Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akilakiwa kwa furaha na Mbunge wa
Jimbo la Monduli, Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa wakati wa mapokezi
yaliyofanyika Makuyuni, tayari kuanza ziara mkoani Arusha jana ikiwa ni
mwendelezo wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua miradi inayotekelezwa
kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM, pamoja na kusikiliza kero za Wananchi na kuzitafutia
Lowassa: Nawapongeza Katibu Mkuu wa CCM , Ndugu Kinana na Nape Kwa Kazi Kubwa Wanayoifanya ya Kuimarisha Chama
↧
↧
Hatima Ya Chenge Na Wenzake Mikononi Mwa Rais
Hatima ya tuhuma za Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge na wenzake kuhusu fedha walizopata kutoka iliyokuwa akaunti ya Tegeta Escrow, iliyokuwa Benki Kuu (BoT), itapelekwa kwa Rais Jakaya Kikwete.
Ofisa Sheria Mkuu wa Sekretarieti ya Maadili, Filotheus Manula, ameliambia mwandishi kuwa, baada ya Baraza la Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kukusanya tuhuma pamoja na utetezi
↧
Diamond si yupo na Zari au? Sidhani kama amemind mimi kufanya kazi na Wema – Ommy Dimpoz
Kwa imani ya watu wengi Ommy Dimpoz ana kesi ya kujibu kwa Diamond
Platnumz baada ya kumtumia Wema Sepetu kwenye video ya wimbo wake mpya
Wanjera.
Hata hivyo Ommy amesema haoni kama kuna tatizo lolote kati yake na
swahiba wake huyo licha ya Diamond kutoandika chochote kuhusiana na
wimbo huo kama ambavyo amekuwa akifanya kwa wasanii wengine.
Ommy amekiambia kipindi cha XXL cha
↧
Aliyejifanya Katibu wa Ikulu ya Rais Kikwete Atiwa Mbaroni Jijini Dar
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linamshikilia mkazi wa Mbagala Rangi Tatu, Haroub Mtopa (44) kwa kujifanya mtumishi wa umma kupitia cheo cha Katibu wa Rais, Jakaya Kikwete, Prosper Mbena.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam, Kamishna wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, alisema mtuhumiwa huyo alikamatwa juzi jioni.
Kova alisema Mtopa
↧
Mafuriko Shinyanga: Rais Kikwete Ashangazwa na Utendaji Kazi Mbovu wa Kamati ya Maafa
Utendaji kazi wa kusuasua unaotekelezwa na kamati ya maafa ya mkoa wa
Shinyanga umemshangaza Rais Kikwete kwa kushindwa
kuwahudumia waathirika kwa wakati hali iliyosababisha migogoro na
marumbano ya kisiasa bila sababu za msingi wakati serikali inawajibu wa
kuwahudumia wananchi wake wanapopatwa maafa.
Hali hiyo imetokea katika kijiji cha Mwakata wilayani Kahama mkoani
Shinyanga
↧
↧
Mtoto Albino Anusurika Kuuawa na 'Wawindaji' wa Albino Alipokuwa Mpirani Akicheza
Picha Ya Maktaba.
Mtoto wa umri wa miaka sita, mwenye ulemavu wa ngozi (albino), anayeishi Kijiji cha Ndoleleji, amekoswakoswa na watu waliokuwa wakimvizia akiwa katika michezo, baada ya watoto wenzake kuchukua uamuzi wa kumlinda.
Taarifa zilizomfikia mwandishi, zilieleza kuwa ‘wawindaji’ hao waliokuwa na gari lililokuwa na vioo vya giza, walionekana wakimfuatilia mtoto huyo Jumamosi ya
↧
Msiba Mkubwa Waikumba UDSM: Wanafunzi Watano Wafariki Kwa Mpigo Ajalini
Wanafunzi watano wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), ni miongoni mwa watu 50 waliokufa katika ajali ya basi la Majinja, lililogongana na lori katika eneo la Changarawe Mafinga mkoani Iringa.
Makamu Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Rwekaza Mukandala alisema waliopoteza maisha ni wanafunzi watatu wa mwaka wa tatu na wawili wa mwaka wa pili, wote kutoka kitivo cha Sayansi ya Jamii (BA
↧
Dr. Slaa na Makada 3 wa CHADEMA Kupelekwa Kortini na Polisi Kwa Tuhuma za Kumpiga Kagenzi ambaye Alikuwa Mlinzi Wake
JESHI la Polsi Kanda Maalum ya Dar es Salaam lipo katika hatua ya
mwisho katika kukamilisha ushahidi ili kumfikikisha mahakamani Katibu
mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Dokta Wilbrod Slaa
pamoja na makada wa chama hicho.
Akizungumza na waandishi wa Habari jana mchana Jijini Dar es Salaam,
Kamishna wa Polisi Kanda maalum Dar es Salaam Suleiman Kova alitaja
sababu ya
↧
Magazeti ya Leo Jumamosi ya Tarehe 14 March 2015
Magazeti ya Leo Jumamosi ya Tarehe 14 March 2015
↧
↧
Wema Sepetu: Mume wa Zari Anataka Kunioa
Supastaa wa Bongo, Wema Sepetu ‘madam’ ameanika siri
zilizojificha nyuma ya pazia kati yake na aliyekuwa mume wa mwanamuziki
nyota wa Uganda, Zarina Hassan ‘Zari’, Ivan Semwanga, kuwa anataka
kumuoa.
Katika
mazungumzo yake exclusive na mwanahabari wetu juzi jijini Dar, Wema
alianza kwa kuweka bayana kwamba, mawasiliano yake na Ivan yalianzia
nchini Afrika Kusini wakati alipokwenda
↧
Penny Adaiwa Kunywa Sumu Baada Ya Kupigwa Chini Na Mpenz Wake
Mtangazaji maarufu Bongo na aliyekuwa mpenzi wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Penniel
Mungilwa ‘Penny’ amedaiwa kunywa sumu kufuatia kunyang’anywa bwana na
shosti yake aliyefahamika kwa jina la Diana.
Kwa mujibu wa chanzo, Penny na
Diana walikuwa marafiki lakini wakatofautiana baada ya Diana kumteka
akili mwanaume wa rafiki yake huyo na kumkoleza mapenzi hadi kufikia
hatua ya kumtangazia
↧
Kinana Ammwagia Sifa Edward Lowassa......Adai ni Kiongozi Makini na Shupavu
Jana ilikuwa siku ya hisia tofauti kwa watu wawili wanaotajwa
kwenye kinyang’anyiro cha urais, Edward Lowassa na Lazaro Nyalandu baada
ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana kumsifu mmojawao na kumponda
mwingine.
Akiwa Kondoa, Kinana alitumia muda mwingi
kujibu kilio cha wananchi wanaosumbuliwa na askari wa wanyamapori kwa
kumponda Waziri Nyalandu kuwa anazurura bila
↧
Tamko la Jukwaa la Wakristo Tanzania kuhusu Katiba inayopendekezwa na Mahakama ya Kadhi......Tamko Linawataka Wakristo Kupiga Kura ya HAPANA Katiba Inayopendekezwa
Sisi Maaskofu wa Jukwaa la Wakristo Tanzania linaloundwa na Taasisi za Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) na Baraza la Makanisa ya Kipentekoste Tanzania (CPCT) tuliokutana leo tarehe 10.03.2015, tumepata nafasi ya kujadili kwa kina kuhusu hali ya usalama wa nchi ilivyo sasa na mustakabali wake, Katiba inayopendekezwa na uanzishaji wa Mahakama ya
↧
↧
Machinga Wamtaka Lowassa Achukue fomu ya Urais.......Wamkabidhi Milioni 1, Ngao na Mkuki Atakavyotumia Katika Safari Yake ya Matumaini
Wawakilishi
wa Shirika la Umoja wa wamachinga Tanzania SHIUMA,pamoja na viongozi wa
UVCCM kata za jiji la Mwanza wakiwa katika picha ya pamoja na Waziri
Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa nyumbani
kwake Ngarash Monduli mwishoni mwa wiki mara baada ya kumkabidhi mchango
wa shilingi milioni moja ili achukue fomu kuwania urais kupitia CCM.Pia
walimkabidhi Ngao
↧
Wakimbizi Waliopewa Uraia Wa Tanzania Waruhusiwa Kugombea Ubunge Au Udiwani
Wakimbizi 115,138 wanaoishi katika makazi ya Mishamo na Katumba mkoani Katavi, waliopewa uraia wa Tanzania, wana haki zote kama Watanzania wa kuzaliwa ya kuwapigia kura madiwani , wabunge na rais , katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu.
Hayo yalibainishwa na Mkuu wa Makazi ya Katumba wilayani Mlele, Athman Igwe katika kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Rukwa (RCC).
↧
Mahakama Kuu Yatupa Ombi Dhidi ya Kampuni ya VIP
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetupilia mbali ombi la kuitaka kampuni ya uwekezaji ya VIP Engineering and Marketing, kutoa majibu ya ziada kwa maswali ya awali katika kesi ya Sh bilioni 787 inayohusu kampuni ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL).
Jaji Salvatory Bongole alitoa uamuzi huo dhidi ya ombi lililowasilishwa na kundi la mabenki linaloundwa na
↧
Waziri Aokoa Maisha Ya Mjamzito Aliyesota Porini Kwa Saa Sita
Mbunge wa Rufiji ambaye pia ni Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid, juzi alichangia kuyaokoa maisha ya Amina Bakari (20), mjamzito aliyesota porini kwa saa sita akisubiri usafiri wa kumfikisha hospitali ya wilaya iliyopo Utete kwenda kujifungua.
Kabla ya msaada wa mbunge huyo aliyekuwa katika ziara jimboni kwake, Amina alikodi pikipiki imwahishe hospitali, lakini baada ya
↧
↧
Apambana na Mamba Kwa Zaidi Ya Nusu Saa Mkoani Rukwa
Mwenyekiti wa Kamati ya Shule ya Msingi Udasi mwambao mwa Ziwa Tanganyika, kata ya Kabwe wilayani Nkasi mkoani Rukwa, Ismail Ndomboya (42) amenusurika kuuawa na mamba kwa kupambana kijasiri na mnyama huyo kwa zaidi ya nusu saa.
Hata hivyo, licha ya kuokoa maisha yake mnyama huyo katika mapambano hayo alimng’ata na kumnyofoa mkono wake wa kushoto na kutokomea nao ziwani.
↧
Hatimaye Zitto Kabwe Alitema Jimbo Lake la Kigoma Kaskazini......Ajipanga Kwa Majukumu Mazito
Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe amewaaga rasmi wananchi wa jimbo hilo huku akiwataka wananchi hao kutosononeka kwa uamuzi wake wa kutoendelea kugombea ubunge wa jimbo hilo, bali wamwombee na kumuunga mkono katika kila uamuzi atakaouchukua.
Zitto aliwaaga wananchi hao kupitia mkutano wa hadhara mjini Kigoma uliorushwa moja kwa moja na Kituo cha Radio cha Clouds, ambapo alisema,
↧
Moto Waunguza Bweni la Mababo Hosteli Jijini Dar
Moto mkali umeunguza bweni la Block B la hosteli ya Mabibo jijini Dar
es Salaam muda huu. Chanzo cha moto huo na bado hakijafahamika.
↧
More Pages to Explore .....