UMATI WA WATU WALIOJITOKEZA KATIKA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI
↧
↧
LOWASSA APONGEZWA NA BAKWATA KWA KUVISHWA JOHO MAALUMU.....MILIONI 590 ZACHANGISHWA KATIKA HARAMBEE
Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, akipongezwa na kiongozi wa Sunni al
Jamaa Afrika Mashariki, Shariff Hussein al Badawi kwa kumvika joho la
kilemba baada ya kufanikisha harambee kwa ajili ya Kituo cha Redio
Ikra kinachomilikiwa na Baraza la Waislamu Tanzania (Bakwata) Mkoa wa
Mwanza.
Anayeshuhudia ni Sheikh wa Mkoa wa Mwanza, Sheikh Salum Hassan
Fereji.
Katika harambee hiyo zaidi
↧
MWANAFUNZI WA CHUO CHA VETA MKOANI DODOMA AJILIPUA KWA PETROL.....KISA NI WIVU WA MAPENZI
MWANAFUNZI wa Chuo cha Ufundi (VETA), mkoani Dodoma, Taliki
Juma (22), amefariki dunia baada ya kujilipua kwa mafuta ya petroli.
Mbali na mwanafunzi huyo kufariki, watu wengine wanane waliokuwa karibu
na moto huo nao walijeruhiwa vibaya.
Kwa mujibu wa
taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma na kusainiwa na
Kamanda wa Polisi wa mkoa, David Misime, tukio hilo lilitokea
↧
VIDEO YA RAPPER WA TANZANIA ( WAKAZI ) AKIKAMUA NDANI YA BIG BROTHER JANA
↧
WANAWAKE WAWILI WAMEKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA KATIKA UWANJA WA NDEGE WA AFRIKA KUSINI WAKITOKEA TANZANI
Ripoti kutoka Afrika Kusini zinasema wanawake wawili wamekamatwa katika uwanja wa ndege wa kimataifa OR Tambo nchini Afrika Kusini wakitokea Tanzania, wakiwa na madawa ya kulevya yenye thamani ya Rand million 42.6 kiasi ambacho ni kikubwa zaidi kuwahi kukamatwa katika mpaka wowote wa nchi hiyo.
Kwa mujibu wa taarifa iliyoripotiwa na shirika la habari la Africa
Kusini SABC siku ya
↧
↧
ANGALIZO:MAFUTA YA UBUYU YANA TINDIKALI INAYOSABABISHA SARATANI
Baada ya kuonya wananchi
wanaotumia dawa za tiba mbadala ambazo hazijathibitishwa, Mamlaka ya
Chakula na Dawa Tanzania (TFDA), sasa inawataka wananchi kuacha kutumia
mafuta ya ubuyu kwa kunywa kama dawa.
Akizungumza
juzi katika Maonesho ya 37 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam,
msemaji wa TFDA, Gaudensia Simwanza, alisema Mamlaka hiyo ilipima na
kubaini mafuta hayo yana
↧
UGONJWA WA KIPINDUPINDU WALITIKISA JIJI LA MBEYA...MIKUSANYIKO YAPIGWA MARUFUKU
UGONJWA wa kipindupindu, umeingia katika wilaya ya Kyela na kuua watu wawili na 39 wakiwa wamelazwa.Taarifa
zinasema ugonjwa huo umeibuka wilayani humo wiki iliyopita ukisadikika
kuanzia katika Kijiji cha Ngonga na kisha kusambaa hadi Kilwa.Kutokana
na hofu ya kupata maambukizi kwa wananchi wengine, serikali imepiga
marufuku mikusanyiko ikiwemo ya harusi, kipaimara, ngoma, michezo na
↧
"PREZZO ANAYAJUA MAPENZI.....HATA AKINIUTHI SITAHESABU MAKOSA YAKE"....DIVA WA CLOUDS FM
Muda mfupi
uliopita mtangazaji wa ‘Ala za Roho’ ya Clouds FM Diva Loveness Love ambaye sasa anatumia “divathebawse” katika akaunti yake ya Instagram, ameweka picha mpya akiwa na Rapcellency Jackson makini aka Prezzo kutoka Kenya waliyopiga jana (July 7).
Picha hiyo ambayo inawaonesha wawili hao wakiwa “0 distance” ilikuwa na caption inayosomeka hivi,
“Nothing Than Happiness… Prez is
↧
UWOYA AAMBULIA MATUSI BAADA YA KUMFANANISHA DIAMOND NA MICHAEL JACKSON
Mwigizaji wa filamu za Kibongo, Irene Pancras Uwoya, amelowa mvua ya
matusi baada ya kumfananisha mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’
na aliyekuwa mwanamuziki mkubwa duniani, marehemu Michael Jackson.
Wikiendi iliyopita, Uwoya aliandika kwenye ukurasa wake katika mtandao
wa Instagram kuwa msanii huyo anayefanya vizuri katika Bongo Fleva ndiye
staa atakayemrithi mkali huyo wa Pop,
↧
↧
VIDEO: JENGO LA WIZARA YA UCHUKUZI LIMENUSURIKA KUUNGUA MOTO
↧
SABABU TANO ZILIZOWAFANYA CHADEMA WAGOME KUSHIRIKI "KONGAMANO LA AMANI" LINALOANZA KESHO
Ndugu waandishi wa habari,Tumewaiteni hapa mchana huu kwa
dharula, kutokana na kujitokeza kwa jambo moja muhimu sana katika
mustakabali wa chama chetu na taifa kwa ujumla. Jambo lenyewe ni hili:Kwa muda
wa siku mbili, kuanzia kesho– tarehe 9 Julai 2013 hadi 10 Julai –
kutakuwa na “KONGAMANO LA AMANI” lililoitishwa na Kituo cha Demokrasia
Tanzania – Tanzania Center For Democracy (TCD).
↧
HUDUMA YA TRENI LA JIJI KESHO HAIPO....KICHWA KIMOJA NI KIBOVU
Uongozi wa Kampuni ya
Reli Tanzania –TRL unasikitika kuwataarifu wananchi na wakazi wa jiji
kwa jumla kuwa huduma ya treni ya jiji haitokuwepo kwa muda wa siku 2
kuanzia leo Julai 8, 2013 kutokana na hitilafu kubwa katika kichwa
kimojawapo cha treni hiyo.Uamuzi huo unatokana na sababu za kiufundi unaosimamia uendeshaji wa huduma hiyo jijini.
Kwa
utaratibu huduma hii huendeshwa kwa
↧
MBUNGE WA DODOMA MJINI AWATEMBELEA WAHANGA WAMLIPUKO WA PETROL KATIKA HOSPITAL YA MKOA WA DODOMA
Mbunge wa Dodoma mjini Mh
Dr David Mallole, alipoenda kuwatembelea wahanga wa mlipuko wa Petrol
katika hospital ya mkoa wa Dodoma,General Hospital na kutoa pole kwa
wagonjwa waliopatwa na janga hilo kwa kuwapatia pole pamoja na msaada wa
pesa ya dawa kwa kila mmoja
Mtoto huyu ni mwanafunzi wa kidato cha tatu Shabani p. Shaban .Alikutana na janga hili baada ya kwenda kwa
↧
↧
GIZA LATANDA KWA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO....MSIMU WA MASOMO UMEANZA HUKU "SELECTION" ZIKIWA BADO
Matokeo mabaya ya kidato cha nne ya mwaka 2012, yameendelea
kuitikisa sekta ya elimu nchini baada ya shule kufunguliwa jana bila
kutangazwa kwa waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano mwaka huu.
Kwa kawaida, wanafunzi wanaochaguliwa kujiunga na
kidato cha tano na vyuo vya ualimu, hutangazwa mapema ili kutoa fursa
kwa wanafunzi na shule husika kufanya
↧
BONDIA AUAWA KWA KUCHOMWA KISU......ALIKUWA AKIAMULIA UGOMVI KABLA YA KISANGA KUMGEUKIA
BONDIA maarufu Ramadhani Idd ‘Mashudu’ ameuawa kwa kuchomwa visu mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.
Tukio
hilo lililowaacha midomo wazi wakazi wa Mabibo Loyola, Wilaya ya
Kinondoni jijini Dar es Salaam lilitokea saa sita usiku Julai 4, mwaka
huu.
Imedaiwa kuwa, marehemu aliwakuta Jack Mchaki na mtu mwingine wakigombana, alipowaamulia wakamgeuzia kibao na kumchoma visu.
Waandishi
↧
UGOMVI WA NDOA WASABABISHA MWANAMKE AVAMIWE NA KUKATWA MIKONO YAKE
Mwanamke mmoja Sumayi Girandi mkazi wa kijiji cha Kunzugu
wilayani Bunda amepoteza vidole vitatu vya mkono wa kulia na kiganja cha
mkono wa kushoto kukatwa baada kushambuliwa kwa mapanga na watu
wasiojulikana kisa kikidaiwa kuwa kutaka kunyang’anywa mali zake.
Uhodari
wa mama huyo wa kutafuta mafanikio ya familia yake hasa baada ya
kutengana na mume wake umeishia hapo baada ya watu
↧
VIDEO YA SHILOLE NA MASANJA WALIVYOPAGAWISHA NDANI YA WASHINTON DC
↧
↧
BLANDINA AWATAKA WASANII WAACHE KUOLEWA KWA KUKURUPUKA
MWIGIZAJI wa kike Witness Lunyungu ‘Brandina’ aliyetamba sana na
filamu ya The Game na kuwa maarufu amewaasa wasanii wenzake wa filamu
kutokimbilia kuolewa na wanaume wasiowapenda sana kwani ni rahisi kupoteza
vipaji vyao sambamba na ajira ya uigizaji...
Blandina anadai kwamba hata yeye alikumbwa na
kadhia hiyo baada ya kuolewa na mumewe ambaye alimpiga marufuku kabisa
kuigiza
↧
WEMA SEPETU ANASAKWA NA POLISI BAADA YA KUMTUKANA MENEJA WA HOTELI WAKATI POMBE IKIWA UTOSINI
DIVA
wa filamu za Bongo ambaye pia ni Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu
anasakwa na Jeshi la Polisi Kituo cha Kawe, Dar es Salaam kwa tuhuma za
kufanya fujo hotelini, kumtukana matusi ya nguoni na kumpiga makofi
meneja wa hoteli hiyo, Godluck Kuyumbu. Songombingo hilo lilijiri saa
tano usiku wa Jumatano iliyopita kwenye hoteli hiyo
iliyopo Kawe Beach, jijini Dar.
Akizungumza
na
↧
NANDO NA FEZA KESSY WAENDELEA KUPEPERUSHA BENDERA YA TANZANIA NDANI YA BIG BROTHER......HAKUNA ALIYEINGIA KIKAANGONI
Wiki hii Watanzania na mashabiki wa shindano la Big Brother Africa
hawana haja ya kuwa wasiwasi ya kuwaokoa washiriki wao kwakuwa Nando na
Feza Kessy wako safe.
Kilichobaki ni kuvuta tu viti virefu na kuendelea
na bata huku tukiwaangalia wengine wakihaha kuokoa washiriki wao.
Hata hivyo Evictions ya wiki hii inatarajiwa kuwa ya aina yake tangu
show ianze hasa kwakuwa waliotajwa
↧
More Pages to Explore .....