Wengi huisikia dhahabu, sifa zake na thamani yake. Wenye fedha
zao hununua vidani vya madini hayo adimu ulimwenguni na kujirembesha,
lakini wale maskini hujikuta wakivaa vidani yaliyotiwa tu nakshi ya
madini hayo, huku asilimia kubwa vikiwa vimetengenzwa kwa bati.
Mbali
ya wenye fedha kidogo, wapo baadhi ambao maisha yao yote hutegemea
‘kupiga roba’ watu waliovaa vidani hivyo ili
Ngono, bangi ‘nje nje’ mgodini Ihanzutwa
↧
↧
Chuchu Hans Afungukia madai ya kuachana na Mpenzi wake Vicent Kigosi ‘Ray’
Staa wa Filamu Bongo, Chuchu Hans juzikati
alifungukia madai ya kwamba ameachana na mchumba wake Vicent Kigosi
‘Ray’, akaeleza kuwa, hakuna ukweli wowote juu ya hilo.
Chuchu alifikia
uamuzi wa kufafanua juu ya madai hayo juzi kufuatia tetesi zilizokuwa
zimeenea kwamba yeye na kipenzi chake huyo wametibuana na sasa kila mtu
kimpango wake.
Akifungukia juu ya uvumi huo Chuchu
↧
Jina la Kajala Kuonekana Kwenye Soda za Kopo za Coca-Cola
Mwigizaji wa filamu mwenye sura ya upole na umbo la Kiafrika, Kajala
Masanja ni moja kati ya watu ambao majina yao yataonekana kwenye makopo
mapya ya kinywaji cha Coca-cola.
Jana mchana, wawakilishi wa coca-cola walimtembelea Kajala nyumbani
kwake na kumpatia zawaidi ya kinywaji hicho kikiwa kwenye chupa yenye
jina lake.
Endelea kuwa nasi kujua kinanani wengine wamebahatika
↧
Mtoto afariki kwa kunywa pombe yenye sumu Singida
Mtoto mmoja mwenye umri wa mwaka mmoja amefariki dunia baada ya kunywa
pombe ya kienyeji aina ya Mtukulu inayosadikiwa kuwa na sumu mkoani
Singida.
Kamanda
wa Polisi Mkoani Singida ACP Thobias Sedoyeka amethibitisha kutokea kwa
tukio hilo lililotokea majira ya saa 3 asubuhi siku ya Alhamisi tarehe
08 Januari, 2015 na kusema kuwa mama wa mtoto amelazwa katika hospitali
ya Makingu
↧
Rais Kikwete Awataka Viongozi wa Dini Waendelee Kuliombea Amani Taifa
Rais
Jakaya Kikwete amewaomba viongozi wa madhehebu ya dini kuendelea
kuliombea taifa na watanzania kwa ujumla ili waweze kukabiliana
na majukumu mengi na makubwa yaliyoko mbele yao kwa amani
na utulivu likiwemo la kupata katiba mpya.
Katika salam zake kwenye hafla ya kumsimika Askofu Solomon
Masangwa wa Dayosisi ya Kaskazin Kati
↧
↧
Kafulila: watimueni kabla ya Bunge
Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David
Kafulila amesema kuna kila sababu wahusika wote wa sakata la uchotwaji
Sh306 bilioni kutoka Akaunti ya Tegeta Escrow, wawe wamefukuzwa kazi
kabla ya kuanza kwa mkutano ujao wa 18 wa Bunge.
Pia, amesema fedha zilizochotwa zirejeshwe kama ilivyokuwa katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) na wafikishwe mahakamani.
Akihutubia
mamia ya
↧
Askari waliosababisha kifo Serengeti kubanwa
Polisi mkoani Mara imesema itawachukulia hatua askari
watakaobainika kuhusu katika kifo cha Samson Nyakiha (70) baada ya
uongozi wa jeshi hilo kukutana na ndugu wa marehemu waliotelekeza maiti
katika Kituo cha Polisi cha Wilaya.
Kamanda wa
upelelezi wa makosa ya jinai wa mkoa, RCO Rogathe Mlasani alitoa ahadi
hiyo katika kikao cha pamoja cha ndugu na uongozi wa polisi wa Wilaya ya
↧
Lowassa asema kulinda amani ni jukumu la wote
Waziri mkuu mstaafu, Edward Lowassa amesema hakuna mtu yeyote
mwenye hatimiliki ya Tanzania hivyo Watanzania wote wanao wajibu wa
kuilinda na kudumisha amani na utulivu uliopo.
Akitoa
salamu wakati wa ibada ya kumweka wakfu Mchungaji Solomon Massangwa kuwa
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi
ya Kaskazini Kati, Arusha jana, Lowassa alisema amani
↧
Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi 'Sugu' Anusurika Kufa katika Ajali ya Gari
Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (Chadema) amenusurika
kifo baada ya kupata ajali katika Milima ya Kitonga, Wilaya ya Kilolo
mkoani Iringa.
“Shetani amefeli, Mungu ni mwema. Tuko
salama mimi na wote niliokuwa nao kwenye gari,” alisema mbunge huyo
anayejulikana zaidi kwa jina la Sugu, katika ujumbe alioutuma kwenye
ukurasa wake wa facebook.
Akizungumza kwa simu
kutoka
↧
↧
Wafanyabiashara wa nyama Bukoba wagoma
Wafanyabiashara wa mifugoa mjini Bukoba wamegoma kuchinja mifugo yao na
kutofungua mabucha wakilalamikia kuamrishwa na serikali kupunguza bei ya
nyama kutoka shilingi 5,000 hadi 4,000 kwa kilo.
Wakiongea
katika machinjio ya Rwamishenye mjini Bukoba wafanyabiashara hao
wamesema wamegoma kuchinja mifugo hiyo na kutofungua mabucha kabisa
kutokana na barua waliyopewa kutoka kwa
↧
Magari 150 Tanzania yazuiwa kuingia Kenya
MAGARI zaidi ya 150 yanayofanya safari za kupeleka wageni na watalii maarufu ‘Shuttle’ kati ya jijini Arusha na Moshi kwenda katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyata nchini Kenya yamezuiliwa kuingia katika uwanja huo toka Desemba 22 mwaka jana.
Uamuzi huo wa serikali ya Kenya unataka kuishinikiza Serikali ya Tanzania kutaka lango la Bologonja lililofungwa toka enzi za utawala
↧
Pinda asema kauli yake ya wapigeni ilimaanisha amani
Neno “piga” lina maana ya “fanya kitendo cha kukutanisha vitu
kwa nguvu, fumua, ezeka, zaba, shambulia, chapa na tandika” kwa mujibu
wa Kamusi ya Kiswahili Sanifu, Oxford, lakini kwa Waziri Mkuu Mizengo
Pinda neno “wapigeni” lilimaanisha “kuendelea kulinda amani”.
‘‘Baada
ya kutoa kauli hiyo kuna watu wakaeleza kuwa sasa Waziri Mkuu analeta
sera za kupiga. Hapana ilikuwa kujaribu
↧
Wazungu Wazidi Kukaza Kamba Kashfa ya Escrow......Mabalozi wasema hawajaridhishwa na Maamuzi yaliyochukuliwa na Srikali
Licha ya Rais Jakaya Kikwete kutoa ufafanuzi
wa sakata la uchotaji fedha kutoka Akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa
Benki Kuu na kutangaza kuchukua hatua dhidi ya baadhi ya viongozi na
watendaji, nchi wahisani wamesema bado suala hilo linawachanganya na
wanasubiri tamko la Serikali.
Nchi hizo, ambazo
zilizuia takriban Sh1 trilioni za ufadhili na kuchangia nakisi ya bajeti
ya
↧
↧
Rais Kikwete Aongoza kikao cha kamati kuu ya CCM Mjini Unguja leo
Naibu Katibu Mkuu wa CCM
Zanzibar Vuai Ali Vuai akisalimiana na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania pia Mjumbe wa Kamti Kuu ya CCM Taifa Dk.Mohammed
Gharib Bilali wakati alipowasili Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini
Unguja leo katika Kikao cha kawaida cha Kamati Kuu ya CCM Taifa chini ya
Mwenyekiti wake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya
Mrisho Kikwete.
↧
Lulu: Mapedeshee ndiyo wanawalipa wasanii wa kike siyo filamu
ELIZABERTH Michael‘ Lulu’ amefunguka kuwa wasanii wa kike wa filamu
wana biashara nyingine iliyojificha ndani ya ile ya filamu ambayo
inawalipa zaidi.
Lulu amepasua kuwa wasanii hao wanawategemea mapedejshee kuendesha
maisha yao huku wengi wakiamini kwamba mabinti hao wa Bongo Movie
wanalipwa vizuri kutokana na filamu wanazoigiza.
“Ukweli hauko hivyo, hali hii inatokana na wengi
↧
Monalisa: Taratibu tunatoboa kimataifa
Muigizaji wa filamu hapa Bongo, Yvone Cherry maarufu kama Monalisa,
amesema kuwa milango ya kufanya kazi za filamu kimataifa imeanza
kufunguka, akiwa tayari na project aliyofanya na timu kutoka Marekani,
Daddy's Wedding itakayotoka Februari 14.
Monalisa amesema kuwa, mbali na kazi hii, ana project nyingine na
timu kutoka UK kati ya nyingine ambazo zinaonesha kuwa taratibu sanaa
hii
↧
Irene uwoya- Nataka kutambulika nje ya Nchi kuliko Tanzania
Katika kile kinachoonekana waigizaji wa kike kutaka kukuza
tasnia ya uigizaji kwa kuvuka mipaka ya nchi, mwigizaji Irene Uwoya
amesema kuwa anataka atambulike nje ya nchi kuliko ndani.
Akiweka hoja yake sawa, mwanadada huyo anayedaiwa kuendelea kuwa
na mvuto katika tasnia ya filamu alisema anajua kuwa siyo jambo rahisi
kufanya vizuri nje ya nchi, lakini huko ndiko anakotaka kufika,
↧
↧
Shamsa: Nalala na Mume Wangu Nikiwa Kambini
Mwigizaji wa filamu za Kibongo, Shamsa Ford ambae ameolewa na ana
mtoto mmoja, amesema kuwa mara kadhaa anapokuwa kambini akishuti filamu
mume wake, Dickson Matoke huwa anamfuata na kulala naye hadi asubuhi
huku akiamini kufanya hivyo kunachangia kutochepuka.
Akizungumza na Uwazi, Shamsa alisema kuwa kitendo cha mumewe kumfuata
haina maana kwamba wanavunja sheria zao bali hilo
↧
Utafiti: Matangazo ya barabarani yenye wasichana waliovaa kimitego huwachanganya madereva
Matangazo ya barabarani (billboards) yenye picha za wanawake waliovaa
nguo za mitego huwachanganya madereva na yanaweza kusababisha ajali,
utafiti umesema.
Watafiti kwenye chuo kikuu cha Alberta wamebaini kuwa matangazo yenye picha za aina hizo huathiri tabia za uendeshaji.
Utafiti huo ulionesha kuwa matangazo ya aina hiyo yana madhara
ikiwemo kuhatarisha usalama wa watu,
↧
Vanessa Mdee awa msanii wa pili Tanzania kuwa na akaunti ya VEVO, baada ya Gosby
Vanessa Mdee a.k.a Vee Money amekuwa mwanamuziki wa pili Tanzania kupata akaunti ya VEVO kwaajili ya kuweka video zake.
VEVO ni mtandao mkubwa namba moja duniani unaohusika kuhifadhi na
kurusha kazi za wanamuziki maarufu duniani kama kina Nicki Minaj,
Beyonce, Jay Z na wengine.
Gosby ndiye alikuwa msanii wa kwanza wa kizazi kipya kupata akaunti
kwenye mtandao huo unaomilikiwa na
↧
More Pages to Explore .....