Wakati CCM kikijiandaa kuanza mchakato wa kupitisha jina la mgombea wake wa nafasi ya urais katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu, imeelezwa kwamba hali si shwari ndani ya chama hicho kutokana na kile kinachodaiwa, mkakati wa baadhi ya viongozi kubeba na kukumbatia watu wao kwa lengo la kulinda masilahi binafsi.
Chanzo chetu cha kuaminika kutoka ndani ya CCM
Urais 2015: Wana CCM Waanza Kushikana Uchawi.....Wadai kuwa Jukumu la Kupata Mgombea wa Chama Siyo la kifamilia bali ni la Wanachama Wote
↧
↧
Mwanajeshi Mwingine wa JKT ambaye ni Katibu wa Vijana wa JTK Waliotaka Kuandamana Akamatwa Akituhumiwa Kufanya Mkusanyiko Usio Halali
KATIBU wa vijana waliopata mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT)
waliokuwa wakiandamana kushinikiza Serikali kuwapatia ajira, Rinus
Emmanuel amekamatwa jijini Dar es Salaam.
Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya Mwenyekiti wao George Mgoba,
kutekwa wiki iliyopita na kisha kupigwa na kuteswa na watu
wasiojulikana.
Hata hivyo Mgoba alihamishwa kutoka Hospitali ya Amana,
↧
Jumuiya ya Serikali za Mitaa (ALAT) Shinyanga Yatangaza Kumuunga Mkono Edward Lowassa
Vuguvugu la kumuomba kugombea urais aliyekuwa waziri mkuu wa Tanzania, Edward Lowassa, linaendelea kupamba moto baada ya wenyeviti wa Jumuiya ya Serikali za Mitaa nchini (ALAT) mkoani Shinyanga kumtaka atangaze rasmi nia ya kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Akitoa ombi hilo mbele ya waandishi wa habari juzi mjini Shinyanga kwa niaba ya wenyeviti wenzake wa halmashauri za
↧
Mbizo za Urais 2015: Mbowe atembeza BAKULI kwa ajili ya Kuingia Ikulu.....Ataka kila Mwanachama Achangie sh. 10,000
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe
ametangaza mpango maalumu wa wapenzi na wanachama wa chama hicho
kuchangia Sh10,000 kwa mwezi ili kupata fedha za kutosha kukiendesha
chama ikwa lengo la kuiondoa CCM madarakani kupitia Umoja wa Katiba ya
Wananchi (Ukawa) kwa njia ya kura.
Mbowe alitoa kauli
hiyo juzi wakati akihutubia mamia ya wakazi na wafuasi wa chama hicho
katika mkutano wa
↧
Picha: Vanessa Mdee na Jux wadhihirisha mahaba mazito Afrika Kusini
Vanessa Mdee na Jux wote wapo nchini Afrika Kusini walikoenda kufanya
video ambayo hata hivyo hawajasema ni ya wimbo gani na kwa mujibu wa
picha wanazopost kwenye mitandao ya kijamii, wawili hao wanapeana
kampani ya nguvu.
Hawajawahi kukubali hadharani kuwa ni wapenzi lakini picha zinaonesha wazi kuwa mastaa hao wapo kwenye dimbwi zito la mapenzi.
Kupromote wimbo wake mpya ‘
↧
↧
Picha: Studio binafsi ya Millard Ayo yashtua wengi
Mtangazaji wa Clouds FM, Millard Ayo na mshindi wa vipengele viwili
kwenye Tuzo za Watu mwaka jana ni mtu wa mambo ya kimya kimya ndio maana
picha ya studio aliyokuwa akiijenga nyumbaji kwake kwa mwaka mzima
zimewashtua wengi.
Mtangazaji huyo wa kipindi cha Amplifaya anakuwa mtangazaji wa kwanza
Afrika Mashariki kama si Afrika nzima kuwa na studio ya kisasa ya redio
ndani mwake.
↧
Chege akanusha kuvaa hirizi kwenye picha iliyozagaa mtandaoni
Chege Chigunda amekanusha vikali tuhuma zilizotokana na kusambaa kwa
picha akiwa jukwaani na huku mkononi mwake (karibuni na kwapa) akiwa na
kitambaa cheusi ambacho baadhi ya watu wanahisi ni hirizi.
Mtu wa kwanza kuikuza picha hiyo na kuandika kuwa ana mashaka kuwa kitambaa hicho huenda kikawa hirizi, ni Maimartha Jesse.
“Angalia mkono wa kushoto wa chegge @chegechigunda hiiii ni
↧
Mke Wa Mbunge (Sugu) Afunguka: Kuitwa Mama Kuna Raha Yake.....Natamani Nizae Team ya Mpira!!
Mwigizaji wa filamu mwenye vituko vya aina yake, Faiza Ally ambae ni
mama wa mtoto moja, aliezaa na Mbunge wasasa wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi 'Sugu' ameyasema
hayo akiwa visiwani Zanzibar kwenye mapumziko mafupi.
Mwigizaji huyu ambae mara kadhaa amekuwa akijisifia kwa kuwa na FIGA
nzuri akidai hata baada ya kuzaa bado umbo na mvuto wake bado upo pale
pale amesema angekuwa na
↧
Maandalizi Hafifu Chanzo cha Udanganyifu wa Mitihani
Maandalizi hafifu ya watahiniwa wa mitihani kwa ngazi zote ndio chanzo kikubwa cha kuwapo udanganyifu katika mitihani ya mwisho.
Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Idara ya Fedha na Utawala wa Baraza la Mitihani ya Tanzania (Necta), Daniel Mafie aliyekuwa akizungumzia mafanikio ya baraza hilo kwa niaba ya Katibu Mtendaji.
Alisema pamoja na kupungua kwa watahiniwa wanaofanya udanganyifu
↧
↧
Watanzania sasa Kupatiwa Viza Huko Huko India
Wasafiri kutoka Tanzania kwenda India kwa shughuli za matibabu na biashara wataruhusiwa kupata visa wafikapo nchini humo.
Hayo yalisemwa na Balozi wa India nchini, Debnath Shaw wakati akijibu maswali ya wafanyabiashara wa kitanzania wakati wa mkutano baina ya wafanyabiashara wa ndani na wenzao kutoka jimbo la Gujarat India.
Alisema: “Tutahakikisha tunafanya utaratibu huo na utaanza
↧
Chenge, Tibaijuka Kikaangoni Baraza la Maadili Wiki hii
Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge Jumatano atasimama mbele ya Baraza la Maadili kujibu tuhuma za kukiuka maadili ya uongozi na kujipatia Sh bilioni 1.6 ambazo aligawiwa kutoka katika fedha za akaunti ya Tegeta Escrow.
Profesa Anna Tibaijuka ambaye alitimuliwa Uwaziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi kutokana na kujipatia Sh bilioni 1.6 kutoka kwa mmiliki wa kampuni ya VIP Engineering,
↧
Radi Yaua Mwalimu na Wanafunzi 6 Kigoma
Watu saba wakiwamo wanafunzi sita wa darasa la nne katika shule ya msingi Nyakasanda na Mwalimu wa shule hiyo, Anderson Kibada wamekufa baada ya kupigwa na radi huku watu wengine 11 akiwemo Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Laurence Sesegwa (42) wakijeruhiwa.
Kaimu Mganga Mkuu wa Wilaya ya Kasulu, Kigaga Daga alisema kuwa watu hao walifikwa na mauti hayo kufuatia mvua kubwa zilizonyesha
↧
Taarifa Rasmi ya Jeshi la Polisi Kuhusiana na Sakata la Kutekwa kwa Wanajeshi wa JKT Waliotaka kuandamana Kudai Ajira
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam linawashikilia vijana watano wa kundi la wahitimu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwa tuhuma za kufanya uchochezi na kufanya mikusanyiko isiyo halali jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na waandishi wa habari, Kamishna wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova alisema vijana hao wamekamatwa kwa nyakati tofauti kwa makosa ya kuunda
↧
↧
Albino Wawaliza Maaskofu 10 na Mashehe 10 Katika Hospitali ya Bugando
Viongozi wa madhehebu ya dini jijini Mwanza, wakiwamo Maaskofu na Mashehe jana walijikuta wakibubujikwa na machozi baada ya kumtembelea Ester John, ambaye amelazwa Hospitali ya Rufaa ya Bugando.
Ester amelazwa baada ya kujeruhiwa vibaya na watu wasiofahamika, ambao walimteka mwanawe mwenye ulemavu wa ngozi (albino), Yohana Bahati na kutokomea naye kusikojulikana.
Viongozi hao
↧
CHADEMA Yaigaragaza CCM Sumbawanga
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeigaragaza vibaya CCM
katika uchaguzi wa marudio wa Serikali za Mitaa uliofanyika jana katika
kata tatu za Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa.
Chadema ni miongoni mwa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) pamoja na vyama vya CUF na NCCR Mageuzi.
Vyama hivyo viliweka makubaliano ya kushirikiana kwenye uchaguzi kwa
↧
Uboreshaji wa Daftari la Wapigakura: Mashine za BVR zagoma tena Makambako
Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura kwa kutumia mfumo mpya wa
kielekroniki umeingia dosari baada ya baadhi ya mashine zinazotumika kwa
ajili ya kazi hiyo kushindwa kufanya kazi.
Kazi hiyo iliingia dosari jana katika Mji mdogo wa Makambako mkoani Njombe ikiwa ni siku ya kwanza ya kuanza uandikishaji huo.
Tatizo hilo lilibainika baada ya mashine nyingi zilizopangwa
↧
Taswira za Mzishi ya Msanii Mez B Yaliyofanyika Jana Mkoani Dodoma
MAMIA ya mashabiki na wasanii wa muziki wa kizazi kipya, jana walijitokeza kuupumzisha mwili wa msanii, Moses Bushangama ‘Mez B’, katika makaburi ya Wahanga wa Treni, Mailimbili mkoani Dodoma.
Akizungumza wakati wa kuuaga mwili huo, mama wa marehemu, Mchungaji Mary Katambi, aliwataka vijana kumrudia Mungu.
“Mwanangu aliuona uwepo wa Mungu, nilikuwa nikimsihi kuokoka na kumrudia
↧
↧
Joyce Kiria Adaiwa Milioni 500 kama Fidia ya Kumdhalilisha Mbunge Kupitia Kipindi cha Wanawake Live
Mtangazaji wa Kipindi cha Wanawake Live, Joyce Kiria
amepokea samansi ya mashtaka kutoka kwa Mbunge wa Jimbo la Dimani,
Zanzibar, Abdallah Sharia Ameir (CCM) ambaye amedai amlipe fidia ya
kumdhalilisha sh. Milioni 500 au amuombe radhi kupitia kipindi chake.
Akiongea na Mwandishi wetu, Joyce Kiria alisema kuwa amepokea barua hiyo kwa
mikono miwili na anawasubiri wanasheria wake ili
↧
Mwanamke Atiwa Mbaroni Akiuza Binadamu Kwa Ajili la Zindiko la Utajiri
JESHI la Polisi mkoani Ruvuma linamshikilia mwanamke mmoja, Sophia Chambo (30), mkazi wa Mtaa wa Polisi, Kata ya Lizaboni Manispaaya Songea, akituhumiwa kujihusisha na biashara ya kuuza binadamu kwa wafanyabiashara kwa ajili ya zindiko.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana, Kamanda wa Polisi mkoani Ruvuma,Mihayo Msikhela, alisema Februari 17, mwaka huu saa nane mchana,
↧
Mwanamke Anyongwa hadi Kufa na Mpenzi wake Usiku wa Manane Wakiwa Gesti
Jeshi la Polisi mkoani Morogoro linamshikilia, Erick Bruno
(30) kwa tuhuma za kumnyonga hadi kufa mpenzi wake, Daja Dungu (35)
wakati walipokuwa kwenye nyumba ya kulala wageni (jina tunalo) Manispaa
ya Morogoro.
Akizungumzia
kutokea kwa tukio hlo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Leonard
Paul, alisema tukio hilo lilitokea Februari 23, mwaka huu saa 6.30 usiku
katika karakana ya
↧
More Pages to Explore .....