Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Mbunifu wa Mavazi toka Tanzania, Sheria Ngowi Amvalisha Rais Mpya wa Zambia

0
0
Mbunifu wa mavazi wa kimataifa, Sheria Ngowi ameendelea kuipeperusha bendera ya Tanzania kupitia kipaji chake cha ubunifu wa mavazi baada ya kumvalisha Rais mpya wa Zambia, Edgar Lungu katika sherehe za kuapishwa kwake jana asubuhi katika viwanja vya National Heroes, mjini Lusaka-Zambia.    Rais Lungu 58, aling’arisha sherehe hizo baada ya kuvaa suti rasmi (Presidential suit) rangi ya

SBL Yakabidhi Limo Bajaji kwa Washindi wake

0
0
Afisa mauzo wa kampuni ya bia ya Serengeti, Aman Kimaro( Kulia) akimkabidhi funguo ya Limo Bajaji Mshindi wa shindano la ‘Tutoke na Serengeti’ Godfrey Longino Mpiruka ( kushoto) na katikati ni mwakilishi toka kampuni ya BPESA, Balbo Kayombo katika hafla iliyofanyika Tabata Garden jijini Dar es Salaam. Kwa upande mwingine Bw. Mfaume Hassan Mbwile mkazi wa Mbagala nae pia alikabidhiwa zawadi

Tawi Jipya la Uchumi Supermarket Lafunguliwa Mbezi Kawe

0
0
Mkurugenzi Mkuu wa Uchumi SuperMarket (Afrika mashariki), Jonathan Ciano (kulia) akimkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadik katika ufunguzi wa Tawi jipya la Uchumi lililoko Mbezi Kawe karibu na ukumbi wa Rainbow-Mbezi chini jijini Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam , Said Meck Sadick akiongea na wasambazaji na Wafanyakazi wa Uchumi Supermarket wakati wa

Ni kweli umaarufu wa Wema Sepetu umeshuka baada ya kuachana na Diamond?

0
0
Miaka kadhaa iliyopita, Diamond Platnumz alikuwa kijana mwenye ndoto kama underground wengine wa muziki walivyo na hasira ya kutoka.    Kutoka kwenye familia ya kawaida (kama zilivyo familia nyingi za Kitanzania), Diamond alikuwa akihaha huku na kule kutafuta fedha ya kuingia studio.   Fast forward – kwa kuungaunga hivyo hivyo alifanikiwa kurekodi wimbo uliokuja kubadilisha maisha

Diamond Azomewa Tena Leaders na Kurushiwa chupa za Maji zenye Mkojo ndani yake

0
0
Msanii  anayetesa  katika  mziki  wa  kizazi  kipya  hapa  nchini, Nassib  Abdul  'Diamond  Platnumz'  usiku  wa  jumamosi  iliyopita  alijikuta  katika  wakati  mgumu  baada  ya  kuzomewa  na  mashabiki  kwenye  viwanja  vya  Leaders  Jijini  Dar  es  Salaam. Mbali  ya  kuzomewa, Diamond  pia  alirushiwa  chupa  za  maji  ambazo  zilileta  kadhia, lakini  Diamond  alionekana  akiwahimiza

Picha za Mwenyekiti wa Kitongoji aliyechinjwa na kupikwa ndani ya Sufuria

0
0
Mwenyekiti  wa Kitongoji    cha  Songambele, Kata ya Ilela Tarafa Inyonga Wilaya ya Mlele Mkoa wa Katavi, Richard Madirisha (31), ameuawa kikatili kwa kuchinjwa  shingo na kutenganishwa na kiwiliwili na kisha kunyofolewa  viungo vya mikono na miguu na sehemu za siri  na kichwa chake na viungo hivyo kupikwa ndani ya safuria kama mboga.   Kwa mujibu wa

Kesi ya shekhe Ponda yaanza kusikilizwa chini ya Ulinzi mkali

0
0
Kesi inayomkabili kiongozi wa jumuiya na taasisi ya kiislamu nchini Sheikh Ponda Issa Ponda imeanza kusikilizwa katika mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Morogoro huku jeshi la polisi likilazimika kuwadhibiti wafuasi wa shekhe Ponda nje ya uzio wa mahakama.   Shahidi wa kwanza katika kesi hiyo ni aliyekuwa mkuu wa polisi wilaya ya Morogoro (OCD) Sadick Tindwa ambaye kwa sasa ni OCD wilaya

NCCR-Mageuzi wataka Rugemalira, Tibaijuka, Chenge wafikishwe mahakamani

0
0
Chama cha NCCR-Magezi kimesema, vigogo wote waliohusika kutoa na kupokea mgawo wa fedha kutoka akaunti ya Tegeta Escrow wafikishwe mahakamani akiwamo Mkurugenzi wa VIP Engineering Ltd, James Rugemalira .    Kashfa hiyo imesababisha Rais Jakaya Kikwete kufanya mabadiliko madogo ya baraza lake la Mawaziri kutokana na mawaziri wawili kujiuzulu.   Mawaziri waliotajwa kwenye sakata hilo

Tamko la UKAWA Laungwa mkono na Tume ya Warioba

0
0
Wajumbe wa iliyokuwa Tume ya mabadiliko ya Katiba nchini Tanzania imeunga mkono tamko la umoja wa katiba ya wananchi UKAWA kwa kususia kushiriki katika mchakato wa upigaji wa kura ya maoni kuhusu kupitisha katiba mpya inayopendekezwa. Wakizungumza katika mdahalo ambao umeitishwa na Taasisi ya Mwalimu Nyerere na kushirikisha baadhi ya wananchi wa mkoa wa Mara

Mganga wa jadi afungwa Jela Miaka 7

0
0
MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala, imemhukumu mganga wa kienyeji, Yahaya Michael (34) kifungo cha miaka saba jela baada ya kupatikana na hatia ya wizi wa gari kwa njia ya udanganyifu.   Akisoma hukumu hiyo jana, Hakimu Mkazi Mwandamizi, Hassan Juma alisema kwamba kutokana na mshitakiwa kutoroka chini ya dhamana, atatumikia kifungo hicho mara baada ya kukamatwa.   Alisema kwa kuwa mshitakiwa

Mume na Mke wafariki Dunia kwa kula Uyoga........Wengine wanne wako hoi kitandani

0
0
WATU wawili wa familia moja wamefariki dunia katika Kijiji cha Masyalele, Wilaya ya Nanyumbu Mkoa wa Mtwara baada ya kula uyoga unaosadikiwa kuwa sumu. Pia wengine wanne walazwa akiwamo mtoto wa miaka mitatu katika kituo cha afya cha Mangaka.   Tukio hilo lilitokea mwishoni mwa wiki baada ya mume na mke kufikishwa katika kituo hicho cha afya Januari 24 mwaka huu ambapo walilazwa lakini

Wanaume Wadaiwa Kuwa Chanzo cha Mmomonyoko wa Maadili

0
0
TATIZO la kuporomoka kwa maadili ndani ya jamii ni kutokana na wanaume wengi kushindwa kutimiza wajibu wao ndani ya familia na jamii.   Kauli hiyo ilitolewa juzi na Dk Chris Mauki, Mshauri wa Saikolojia na Mahusiano, ambaye pia ni Mhadhiri wa somo la Saikolojia Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, wakati wa semina ya kinababa iliyofanyika katika Ukumbi wa Makane uliopo Mkuranga, Mkoa wa Pwani.

Walioua polisi wasakwa usiku na mchana

0
0
JESHI la polisi mkoani Pwani linaendelea na msako mkali kutafuta watu walioua askari wawili wa jeshi hilo na kuiba silaha katika kituo cha polisi Ikwiriri wilayani Rufiji.   Pia, jeshi hilo limekanusha uvumi wa kuwa siku ya tukio hilo, kulikuwa na askari wengine waliokimbia kwa lengo la kujihami.   Kamanda wa Polisi wa Mkoa, Ulrich Matei alisema hadi sasa hakuna mtu aliyekamatwa na

"Katiba Inayopendekezwa ipo kisheria,hakuna anayeweza kuipinga wala kuipotosha".....Serikali

0
0
Serikali imesema katiba pendekezwa iko kisheria na hakuna mtu yeyote anayeweza kuipinga wala kuipotosha, bali kauli ya mwisho ni ya serikali. Kauli hiyo imetolewa na waziri wa habari utamaduni na michezo Dkt Fenela Mukangara wakati akifungua mkutano wa wahariri wa vyombo vya habari  na mafisa habari kutoka mikoa yote nchini unaofanyika mkoani Mtwara.   Amesema  yapo maneno ya

Wanaorudisha wanafunzi kwa kukosa michango kukiona

0
0
HALIMASHAURI ya mji wa Kahama mkoani Shinyanga imewaonya walimu wa shule za msingi wanaopuuza agizo la serikali la kuzuia kuwarudisha nyumbani wanafuzi ambao wazazi wao wanashindwa kuwalipia michango mbalimbali ambayo imezuiwa na serikali Kauli hiyo imetolewa na afisa elimu wa shule za msingi katika halmashauri ya mji wa Kahama Bw. Aruko Lukolela baada ya kuwepo malalamiko ya

Aliyejifanya ni TRAFIKI Afungwa Miaka 6 Jela

0
0
Aliyejifanya Askari Polisi wa Usalama Barabarani, James Hassan (54) amehukumiwa kifungo cha miaka sita jela baada ya kupatikana na hatia ya kukutwa na sare za Polisi na kujifanya mtumishi wa jeshi hilo. Aidha, adhabu hiyo ilitokana na makosa mawili ambapo mshitakiwa huyo atatakiwa kutumikia kifungo cha miaka mitatu mitatu kwa kila kosa.   Akisoma hukumu hiyo jana, Hakimu Mkazi

Kigogo wa Benki Kuu ( BoT) Kizimbani kwa Jaribio la Kuua Polisi

0
0
Mshauri wa masuala ya ulinzi katika Benki Kuu (BoT), Shaban Ndosi (39) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka ya kujaribu kumuua ofisa wa Polisi. Ndosi alifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa mashitaka mbele ya Hakimu Mkazi Waliarwande Lema.    Wakili wa Serikali, Janeth Kitali alidai kuwa Oktoba 21, 2014 katika eneo daraja la

Watoto wanne wa familia moja wafariki kwa sumu

0
0
Watoto wanne wa familia moja wakazi wa kijiji cha kibambila wilayani Kakonko mkoani Kigoma wamefariki dunia na mmoja amelazwa katika kituo cha afya Kakonko baada ya kula chakula kinachosadikiwa kuwa na sumu. Mganga  mkuu wa wilaya ya Kakonko  Dkt. Fadhil Seleman  amewataja watoto hao waliofikishwa kituo cha  afya  Kakonko kuwa ni  Neema Joseph, Jonas Joseph, Majaliwa Joseph, Yusuph Joseph

Mwanamke Awaua watoto wake wawili na Kuwazika ndani ya Nyumba Yake

0
0
Jeshi la Polisi mkoani  Tabora linamshikilia mama mkazi wa kata ya Chemchem Manispaa ya Tabora, Zuhura Masudi (pichani) mwenye umri wa miaka 25, kwa kosa la kuwanyonga watoto wake wawili hadi kufa. Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Tabora, Juma Bwire alithibitisha kutokea kwa mauaji hayo na kusema  tukio hilo lilitokea Januari 25 mwaka huu majira ya saa moja jioni maeneo ya Chechem Manispaa

Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene aahidi Neema sekta ya umeme.....Awatoa hofu wanaotilia shaka Utendaji wake

0
0
Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene na Naibu wake, Charles Mwijage waliripoti katika ofisi zao mpya na kuahidi kuwatumikia wananchi kwa uadilifu na kuhakikisha wanasambaza umeme vijijini kwa kasi. Aidha, wamesema vipaumbele vyao katika kutumikia wananchi ni umeme, mafuta, madini na gesi.   Simbachawene alisema uongozi wake utahakikisha umeme unasambazwa vijijini kwa kasi
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images