Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Tangazo la Mafunzo ya Ujasiliamali Ambayo Yatatolewa Bure Kabisa...... Zaidi ya Mambo 40 Yatafundishwa, Changamkia Fursa hii

$
0
0
Taasisi  ya  RafikiElimu  FOUNDATION  kupitia  Mradi  wa  Elimu  Ya  Ujasiriamali  Mijini  &  Vijijini, inatangaza  nafasi  za  MAFUNZO  YA  UJASIRIAMALI.  Mafunzo  yatakayo  tolewa  ni  pamoja  na  : 1.  Jinsi  ya  kutengeneza  mashine  za  kutotolea  vifaranga  wa  kuku. 2.  Uanzishaji  na  undeshaji  wa  taasisi  zisizo  kuwa  za  kiserikali. 3.   Jinsi ya kutengeneza aina sita za

UNYAMA: Mtuhumiwa Aua Polisi Kwa Panga Dodoma

$
0
0
Polisi mkoani Dodoma wanamsaka mkazi wa Chang’ombe Juu, Tisi Malya kwa kumuua askari polisi kwa kumcharanga mapanga wakati akijaribu kumuokoa mtoto wa miezi minane aliyekuwa anataka kuuawa na mtu huyo. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Dodoma, David Misime amemtaja askari aliyeuawa majira ya saa 5:00 asubuhi kuwa ni Joseph Swai.   Akisimulia mkasa huo kwa waandishi wa habari, Kamanda

Hii ni taarifa ya idadi ya watu ambao hufariki kila siku kwa Saratani Tanzania

$
0
0
Wataalamu wa afya wamethibitisha kuwa saratani ni janga la kitaifa huku takwimu zaidi ya vifo vitokanavyo na ugonjwa huo zikionyesha Watanzania wengi hupoteza maisha kila siku.   Mkurugenzi wa Taasisi ya Ocean Road Dk. Diwani Msemo wakati wa maazimisho ya siku ya saratani duniani alisema wengi wanaopata ugonjwa huo hufa kwa sababu wanakosa tiba, uhaba wa dawa na vifaatiba na pia

Video inayoonyesha Rais Mugabe akianguka kwenye ngazi

$
0
0
Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe tumesikia mara nyingi akiwa na migogoro na mataifa ya Ulaya, Marekani ishu kubwa ni kitendo cha Mugabe kuonekana akiendelea kung’ang’ania madaraka kwa kipindi kirefu.   Video, picha na story kubwa mitandaoni kwa sasa ni ishu ya Rais huyo kuanguka wakati akishuka ngazi baada ya kuhutubia wanachama wake Harare, baada ya kumaliza kuhutubia alisalimiana na

Benki ya I&M Yazindua Huduma ya kwanza ya mfumo wa kielekroniki ya masaa 24 katika jengo la Viva Tower, Posta-Dar

$
0
0
Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya I&M, Anurag Doreha  (kushoto) akiongea na wadau wa benki hiyo hawapo pichani wakati wa uzinduzi wa tawi  na mfumo mpya wa kielektroniki uliovumbuliwa na Smart Banking Solutions Ltd ambapo mteja anaweza kuweka na kutoa pesa  sambamba na kupata huduma nyingine za kibenki kama kubadilisha fedha za kigeni kwa kutumia mashine za kielektroniki masaa 24 ya siku.Hafla hiyo

Serikali Yaapa Kunusuru Manyanyaso ya Machinga Nchini

$
0
0
SERIKALI imeingilia kati manyanyaso wanayopata wafanyabiashara ndogo na mamalishe nchini, kwa kuamua kuunda kikosi cha kiofisi, kitakachohusisha wajasiriamali hao kwa lengo la kukubaliana juu ya maeneo na muda mwafaka wa kuendesha shughuli zao.   Waziri Mkuu, Mizengo Pinda aliliambia Bunge jana kwamba Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), imewasilisha

Wizara ya Elimu yazidi kuzibana shule binafsi

$
0
0
WIZARA ya Elimu na Ufundi imesema itazifutia usajili shule zote za serikali au binafsi, zitakazobainika kukaidi agizo la wizara hiyo lililotolewa wiki iliyopita la kuacha kuweka viwango maalumu na tofauti za ufaulu kutoka kidato kimoja kwenda kingine.   Naibu Waziri wa wizara hiyo, Anne Kilango alisema wizara hiyo inaendelea na uchunguzi na kufungia shule zote hata kama zinamilikiwa na

Mzizi wa fitna kwa madiwani wa CHADEMA Waliofukuzwa Jijini Mwanza Kukatwa

$
0
0
JOPO la wanasheria lililoundwa kutoa tafsiri ya sheria katika sakata la kufukuzwa kwa madiwani watatu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika Halmashauri ya Ilemela, mkoani Mwanza, limekamilisha kazi yake.   Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, alisema jana bungeni kwamba juzi alisaini barua kwenda Tamisemi akitoa uamuzi wa mwisho juu ya suala hilo.   Pinda alisema hayo wakati

Walimu wanaokaimu Utendaji kata kukiona

$
0
0
OFISI ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) imeagiza kupewa majina ya walimu watakaobainika kukaimu nafasi za maofisa utendaji kata ifanyie kazi suala hilo.   Naibu Waziri, Aggrey Mwanri aliliambia Bunge jana kwamba hakuna mwalimu anayeruhusiwa kutoka kwenye kazi yake ya kufundisha na kwenda kukaimu ofisi hiyo.   Badala yake, alisema wanaotumiwa kwa ajili ya

Kamati ya Bunge Yataka walimu Wote Nchini Wasajiliwe

$
0
0
KAMATI ya Bunge ya Huduma za Jamii imetaka walimu nchini kusajiliwa ikiwa ni pamoja na wanaofanya kazi katika shule binafsi ili kuwatambua na kuweka kiwango cha msingi cha kutoa huduma kote nchini.   Kamati hiyo ilisema kazi hiyo ifanywe na Tume ya Utumishi wa Walimu inayotarajia kuanza katika mwaka wa fedha 2015/16. Aidha, kamati hiyo imesema ili kukabiliana na changamoto ya Serikali

Mtuhumiwa Aliyeua Polisi kwa Panga naye Auawa na Wananchi.....Polisi Yawapongeza wananchi kwa Uamuzi huo

$
0
0
Mtuhumiwa Tissi Mallya ambaye alitoroka baada ya kumuua askari Polisi G.7168 Koplo Joseph Swai, ameuawa usiku wa kuamkia jana na wananchi alipokuwa amejificha akiwa na panga lenye damu, lililotumika kwenye mauaji hayo.   Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David Misime alisema hayo jana katika mkutano wake na waandishi wa habari, alisema mauaji hayo yalitokea juzi asubuhi katika eneo la

Shindalo la Tutoke na Serengeti limebakiza wiki tatu .....Kazi kwako mdau, bado hujachelewa

$
0
0
Dar es Salaam, Tanzania: 04th Februari, 2015. Kampuni ya pili kwa ukubwa katika utengenezaji wa pombe hapa nchini imeeleza kwamba kampeni yake inayoendelea ya “Tutoke na Serengeti” inaelekea ukingoni.    Kwa kigezo hicho, kampuni hiyo imejipanga kumaliza kampeni hiyo kwa kishindo na njia ya kipekee kwa kuhakikisha kwamba washindi wengi zaidi wanapata nafasi ya kujishindia zawadi mbalimbali

Wabunge "WAPANGA FOLENI" Kuzungumza na Lowassa Bungeni

$
0
0
Sina  uhakika  kama  Mbunge  wa  Monduli,Edward  Lowassa  anaweza  kupata  nafasi  ya  kupumzika  awapo  bungeni... Ni  nadra  na  mara  nyingi  haiwezi  kutokea  kumuona  Lowassa  akiwa  peke  yake  akipumzika  bila  ya  kuwa  na  wabunge  wengine  katika  kiti  cha  pembeni  kushoto  kwake... Mara  anapoingia  ndani  ya  ukumbi  wa  bunge,wabunge  wengi  humfuata  kwa  zamu  na  hata 

Muswada wa Mahakama ya Kadhi Waondolewa Bungeni

$
0
0
Muswada wa Sheria ya kuanzishwa kwa Mahakama ya Kadhi Tanzania Bara hautajadiliwa katika mkutano wa Bunge unaoendelea mjini Dodoma baada ya serikali kuuondoa kwa maandalizi zaidi.   Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju, alisema jana usiku kuwa wameamua kuuondoa muswada huo ili kupata fursa ya kutoa elimu zaidi kwa viongozi wa dini na kuufanyia marekebisho baadhi ya maeneo. Alisema

Mrema Ageuka Mbogo Bungeni kwa wanaodai ana UKIMWI......Asema yeye ni mzima na lazima mwaka huu Agombee tena Ubunge

$
0
0
Mbunge wa Vunjo, Augustine Mrema (TLP) ametoa shutuma zake bungeni Dodoma akimtuhumu mbunge James Mbatia kuwa amekuwa akimpakazia mambo mabaya kwa wapiga kura wa jimbo lake kuwa ana UKIMWI.    Mrema amesema kuwa mbunge huyo amekuwa akipita jimboni kwake na kusema kuwa wasimchague mbunge huyo kwa kuwa ana UKIMWI na hana maisha marefu hapa duniani.    Ametoa kauli hiyo bungeni Dodoma na

Ray C Ajitolea Kumsaidia Daz Baba Kuacha Madawa ya Kulevya

$
0
0
Staa wa muziki wa kizazi kipya, Rehema Chalamila ‘Ray C’ ameapa kumsaidia mwanamuziki mwenzake David Jacob ‘Daz Baba’ anayedaiwa kujihusisha na utumiaji wa madawa ya kulevya.   Chanzo cha kuaminika kimeeleza kuwa, Ray C amekuwa akiumizwa na hali aliyonayo Daz Baba na amefanya kila awezavyo hadi kuongea naye ili aanze kutumia dozi ya Methadone ambayo wengi huipata katika Hospitali ya

Hussein Machozi Anaswa na Mchepuko wa Kizungu

$
0
0
Baada ya mwanamuziki Hussein Machozi kudaiwa kumtelekeza mkewe aliyemuoa nchini Kenya, hivi karibuni picha yake imenaswa akiwa kimahaba na mchepuko wa Kizungu. Picha hiyo inamuonesha Hussein akiwa kifua wazi huku mwanamke huyo akimchezea kifua sambamba na kumng’atang’ata shingoni .  

Aunt Ezekiel: Mimba yangu Sio ya Waziri Nyalandu

$
0
0
Mkali wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson amevunja ukimya na kupinga vikali tetesi za ujauzito wake kuhusishwa na mmoja wa mawaziri wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete akibainisha kuwa jambo hilo linautesa moyo wake. Akizungumza na Risasi  jijini Dar, Aunt alifunguka kwamba, mbali na kumzushia juu ya ujauzito huo, kuwa mara ya kwanza watu asiowajua walieneza uvumi kuwa alikwenda

Bunge lapokea taarifa kuhusu migogoro ya Ardhi.....Kamati teule yapendekeza Raia wa Kigeni Waporwe Ardhi kisha Watimuliwe Nchini

$
0
0
Bunge limetakiwa kutoa azimio la kusitisha zoezi la utoaji wa vibali kwa raia wa kigeni kuishi, kufuga na kumiliki ardhi pamoja na kufuta vibali vyote vilivyopo na kuwataka raia wa kigeni wenye vibali hivyo kuondoka nchini mara moja. Akiwasilisha Bungeni taarifa ya kamati teule iliyoundwa kuchunguza na kuchambua sera mbalimbali zinazohusu masuala ya ardhi, kilimo, mifugo, maji na

Kafulila Akwama Kufufua Sakata la ESCROW Bungeni.......Asema Bunge Limewanyima Watanzania Haki Yao ya Msingi

$
0
0
Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) ameshindwa kuwasilisha hoja binafsi, kuitaka Serikali iwasilishe bungeni ripoti ya Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru), kuhusu uchunguzi wa tuhuma za rushwa katika sakata la iliyokuwa Akaunti ya Tegeta Escrow. Lengo la hoja hiyo kwa mujibu wa madai ya Kafulila, ilikuwa kuwezesha Bunge, kufanya uamuzi mwingine wa alichoita
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images