Hapa ni wakati Jokate alipoamua kukaa na Mpeka kistaarabu kuongea nae kabla ya hatua za kisheria
Message alizotumia watu kwenye facebook na msg za simu za mkononi.
Aliyefanikisha huyu jamaa kukamatwa ni mrembo mmoja model Blessing ambae
alishiriki Miss Morogoro 2013 ambapo namkariri akisema:
“Wiki mbili zilizopita
nilipata msg kwamba Kidoti hair na Mzinga Planet wanahitaji
MWANAUME ALIYEKUWA AKIJIFANYA NI " JOKATE MWEGELO" HUKO FACEBOOK AKAMATWA NA POLISI
↧
↧
BOMOA BOMOA YA POMBE MAGUFULI YAANZA.....JENGO LA BUSINESS PARK ( GREEN ACRES ) LABOMOLEWA
Baada
Waziri wa Ujenzi, Pombe Magufuli kutoa maagizo kwa wenye majengo yaliyo
pembezoni mwa barabara ya Ali Hassan Mwinyi, kubomoa wenyewe majengo
yao ili kupisha upanuzi wa barabara hiyo, kuonekana yakisua sua,
hatimaye leo ameanza rasmi kazi ya kubomoa kwa Greda katika majengo ya
wale walioonekana kukaidi agizo hilo.
Katika kutekeleza agizo hilo zoezi
hilo limeanzia kwenye
↧
FBI WAINGIA ARUSHA KUCHUNGUZA BOMU LA SOWETO
Askari
wa Shirika la Upelelezi la Marekani (FBI), tayari wapo Arusha
kushirikiana na polisi ili kuchunguza tukio la mlipuko wa bomu la kutupa
kwa mkono kwenye mkutano wa kampeni za Chadema.
Katika
tukio hilo lililotokea Juni 15, mwaka huu Viwanja vya Soweto, eneo la
Kaloleni, Arusha, watu wanne walipoteza maisha huku zaidi ya 60
wakijeruhiwa.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Lebaratus
↧
"WIMBO WA MAJANGA UMENIPA DILI LA KUREKODI MOVIE AFRIKA KUSINI "– SNURA.
MWIGIZAJI wa kike na mwimbaji wa muziki wa kizazi kipya Snura Mushi
amedai kuwa muziki ulimpa dili ya kwenda kurekodi filamu Afrika ya
Kusini...
Anasema kuwa dili hilo amelipata kutokana na kufanya vizuri katika muziki hasa nyimbo yake ya
Majanga.
“Filamu kwa sasa inachangamoto sana .Hilo lilinifanya nirudi katika
muziki huku nikichagua filamu za kuigiza na kujikita katika muziki
↧
SH. 500/- SASA ITAKUWA SARAFU BADALA YA NOTI ILI KUIFANYA ISICHAKAE HARAKA
KUTOKANA na kuchakaa haraka kwa noti ya shilingi 500 na kiwango chake
kudumu kwenye mzunguko kwa miezi sita tu, Benki Kuu ya Tanzania (BoT),
imesema inatarajia kubadili noti hiyo na kuwa ya sarafu.Akizungumza
na gazeti la Tanzania Daima juzi kwenye viwanja vya maonesho ya
kimataifa ya biashara, jijini Dar es Salaam, Mkuu wa Kitengo cha Fedha,
Abdul Dollah, alisema mabadiliko hayo
↧
↧
WAZIRI MAGUFULI ATAMANI KUWA RAIS WA TANZANIA......ANADAI KWAMBA YUPO TAYARI KUGOMBEA MWAKA 2015 ENDAPO ATAKIDHI MASHARTI
Katika hali inayoonyesha kuwa Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli,
anautamani urais, amesema anaweza kutangaza nia hiyo kama atakidhi
masharti yatakayowekwa kwenye Katiba mpya.
Alisema iwapo Katiba ijayo itakuja na sifa ambazo atakidhi vigezo kuna
uwezekano mkubwa wa kuwania nafasi hiyo na kwamba iwapo atapungukiwa
sifa zinazohitajika kwa mujibu wa Katiba hataingia kwenye kinyang’anyiro
↧
"MWANAUME ASIYE NA PESA HAPASWI KUWA NA WIVU KWA MPENZI WAKE"....JINI KABULA
MSANII wa filamu za Bongo, Miriam Jolwa ‘Kabula’ ameonesha kukerwa na
wanaume ambao hawana hela lakini wamekuwa wakijifanya
wanajua kupenda sana huku wakiwa na wivu kupitiliza.
Akiongea na mwandishi wetu , Kabula alisema anajua kupenda
ni suala la msingi lakini anawashangaa wale wanaokuwa na wivu wa
kupindukia na wakati mwingine kutoa vipigo kwa wapenzi wao wakati wao ni
wanaume
↧
PICHA CHAFU ZA MISS UNIZIK ZASAMBAA MITANDAONI....
<!-- adsense -->
Vituko vya mapenzi ya Tz kumbe hata nchi za nje vipo..!!
Huyu ni denti wa chuo kikuu cha UNIZIK kilichoko Nigeria ambaye pia ni miss UNIZIK 2013/2014....
Mrembo huyu amekutana na balaa hili baada ya mpenzi wake kuzisambaza picha zake za utupu....
Taarifa toka chuoni hapo zinadai kuwa, wapenzi hao walizunguana siku kadhaa
↧
PICHA ZA LAANA ZA KUNDI LA BAIKOKO - TANGA
↧
↧
LOWASSA AVIONYA VYOMBO VYA DOLA...!
WAZIRI Mkuu mstaafu, Edward Lowassa amevitaka vyombo vya dola
na wafanyabiashara wakubwa nchini, kujenga mahusiano bora kati yao na
wafanyabiashara ndogo ndogo (Machinga) ili kuondoa tabaka la matajiri na
masikini linaloweza kuathiri uchumi wa taifa.
Lowassa
aliyasema hayo jana wakati akizungumza na machinga wa eneo la Makoroboi
jijini Mwanza, ambao pamoja na mambo mengine
↧
MCHUNGAJI " MASANJA MKANDAMIZAJI" APATA NAFASI YA KUHUBIRI NENO LA MUNGU NCHINI MAREKANI
Mtumishi
wa Mungu Emmanuel Mgaya (Masanja Mkandamizaji) ambaye yuko nchini
Marekani kwa ziara maalum, atahudumu kwa waumini wa jiji la Washington
DC na vitongoji vyake siku ya kesho (Jumapili 07/07/2013)
Bwana Mgaya
ambaye pia hufahamika kama Mchungaji Mtarajiwa na ambaye amekuwa
akifanya huduma ya uhubiri nchini Tanzania, atahubiri katika ibada ya
jumapili katika kanisa la THE WAY
↧
NELSON MANDELA YUKO KATIKA HALI YA "USINGIZI WA KUDUMU"....NYARAKA ZAFICHUKA
Nelson Mandela ameendelea kuwekwa
hai kwa msaada wa mashine za kumsaidia kupumua na
'anakaribia kifo,' nyaraka za mahakama zimefichua.
Afya
ya rais huyo wa zamani ni 'yenye hatari kubwa,' kwa mujibu wa nyaraka
zilizowasilishwa mahakamani kwenye kesi ambayo imepelekea mabaki ya
miili ya watoto wake watatu kuzikwa upya Alhamisi kwenye makaburi yao ya
awali.
Nyaraka za mahakama za Juni
↧
WAZAZI WAUA MTOTO WAKIGOMBANIA CD YA MSANII "DIAMOND"
Vilio na simanzi vilitanda Jumatano iliyopita Mwananyamala
Kisiwani, jijini Dar kufuatia mtoto wa mwaka mmoja, Rahim Rajab kufariki
dunia kwa kuangukiwa na watu watatu, akiwemo baba yake mzazi, Rajab
Said..
Tukio la watu hao
kumwangukia mtoto huyo lilitokea Jumatatu iliyopita na lilisababishwa na
ugomvi mkubwa wa CD yenye nyimbo za mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu
Abdul ‘
↧
↧
WAKAZI AMJIBU TID BAADA YA KUMPONDA NA KUDAI ATAIMBA WIMBO GANI BIG BROTHER??
Rapper Webiro Wassira aka Wakazi amefunguka kuwa
kitendo cha TID kumdiss kuwa haoni wimbo atakoutumbuiza kesho kwenye
eviction show ya Big Brother Africa The Chase kinaonesha kuwa staa huyo
wa ‘Kiuno’ hajui anachokiongea.
Jana kupitia Twitter, TID aliandika: Wakazi ataimba wimbo gani,
anaenda kuonyesha kofia zake za marekani#mzeekasema#radarworththisshit
#watuwabaya#msiwemaf**a.
↧
VIDEO MPYA YA BOB JUNIOR "KIMBIJI" ALIYOWAHI TOA VIPANDE AKISULUBIWA KARIAKOO
↧
MWANACHUO WA MWAKA WA KWANZA ALAANI KITENDO CHA KUPIGWA "EXILE" NA MADENTI WENZIE
Vitendo vya wanafunzi kupigana exile( kumpisha room ili angonoke na mpenzi wake) vimekuwa vikishika kasi ya ajabu katika hosteli za wanafunzi wa vyuo vikuu mbalimbali ambao kwao limekuwa ni jambo la kawaida...!!
Hali imekuwa ni tofauti kidogo kwa mwanafunzi wa chuo kimoja hapa nchini ambaye yuko mwaka wa kwanza na anategemea kuingia mwaka wa pili.
↧
BASI LA SUMMRY LAUA WATU 9 NA KUJERUHI 53
Basi la kampuni ya Sumry limetumbukia mtoni na kuua watu tisa na kujeruhi wengine hamsini na tatu.
Ajali hiyo imetokea katika kijiji cha Sitalike wilaya ya Mlele mkoani Katavi
Tukio
hilo la kusikitisha lilitokea saa sita usiku kuamkia Julai 5, 2013 basi
hilo lilipokuwa likitokea mjini Sumbawanga kuelekea Mpanda mkoani
Katavi likiwa na abiri waliokuwa wametoka Mbeya.
↧
↧
MASANJA MKANDAMIZAJI AFICHUA UBAGUZI WA BANK YA CRDB KATIKA UTOAJI WA AJIRA
Katika upekuzi wangu , niliamua kumtembelea masanja mkandamizaji kuona alichokandamiza jioni hii...
Hii ni post yake facebook iliyofichua UBAGUZI wa bank ya CRDB katika utoaji wa ajira kwa wasomi wetu hapa nchini...
------------------------------------------------------------------------
Internship opportunities with CRDB Bank PLC. These opportunities cover
↧
JANUARY MAKAMBA AWATAKA WANANCHI WAWALAU WABUNGE WAO KUHUSU KODI YA 1000 KWA KILA LAINI.....ADAI WIZARA YAKE ILIPINGA VIKALI
Haya ni majibu ya Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Mh. January
Makamba akijibu maswali katika mtandao wa Twitter kuhusu kodi mpya ya
TZS 1000 kwa mwezi kwa kila line ya simu.
Amesema kwamba Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia iliipinga kodi hiyo.
Amesema kwamba Hazina (Wizara ya Fedha) walikubaliana na maoni ya
Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na
↧
UMAARUFU WA WASANII WENGI WA KIKE UNATOKANA NA SKENDO ZA PICHA CHAFU
NCHI za
wenzetu staa kupiga picha za utupu si kitu kigeni lakini Tanzania sheria na maadili ya Mtanzania hayaruhusu kufanya hivyo.
Pamoja na sheria kutoruhusu, wasanii wetu hasa wa kike wamekuwa wakihaha usiku na mchana kuusaka umaarufu wa kujulikana kwa jamii kwa njia za panya,....
Wengi wao wamepoteza sifa za uwajibikaji na badala yake wamejikita katika
↧
More Pages to Explore .....