Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

SUMATRA Yawapa Somo Wamiliki wa Mabasi ya Masafa Marefu

$
0
0
Mamlaka ya Udhibiti Usafirishaji wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA), imewanoa wamiliki wa mabasi ya masafa marefu  kuhusu usimamizi na udhibiti wa sekta ya usafiri wa barabara ili wazaidie  kupunguza na kutokomeza kabisa ajali baada ya kuwapatia semina maalumu. Semina hiyo maalumu ya siku mbili iliyoanza juzi mjini Morogoro imewashirikisha viongozi wa Chama cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (

Waafrika Waadhimisha Mwaka Mpya wa Kichina

$
0
0
Waafrika wanaoishi na kusoma jijini hapa, wameshiriki na wenyeji katika sherehe za mwaka mpya wa China (Spring Festival) unaoadhimishwa kwa wiki moja kuanzia Februari 19 mwaka huu. Walisherehekea mwishoni mwa wiki badala ya wakati husika kutokana na juma hilo kuwa na shughuli nyingi za China na pia watu wengi wakiwemo wenyeji husafiri nje ya miji kama Beijing kwa likizo muhimu ambayo wengi

Baba Afikishwa Mahakamani kwa Tuhuma za Kumlawiti Mtoto wake wa Kumzaa

$
0
0
MKAZI wa mtaa wa Migongo kata ya Migongo Halmashauri ya Mji wa Masasi mkoani Mtwara, Hajili Mpili (52) amepandishwa kizimbani katika mahakama ya wilaya ya Masasi kwa tuhuma za kumlawiti mtoto wake wa kiume mwenye umri wa miaka tisa.   Mtuhumiwa alifikishwa mahakamani hapo mwishoni mwa wiki na kusomewa shitaka na mwendesha mashtaka Suleimani Omari mbele ya hakimu Halfani Ulaya.   Mbele

Viongozi wa Dini Waaswa kutotumia MAKANISA Yao kunadi Wagombea

$
0
0
VIONGOZI wa madhehebu mbalimbali ya dini nchini wametakiwa kuacha tabia ya kuwakumbatia na kuwanadi baadhi ya wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi mbele ya waumini wao kwa kutumia nyumba za ibada.   Rai hiyo ilitolewa jana mjini Songea na Mwenyekiti mpya wa Serikali ya Mtaa wa Making’inda, Hashim Asham alipokuwa akizungumza na wanawake wa mtaa huo wakati wa uzinduzi wa Chama cha Akiba

Sheria Mpya ya Vibali vya Ajira YAJA

$
0
0
Wizara ya Kazi na Ajira iko  katika mchakato wa kuandaa Sheria mpya ya utoaji wa vibali vya ajira kwa wageni ili kudhibiti kuajiriwa kwa wageni ili kufanya kazi ambazo Watanzania wenyewe wanaweza kuzifanya. Alisema mchakato huo uko karibu kukamilika na utapelekwa bungeni kutokana na ratiba na kueleza kuwa itasaidia kudhibiti wafanyakazi wageni wanaoingia nchini bila utaratibu maalum na

Tuzo nyingine aliyoshinda Diamond Platnumz kutoka Uganda.

$
0
0
Tuzo nyingine kutoka Uganda imekabidhiwa kwa Diamond Platnumz, ni tuzo za Hiphop Music za nchini Uganda.    Kwenye kipengele hiki Diamond alikuwa anawani tuzo hii na wasanii kutoka Kenya, Uganda, na Rwanda. Bebe Cool ndio ameshinda tuzo nyingi zaidi, ameshinda sita.   Kipengele kilikuwa hivi Tayali – Urban ft Iyanya Sitya Loss – Eddy Kenzo Ndagushima – Ommy Dimpoz Number One –

Mbasha: Simtambui mtoto wa Flora

$
0
0
Baada ya mchungaji maarufu nchini, Gwajima kukanusha kuwa si baba wa mtoto wa Flora Mbasha, mume wa muimbaji huyo wa muziki wa injili, Emmanuel naye amesema hatambui chochote kuhusu kuzaliwa kwa mtoto huyo. Mbasha ambaye pia ni muimbaji wa muziki huo amesema ana mtoto mmoja mwenye umri wa miaka kumi na kwamba taarifa za kuwa Flora amejifungua anazisikia kama watu wengine.   “Nina

Lady Jaydee ajibu Kwanini hafanyi collabo na wasanii wa kike, na kama ana mpango wa kupatana na Radio/wasanii aliogombana nao

$
0
0
Lady Jaydee ametoa nafasi kwa mashabiki na followers wake wa Instagram kumuuliza maswali na kuahidi kuyajibu. Miongoni mwa maswali mengi aliyoulizwa ni pamaoja na kwanini hafanyi collabo na wasanii wa kike, na kuhusu Ugomvi / Tofauti na watu (wasanii) /Radio na mpango wa kupatana nao. “Duuuh maswali yako mengi sana karibia 300 Ila ki ukweli yote yanafanana So, what i will do I will

"CCM ijiandae kuunda Serikali ya mseto".....Kuna uwezekano Mkubwa Wabunge wengi wakatoka Upinzani lakini Siyo Rais

$
0
0
Wapo wastaafu wengi wa Serikali ambao wanafuatilia kwa karibu nyenendo za siasa nchini, mmoja wapo ni Kanali Mstaafu Edmund Mjengwa (68) ambaye amekitahadharisha chama cha CCM kwamba kijiandae kwa Serikali ya mseto.   “Na endapo Rais atatoka CCM na wabunge wengi ndani ya Bunge wakawa ni wa upinzani, basi lazima Rais huyo akubali kufanya kazi na upinzani.   “Itabidi akubali kuunda

Ajali ya Moto iliyoua watu Sita wa Familia Moja Kipunguni - Dar yaibua Mapya

$
0
0
Waombolezaji kwenye msiba uliotokana na ajali ya moto ulioteketeza watu sita wa familia moja, wamelaumu Kikosi cha Zimamoto cha Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kwa kushindwa kufika kwa wakati eneo la tukio.    Juzi familia ya watu sita ya Mzee David Mpira na mkewe Celina, iliteketea kwa moto ikijumuisha Lucas Mpira, Samwel Yegela, Pauline Emmanuel na Celina Emmanuel. Chanzo cha

Waziri Mkuu azindua Mpango wa Kitaifa wa Kukuza Stadi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK) ili kukabiliana na Changamoto za Elimu Nchini

$
0
0
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amezindua Mpango wa Kitaifa wa Kukuza Stadi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK) unaolenga kukuza viwango vya uelewa kwa watoto wa darasa la kwanza na la pili kwa nchi nzima. Mpango huo wa miaka mitatu ulioanza kutekelezwa 2014/2015 hadi 2016/2017 umelengwa kuwahusisha watoto wenye umri wa miaka mitano hadi 13 walio kwenye mfumo rasmi wa elimu na usio

Wastara Awacharukia Wanao Mtukana Mumewe Mitandaoni...

$
0
0
Msanii mkongwe katika gemu la filamu Bongo, Wastara Juma ameapa kumshtaki mtu atakayemkamata kutokana na baadhi ya mashabiki kuwa na tabia ya kumtukana matusi ya nguoni mtandaoni huku wakimhusisha na marehemu mumewe, Sajuki. Akizungumza na gazeti  la  Ijumaa, Wastara alisema anajisikia vibaya baadhi ya mashabiki wanavyomtukana kwenye mitandao ya kijamii jambo ambalo siyo zuri kwani

Picha za Uchi za Nay wa Mitego zamtesa Mchumba wake

$
0
0
Picha za ngono zilizozagaa katika mitandao ya kijamii za Staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, zikimuonesha akifanya ufuska na mrembo chumbani zimemliza mchumba’ke, Siwema ambaye ameamua kumsusia mtoto wao mchanga. Habari kutoka chanzo cha kuaminika zilisema kwamba, baada ya kusambaa kwa picha hizo kuliibuka tafrani nyumbani kwa wapenzi hao, Kimara jijini Dar

Wasaka Urais Vijana: Utafiti Wamng'arisha Mwigulu Nchemba akifuatiwa na Zitto Kabwe

$
0
0
Shirika la Utafiti wa Maendeleo ya Elimu (TEDRO), limesema katika utafiti walioufanya kuhusu ushiriki wa vijana katika siasa na matarajio kuelekea uchaguzi mkuu 2015, umeonesha kwamba endapo mgombea urais kijana atapendekezwa atakubalika kwa asilimia 82. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa shirika hilo, Jacob Kateri alisema katika wananchi hao

Wabunge 150 Wambeba Lowassa mbio za Urais......Wakutana Dodoma, wamshawishi achukue Fomu huku wakisema Lowassa ni Chaguo la Mungu

$
0
0
Mbio za kuusaka urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), zimezidi kupamba moto baada ya kundi la wabunge wapatao 150 kujitokeza hadharani na kueleza kumuunga mkono mmoja wa wanaotajwa kuwa wagombea, Edward Lowassa, wakimtaka kujitosa kwenye kinyang’anyiro hicho. Hali hiyo ilijitokeza wakati wa Mkutano wa Bunge wa 18 ukihitimishwa mwishoni mwa wiki na kubakia miwili tu Bunge la 10 kufikia

Mwanafunzi Aliyebakwa na Polisi Adaiwa Kutoroshwa ili Kufisha Ushahidi

$
0
0
MWANAFUNZI wa kidato cha pili mwenye umri wa miaka 15 anayedaiwa kubakwa na askari wa Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga, usiku wa kuamkia Januari 6 mwaka huu, ametoweka katika mazingira ya kutatanisha.   Tukio la kubakwa mwanafunzi huyo (jina tunalo), aliyekuwa aingie kidato cha pili Sekondari ya Sakwe, iliyopo Bariadi, mkoani Simiyu, lilitokea eneo la Ndembezi, Manispaa ya Shinyanga.  

Sakata la Mugabe Kuanguka: Maafisa Usalama wa Taifa 27 Wafukuzwa kazi kwa kushindwa kuwajibika wakati Rais huyo akianguka.

$
0
0
Hii bado ni habari ambayo imeendelea kukaa kwenye headlines....Siku chache zimepita tangu Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe aanguke kwenye ngazi akiwa anashuka baada ya kuhutubia wananchi na wanachama wake.   Story ziliendelea mitandaoni kuijadili ishu hiyo, watu wa graphics nao wakatengeneza picha mbalimbali za kuchekesha kitu ambacho kiliwakwaza viongozi wa chama cha ZANU-PF.   Leo

"Mimba My Foot"... Mashabiki wa Zari (Mpenzi wa Diamond ) Wamvaa Wema Sepetu baada ya kukejeli Mimba Yake

$
0
0
Wema Sepetu anahisi ujauzito wa Zari The Boss Lady ni geresha tu, hakuna lolote! Hii ni kwa mujibu wa picha inayoonekana kuwa iliwekwa kwenye ukurasa wa Instagram wa Miss Tanzania huyo wa mwaka 2006 na ex wa Diamond Platnumz.   Picha hiyo haipo tena lakini Zari alifanikiwa kuipata na kuiweka kwenye ukurasa wake  wa  pili (zarithebosslady_) kuelezea alivyosikitishwa na kauli ya Wema

Daftari la Wapiga Kura Kuanza Kuboreshwa Wiki Ijayo.....Watanzania washauriwa kujitokeza kwa Wingi ili Wajiandikishe

$
0
0
SASA ni rasmi kwamba kazi ya kuliboresha Daftari la Kudumu la Wapigakura nchini kote, itaanza Jumatatu ijayo Februari 16 na kumalizika Aprili 29 mwaka huu.   Uandikishaji huo utaanzia katika mikoa ya Lindi, Ruvuma, Mtwara na Njombe na baadaye utahamia katika mikoa mingine.   Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema ratiba ya upigaji wa kura ya maoni ambayo ni Aprili 30 iko pale pale,

Video Yatumika Kutoa Ushahidi katika Kesi ya Sheikh Ponda

$
0
0
UPANDE wa Mashikata kesi inayomkabili Kiongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Shehe Ponda Issa Ponda umewasilisha ushahidi muhimu wa mkanda wa video unaodaiwa kuonesha uhalisia wa tukio zima la kesi yake inayomkabili ya kutoa maneno ya uchochezi.   Mkanda huo wa video uliletwa mahakamani hapo mbele ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro, Mary Moyo na kuoneshwa na shahidi wa tano wa
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images