CHAMA cha Kutetea Abiria Tanzania (CHAKUA) kimewaomba Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sita kuingilia kati na kuagiza Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA), isikilize kilio cha wananchi kuhusu kupunguzwa kwa nauli.
Hayo yalisemwa jana na mwenyekiti wa chama hicho, Hassan Mchanjama wakati akizungumza na waandishi wa habari jiji Dar es Salaam.
Alisema wamefikia
Chama cha Kutetea Abiria Tanzania (CHAKUA) Kimemtaka Waziri Sitta Aibane SUMTRA Ipunguze Nauli
↧
↧
Mchumi wa Wizara ya Ardhi Afikishwa Mahakamani akituhumiwa Kumshika Matiti Mwanamke bila Ridhaa Yake
MCHUMI wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Brown Kajange (42) amefikishwa katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo kujibu mashitaka mawili, likiwamo la shambulio la aibu kwa kumshika matiti mwanamke bila ridhaa yake.
Karani wa Mahakama hiyo, Blanka Shao alidai mahakamani hapo mbele ya Hakimu Matrona Luanda kuwa mshtakiwa alitenda kosa hilo Februari 16, mwaka huu katika eneo la
↧
Bofya Hapa Ujiunge na Kliniki ya Nguvu za Kiume......Rejesha Heshima yako Chumbani
Wewe ni mwanaume ? Unakabaliwa na tatizo la ukosefu & upungufu wa nguvu za kiume ? Unaishi jijini Dar Es salaam? Unahitaji kupata tiba asilia na ya uhakika kwa ajili ya tatizo lako?
Kama jibu ni ndio, basi hii ni habari njema sana kwako. Neema Herbalist & Nutritional Foods Clinic ni kituo cha ushauri na tiba asilia.
Tunayo furaha
↧
Bunduki Waliyoporwa Polisi na 'Magaidi wa Tanga' Yapatikana ikiwa na Risasi 20......Ilikuwa Imefichwa ndani ya Mapango ya Amboni
Polisi mkoani Tanga imesema imefanikiwa kupata bunduki aina ya SMG, ikiwa na risasi 20 ndani ya mapango ya Majimoto katika eneo la Amboni, inayodaiwa ilikuwa ikitumiwa na wahalifu waliorushiana risasi na askari mwishoni mwa wiki.
Aidha, imesema inashikilia watu kadhaa akiwemo aliyesababisha kupatikana kwa bunduki hiyo. Baadhi ya watu wanaendelea kuhojiwa, kupata taarifa kwa lengo la
↧
Majambazi yafunga mtaa jijini Mwanza na kuua mtu mmoja
Matukio ya ujambazi na mauaji ya kutumia silaha, yameanza kuibuka kwa kasi katika maeneo mbalimbali nchini.
Hali
hiyo imekuwa ikihojiwa na wananchi na wapenda amani na zaidi ni kuhusu
intelijensia ya polisi kushindwa kugundua mipango ya uhalifu.
Wachunguzi
wa mambo wanasema kuwa kushamiri kwa matukio hayo kunaleta hofu katika
jamii huku jamii yenyewe ikilaumiwa kwa kukaa kimya
↧
↧
Mtoto Albino Aliyetekwa Aokotwa Akiwa Amekufa Mstuni
Mtoto Yohana Bahati mwenye ulemavu wa ngozi aliyepotea tarehe 15
wilayani chato amepatikana amekufa huku akiwa hana baadhi ya viungo
vyake vya mwili.
Mwili
wa mtoto mwenye ulemavu wa ngozi Yohana Bahati aliyetekwa siku tatu
zilizopita, umepatikana ukiwa umekatwa miguu na mikono yote na
kiwiliwili chake kufukiwa shambani katika kitongoji cha mapinduzi kijiji
cha Rumasa ndani ya
↧
Fundi Saa Apokea Kichapo kizito Akidaiwa Kumlawiti Mtoto jijini Arusha
Mwanaume mmoja ambaye ni fundi
saa maeneo ya Stendi Kuu jijini Arusha jana alipokea kipigo cha mbwa
mwizi baada ya kudaiwa kumlawiti mwanafunzi wa kiume wa darasa la tatu
wa shule moja jijini humo.
↧
Chid Benz Akiri Mashitaka Yake Matatu Mahakamani......Kesi yake kusikilizwa tena Februari 23
Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya (Bongo Fleva), Rashidi Makwiro (29),
maarufu kama Chid Benz jana amekiri mahakamani mashitaka matatu
yanayomkabili ya kukutwa na Dawa za kulevya aina ya Heroin yenye thamani
ya Sh. 38,638, bangi ya Sh. 1,720 na vifaa ya kuvutia dawa hizo kijiko
na kigae.
Chid Benz alikiri mashitaka hayo baada ya kusomewa upya hati yake ya mashitaka mbele ya Hakimu
↧
Majina ya Wakuu wa Wilaya Wapya walioteuliwa na Rais Kikwete yako hapa.......12 Wamesimamishwa na 64 Wamebadilishiwa Vituo
Paul Makonda, aliyeteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni
RAIS Jakaya Kikwete amefanya mabadiliko ya Wakuu wa Wilaya kwa
kuwateua Wakuu wapya 27, kuwahamisha vituo vya kazi 64 na wengine 42
amewabakisha kwenye vituo vyao vya kazi vya zamani.
Akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa OWM TAMISEMI jana mchana (Jumatano, Februari 18, 2015) Waziri Mkuu Mizengo Pinda
↧
↧
Picha za Uchi: Mpenzi wa Desire Luzinda akamatwa
Franklin Emoubor, raia wa Nigerian ambaye alikuwa mpenzi wa mwanamuziki nyota wa kike nchini Uganda Desire Luzinda amekamatwa.
Waziri
wa Maadili wa Uganda Mchungaji Simon Lokodo, amesema kuwa Mnaigeria
huyo amekamatwa na kikosi cha polisi cha kimataifa cha Interpol.
Hata hivyo waziri huyo hakueleza iwapo Emoubor anayedaiwa kusambaza mtandaoni picha za utupu za Desire, amekamatwa
↧
Mzee Yusuph kuoa tena mke wa watatu,Wake zake watupiana vijembe mtandaoni
Mwimbaji mahiri wa muziki wa Taarab nchini ambaye pia ni mkurugenzi
wa kundi la Jahazi Modern Taarabu,Mzee Yusuph anatarajia kuoa tena mke
wa tatu hivi karibuni huku wake zake wawili wakiwa kwenye bifu zito
wakitupiana vijembe mtandaoni.
Akipiga stori na Uheard na Soudy Brown alisema kuwa anatarajia kuoa
mke huyo ambaye anaishi huko visiwani Pemba,na kwamba mipango ikiwa
tayari kila
↧
Kingwendu kugombea ubunge mwaka huu
Mwigizaji mkongwe wa vichekesho hapa Bongo, Rashid Mwinshehe "Kingwendu", amesema anajiandaa Kugombea Ubunge 2015 Kupitia Chama ambacho amedai Kuwa anaona Kinapendwa na Watanzania wengi bila ya Kutaja Jina la Chama hicho wala Jimbo atakalogombea.
Wataalamu wa Masuala ya Kisiasa Nchini, wameitafsiri Kauli hiyo ya Kingwendu Kwa Mitazamo tofauti, huku Wengi Kati yao Wakisema Kuwa Upinzani
↧
Kortini kwa tuhuma za kununua "Malaya wa Buguruni Rozana"
WATU wanne wamefikishwa katika Mahakama ya Jiji kwa tuhuma za kununua machangudoa katika eneo la Buguruni Rozana jijini Dar es Salaam. Watuhumiwa hao waolifikishwa Jumanne ya wiki hii katika mahakama hiyo ni Antidius Severian (25), Yaham Mihamed (24), Ally Hassan (35) na Mohamed Hamis (27).
Wakisomewa mashtaka na wakili wa Serikali, Ramadhan Kalinga mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi
↧
↧
Ustadh aliyelawiti mwanafunzi wake aongezewa miaka 15 jela
Mwalimu wa madrasa ya Kadiria iliyopo
Amani mjini Zanzibar, Hamad Bakar Mohammed, anaetumikia kifungo cha miaka 15
jela kwa kosa la kumlawiti mwanafunzi
wake wa kiume, ameongezewa adhabu nyingine ya miaka 15 jela na Mahakama ya
Rufaa Tanzania.
Hukumu hiyo ilikuja baada
mshitakiwa huyo kupinga kifungo cha miaka 15 alichopewa na Mahakama Kuu
Zanzibar baada ya upande wa mashtaka kupinga
↧
Muuza Mishikaki Maarufu Temeke Stand Apata Kichapo Baada ya Kukutwa Anauza Mishikaki ya Nyama ya Paka
Muuuza mishikaki maarufu temeke standi ya mabasi aitwaye Said mishikaki
amekamatwa na nyama ya paka jana akiwa anaitengeneza kwa ajili ya
Kuchoma Mishikaki..
Wananchi wenye hasira kali walimshushia kipigo cha mbwa kwa hasira za kulishwa nyama ya paka bila kujua.
↧
Balaa la Mchepuko: Mume wa mtu Aumbuka......Baada ya fumanizi Apewa kichapo kizito na kutembezwa Uchi
Mwanaume aliyetambulika kwa jina moja la Joseph amejikuta akiaibika
vikali kufuatia kudaiwa kunaswa akiwa na mwanamke mwingine ilhali yeye
ni mume wa mwanamke aitwaye Sophia.
Kwa mujibu wa mashuhuda, aibu hiyo ilimkuta Joseph, Februari 14,
mwaka huu (Siku ya Wapendanao Duniani) kwenye Kitongoji cha Nyihongo
wilayani Kahama, Shinyanga wakati wadau mbalimbali walikuwa kila mtu na
wake
↧
Lady Jaydee: Sina mtoto wala watoto, Sijawahi toa Kizazi ili Nifanikiwe Kifedha
Lady Jaydee ameendelea kujibu maswali ya mashabiki wake kupitia
Instagram, na maswali mengine aliyokutana nayo ni kuhusu kama ana mtoto
au ameasili mtoto ambaye huonekana kwenye kipindi chake cha ‘Diary Ya
LadyJaydee’ kinachorushwa kupitia EATV.
SWALI: Una watoto wangapi?
JIBU : Sina mtoto wala watoto
SWALI: Utazaa lini?
JIBU : Sijajua mpk sasa nitazaa lini, ila siku yoyote ile
↧
↧
Picha ya Wema Sepetu Aliyojibinua Tako Yazua Balaa, Wengi Wamtaka Aache Maisha ya Maigizo
Nimepitia ukurasa wa Malkia wa Insta nikakutana na Picha hiyo ya Wema
Akiwa ameegemea gari aliyopewa kama zawadi na Martin Kadinda siku ya
Birthday yake huku akiwa amekibinua cha chini ya mgogo ..
Baadhi ya watu
wamemsifia na wengine kujaribu kumshauri.Soma Comments hapo chini
kutoka ukurasa huo:
dicksonmgesy
Jaman tumpe chachu ya maendeleo sio kumsifia zari hana tako ila ana
↧
Ugaidi Tanga: Wasomali Wawili Watiwa Mbaroni
JESHI la Polisi nchini kwa kushirikiana na Jeshi la Wananchi Tanzania
(JWTZ), limewatia mbaroni watuhumiwa wawili wanaodaiwa kuwa na asili ya
Somalia katika msako unaoendelea dhidi ya kundi la wahalifu wa silaha
mkoani Tanga.
Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Jeshi la Polisi mjini hapa,
kimeiambia Mpekuzi kuwa watu hao walikamatwa jana saa 5 asubuhi katika
eneo la Kijiji cha
↧
Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa jijini Mwanza Ajinyonga
Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Shamariwa ‘A’, Kata ya Igoma, Wilaya ya Nyamagana, jijini Mwanza, Julias Makoye (CCM), amekutwa amejinyonga juu ya mti ulio jirani na nyumba yake usiku wa jana.
Makoye aliyetangazwa mshindi wa kiti
hicho katika uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika Desemba 14, mwaka
jana, ameuongoza mtaa huo kwa awamu ya pili baada ya kuongoza miaka
mitano
↧
More Pages to Explore .....