ni miongoni mwa wanawake 35 wanaodaiwa kufanya
↧
BAADA YA KUWEPO HOFU YA MAANDAMANO, MJI WA MTWARA WATAWALIWA NA UKIMYAA, SHUGHULI ZA SIMAMA, ULINZI KILA KONA
Hakukuwa na hali yeyote ya uvunjifu wa amani
Ulinzi umeimarishwa kila kona
Hali
ya usalama ndani ya Manispaa ya Mtwara-Mikindani ni tete. Soko Kuu,
kituo kuu cha mabasi na maduka yamefungwa tangu asubuhi.
Usafiri wa
Pikipiki unapatikana katika baadhi ya maeneo machache ya mji, huku maneo
makuu ya biashara yakiwa wazi bila ya pilikapilika za watu kama ilivyo
kawaida.
↧
ELIMU YA SHULE ZA MSINGI ITAKUWA NI MIAKA 10 BADALA YA 7
RASIMU ya Sera ya Elimu na Mafunzo
nchini inapendekeza kuunganisha elimu ya msingi na sekondari ya kawaida
ya sasa ili kuunda elimu-msingi itakayotolewa kwa kipindi cha miaka 10
kuanzia mwaka 2018, imefahamika.
Rasimu ya kwanza ya Sera hiyo
imeshakamilika na sasa wadau mbalimbali wanatoa mapendekezo yao
kuiboresha, kabla ya kupelekwa bungeni ili kutungiwa sheria.
Aidha,
↧
↧
MTOTO ALIYEPIGWA MAPANGA NA BABA YAKE AFARIKI DUNIA
Mtoto Devotha Gerald (4) aliyepigwa mapanga na baba yake, polisi mstaafu
Samson Bwire Amefariki dunia baada ya jitihada za madaktari kuokoa
maisha yake kushindikana...
Mtuhumiwa wa tendo hilo ambaye naye alipigwa vibaya na wananchi wenye hasira yuko mikononi mwa jeshi la polisi....
Tendo hili lilitokea mkoani Shinyanga.
Kama haukuona habari hiyo ya
kusikitisha, ya
↧
HOFU YATANDA BUNGENI KUTOKANA NA TETESI ZA SHAMBULIO LA KIGAIDI MJINI DODOMA
Hali ya wasiwasi imelikumba Bunge la Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, baada ya kuwepo kwa tetesi ya shambulio la kigaidi katika
maeneo ya Bunge.
Hali hiyo inafuatia ujumbe mfupi wa maneno
uliosambazwa, ukitaadharisha kuwa kuna tukio la kigaidi limepangwa
kufanywa katika eneo la Bunge.
Ujumbe huo uliosambazwa kwenye simu za baadhi ya wabunge ulisomeka
↧
AIBU: MCHUNGAJI NA WANAKWAYA WATWANGANA NGUMI KANISANI
KATIKA
hali isiyo ya kawaida, ugomvi mkubwa umetokea kwenye Kanisa la AICT, kati ya
baadhi ya wanakwaya wa kanisa hilo linalofahamika kwa jina la “Bupandwa” na
mchungaji wao Petro Masule.
Tukio hilo la aina yake, limetokea kwenye Kijiji Bupandwa,Kata ya
Bupandwa, Wilaya ya Sengerema, mkoani Mwanza.
Wanakwaya hao walisimamishwa kutoa huduma Kanisani kwa
njia ya uimbaji kwa kosa la
↧
YANGA YAICHAPA SIMBA 2-0, VURUGU ZATOKEA UWANJANI REFA APIGWA
Shabiki
wa Yanga ambaye jina lake halijapatikana alikatwa kidole baada
ya jazba kati ya washabiki wa timu za Yanga na Simba zilizopelekea
Mashabiki hao kuchapana makonde leo kabla ya mechi kuanza.Tukio hilo
lilitokea katika eneo la Mwembe Yanga.
Timu ya Yanga imeonyesha ubingwa kwa kuichapa timu ya Simba mabao 2
kwa 0 huku vituko na vioja vingi vikijili uwanjana ikiwepo kichapo kwa
↧
↧
"MIMI SIYO MSAGAJI....NIPO TAYARI KUWATAJA WANAUME NILIOLALA NAO"...HALIMA MDEE
Kupitia
season mpya ya Clouds Fm, ndani ya so so fresh na fetty, Mh Halima Mdee
jana amefunguka juu ya swali aliloulizwa kuhusu story zilizosambaa kuwa
anashiriki mapenzi ya jinsia moja.
Hii ndo kauli yake:"Unajua huwezi kuzuia watu
kusema, na mimi huwa sihangaiki na watu wanasema nini, lakini ukitaka
kumjua Halima unaweza ukamchunguza kirahisi sana, kwa kumuangalia
alipotoka,
↧
HUYU NDO MBUGE ALIYEDONDOKA JANA BUNGENI
MBUNGE wa Viti Maalumu wa Chama cha Demokrasia na
Maendeleo (Chadema), Mwanamrisho Taratibu Abama jana asubuhi aliugua na kuanguka ghafla katika viwanja
vya Bunge na kukimbizwa hospitali....
Tukio hilo lilitokea wakati akienda kuhudhuria
semina ya wabunge kuhusu Rasimu ya Sera ya Gesi Asilia kabla ya kukosa nguvu na kudondoka na kisha kusaidiwa na wenzake kumkimbiza kwenye
↧
MR. NICE AURUDIA TENA "UKICHECHE" ULIOMFANYA AFILISIKE
Hakika Tabia ni ngozi....
Ni vigumu kuamini, lakini ukweli ni kwamba Mr.Nice ameirudia tena ile tabia yake ya Ukicheche na kuwapanga wanawake mithiri ya vyombo kabatini iliyomfanya afulie na hatimaye kuwa omba omba.....
Taarifa toka nchini Kenya ambako kwa sasa msanii huyo yupo huko ni kwamba, Mr. Nice kwa sasa alala baa akiwa amezungukwa na
↧
MMILIKI WA JAMIIFORUMS NA NDUGU ZAKE WAPATA AJALI MBAYA
Mmoja wa waanzilishi na wamiliki wa Jamii Forums, Maxence Melo, amepata
ajali ya gari katika barabara kuu iendayo Mwanza; kilometa chache
kutoka Nzega mjini.
Mwanzilishi mwenzie na msemaji wa Jamiiforums, Mike Mushi, amesema
Maxence na ndugu yake ambaye naye alikuwepo kwenye ajali hiyo,
walikimbizwa katika hospitali ya Rufani ya Bugando kwa matibabu na
uchunguzi zaidi.
Bw.
↧
↧
"WANAOCHOCHEA VURUGU ZA KIDINI NI WATU WALIOTUMWA NA MATAIFA YA NJE"..... RAIS KIKWETE
Rais Jakaya Kikwete amebainisha kuwa vurugu za kidini na kisiasa zinazotokea nchini, zina uhusiano na watu wa nchi za nje.
Kikwete alitoa
kauli hiyo jana kwenye ibada maalumu ya kuwekwa wakfu kwa Askofu Mkuu
wa Sitta wa Kanisa Anglikana Tanzania, Dk Jacob Chimeledya.
Rais Kikwete alikuwa mgeni rasmi kwenye ibada hiyo iliyofanyika kwenye Kanisa Kuu la Roho Mtakatifu.
“
↧
MBUNGE WA IRINGA AWAONGOZA WANANCHI KUFANYA VURUGU
↧
MBUNGE WA IRINGA ( PETER MSIGWA ) ATIWA MBARONI BAADA YA KUONGOZA WANANCHI KUFANYA FUJO
mbunge wa jimbo la Iringa mjini mchungaji Peter Msigwa akiwasili eneo la vurugu kabla ya kuanza kwa vurugu hizo
Mbunge Msigwa akiondoka eneo la mashine tatu
Machinga wakisukuma gari ya mbunge Msigwa
Polisi wakimfuatilia mbunge Msigwa kwa nyuma baada ya kufika eneo hilo bila kufanya biashara kama alivyoahidi
Polisi wakianza kufukuza wananchi eneo
↧
More Pages to Explore .....