Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya Tarehe 30 March 2015

0
0
Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumatatu  ya  Tarehe  30  March  2015

Wananchi Toka Mara Waandamana Kwenda Monduli Kwa Lowassa.......Wamkosa na Kuacha Ujumbe Mzito Kwa CCM

0
0
WANANCHI wa wilaya ya Serengeti mkoani Mara wamekitaka Chama Cha Mapiduzi (CCM) kutokuzuia demokrasia ya wanachama kushawishi wagombea wa Urais wanaoona kuwa wanafaa kuwatetea kiti hicho.Wakizungumza juzi  baada ya kufika nyumbani kwake kwa lengo la kumshawishi Waziri Mkuu mstaafu na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa kugombea nafasi ya Urais, wananchi hao walisema kuwa ni vyema

Watu 15 Wakamatwa Katika Jaribio la Kutaka Kumtorosha Mchungaji Gwajima.....Walikuwa na Bastola, Risasi 17 na Vitabu Vya Hundi

0
0
JESHI la Polisi linawashikilia na kuwahoji watu 15 kwa tuhuma za kutaka kumtorosha kutoka Hospitali ya TMJ Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima lililopo jijini, Dar es Salaam, Joseph Gwajima aliyelazwa hapo tangu usiku wa kuamkia juzi.   Gwajima amelazwa ikielezwa hali yake ilibadilika wakati akihojiwa na makachero wa Polisi waliokuwa wanamhoji baada ya kujisalimisha baada ya kutakiwa

Vurugu na Matusi Zatawala Kwenye Semina ya Wabunge Kuhusu Sakata la Mahakama ya Kadhi......Wabunge Wegi Wapinga Kuanzishwa Kwa Mahakama hiyo

0
0
Mambo magumu yameibuka katika suala la kujadili uanzishwaji wa Mahakama ya Kadhi, baada ya kutokea  malumbano makali na vurugu huku idadi kubwa ya wabunge wakiitaka serikali kuuondoa Muswada wa Mahakama ya Kadhi usiwasilishwe bungeni.  Wabunge wengi walisema kufanya hivyo kunaweza kusababisha mpasuko na kuvunjika kwa amani nchini. Aidha, wamesema suala la Mahakama ya Kadhi linataka

Hemed PHD Afunguka Kuhusu Kutumia Poda za Kike, Ndoa yake Kubuma na Kwanini Anapendwa Sana na Wadada

0
0
Udaku  TV  imefanya  mahojiano  ya  kina  na  msanii  wa  Filamu  Nchini, Hemed  PHD  ambaye  pamoja  na  mambo  mengine  ameeleza  sababu  za  kutumia  poda  na  lipshine  za  kike, Ndoa  yake  kubuma  na  kwa  nini  mademu  wanapenda  kumshobokera. Msikilize  hapo  chini  Akifunguka.

Wema Sepetu Na Idriss Wa Big Brother Wazua Gumzo

0
0
Staa wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ na Mshindi wa Big Brother Africa 2015, Idris Suleiman wamezua gumzo hivyo mwanadada huyo kufunguka na kuweka mambo hadharani.   Wikiendi iliyopita, picha zao wakifanya shopping kwenye supermarket moja iliyopo Makumbusho jijini Dar zilizua mtafaruku kwa mashabiki wao ndipo staa huyo wa kike akafunguka.   “Shopping

Askari aliyekutwa na noti bandia afukuzwa kazi

0
0
JESHI la Magereza nchini, limemfukuza kazi askari wake wa Gereza la Bariadi, mkoani Shinyanga kwa kosa la kupatikana na fedha za bandia kinyume cha sheria.   Taarifa iliyotolewa jana na Mkaguzi wa Magereza, Lucas Mboje na kusainiwa na Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, John Minja, ilimtaja askari huyo kuwa ni Namba B. 6499 Wdr. Edmund Masaga.   Alisema askari huyo amefukuzwa kazi

Hotuba ya Zitto Kabwe Wakati wa Uzinduzi wa Chama Chake Kipya Cha ACT wazalendo

0
0
Watanzania wenzangu, wageni waalikwa Nawashukuru kwa kuwa pamoja nasi siku hii ya kihistoria.   Karibu Miaka 54 iliyopita tulipopata uhuru, Muasisi na Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa kijana mwenye umri wa miaka 39, mwenye matumaini makubwa na taifa jipya na alikuwa na ndoto!    Ndoto yake ilikuwa imejikita katika kuhakikisha taifa letu litakuwa taifa lisilo

Sheria Kali Yaandaliwa Kuwabana Wahalifu wa Mitandao......Ukinaswa Unasambaza Picha za UCHI, Taarifa za Uongo na Matusi Kifungo chake ni Miaka 10 Jela

0
0
WAHALIFU wa mtandao pamoja na wasambazaji wa picha za utupu na ngono, wasambazaji wa taarifa za uwongo, za kibaguzi na matusi na watu wengine ambao wanafanya udanganyifu unaohusiana na kompyuta wametungiwa sheria kali ambayo itawafanya kwenda jela hadi miaka 10 au kulipa faini isiyopungua Sh milioni 50.   Miongoni mwa miswada ya sheria utakaowasilishwa bungeni na Serikali wiki hii mjini

Rais Mugabe ' Amlilia ' Nyerere......Aimwagia Sifa Tanzania

0
0
Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU), Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe amefungua mkutano wa tatu wa pamoja baina ya viongozi vijana wa Afrika na China, akitumia muda mwingi wa hotuba yake ‘kumlilia’ Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere.   Mbali ya Nyerere, Rais Mugabe pia alitumia mkutano huo kuwakumbuka waasisi wa mataifa mbalimbali ya Afrika, huku akiimwagia sifa Tanzania kwa mchango mkubwa

Rais Kikwete Awasili Marekani Kwa Mwaliko wa Umoja Wa Mataifa

0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete Jumapili, Machi 29, 2015 amewasili jijini New York, Marekani kwa mwaliko wa Umoja wa Mataifa.   Miongoni mwa mambo mengine, Rais Kikwete amefunguia rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa, na Jumatatu Machi 30, 2015 amealikwa kuhutubia Baraza la Umoja

Watu Watano Wajeruhiwa Vibaya baada ya Kuangukiwa na Kifusi Cha Ukuta wa Jengo la Ghorofa 7 Jijini Mwanza

0
0
Watu watano katika Wilaya ya Nyamagana jijini Mwanza wamenusurika kifo baada ya kuangukiwa na kifusi wakati wakiwa kwenye maandalizi ya kujenga jengo lililotegemewa kuwa na ghorofa saba, eneo la Nyerere Road,   jana majira ya saa sita mchana.   Akizungumza na waandishi wa habari eneo la tukio, Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana, Baraka Kunisaga alisema kuwa amesikitishwa na tukio hilo ambapo

Kaka Yake Gwajima Amtaka Amuombe Radhi Pengo

0
0
Kaka wa Askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima aitwaye Methusela Gwajima amemtaka mdogo wake kwenda kumuomba radhi Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki Dar es Salaam Mhadhama Polycarp Kadinali Pengo kwa kutoa lugha ya kumkashifu.   Akizungumza na wanahabari leo Jijini Dar es Salaam, Methusela alisema ameamua kutokufumbia macho kitendo cha ndugu yake kumkashifu Pengo na kwamba

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya Tarehe 31 March 2015

0
0
Habari  Zilizopo  Katika  Magazeti  ya  Leo  Jumanne  ya  Tarehe  31  March  2015

Ufafanuzi wa Tukio la Kula Njama na Kujaribu Kumtorosha Askofu Josephat Gwajima Akiwa Hospitali.....

0
0
Tarehe 30/03/2015 waandishi wa habari walifika kituo Kikuu cha Polisi wakitaka kujua uhalali wa silaha iliyokamatwa tarehe 29/03/2015. Silaha hiyo ni Bastola aina ya BERRETA yenye namba CAT5802 ikiwa na risasi tatu. Pia zilikamatwa risasi 17 za Short Gun.Ufafanuzu ni kama ifuatavyo:Uchunguzi wa kina na wa kitaalam sasa umethibitisha kwamba silaha hiyo inamilikiwa kihalali na Askofu Josephat

Rais Kikwete Asubiriwa Kutia Saini Ili Watu Kumi Wanyongwe

0
0
Utekelezaji wa adhabu ya kifo kwa watu 10 waliohukumiwa kunyongwa hadi kufa, kutokana na kuhusika katika mauaji ya watu wenye ulemavu (albino), unasubiri saini ya Rais Jakaya Kikwete.   Hayo yalibainishwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Ame Silima, wakati akijibu swali la nyongeza la mbunge wa Lindi Mjini, Salum Barwany (CUF).   Katika swali lake, Barwany, alitaka

Kesi ya Mchungaji Mtikilia Kupinga Mahakama ya Kadhi Imeanza Kuunguruma Mahakamani......Mtikila Anapinga Mahakama hiyo Kujadiliwa Bungeni,Serikali kutoa Majibu Leo Kortini

0
0
Mwenyekiti wa Democratic Party (DP), Mchungaji Christopher Mtikila, ameiomba Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam, kutoa amri kwa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kusitisha kujadili suala lolote linalohusu kuanzishwa kwa Mahakama ya Kadhi. Mtikila aliwasilisha maombi yake jana mbele ya jopo la majaji watatu likiongozwa na Mwenyekiti, Jaji Richard Mziray, anayesaidiana

Profesa Lipumba na Dr. Slaa Wamjulia Hali Gwajima......Walitupia Lawama Jeshi la Polisi.

0
0
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba, jana alimtembea Askofu Gwajima hospitalini hapo kumjulia hali. Lipumba  amekuwa kiongozi wa pili wa kisiasa kufika hospitalini hapo kumjulia hali Gwajima, baada ya Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa aliyefika kwa mara ya kwanza Jumamosi na kurudi tena jana. Profesa Lipumba ambaye hivi karibuni pia aliishiwa nguvu

Mbunge Shyrose Bhanji Afunguka Ugonjwa Unaomsumbua

0
0
Mbunge katika bunge la Afrika Mashariki,Shyrose Bhanji amefunguka ugonjwa unaomsumbua kwa muda mrefu uliomfanya alazwe katika hospitali ya Agha Khan,jijini Dar.   Akizungumza na Clouds Fm, Shyrose alisema kuwa amekuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa Pumu(asthma) kwa muda mrefu tangu akiwa mdogo lakini safari hii ugonjwa ulizidi sana hali iliomfanya kulazwa hospitali kwa siku kadhaa.   "

Msanii Keisha Anusurika Kufa

0
0
Msanii wa Bongo Fleva,Khadija Shabani’Keisha’ amenusurika kufo baada ya kupata ajali maeneo ya Maktaba,Posta jijini Dar.   Akizungumza na mtandao  huu,Keisha alisema kuwa alikuwa akitoka chuoni CBE na kwamba alikuwa akimfuata mumewe alipofika maeneo hayo ndipo lilipotokea gari na kumuovateki na kuligonga gari lake.   Aidha alisema kuwa alisikia maumivu na alipokwenda hospitali
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images