Mkutano wa 18 wa Bunge unatarajiwa kuanza leo mjini Dodoma, lakini hoja nzito ambazo zinatarajia kuibua mijadala mizito ni Muswada wa Marekebisho ya Sheria mbalimbali wa mwaka 2014 na taarifa za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).
Jumla ya miswada mitatu itawasilishwa kwenye mkutano huo, lakini tayari kuna dalili kuwa muswada wa marekebisho ya sheria mbalimbali, ambao
Bunge Linaanza Leo.....Miswada Mitatu Itajadiliwa, Umo ule wa Kuanzisha Mahakama ya Kadhi
↧
↧
Aunt Ezekiel: Mimba haijanibadili Tabia
Huku kukiwa na tabia kuwa baadhi ya wanawake
wanapokuwa wajawazito wanakuwa na tabia za kusumbua na kubagua baadhi ya
vitu, msanii wa filamu za Kibongo Aunty Ezekiel ‘Mama Kijacho’, amesema
kwa upande wake yuko vile vile na wala hajabadilika.
Akiongea na mpekuzi, Aunty alisema kuwa haoni kama amebadilika
kitabia au kuwa msumbufu bali anajiona yupo kawaida ingawa mara nyingine
↧
Jukwaa la Wakristo lapinga Mahakama ya Kadhi kujadiliwa bungeni
Wakati macho na masikio ya Watanzania wengi yakielekea mjini
Dodoma kesho katika vikao vya Bunge vinayotarajia kujadili Muswada wa
Mabadiliko ya Sheria Mbalimbali, Jukwaa la Wakristo nchini limeitaka
Serikali isitishe kujadili marekebisho ya Sheria ya Tamko la Sheria ya
Kiislam ya mwaka 1964.
Taarifa iliyotolewa na Jukwaa hilo jana inasema
Muswada huo unaolenga kuanzishwa kwa
↧
Huyu ndiye aliyekuwa msichana ‘special’ kwenye birthday ya Millard Ayo
Mtangazaji wa kipindi cha Amplifaya cha Clouds FM, Millard Ayo, jana alikuwa anasherehekea siku yake ya kuzaliwa.
Kwenye party yake ndogo ambayo aliamua kuifanyia nyumba kwake, ni
msichana mmoja tu special aliyepata nafasi exclusive ya kusherehekea
naye – Jokate Mwegelo.
“This is what you do after you cook. You eat cake lol. Happy Birthday
to the GREATEST to ever do it @millardayo,
↧
Hakuna wa kutembelea nyota yangu -Ray C
Mwanamuziki Ray C ambae alitamba miaka ya nyuma na ngoma kali kibao
ikiwemo Na wewe milele,Sogea sogea na nyingine nyingi amefunguka na
kusema kuwa kwa sasa hakuna mtu atakae weza kutembelea nyota yake katika
muziki kwani sasa maisha yake ameyakabidhi
kwa Mwenyezi Mungu ambaye ndiye mlinzi wake na mwongozaji wake katika
maisha,Ray C amefunguka hayo kupitia ukurasa wake wa Instragram.
↧
↧
Demu wa Kenya Tiara Arudi Tena....Atuma Video Nyingine kwa Diamond Akiwa Anaoga na Kusema Yupo Tayari Kufanya Nae Project
Kuwa Staa raha sana.Baada ya Diamond kutumiwa video na mrembo wa Kenya
akimtaka amchukukue yeye bila Malipo huku akijichezesha kimahaba
kwenye hiyo video, Diamond inaonekana hakupata Ujumbe wa kwanza sawa
sawa....
Sasa Mrembo huyo amerudi tena na kali zaidi ya ile . Mrembo huyo
ajulikanae kama Tiara ameachia video nyiningine akiwa bafuni
akioga huku wimbo wa Bebe Cool unaitwa i
↧
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Amsuta Kamanda Kova kuhusu Panya Road.....Ataka Jeshi la Polisi Lijitathmini Upya na Litoe Majibu
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe amesema
Watanzania wamepoteza imani na Jeshi la Polisi na ameliagiza
kujitathmini na kutoa majibu kuhusu kukamatwa kwa vijana 1,200 wa
kikundi cha uhalifu maarufu Panya Road.
Waziri Chikawe aliyekuwa akifungua mkutano mkuu wa
mwaka kwa maofisa waandamizi wa Jeshi la Polisi nchini, amelitaka jeshi
hilo kujiuliza na kutoa majibu
↧
Polisi Wavamiwa tena na Majambazi.....Wajeruhiwa na Kuporwa Bunduki Mbili
Watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi, wamewavamia na kuwajeruhi askari
mwenye no G369 PC Mansour na Hv507 PC Mwalimu, wakiwa doria ya pikipiki
ambao walinyang'anywa silaha mbili aina ya SMG no 14301230 na 14303545
na watu wasio julikana mkoani Tanga.
Taarifa ya Jeshi hilo kwa vyombo vya habari imesema tukio hilo
limetokea Januari 26, 2015 majira ya saa 23:30hrs eneo la barabara 04
↧
Kutoka Bungeni: Muswada wa Takwimu wadunda tena bungeni, warudishwa
Muswada wa Sheria ya Takwimu uliokuwa uwasilishwe bungeni katika
mkutano wa 18, hautawasilishwa tena hadi hapo taratibu za kikatiba
zitakapokamilika.
Taarifa ya kutowasishwa kwa muswaada huo bila
kutaja sababu zilitolewa na Spika wa Bunge, Anne Makinda, muda mfupi
kabla ya kuahirisha kikao cha leo.
“Muswada wa Takwimu unaondoka kwasababu bado serikali inataka kuufanyia kazi,”
↧
↧
UCHAGUZI MKUU 2015: "Watakaopitishwa kugombea Urais wote wapimwe afya zao kwanza"
Wagombea nafasi ya urais kwenye Uchaguzi Mkuu ujao wameshauriwa
kupima afya zao kabla ya kuingia kwenye kinyang’anyiro hicho, ili
kuepuka gharama za matibabu ya mara kwa mara za kiongozi huyo mkubwa wa
nchi.
Rai hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Jukwaa la
Katiba, Deus Kibamba alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari Jijini
Dar es Salaam leo, ambapo pamoja na wagombea urais
↧
AIBU: Shilole Amchapa Makofi Mpenzi wake Nuhu Mziwanda
Jumamosi iliyopita ndani ya Tamasha la Kiboko Yao lililofanyika Leaders Club, Gazeti la Makorokocho lilishudia live Msanii Shilole akimchezeshea kichapo mchumba wake Nuh Mziwanda kwa madai kuwa Nuh alikua hataki kuondoka nae eneo la tukio....
Mchekeshaji Steve Nyerere alijitokeza kuamulia ugomvi na kufanikiwa kumtoa Shilole eneo lile lakini baada ya muda Shilole akarudi na kumdai funguo
↧
Mabomu Yatawala Mbagala katika Maandamano ya CUF.....Profesa Lipumba na wafuasi wake watiwa mbaroni
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limewakamata
wananchama wa Chama cha Wananchi CUF 32 akiwemo Mwenyekiti Taifa wa
chama hicho,Profesa Ibrahim Lipumba kwa kufanya maandamano ambayo si
halali.
Awali polisi ilizuia maandamano yaliyokuwa
yamepangwa na chama hicho ya kuadhimisha kukumbuka ya miaka 14 tangu
kufanyika kwa mauaji na mateso ya wananchi wa Zanzibar na Bara
↧
Serikali yapiga marufuku shule binafsi nchini kuwafukuza wanafunzi wanaoshindwa kufikia wastani
Serikali imezipiga marufuku shule binafsi nchini kuwafukuza ama
kuwasitishia masomo wanafunzi wanaoshindwa kufikia wastani na kwamba
shule zote zitakazokiuka agizo hilo zitachukuliwa hatua kali ikiwa ni
pamoja na kufutiwa usajili.
Serikali pia imesema kuwa kuanzia mwaka 2016 itaanza kutoa elimu bure kuanzia shule ya msingi hadi kidato cha Nne.
Onyo hilo la serikali kwa wamiliki wa
↧
↧
Chenge,Tibaijuka kuburuzwa baraza la Maadili
Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma litawaweka kiti moto watuhumiwa 9 ambao ni viongozi wanaohusishwa na kashfa ya akaunti ya uchotaji wa fedha kutoka kwenye akaunti ya Tegeta Escrow.
Viongozi hao watawekwa kiti moto kwa uwazi mwanzoni mwa mwezi ujao kwenye ukumbi wa Karimjee, Dar es Salaam. Habari zinaeleza kuwa watakaoitwa ni wale viongozi wote ambao wanaowajibika chini ya Sheria ya
↧
Kijana Auawa na Kutelekezwa Karibu na Kambi ya FFU
Kijana ambaye hakufahamika jina anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 30 hadi 35 amekutwa ameuawa na mwili wake kutelekezwa katika eneo la kambi ya Polisi Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) kata ya Nshambya mkoani Kagera.
Mwili huo uligundulika majira ya saa sita mchana baada ya watu waliopita katika eneo hilo kuuona ukiwa umelazwa karibu na moja ya shamba lililopo mtaa wa Bunkango eneo
↧
Wanasayansi ‘Bongo’ kusafisha maji ya kinyesi kuwa ya kunywa
Umeshikwa na kiu? Unaingia katika duka lililo
jirani na kununua maji ya chupa kwa ajili ya kunywa. Lakini ukapatwa na
udadisi kutaka kujua maji hayo yametengenezwa na nini. Unaposoma
kilichotumika kutengeneza maji hayo, unagundua kuwa yametengenezwa kwa
kinyesi.
Je, utakunywa au kiu yako ya maji itakatika kwa kinyaa na mshangao.
Kama ilivyowezekana Marekani katika Kampuni ya
↧
Sakata la Lipumba kupigwa jana: Vurugu zaibuka Bungeni, Spika Makinda ahairisha Bunge hadi saa 10 jioni [Video ya tukio iko hapa]
Spika wa Bunge Anna Makinda leo amelazimika kuahirisha kikao cha
Bunge kilichoanza jana, baada ya vurugu zilizotokea baada ya
kutolewa kwa hoja binafsi kutoka kwa Mbunge na Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia kuhusu jeshi la polisi kumshambulia Profesa Ibrahimu Lipumba jana akiwa kwenye maandamano .
Akizungumza katika Bunge hilo Mbatia amesema kuwa
kitendo cha polisi
↧
↧
Mwenyekiti wa Wafanyabiashara nchini Afikishwa Mahakani chini ya Ulinzi Mkali
Mwenyekiti wa taifa wa jumuiya ya wafanyabishara bwana Johnson Minja aliyekamatwa na jeshi
la Polisi juzi tayari leo tarehe 28 amefikishwa katika Mahakama kuu
kanda ya Dodoma akikabiliwa na makosa mawili ambayo ni :
1.kosa la
uchochezi.
2.Kuhamasisha wafanya biashara kukataa matumizi ya mashine za
kieletronic za kutolea risiti za EFDs.
Wafanyabiashara wa soko la kariakoo
↧
Lipumba kupigwa: Bunge Lahairishwa tena hadi Kesho Asubuhi
Spika wa Bunge Anna Makinda jioni hii amelazimika kuahirisha tena kikao cha
Bunge hadi kesho asubuhi kwa madai kuwa serikali bado inajipanga kutoa majibu sahihi kutokana na tukio la kupigwa mabomu Mwenyekiti wa Chama cha CUF, Profesa Ibrahim Lipumba.
Kuahirishwa kwa bunge kumetokana na vurugu zilizotokea leo asubuhi bungeni baada ya
kutolewa kwa hoja
↧
Kwa nini Leo Zitto Kabwe Alitia Mgomo wa kwenda kusoma taarifa ya PAC Bungeni?????.....Majibu yote Yako hapa.
Wakati wa Vurugu za Asubuhi leo Bungeni, Spika wa Bunge alimtaka Mwenyekiti wa PAC, Mh Zitto Kabwe aende kusoma taarifa ya kamati yake....
Kilichotokea ni kwamba, Zitto alitia mgomo, nikiwa na maana kwamba alipuuza agizo hilo na hakunyanyuka kabisa.
Unajua ni kwa nini? Zitto Kabwe mwenyewe amekwisha lijibu hilo swali kupitia ukurasa wake wa
↧
More Pages to Explore .....