Neema
Herbalist & Nutritional Foods Clinic ni wauzaji wa dawa
mbalimbali za asili.
Tunapenda kuwatangazia wateja wetu kuwa
tunayo dawa nzuri ya asili inatibu na kuponyesha kabisa tatizo
la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume.
Dawa hii iitwayo
JIKO ni ya asili kabisa (PURE HERBAL) na inaponyesha na
kumaliza kabisa tatizo la nguvu za kiume
Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unataka kuimarisha mishipa yako ili uweze kwenda Raundi mbili na kuendelea??....Bofya hapa ukutane na JIKO
↧
↧
Tiko: Nataka Mtoto wa Pili lakini Sina Mwanaume wa Kunipa Mimba
Staa wa filamu za Kibongo, Tiko Hassan amesema kuwa anatamani kupata
mtoto wa pili kwa sababu mtoto wake wa kwanza amefikisha miaka 10,
tatizo hana wa kuzaa naye.
Akizungumza na Gazeti la Ijumaa, Tiko alisema yeye ni ‘mgonjwa’ wa watoto
wachanga na anahisi sasa ni muda muafaka ila tatizo mwanaume aliyenaye
hana mpango wa kupata mtoto.
“Yaani acha tu, mpenzi niliyenaye naona
↧
Mke wa Mtu Anaswa Akifanya Mapenzi na Njemba Kwenye Gari
Mwanamke mmoja anayedaiwa kuwa ni mke wa mtu amenaswa live akifanya mapenzi ndani ya
gari katika eneo la Kirumba jijini Mwanza.
Mwanamke huyo alinaswa majira ya saa tisa za usiku katika eneo hilo maarufu kwa biashara haramu ya ngono lililopo jirani na Villa
Park ambapo mbali na tukio hilo, mwandishi pia alishuhudia wanawake wengi wakiwa wamesimama na kujinadi kwa
↧
Mwanamke Auawa na Mumewe Kwa Kipigo na kisha Mwili wake Kufukiwa katika Zizi la Ng'ombe
Mwanamke mmoja mkazi wa Kijiji cha Ubetu Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro, amefariki dunia baada ya kupigwa na mume wake sehemu mbalimbali za mwili na kisha kuzika mwili wake kwenye boma la ng'ombe.
Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro, Geofrey Kamwela, alisema tukio hilo lilitokea Februari 25 mwaka huu saa 11:45 jioni.
Akieleza mazingira ya tukio hilo, Kamanda Kamwela, alisema siku
↧
Wafuasi wa CUF Wawazidi Ujanja Polisi Mahakamani.....Kesi yapigwa kalenda hadi March 23
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam,jana iligeuka mithili ya uwanja wa sinema baada ya Mkurugenzi wa Mashitaka Nchini (DPP) kuwafutia mashitaka watu 30 wanaodaiwa kuwa ni wafuasi wa Chama cha Wananchi (CUF) kutimua mbio na kutoweka eneo la mahakama hiyo.
Kitendo hicho kiliwafanya wafuasi hao wanusurike kuunganishwa katika kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim
↧
↧
Ndege ya Jeshi Yaanguka na kuwaka moto jijini Mwanza.....Rubani Anusurika
Ndege
ya kijeshi imeanguka leo uwanja wa ndege wa Mwanza na kuwaka moto
wakati inatoka kaskazini mwa uwanja huo kuelekea kusini ambapo rubani
wake, Peter Augustino Lyamunda, amevunjika mguu.
Chanzo
cha ajali hiyo ni ndege (mnyama) aliyeingia kwenye moja ya injini za
ndege hiyo ilipotaka kuruka, ikashindwa na kuanguka.
↧
Diamond Platnumz Banned From Mombasa Events!
This just in: according to Grace Kerongo, Diamond Platnumz has been declared persona
non-grata at Mombasa events.
The decision was allegedly reached after the Tanzanian sexy flexxy
singer reportedly infuriated one of the county staff during some recent
showbiz shindig.
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
Talking about matters ego related
↧
JWTZ Watoa Tamko Baada ya Ajali ya Ndege ya Kivita Iliyotokea Mkoani Mwanza Leo
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linapenda kutoa taarifa
ya ajali ya Ndegevita moja (1) iliyotokea leo tarehe 27 Februari 2015
katika uwanja wa ndege wa kijeshi wa Mwanza.
Ndegevita za JWTZ zilikuwa katika mazoezi ya kawaida ya kivita, Wakati
rubani wa ndegevita iliyopata ajali akijiandaa kuruka ndipo ndege mnyama
akaingia katika moja ya injini zake na kusababisha ndegevita
↧
Kesi ya Kumdhuru Mfanyakai Wa Ndani Yapigwa Kalenda
Kesi ya kumdhuru mfanyakazi wa ndani inayomkabili raia wa Ufaransa, Folkertsma Laurent (41), imeahirishwa hadi Machi 31, mwaka huu kutokana na shahidi kutofika mahakamani.
Awali, Wakili wa Serikali, Felista Mosha wa Mahakama ya Wilaya ya Ilala, alidai kwamba kesi hiyo jana ilikuja kwa ajili ya kusikilizwa na kwamba shahidi waliyemtegemea mahakamani hapo hakufika.
Pia alidai kuwa
↧
↧
Kijana Akana Kubaka Na Kumpa Mimba Mwanafunzi wa Miaka 16
Mkazi wa Tabata, Erasto Clement (22) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala na kukana mashitaka ya kubaka na kumpa ujauzito mwanafunzi wa kidato cha tatu mwenye umri wa miaka 16.
Akisomewa maelezo ya awali jana, Wakili wa Serikali Felista Mosha alidai mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Juma Hassan kuwa katika tarehe na mwezi usiofahamika, mwaka jana, Clement pamoja na
↧
Kobe 250 Wakamatwa Uwanja Wa Ndege Zanzibar Wakitoroshwa Kwenda Malaysia
Kobe wadogo 250, wamekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, wakiwa njiani kusafirishwa kwa njia ya magendo kwenda Malaysia.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, Mkadam Khamis Mkadam, alisema kobe hao walikamatwa wakiwa wamehifadhiwa katika masanduku yaliyowekwa maembe ndani yake, katika hatua za mwisho za kusafirishwa.
“Ni kweli tumekamata kobe
↧
Dkt. Magufuli Aongoza Wananchi Kwenye Majaribio ya Uzinduzi wa Kivuko cha MV Dar es Salaam( Dar -Bagamoyo)
Kivuko cha Mv Dar es Salaam, kinachotarajiwa kutoa huduma ya usafirishaji wa abiria kutoka Dar es Salaam kwenda Bagamoyo, jana kilifanyiwa majaribio ya safari ambapo kilitumia saa tatu, huku ikielezwa kwamba kitakapoanza kutoa huduma kitatumia saa mbili kwa safari moja.
Akizungumza katika ziara ya ukaguzi wa Kivuko hicho, Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, alisema wamekifanyia
↧
Urais 2015: Hatima ya KIFUNGO cha Akina Lowassa, Membe na Wengine Kujulikana Leo baada ya Kikakoa cha Kamati Kuu ya CCM (CC)
Kamati Kuu ya CCM (CC) iliyosubiriwa kwa muda mrefu, hatimaye inakutana leo na suala kubwa linalotarajiwa na wanachama na wananchi, ni tathmini ya hukumu ya vigogo sita wa chama, waliokuwa wakitumikia adhabu baada ya kubainika kuanza kampeni za urais mapema.
Vigogo ambao tathmini ya mwenendo wao inasubiriwa baada ya kikao hicho ni pamoja na waliokuwa mawaziri wakuu, Edward Lowassa na
↧
↧
Diamond Platnumz Busted By His Lover; Find Out What He Was Doing! [Photo]
Awhile back in 2014 Solange Knowles put up a photo of Beyonce
sneakily peeping at Jay Z’s phone. She said that it was happening
because they had trust issues. Since then, the photo has made rounds
around the web as a meme.
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
Zari The Bosslady was in the same situation recently when her
boyfriend was
↧
Meet The Lady Fired For Not Allegedly Letting MP Have S£X With Her......“Panua Paja Mkwaju Waja! Ama Kataa Nikufute Kazi!”
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
It seems like Jubilee Alliance MPs and Senators are addicted to s*x like their CORD Coalition counterparts.
A case in point is Juja MP, Francis Munyua Waititu, who fired his CDF chair lady for refusing to have s*x with him.
Susan Wambui, who is blessed with a curvaceous and sexy body, was fired
in October
↧
Wimbi la Kumshawishi Edward Lowassa Kugombea Urais Lazidi Kupamba Moto.
Wimbi la watu kumuunga mkono na kumshawishi Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, kugombea nafasi ya urais wakati utakapofika, limezidi kupamba moto na safari hii, ujumbe mzito kutoka Pemba unajiandaa kufanya hivyo.
Taarifa za maandalizi kwa wananchi na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutoka Pemba kwenda Monduli kumshawishi Lowassa kugombea urais, zimekuja siku chache baada ya baadhi
↧
DC Paulo Makonda Kufikishwa Mahakamani kwa Udhalilishaji
Viongozi wawili wa Chama cha Mapinduzi (CCM), wanakusudia kumfikisha mahakamani Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda, Jumatatu ijayo kwa madai ya kuwakashifu, kuwadhalilisha na kuwatukana.
Viongozi hao ni aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, John Guninita na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Singida Mgana Msindai.
Akisoma kusudio hilo jana mbele ya waandishi wa habari kwa
↧
↧
Of The Women Diamond Has “Eaten”, Zari Or Wema Sepetu; Who Is “Sweeter” Between Older Women And Young Girls?
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});
If you were to ask Diamond, he would probably say that older ladies
are sweeter. Something to do with fine wine and time but what do I know? Personally, I am one of those who believe that raw mangoes taste
infinitely better because you can add pilipili and salt to them.
But you see, Diamond dated Wema
↧
Breaking News: Mbunge wa Mbinga Magharibi Mh. Kapteni John Komba Afariki Dunia
Mbunge wa Mbinga Magharibi Mh. Kapteni John Komba amefariki Dunia leo saa 10 jioni katika Hosptali ya TMJ Mikocheni.
Kwa Mujibu wa mtoto wa Marehemu Bw. Jerry Komba amesema kifo cha
marehemu baba yake kimetokana na ugonjwa wa kisukari ambapo amedai kuwa
sukari ilishuka ghafla akiwa nyumbani kwake Mbezi Beach Dar es salaam.
"Ni kweli mzee amefariki dakika 50 zilizopita, alikuwa
↧
PICHA: Majonzi Yatawala Msabani kwa Mbunge Kapten John Komba
Makazi ya marehemu John Komba, Mbezi Tangi Bovu jijini Dar
...waombolezaji wakilia kwa uchungu nyumbani kwa marehemu
...masikitiko na kilio kwa mjane wa marehemu, Bi. Salome Komba
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. William Lukuvi akimfariji mke wa marehemu, Salome komba
....ni kilio na huzuni kubwa kwa Malkia wa Tarabu Khadija Kopa, ambaye alikuwa
↧