MFANYABIASHARA aliyefahamika kwa jina la Jumanne Tevez, mkazi wa Dar es
Salaam, amefanyiwa unyama baada ya kudaiwa kukatwa uume wake na wenzake.
Habari za uhakika kutoka chanzo chetu cha habari zilisema kuwa Tevez,
amelazwa katika hospitali moja nchini Afrika Kusini akipatiwa matibabu.
Chanzo chetu hicho ambacho kipo karibu na familia ya mfanyabiashara
huyo, kilieleza kuwa taratibu
Mume wa Isha Mashauzi Afanyiwa Ukatili wa Kutisha Afrika Kusini.....Akatwakatwa sehemu za siri, ajeruhiwa vibaya mgongoni, tumboni na kwenye jicho
↧
↧
Sakata la Machinga kupigwa: Waziri Mkuu aahidi kumshughulikia Katibu Tarafa wa Kariakoo -Dar
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda ameagiza watendaji katika Manispaa na Jiji waliohusika kunyang’anya mali za wafanyabiashara mbalimbali kwa kisingizio cha kusafisha jiji na kugawana badala ya kupeleka kunakoruhusiwa kuchukuliwa hatua huku akiahidi kumshughulikia Katibu Tarafa wa Kariakoo, jijini Dar es Salaam.
Aidha, amewataka wakuu wa mikoa na wilaya kukaa na wafanyabiashara na kuangalia njia
↧
" Natamani Kwenye Amri za Mungu Iongezwe ya 11 Isemayo 'USIWE CCM'.."....Hii ni kauli ya Lema Bungeni
LEO Wabunge wameendelea kuchangia taarifa za Kamati za Hesabu za
Serikali PAC na LAAC zinazoonesha ubadhirifu mkubwa wa fedha za umma. Hapa chini nimekuwekea michango ya baadhi ya Wabunge.
Lema: Haiwezekani kila siku tukija humu tunazungumzia wizi tu,
inatakiwa tuzungumzie mipango ya maendeleo ya wananchi sio kila siku
wizi wizi wizi unaosababishwa na CCM.
Lema: Kama
↧
Wafuasi 29 wa CUF Waachiwa kwa dhamana
Hatimaye wafuasi 29 kati ya 30 wa chama cha wananchi (CUF) akiwemo Naibu
Mkurugenzi wa Oganaizesheni, Uchaguzi na Bunge Shaweji Mketo na Naibu
Mkurugenzi wa mawasiliano Abdul Kambaya wamepatiwa dhamana.
Licha
ya wafuasi hao kupatiwa dhamana, mmoja ya watuhumiwa hao ambaye ni
mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Sandali Bw Abdina Ali Abdina
amelazimika kutolewa nje ya chumba cha
↧
Rais Mugabe Ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika [AU]
Rais mkongwe wa Zimbabwe Robert Mugabe, ameteuliwa kuwa mwenyekiti wa Muungano wa Afrika AU akichukua nafasi ya Mohamed Ould Abdel Aziz wa Mauritania.
Mugabe mwenye umri wa miaka 90 ameteuliwa kwa kauli moja na Wajumbe katika mkutano wa AU unaoendelea kwa sasa mjini Addis Ababa-Ethiopia.
Imeelezwa kuwa uteuzi wa Mugabe kuongoza muungano huo mkubwa ulio na
wanachama zaidi ya
↧
↧
Baba AJIUA Baada ya kuona picha za Uchi za Binti yake
Wazazi wamekua na nafasi kubwa sana
katika malezi ya watoto wao hata wakati wanapokuwa watu wazima
lakini baba huyu kutokana na upendo kwa mwanaye aliamua kujiua baada ya
kuona picha za mtoto wake alizopiga akiwa mtupu katika jarida la Playboy nchini Romania.
Loredana Chivu aliamua kuweka
picha hizo akiwa amepiga katika staili tofauti katika mitandao
mbalimbali ya kijamii ambapo
↧
Shilole aomba radhi kwa kumdunda Nuh Mziwanda .......Nuh naye kasema yupo tayari kupigwa mpaka AKOME!!!
Baada ya Shilole kumchapa vibao mchumba wake Nuh Mziwanda, Shilole amelazimika kuomba radhi.
Shilole amewaomba radhi mashabiki wake kwenye mtandao wa Instagram kwa kupost picha akiwa na mpenzi wake huyo na kuandika:
“Huyu hapa mjanja wangu mimi, daah nimekamatika hapa, na naamini
ni mwanaume sahihi kwangu maana hawezagi kurusha hata ngumi japo
namchokozaga mie mjeuri tu, mnao
↧
Mh.Mbatia: Jeshi la polisi lifanyiwe marekebisho ya kimfumo ili kuboresha utendaji wake
Serikali imeshauriwa jeshi la polisi lifanyiwe marekebisho ya kimfumo
ili kuboresha utendaji wake ambao kwa sasa unalalamikiwa kwa sehemu
kubwa na wananchi kwa kukiuka haki za binadamu.
Akizungumza jana mjini Dodoma katika kuhitimisha hoja kuhusu
kukamatwa kwa kiongozi wa wa chama cha CUF, Prof Ibrahim Lipumba na
wanachama wake,Mbatia alisema kuwa kitendo hicho kilikiuka haki za
↧
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Anusurika Kufa
Msafara wa mkuu wa mkoa wa Morogoro Dr. Rajab Rudenge umepata ajali katka eneo la Msavu barabara ya Morogoro Iringa majira ya saa tisa alasiri.
Katika ajali hiyo Meya wa Manispaa ya Morogoro Amily Nondo na mwaandishi wa habari wa ITV wamejeruhiwa vibaya na wanaendelea na matibabu katika hosptali ya Rufaa ya mkoa wa Morogoro.
Wengine walio jeruhiwa katika ajali hii ni pamoja na Dereva
↧
↧
Wabunge Wachoshwa Kujadili Wizi na Ufisadi Unaofanywa na Watendaji wa Serikali
Wabunge wameelezea kuchoshwa na wizi, matumizi mabaya ya fedha na mikataba mibovu iliyobainishwa katika taarifa za baadhi ya kamati zilizowasilishwa bungeni, na kushauri maazimio yapitishwe ili wahusika wa ufisadi huo wabanwe.
Katika kuchangia taarifa za Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) pamoja na Kamati ya Bajeti zilizowasilishwa bungeni,
↧
Takukuru, AG Kuchunguza Mauzo ya UDA
Ofisi ya Waziri Mkuu,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) imepeleka suala la mchakato wa uuzaji wa hisa za Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam katika Shirika la Usafiri Dar es Salaam(UDA) kwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) ili kuangalia mchakato mzima na mkanganyiko katika uuzwaji wa hisa hizo.
Pia wamemtaka mwanasheria mkuu wa serikali kuupitia mchakato
↧
Watendaji wa Hazina Wafutiwa Ukurugenzi Mashirika ya Umma
Serikali imezuia watendaji wote wa Msajili wa Hazina, kuingia katika bodi yoyote ya mashirika ya umma kuepuka mgongano wa maslahi.
Waziri wa Fedha, Saada Mkuya (pichani) alisema bungeni, kwamba wameshaanza kuondoa watendaji hao katika bodi mbalimbali, ili kuhakikisha wafanyakazi wa Msajili wa Hazina, ambaye ndiye mwenye hisa katika mashirika yote ya umma, wanakuwa wasimamizi badala ya
↧
Muuza Genge Achezea Kichapo kizito baada ya kunaswa na Mke wa Mtu
Muuza genge mmoja kwenye Soko la Mji Mpya mjini Morogoro ambaye jina
halikupatikana mara moja, amejikuta akichezea kichapo kwa madai ya
kunaswa na mke wa mtu kisha kutembezwa mtupu mtaani.
Fumanizi hilo lililojaza umati wa jinsi na rika zote wakiwemo watoto
lilijiri katikati ya wiki hii, maeneo ya Mji Mpya ndani ya chumba na
kitanda cha wanandoa hao.
Kwa mujibu wa majirani,
↧
↧
Chenge Ageuka Mbogo Bungeni baada ya kuitwa FISADI.......Amtaka Halima Mdee Atoe Ushahidi Kuthibitisha Kauli yake
MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (Chadema) ametakiwa kuwasilisha ushahidi kuthibitisha kauli yake ya kumtuhumu Mbunge Bariadi Magharibi, Andrew Chenge (CCM), kwa ufisadi.
Chenge alilazimika kuomba utaratibu wa kiti juzi, baada ya Mbunge huyo wa Kawe kumtaja mara mbili wakati akichangia mjadala wa taarifa za kudumu za Bunge zilizowasilishwa juzi.
Mara ya kwanza, Mdee alimhusisha Chenge na
↧
CUF Wamtaka Waziri Chikawe Afute Kesi......Wasema wanaandaa Maandamano Makubwa nchini Nzima
Jumuiya ya Vijana ya CUF (JUVICUF) imemtaka Waziri wa Mambo ya
Ndani, Mathias Chikawe kufuta kesi zote zilizofungliwa kutokana na tukio
lililotokea mapema wiki hii la viongozi wa chama hicho na wafuasi
kupigwa na kukamatwa na polisi.
Jumuiya hiyo, pia
imesema kuwa itaandaa maandamano nchi nzima kulaani vitendo vya
ukiukwaji wa haki za binadamu vinavyofanywa na askari wa Jeshi la
↧
Kimbunga Chaleta Maafa Bukoba.....Wawili wafariki, 31 Walazwa na 380 hawana Makazi
Watu wawili wamefariki dunia baada ya kimbunga kupiga katika
Kisiwa cha Goziba na kusababisha baadhi ya mitumbwi kupinduka katika
Ziwa Victoria.
Kimbunga hicho kilitokea juzi saa tano asubuhi wakati wakazi mbalimbali wakiwa katika shughuli zao.
Mkuu wa Wilaya ya Muleba, Rembris Kipuyo alisema jana kuwa, majeruhi hao wamelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kagera.
Alisema
↧
Godbless Lema Amshambulia Kamishna wa Oparesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi, Paul Chagonja......Asema Anamhujumu IGP Mangu
MBUNGE wa Arusha Mjini, Godbless Lema (Chadema), jana alimshambulia
kwa maneno makali Kamishna wa Oparesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi,
Paul Chagonja, kuwa anaweza kuwa anashirikiana na majambazi wanaovamia
vituo vya polisi na kupora silaha.
Lema alitoa maneno hayo makali ya kumshambulia Chagonja bungeni jana,
wakati akichangia taarifa za Kamati za Bunge za Hesabu za Serikali Kuu
↧
↧
Muhongo akabidhi rasmi ofisi kwa Simbachawene
Aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo leo
amekabidhi Ofisi kwa Waziri mpya wa wizara hiyo George Simbachawene.
Katika
makabidhiano hayo, Prof Muhongo ameonya juu ya matumizi mabaya ya Ofisi
yanayoambatana na rushwa ili kuwasaidia watanzania masikini wanaoitegemea
sekta hiyo kwa maendeleo ya uchumi wao.
Muhongo amemuasa Simbachawene juu ya umakini na
↧
Watu 24 watiwa mbaroni kwa mauaji ya askari Geita
ASKARI
mmoja wa wanyama pori na msaidizi wake wameuawa kwa kupigwa mawe,
mapanga, marungu na nondo na wananchi katika kijiji cha Namonge Wilayani
Bukombe Mkoani Geita wakituhumiwa kuwa majambazi na tayari watu 24
wanashikiliwa akiwemo Afisa mtendaji wa kijijij hicho.
Tukio hilo limetokea jana jioni baada ya wananchi hao kuhamasishana
wakakusanyika na kuivunja ofisi ya Serikali ya
↧
Raia 96 wa Burundi wakamatwa kwa ujangili Katavi
Jeshi
la polisi nchini limefanikiwa kuwakamata watu 96 wengi wao wakiwa ni
raia wa nchi jirani ya burundi, wanaotuhumiwa kujihusisha na ujangili
kwenye hifadhi ya taifa ya Katavi ikiwa ni pamoja na mapori mbalimbali
ya akiba (Game Reserve) mkoani Katavi, na kukutwa na silaha nne pamoja
na risasi 118 na Radio Call kwa ajili ya mawasiliano.
Kaimu kamanda wa polisi wa mkoa wa Katavi
↧
More Pages to Explore .....