Mwenyekiti wa chama cha wananchi CUF Prof.Ibrahimu Lipumba hali yake kiafya sinzuri baada ya kubadilika gafla wakati akiwa katika mahakama kuu ya Kisutu Jijini Dar es Salaam na hivyo kukimbizwa katika Hospitali ya UN kinondoni DSM.
Lipumba alifikshwa mahakamani hapo na kusomewa mashitaka ya kuongoza
maandamano haramu.Profesa huyo akiwa na wafuasi wake wameachiwa kwa
dhamana na kesi yao
Profesa Lipumba Azidiwa ghafla akiwa Mahakamani, akimbizwa Hospitali.....Kesi yake Itasomwa tena tarehe 26 February
↧
↧
Utata wa video ya Mchungaji iliyozagaa mitandaoni akiwa UCHI Afrika Kusini
Mchungaji maarufu Afrika Kusini Sthembiso Zondo
ambae huwa anatoa mahubiri yake kwa njia ya Redio nchini humo, ratiba
ya kurushwa kwa mahubiri yake imesimamishwa kurushwa hewani baada ya
kuvuja video inayomuonyesha akizungumza kwenye simu huku akiwa hajavaa
nguo yoyote.
Shirika la utangazaji la Afrika Kusini (SABC) limetoa
amri ya kusimamishwa kwa Kipindi cha mchungaji huyo hadi
↧
Polisi Wamkamata Wema Sepetu Akidaiwa Kupiga Muziki kwa Sauti Usiku
Katika hali ya kushangaza, polisi walijikuta
wakipata shughuli pevu kumkamata staa asiyeishiwa matukio Bongo, Wema
Sepetu ambaye alidaiwa kupiga muziki kwa sauti kubwa usiku kucha pasipo
kuwa na kibali.
Tukio hilo lilitokea Jumanne iliyopita, nyumbani kwa mwigizaji huyo,
Kijitonyama jijini Dar kulikokuwa na bethidei ya rafiki yake
aliyejulikana kwa jina moja la Neema.
Awali
↧
Nyumba zaidi ya 50 zaezuliwa kwa mvua Tunduru
Zaidi ya nyumba 51 katika kijiji cha Sisi kwa Sisi tarafa ya Mlingotini
wilayani Tunduru mkoani Ruvuma zimeezuliwa kufuatia mvua zinazoendelea
kunyesha katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Ruvuma. Mvua hizo zimekuwa zikiambatana na upepo mkali pamoja na radi.
Akizungumza kwa njia ya simu mkuu wa wilaya ya Tunduru Chande Nalicho
amesema tukio hilo la mvua kubwa kunyesha huku ikiambatana
↧
Ndoa ya Wolper Yabuma......Wazazi wa Manaiki Sanga Wamkataa
Msanii wa filamu hapa Bongo, Manaiki Sanga,amesema kuwa yuko katika
wakati mgumu sana kwa sababu wazazi wake wamemtolee nje ishu ya kwenda
kumposa staa wa kike Bongo, Jacqueline Wolper.
Akizungumza kwa masikitiko, Manaiki alisema kuwa hivi karibuni
alifunga safari na kwenda kijijini kwao Mbeya kwa ajili ya kuwaeleza
wazazi wake nia yake ya kumuoa Wolper lakini imekuwa tofauti kwani
↧
↧
Wahudumu wa Mochwari huko Simiyu Wagoma Kuzika Maiti Iliyoharibika
Wahudumu wanaofanya kazi katika chumba cha kuhifadhia maiti katika
Hospitali ya Wilaya ya Bariadi mkoani Simiyu, wamegoma kuzika miili ya
watu iliyoharibika na isiyotambuliwa kwa madai kuwa hawajalipwa
mishahara yao kwa kipindi cha miezi sita.
Tarifa ya kugoma kwa wahudumu hao imekuja baada ya kuwapo kwa maiti ambazo hadi sasa zimeshindikana kuzikwa.
Wakizungumza na waandishi
↧
Masheikh: Maaskofu msiingilie mchakato wa mahakama ya kadhi
TAASISI ya Masheikh na Wanazuoni wa Kiislamu Tanzania, imepinga tamko la
maaskofu kuhusu kuzuia kuanzishwa kwa Mahakama ya Kadhi na kusema hatua
hiyo ni sawa na kuingilia uhuru wa Bunge.
Kutokana na hali hiyo, wametaka maaskofu hao kupitia Jukwaa la Wakristo
Tanzania (TCF), kuwaacha wabunge ili waweze kujadili muswada huo kwa
uhuru bila kuwapo shinikizo katika suala hilo.
↧
Nimefanikiwa kuipata Hotuba ya Lipumba Aliyotakiwa kuisoma wakati wa Maandamano.......Inasema wanawake walibakwa na watu kuuawa na Polisi
Siku ya leo siyo siku ya furaha hata kidogo na wala si siku ya
kujifaharisha, ni siku ya kihistoria kwa chama chetu, ni siku ya
kukumbukwa sana.
Miaka kumi na nne iliyopita tarehe kama ya leo tarehe
27 Januari, 2001 na tarehe kama ya jana tarehe 26 Januari 2001,
Wanachama wenzetu waliojitoa muhanga, leo hii hawapo wamekwenda mbele ya
haki katika siku kama hii, mama zetu na dada zetu
↧
Nimekuwekea Video ya dakika 10 ya Kipigo kizito Alichopewa Lipumba pamoja na Wanachama wengine wa CUF
Hii ni Video ya kichapo kizito toka kwa polisi walichopewa wanachama wa CUF wakati wa maandamano yalioyoongozwa na Mwenyekiti wa chama hicho, Profesa Ibrahim Lipumba.
↧
↧
Sister wa Kanisa Katoliki Ajifungua Mtoto wa Kiume
Utata umeibuka baada ya sister wa Kanisa Katoliki huko Italy
aliyekuwa akilalamikia maumivu ya tumbo na kukimbizwa Hospitali na
kujifungua mtoto wa kiume licha ya kuishi katika Jumuiya hiyo ya
wanawake watupu.
Sister huyo mwenye umri wa miaka 31 yupo kwenye kikundi cha masista cha Santa Chiara Italy,
asili yake ni Amerika ya Kusini, alilalamikia maumivu makali ya tumbo
baadaye
↧
Queen Darleen Achochea Bifu la Diamond na AliKiba
Mwanamuziki ambae ni dada na Diamond Platnum Queen Darleen amezidi kuchochea chuki na bifu kwa mashabiki wa Ali Kiba na Diamond Platnum baada ya kupost maneno ambayo mashabiki hao wanaona ni kama anazidi kuchochea bifu iliyopo kwa mashabiki wa wanamuziki hao ambao kwa sasa wamekuwa na ushindani mkubwa kimuziki.
Mwishoni mwa wiki iliyopita kulikuwa na show kubwa ya muziki ambayo ilifanyika
↧
Bunge Limejadili Sakata la Profesa Lipumba Kupigwa wakati wa Maandamano......Hapa nimekuwekea Michango yao waliyoitoa
Leo Bunge Limejadili hoja ya dharura ya Mh.Mbatia juu ya kupigwa kwa Mh.Lipumba wakati wa mkutano wake na wananchi wakati wa kumbukumbu ya mauaji ya wenzao waliokuwa wamefariki Pemba 2001.
Hoja hiyo imejadiliwa kwa mujibu wa kifungu cha 47 ambapo msemaji wa kwanza alikuwa ni Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi ambaye alisimama kutoa msimamo wa serikali.
Waziri wa
↧
"Kuna Tatizo gani Lipumba Kupigwa?.....Nawapongeza sana Polisi kwa Kumpiga"---Hii ni kauli ya Lusinde Bungeni
Kulikuwa na mvutano mkali sana bungeni wakati wabunge wakijadili hoja ya Lipumba kupigwa. Hapo chini nimekuwekea michango ya Lusinde na Sadifa waliyoitoa Bungeni:
Lusinde: Kwani kupigwa Lipumba ndiyo tatizo, wamepigwa viongozi wangapi hapa, Lipumba siyo wa kwanza kupigwa
Lusinde: Nawapongeza Polisi safari hii kapigwa muhusika mwenyewe, ndiyo
nzuri hiyo, siyo
↧
↧
Polisi: Tulizuia Maandamano ya CUF Kuhofia Bunduki Zilizoibiwa Ikwiriri
Jeshi La Polisi limetoa sababu za kwanini lilizuia maandano ya
wafuasi na viongozi wa Chama cha Wananchi (CUF) kwamba ni kutokana na
kuibwa kwa bunduki saba katika kituo cha Polisi Ikwiriri wilayani
Rufiji, mkoani Pwani ambazo pengine zingeweza kutumika katika mkusanyiko
wa watu.
↧
"Zoezi la Kupigia kura Katiba inayopendekezwa Liko Pale pale"....Hii ni kauli ya Waziri Mkuu Leo Bungeni
Serikali imewahikikishia watanzania kuwa zoezi la uandikishwaji wa
wapiga kura katika daftari la kudumu kwa mfumo wa kieletronik BVR
litafanyika kwa ufanisi na ndani ya wakati uliopangwa.
Akijibu
swali la kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni Mh. Freeman Mbowe
kuhusu uhakika wa zoezi hilo, Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda amesema tume
ya uchaguzi imeihakikishia serikali kuwa
↧
Msimamo wa Serikali: CUF inatafuta Umaarufu wa Kisiasa, Walikaidi Amri na ndo maana Wakapigwa
Akifafanua Bungeni kuhusu CUF kupigwa na Polisi, Waziri wa Mambo ya
Ndani Mathias Chikawe amesema Chama cha CUF kilitimiza masharti yote
lakini polisi ina haki ya kuzuia endapo itajiridhisha kuwa kuna uvunjifu
wa amani.
Chikawe amesema CUF wakiongozwa na kiongozi wao walikaidi amri ya
polisi, na ndiyo maana walipigwa.
Pia ameongeza kuwa
CUF inatafuta umaarufu wa kisiasa na huruma
↧
CUF yaapa kuendelea na maandamano kila mwaka
Chama cha Wananchi (CUF) kimesema, hakitarudi nyuma na
kitaendelea kufanya maandamano na mikutano ya hadhara kila Januari 26 na
27 kila mwaka kuazimisha mauaji ya wanachama wake yaliyotokea Zanzibar
mwaka 2001.
Katika maadhimisho yaliyofanyika mwaka huu,
Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba na wanachama 32 wa chama
hicho walipigwa kisha kushikiriwa na Jeshi la Polisi kwa
↧
↧
Baby Madaha: Naota nafanya mapenzi kila siku
Msanii wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph Madaha ametoa kali ya
mwaka baada ya kueleza sababu za kutodumu na wanaume kimapenzi kwamba ni
kutokana na kuota anafanya mapenzi kila siku.
Awali rafiki wa Madaha aliyeomba hifadhi ya jina lake alisema kuwa, mara kwa mara msanii huyo amekuwa akilalamika kuwa kila
siku anaota akifanya mapenzi hali inayomfanya asiwe na hamu ya kuwa na
↧
Wizi wa Kupindukia....Kamati ya Zitto Kabwe Yafichua namna Mabilioni ya Fedha yanavyoibiwa Serikali
TAARIFA ya mwaka ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali
(PAC), ya hesabu zilizokaguliwa za Serikali Kuu na mashirika ya umma kwa
mwaka wa fedha ulioishia Juni 30, 2013, imebua wizi wa kutisha wa fedha
za umma uliofanywa na taasisi hizo.
Hayo yalibainika jana wakati Mwenyekiti wa PAC, Zitto Kabwe, alipokuwa
akiwasilisha ripoti ya kamati hiyo, ambapo alisema katika ripoti
↧
Mshindi wa Pili wa Mtoko wa Mbugani katika shindano la “Tutoke na Serengeti” Apatikana
Mshindi wa pili wa shindano la “Tutoke na Serengeti” Bw.Deogratias Peter Mbogole (kushoto) akiwa na rafiki yake Goodluck Shirima(kulia) ndani ya hifadhi ya taifa ya Serengeti kukamilisha mtoko wao wa siku mbili ndani ya hifadhi hiyo...Hapa ni Tarangire river view waliposimama kujionea kundi kubwa la tembo wakivuka barabara. Deo aliibuka mshindi mara baada ya kushiriki kwenye shindano
↧
More Pages to Explore .....