Marais watano wa nchi wanachama wa Jumuia ya Afrika Mashariki, Yoweri
Museveni wa Uganda, Paul Kagame wa Rwanda, Pierre Nkurunzinza wa
Burundi, Jakaya Kikwete wa Tanzania na mwenyeji wa mkutano Uhuru
Kenyatta wa Kenya.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete na mwenyeji wao Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya
pamoja na Rais Yoweri Museveni wa Uganda, Rais Paul Kagame wa Rwanda na
Rais Pierre Nkurunzinza
Rais Kikwete Akabidhiwa Rasmi Uenyekiti wa Jumuiya ya Africa Mashariki
↧
↧
Penzi la Wema Sepetu na Ommy Dimpoz, Kumbe Dimpoz ni Boya tu Nyuma ya Pazia kuna Kigogo
Habari ya mjini ni kwamba, lile penzi linalonadiwa
la Mbongo-Fleva, Omary Faraji Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ na mwigizaji Wema
Isaac Sepetu ‘Madam’ limejaa magumashi, ikidaiwa kuwa jamaa huyo kawekwa
kama boya tu, nyuma yake kuna kigogo mzito serikalini ndiye anayekula
vinono.
Kwa mujibu wa chanzo cha kuaminika, Dimpoz ameagizwa na kigogo huyo
awe mpenzi kivuli wa Wema ili kuzuga watu
↧
Mez B Kuzikwa Jumatatu Makaburi Ya Wahanga Dodoma
Aliyekuwa memba wa kundi la Chamber Squad, Moses Bushagama ‘Mez B’
ambaye amefariki jana mjini Dodoma anatarajiwa kuzikwa Jumatatu katika
makaburi ya Wahanga yaliopo Maili Mbili mjini Hapo.
Mtandao huu uliongea
na mama wa marehemu, Marry Mkandawile ambaye alisema kuwa kwa sasa
msiba upo maeneo ya Kisasa mjini Dodoma.
↧
Kiongozi Wa Vijana wa JKT Waliopanga Kuandamana Atekwa na Kuokotwa Akiwa Mahututi..... Walitaka awaambie aliyemtuma kati ya Lowassa na Ukawa
KIONGOZI wa vijana waliopata mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT),
waliokuwa wakiishinikiza Serikali kuwapatia ajira, George Mgoba,
amelazwa katika Hospitali ya Amana, jijini Dar es Salaam, baada ya
kutekwa nyara na kisha kuteswa na watu wasiojulikana.
Mgoba ni miongoni mwa vijana waliowawakilisha wenzao zaidi ya 300
kukutana na viongozi wa juu wa Serikali hivi karibuni, akiwemo
↧
Bangi kavu ya kilo 50 yawatupa jela miaka 15
Mahakama ya wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa imewahukumu raia watatu kutoka Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kwenda jela miaka 15 au kulipa faini ya Sh milioni tatu kwa wote baada ya kutiwa hatiani kwa kukutwa na gunia mbili za bangi kavu yenye uzito wa kilo 50.
Washtakiwa hao Kasangu Paul (40), Mkambala Mwabu (39) na Kiwele Msaka (32) wote kutoka katika Mji wa Moba nchini DRC
↧
↧
Sakata la Magari 11 Yaliyotekwa na Majambazi Juzi: Vifaa vya abiria vyazagaa Mtaani
BAADHI ya vifaa vya abiria vilivyoporwa katika tukio la utekaji wa magari 11 uliofanywa na majambazi waliokuwa na silaha za jadi mkoani Manyara mwanzoni mwa wiki hii, vimekutwa vikizagaa katika maeneo yalikofanyika uporaji huo.
Akizungumzia tukio hilo, Kamanda wa polisi mkoani Manyara, Christopher Fuime alisema vitu vilivyopatikana ni pamoja na laini za simu 14 na simu zinazouzwa kwa bei
↧
Moto Wateketeza Maduka Tanga....Gari la Zima Moto Lanusurika Kushambuliwa
Maduka ya wafanyabiashara mbalimbali yaliyopo mtaa wa India jijini Tanga
yameteketea kwa moto kwa kile kinachodaiwa kuwa imetokana na hitilafu
ya umeme.
Moto
huo uliokuwa ukifukuta ndani katika maeneo hayo ya biashara
ulisababisha baadhi ya mashuhuda wa tukio hilo kutaka kulishambulia gari
la zima moto la halmshauri ya jiji la Tanga kufuatia kufika katika eneo
la tukio lakini
↧
Mwanamke Amkata Mpwa Wake Sehemu za Siri Huko Ruvuma
Mtu mmoja wa Kijiji cha Majimaji Ruvuma, Patrick Vitus amekatwa sehemu zake za siri na kuachwa zikining’inia.
Ofisa Mtendaji Wa Kijiji hicho Hussein Mkali amesema Partick alikatwa sehemu zake za siri na mpwa wake Zainabu Saidi baada ya kumkatalia kwenda kumfuata mume wake anayeitwa Musa Said ambaye alikuwa kwa mke mdogo.
Baada ya kufanya tukio hilo Ofisi ya Kijiji ilimkamata
↧
Jibu la Amber Baada ya Kanye West kusema alibidi aoge mara 30 ili kuwa na Kim Kardashian baada ya kuwa na Amber Rose.
Kwenye mahojiano na kipindi cha ‘BreakFast
Club’ Kanye West alimkejeli mpenzi wake wa zamani Amber Rose kwa kusema
alibidi aoge mara 30 baada ya kuwa naye ili Kim kardashian awe naye.
Kanye West alisema “Kim k angekubali kuwa na mimi kabla ya Amber basi
nisinge kuwa na Amber Kabisa, ni ngumu kwa mwanamke kuwa na mwanaume
aliyewahi kuwa na mahusiano na Amber, nilibidi nioge mara 30 ili
↧
↧
Serikali Yasikitishwa na Uamuzi wa Vijana wa Jeshi la JKT Kutaka Kujiunga na Majeshi ya Nchi Jirani Endapo Hawatapewa Ajira
SERIKALI imesema madai ya baadhi ya vijana waliohitimu katika Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kuruhusiwa kujiunga na vikundi vya majeshi ya nchi jirani yanayopigana ni kukosa uzalendo na uaminifu kwa taifa.
Pia, kukiuka kiapo chao cha uaminifu kwa nchi yao na hakioneshi kwamba vijana hao wana nia njema na taifa hili huku ikiweka wazi kuwa itavichukulia hatua vyombo vya habari vilivyotumika
↧
Kim Kardashian Ajianika Mtupu Kama Alivyozaliwa
Msaanii wa Kike Kim Kardashian ambaye ni mke wa mwanamuziki Kanye West na mama wa mtoto mmoja hivi karibuni alikubali kupigwa picha za utupu kama alivyozaliwa kwa ajili ya kurasa za mbele za gazeti la Love Magazine.....
Kuona Picha zote na maelezo ya kina......Bofya hiyo picha ya chini ambayo Nimeififisha kulinda maadili yetu.
Au
↧
Askari wa JKT Wakusanyika Muhimbili Kumjulia Hali Mwenyekiti wao Aliyetekwa
Vijana mbalimbali ambao
walipata mafunzo kutoka Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), leo wamekutana
katika eneo la Msimbazi Center jijini Dar es Salaam, kisha kuelekea
katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa ajili ya kumjulia hali
mwenyekiti wao George Mgoba ambaye alitekwa na watu wasiojulikana.
Mwenyekiti wa JKT, George Mgoba akiwa wodini.
Askari wakiimarisha usalama eneo la
↧
Kiungo wa timu ya Simba SC Christopher Alex Masawe Afariki Dunia
Aliyekuwa kiungo wa timu ya Simba SC Christopher Alex Masawe amefariki dunia leo saa 3 Asubuhi katika hospitali ya Milembe mkoani Dodoma baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Kwa mujibu wa mama yake mzazi aliyekuwa akimuuguza, maziko yatafanyika keshokutwa siku ya Jumanne.
Christopher Alex atakumbukwa kwa kufunga penati ya mwisho katika mchezo wa Simba dhidi ya Zamalek na kuifanya Simba ifuzu
↧
↧
Mwakalebela: Haitakuwa Ajabu Kuuacha Ukuu wa Wilaya
MKUU wa Wilaya mteule wa Wilaya ya Wanging’ombe mkoani Njombe, Frederick Mwakalebela amesema iwapo ushawishi na dhamira vitamtuma kuwania tena ubunge Iringa Mjini, halitakuwa jambo la ajabu kufanya hivyo, licha ya madaraka aliyopewa.
Ingawa amesema, sasa macho yake anayaelekeza katika kutekeleza majukumu mapya aliyopewa na Rais Jakaya Kikwete katika Wilaya ya Wanging’ombe, historia
↧
Waziri Magufuli ‘amlilia’ mtoto albino aliyeuawa......Atoa Mchango Wa Sh. Milioni Moja Kwa Mama Mzazi Wa mtoto huyo
WAZIRI wa Ujenzi ambaye pia ni Mbunge wa Chato, Dk John Pombe Magufuli amelaani vikali tukio la kikatili la kutekwa na kuuawa kwa mtoto Yohana Bahati pamoja na kujeruhiwa vibaya kwa mama mzazi wa marehemu na watu wasiofahamika.
Akizungumza kwa masikitiko makubwa jijini Dar es Salaam, Dk Magufuli amewataka Watanzania kuishi kwa amani na upendo na kuacha dhana ya kutajirika kutokana na
↧
Jela Maisha kwa Kumbaka Mtoto wa Miaka Mitano na Kumwambukiza UKIMWI
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nzega mkoani Tabora imemhukumu kifungo cha maisha Kashindje Shija (50), baada ya kupatikana na kosa la kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka mitano.
Akisoma hukumu hiyo mwishoni mwa wiki, Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Wilaya ya Nzega Joseph Ngomero, alisema kuwa, kutokana na ushahidi uliotolewa mahakamani hapo, amelazimika kutoa hukumu hiyo ili iwe fundisho kwa
↧
Mbatia Aikosoa Sera Mpya ya Elimu na Mafunzo ya Ifundi......Asema huo ni mpango wa Serikali Kuwalaghai Wananchi kuelekea Uchaguzi Mkuu
Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Taifa, James Mbatia (kulia), akionesha kitabu cha Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014 wakati akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, wakati akitoa tamko la chama hicho juu sera hiyo. Kushoto ni Katibu Mkuu wa chama hicho, Mosene Nyambabe na kulia ni Naibu Katibu Mkuu, Zanzibar, Musa Kombo Musa.
Hapa mkutano na
↧
↧
JB: Rais Kikwete Tutakufa Maskini
Mwigizaji nguli na muongozaji wa filamu za Kibongo, Jacob Steven
‘JB’, amesema kuwa pamoja na kuendelea kulia juu ya kuibiwa kazi zao,
anamkumbusha Rais Jakaya Kikwete kutimiza ahadi yake aliyowahi kusema
kwenye msiba wa nguli wa filamu, Steven Kanumba kuwa atawashungulikia
wale wote wanaoiba kazi za wasanii na kutoa kopi.
JB alitoa ombi kwa uchungu ambapo alifunguka kuwa pamoja na
↧
Johari Atubu Kumpora Ray kwa Mainda
Mrembo na mwigizaji wa filamu, Blandina Chagula ‘Johari’ amekiri
kwamba wakati anaingia kwenye uhusiano wa kimapenzi na nyota wa fani
hiyo, Vincent Kigosi ‘Ray’ alijua yupo na nguli wa filamu, Ruth Suka
‘Mainda’.
Johari alikili hayo Katika mahojiano mafupi na Gazeti moja la udaku siku ya Jumanne ya wiki iliyopita jijin Dar, mahojiona yalikuwa hivi.
Mwandishi: “Kwanza napenda
↧
Aunt Ezekiel Aporomosha Matusi Mazito
Mrembo na mwigizaji wa filamu za kibongo, Aunt ezekiel amejikuta
akitoa maneno makali baada ya mashabiki wake kumshabulia kwa maneno
baada ya kuweka mtandaoni picha ikimuonyesha amevalia kinguo ambacho kwa
maoni ya mashabiki hao hakistahili kuvaliwa na mwanamke mjamzito na
kibaya zaidi alionekana mkononi ameshika chupa ambapo wengi waliiona kama
niyakilevi.
Aunty Ezekiel alibandika
↧
More Pages to Explore .....