VIONGOZI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Serengeti mkoani Mara,
wamemwomba Waziri Mkuu wa zamani ambaye pia ni Mbunge wa Monduli, Edward
Lowassa (CCM), kuchukua fomu ya kuwania urais muda utakapofika kwani
wanaamini ni kiongozi anayefaa kuwania nafasi hiyo kupitia chama hicho.
Wakiongozwa na Mwenyekiti wa CCM wa wilaya hiyo, Vicent Nyamasagi,
viongozi hao walitoa kauli hiyo
Wana CCM Serengeti watua kwa Edward Lowassa.....Wamtaka Achukue Fomu ya Kugombea Urais
↧
↧
Vifurushi vipya vya mitandao: TCRA yatoa tamko na maagizo kwa makampuni ya simu
Mamlaka ya mawasiliano nchini, TCRA imetoa tamko kuhusiana na
malalamiko kutoka kwa watumiaji wa huduma za simu nchini kufuatia
kubadilika kwa vifurushi vya mawasiliano.
Malalamiko hayo yalikuja baada ya baadhi ya mitandao ya simu
kupunguza ukubwa wa data anazopata mtumiaji wa simu anapojiunga na
vifurushi vya muda wa maongezi, sms na data kwa pamoja.
Baadhi ya mitandao
↧
Picha CHAFU za Msanii Maarufu Uganda Zavuja Mtandaoni Akiwa kama Alivyozaliwa
Picha chafu za Msanii maarufu wa kike nchini Uganda zimevuja na kusambaa kwa kasi mtandaoni.....
Picha hizo Ambazo zilianza kusambaa jana zinamuonyesha msanii huyo akiwa kitandani na njemba moja huku akiwa mtupu kama alivyozaliwa.....
Picha nyingine zinamuanika akiwa mtu na wasichana wenzie kitandani.....
↧
Vurugu Ilula Mkoani Iringa, Mwananchi afariki, Kituo cha Polisi chachomwa moto!
Wananchi wenye hasira mjini Ilula, mkoani Iringa,
wamevamia kituo cha polisi na kuvunja milango kisha kuwafungulia
mahabusu waliokuwemo ndani, wakachoma moto baadhi ya magari yaliyokuwepo
kituoni hapo pamoja na mafaili.
Kwa mujibu wa shuhuda wa tukio hilo, tukio hilo limetokea leo
kufuatia mwanamke ambaye hakufahamika jina lake wakati anakimbia alichotwa mtama na Polisi na
↧
Rais Kikwete apokea vitabu Mil 2.5 vya Sayansi
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete wa Tanzania amesema serikali itaendelea kuboresha
sekta ya elimu hapa nchini kwa lengo la kuhakikisha vijana wanaosoma
katika shule za sekondari wanapata elimu bora mara kabla ya kuhitimu.
Rais Kikwete aliyasema hayo jana jijini Dar es salaam mara baada ya
kupokea vitabu milioni 2 na laki 5 vya masomo ya Sayansi na Hisabati
kutoka serikakali ya Marekani
↧
↧
Waethiopia 13 wakamatwa wakisafirishwa Morogoro
Jeshi la polisi mkoa wa Morogoro limewakamata wahamiaji haramu 13
kutoka nchini Ethiopia wakiwa kwenye gari ndogo aina Prado katika
kijiji cha Lusanga Turiani wilayani Mvomero wakijiandaa kwenda Afrika
kusini kupitia mkoani Mbeya .
Kamanda
wa polisi mkoa wa Morogoro ACP leonard Paul akizungumzia tukio hilo
amesema waethiopia hao walitokea nchini Kenya na kupita Handeni na
↧
Waziri Mkuu Aagiza Watendaji Waliokaa Kwenye Halmashauri Kwa Zaidi ya Miaka 10 Wahamishwe
Watendaji wa Halmashauri waliokaa kwenye vituo vya kazi kwa zaidi ya miaka 10, wataanza kuhamishwa wakati wowote kuanzia sasa kuleta ufanisi katika utendaji na kukomesha kufanya kazi kwa mazoea.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (pichani) ameagiza ofisi za mikoa ziainishe majina ya watendaji husika, utaratibu wa kuwahamisha ufanyike kunusuru utendaji wa kazi kwenye maeneo walikokaa muda mrefu.
↧
Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar Yaichefua CCM
Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimesema hakitaunda tena Serikali ya Umoja wa Kitaifa baada ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu wa mwaka huu, kutokana na baadhi ya washiriki wake kuvuruga utaratibu na misingi ya kuanzishwa kwa serikali hiyo.
Kauli hiyo imetolewa na Katibu wa Kamati Maalumu ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi Zanzibar, Waride Bakari Jabu wakati
↧
Warioba Ashutumu Ubinafsi wa Vyama vya Siasa Katika Mchakato wa Kura ya Maoni
Waziri Mkuu mstaafu na aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Joseph Warioba amevitaka vyama vya siasa kuzingatia matakwa ya wananchi katika suala zima la Kura ya Maoni ya Katiba Inayopendekezwa na badala ya kuwagawa.
Aidha, Warioba amesema anaamini baadhi ya vipengele vilivyokataliwa katika Rasimu ya Katiba, ipo siku vitafanyiwa kazi kuondoa migongano huku akisisitiza,
↧
↧
Wanajeshi 6 wa JTK Waliotaka Kuandamana Wafikishwa Mahakamani Chini ya Ulinzi Mkali
Wahitimu sita wa mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka ya kufanya mkusanyiko usio halali.
Washitakiwa hao ni Mwenyekiti wa Umoja wa wahitimu hao George Mgoba, Makamu Mwenyekiti Parali Kiwango, Katibu Linus Steven na wahitimu wengine Emmanuel Mwasyembe, Ridhiwani Ngowi na Jacob
↧
Bunduki ya kivita na risasi 524 zakamatwa Kibondo
Kamanda wa polisi mkoa wa Kigoma ACP Jafari Mohamed amesema, risasi
524 na bunduki moja ya kivita aina ya SMG zimekamatwa katika eneo la
kijiji cha Nduta baada ya polisi katika kizuizi cha Nduta kufanya
ukaguzi ndani ya basi.
Wakati kazi hiyo ikiendelea mtu anayesadikiwa kumiliki begi
lililokuwa na risasi na bunduki alitoroka, ambapo amesema vizuizi vya
barabarani vilivyowekwa
↧
Wastara Azimia Kisa Penzi la Bond
Diva wa filamu nchini, Wastara Juma ambaye kwa sasa anaripotiwa kuwa
katika mapenzi na mwigizaji mwenzake, Bond Bin Suleiman anadaiwa
kupoteza fahamu mara tu baada ya kupewa taarifa kuwa mpenziwe huyo
amepata mtoto wa nne kwa mwanamke mwingine.
Kwa mujibu wa chanzo makini,
Wastara alipenyezewa ubuyu na mpenzi wa zamani wa Bond, Lulu Semagongo
‘Aunty Lulu’ na kuambiwa kwamba
↧
Picha: Joti Awakuna Wengi Kwa Mtoko Huu
Picha ya mwigizaji mkongwe wa vichekesho “KOMEDI” Lucas Mhuvile
‘Joti’ imewakuna watu wengi na kufanya kuwa ni moja kati ya picha
zinazo” TREND” mtandaoni toka jana.
Japo kuwa Joti akiwa kama ‘Bi kiboga’ ametokelezea kiofisi zaidi,
watu wengi wamejituka wakiangusha komenti nyingi wakielezea kuvunjika
kwa mbavu zao kwa kicheko huku wengine wakisema mnuno wake ndio balaa na wengine
↧
↧
Shilole na Mchumba Wake Nuh Mziwanda Wachafua Hali ya Hewa Mtandaoni baada ya Kutupia Picha za Uchi
Mwigizaji na mwanamziki, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ ambae ni mama wa
watoto wawili wa kike , akiwa na mchumba wake Nuh wamechafua hali ya
hewa baada ya kutupia picha yaowakiwa uchi.
Nuh Mziwanda ndio alioibandika picha hiyo kwenye ukursa wake kwenye
mtandao wa instagram na baada ya kuona watu wengi wanamshabulia aliamua
kuibandua.
Wapo walioona kuwa kitendo alichokifanya
↧
Migodi ya Dhahabu Nchini Kuanza Kulipa Ushuru
Wizara ya Nishati na
Madini inapenda kutangazia umma kuwa mgodi wa dhahabu wa Geita unaomilikiwa na
kampuni ya AngloGold Ashanti; na migodi ya Bulyanhulu, Buzwagi na North Mara
inayomilikiwa na kampuni ya Acacia Mining, imeanza kulipa ushuru wa huduma kwa
kiwango cha asilimia 0.3 (0.3%) ya mapato ghafi kwa Halmashauri husika.
Halmashauri
zitakazonufaika na malipo hayo ni: Mji wa Geita;
↧
Rais Kikwete Aweka Shada la Maua Katika Makaburi ya Marais Lusaka Zambia
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiweka shada la
maua katika kaburi la aliyekuwa Rais wa Zambia Michael Sata aliyefariki
mwaka jana katika eneo la maziko ya viongozi wa kitaifa jijini Lusaka
Zambia jana.
Rais Kikwete alitumia wasaa huo pia kuweka shada la maua
katika marais wa Zambia waliofariki Marehemu Frederick Chiluba na Levy
Mwanawasa. Picha na
↧
Vodacom na Tigo waungana kutoa huduma bora za kifedha
Huduma za kutuma na kupokea fedha na kufanya mihamala mbalimbali ya
malipo zinazotolewa na makampuni ya Vodacom Tanzania kupitia huduma yake
ya M-Pesa na Tigo kupitia huduma yake ya Tigopesa zitazidi kuimarika
kutokana na makampuni hayo kuingia makubaliano ya kutoa huduma hizo kwa
ushirikiano.
Ushirikiano huo utawawezesha wateja wa makampuni hayo kutuma na kupokea fedha na kufanya
↧
↧
Ile picha ya askari wa Tanzania kupigana mabusu iliteka Dunia.....Hapa iko Picha mpya toka Uingereza
Unakumbuka ile Stori ya askari Asuma Mpaji na Veronica Nazaremo
kufukuzwa kazi Mkoani Kagera baada ya picha zao kusambaa mitandaoni
wakionekana kupigana mabusu? safari hii nakuletea tena stori inayofanana
na hiyo ambayo imetokea Nchini Uingereza.
Polisi wa nchi hiyo ya
Uingereza waliamua kumshtaki mwenzao baada ya kufanya kitendo cha
kudhalilisha jeshi la nchi la nchi hiyo kwa
↧
Matonya: Tundaman aliniibia hela zangu benki
Matonya na Tundaman wameingia kwenye vita vya maneno. Ugomvi huo
umeanza baada ya Tundaman kudai kuwa alimtungia wimbo Matonya kwenye
album yake ya Vailet.
Akiongea kwenye 255 ya XXL kupitia Clouds FM jana, Matonya alikanusha
taarifa hiyo na kwamba Tundaman hana uwezo wa kumtungia wimbo kwakuwa
uimbaji wao upo tofauti kabisa.
“Nilikuwa naenda na Tunda sehemu zote ninazoenda,
↧
Shilole adai atamzalia Nuh Mziwanda watoto wawili
Shilole amedai kuwa mpango wake ni kumzalia mchumba wake Nuh Mziwanda watoto wawili.
Muimbaji huyo mwenye watoto wawili wa kike alisema hayo wakati akiongea kwenye kipindi cha The Mboni Show.
“Nitamzalia watoto wawili, nina wawili,” alisema Shilole aliyeongezana
na mchumba wake huyo kwenye kipindi hicho kinachorushwa TBC1.
Shilole
alisema kuwa kadri siku zivyonaenda anazidi
↧
More Pages to Explore .....