Jeshi la Polisi la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius
Nyerere (JNIA)linamshikilia raia wa Kuwait kwa tuhuma za kukutwa na
viumbe hai aina ya Kenge 149 wenye thamani ya Sh 6.3 milioni.
Kamanda wa Polisi wa JNIA, Khamis Suleiman
alimtaja mtuhumiwa huyo kuwa ni Hussain Ahmed Ally Mansour(34), raia wa
Kuwait ambaye alikamatwa uwanjani hapo jana majira ya saa 5 usiku
wakati
Kenge 149 wanaswa Uwanja wa Ndege Dar Wakitoroshwa nje ya nchi
↧
↧
Washtakiwa wa Ugaidi wapangiwa hakimu mwingine
Kesi ya ugaidi inayowakabili viongozi 23 wa Jumuiya ya Uamsho
na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI) katika Mahakama ya Hakimu
Mkazi Kisutu sasa kusikilizwa na Hakimu Mkazi Janeth Kaluyenda.
Awali
kesi hiyo ambayo itatajwa Januari 13,2015 kwa ajili ya kuangalia kama
upelelezi utakuwa umekamilika ama la ilikuwa ikisikilizwa na Hakimu
Mkazi, Hellen Liwa ambaye hata hivyo alijitoa.
↧
Waziri Mkuu Pinda Akanusha kuhusika na Ufisadi wa Sukari.....Asema ikithibitika Yupo Tayari Kufungwa Gerezani
Waziri Mkuu Mizengo Pinda amekanusaha tuhuma mbalimbali zinazotolewa
dhidi yake kupitia mitandao ya kijamii kuwa anahusika na kashfa ya
uingizaji wa sukari kutoka nje ya nchi ambayo inadaiwa kumpatia
mabilioni ya fedha.
Pinda
amesisitiza kuwa ikiwa vyombo vya sheria vitachunguza na kumtia hatiani
yuko tayari kwa adhabu yoyote ikiwemo kufungwa gerezani.
Akiwahutubia wananchi wa
↧
Nyama ya mbuzi yamkwama kooni, afa, mke aburuzwa kortini
Mkazi wa kijiji cha Nakachindu kata ya Mkundi Halmashauri ya wilaya ya Masasi, Asumini Bakiri (39) amefikishwa mahakamani kujibu shitaka la mauaji linalomkabili la kumuua mumewe, Simoni Simoni (45).
Alifikishwa mahakamani jana na kusomewa shitaka lake na Mwendesha Mashtaka, Iddi Shabani mbele ya Hakimu wa Mahakama ya wilaya ya Masasi, Halfani Ulaya.
Alidai kuwa mshtakiwa huyo,
↧
"Panya road" 1,289 Watiwa Mbaroni Dar
Idadi ya vijana wanajihusisha na kundi la uhalifu maarufu kama ‘panya road’ imeongezeka na kufikia 1,289 kwa mikoa yote mitatu mkoani Dar es Salaam.
Kati yao vijana 163 toka katika manispaa za Temeke na Kinondoni wamefanyiwa uchunguzi, na muda wowote kuanzia sasa wanatarajiwa kufikishwa mahakamani.
Vijana hao waliokamatwa ni pamoja na wapiga debe katika vituo vya daladala, wacheza
↧
↧
Watu wanne Wafariki Dunia, 20 wajeruhiwa Vibaya katika Ajali ya Basi Iringa
Watu wanne wamefariki dunia papo hapo na wengine 20 kujeruhiwa vibaya baada ya basi la abiria la Panuel Express kugongana uso kwa uso na lori.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Ramadhani Mungi, akizungumza na Mpekuzi jana alisema ajali hiyo ilitokea jana eneo la Idetero wilayani Mafinga saa 4:45 asubuhi.
Alisema basi hilo lenye namba za usajili T 969 BCD, lililokuwa likitoka mkoani
↧
Askari Polisi Mbaroni akidaiwa Kubaka Mwanafunzi wa Kidato cha Kwanza Shinyanga
Kamanda wa polisi mkoani Shinyanga, Justus Kamugisha
****
Askari polisi wa kituo kikuu cha Shinyanga aliyefahamika kwa jina moja la Alex, amewekwa korokoroni akituhumiwa kumbaka mwanafunzi wa kidato cha kwanza , mkazi wa kata ya Ngokolo mjini hapa na kumsababishia maumivu makali sehemu za siri.
Kamanda wa polisi mkoani Shinyanga, Justus Kamugisha, alithibitisha kutokea kwa tukio hilo
↧
Baada ya Kupiga Show ya Nguvu Nigeria usiku wa leo, Diamond kasema haamini Macho yake
Staa Afrika Mashariki, Nasibu Abdul ‘Diamond’,
amefunguka kwamba haamini kama kweli amepata nafasi ya kutumbuiza kwenye
sherehe za utoaji tuzo za wanamichezo bora zilizoandaliwa na Shirikisho
la Soka Afrika (CAF) ambazo zimefanyika usiku wa kuamkia leo jijini,
Lagos, Nigeria.
Akizungumza na Mpekuzi, Diamond amesema amefurahi kupata nafasi ya
pekee ambayo mara nyingi hutolewa kwa
↧
Taarifa kwa Umma kuhusu vikao vya Kamati za Bunge Januari 2015
Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anawatangazia
Waheshimiwa Wabunge wote, wadau na umma kwa ujumla kuwa Kamati za Kudumu
za Bunge zitaanza vikao vyake tarehe 13 hadi 23 Januari 2015. Vikao
hivyo vitakavyoutangulia mkutano wa Kumi na Nane wa Bunge la Kumi
vitajadili na kuchambua pamoja na mambo mengine Miswada mbalimbali ya
sheria.
Miswada itakayopitiwa na chambuliwa
↧
↧
Ray C akanusha kuirudia Bangi na Madawa ya Kulevya.....Asema watu wanataka kumharibia kwa Rais Kikwete
Rehema Chalamila aka Ray C amekanusha taarifa zilizoandikWa na gazeti
moja la udaku nchini kuwa ameacha kuendelea na matibabu ya methadone na
kurejea kutumia madawa ya kulevya.
Amedai kuwa watu hao wana nia ya kumwaibisha yeye pamoja na Rais
Jakaya Kikwete aliyemsaidia. Akizungumza na Mpekuzi, Ray C amesema
hawezi kuacha matibabu au kurudia matumizi ya madawa ya kulevya kwani
↧
Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unataka kuimarisha mishipa yako ili uweze kwenda Raundi mbili na kuendelea??....Bofya hapa ukutane na JIKO
Neema
Herbalist & Nutritional Foods Clinic ni wauzaji wa dawa
mbalimbali za asili.
Tunapenda kuwatangazia wateja wetu kuwa
tunayo dawa nzuri ya asili inatibu na kuponyesha kabisa tatizo
la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume.
Dawa hii iitwayo
JIKO ni ya asili kabisa (PURE HERBAL) na inaponyesha na
kumaliza kabisa tatizo la nguvu za kiume
↧
CCM yalaani vurugu zilizofanywa na Wapinzani wakati wa kuapishwa kwa Wenyeviti wa Serikali za mitaa
Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimelaani vikali vurugu zilizofanywa
na wafuasi wa Chadema na CUF kwa viongozi wa serikali za mitaa katika
maeneo kadhaa nchini ikiwemo mikoa ya Mwanza, Dar es Salaam na Mbeya.
Akizungumza na waandishi wa habari Katibu wa NEC;
Itikadi na Uenezi CCM taifa, Nape Nnauye amesema vurugu hizo mbali na
kuhatarisha na kuharibu mali pia zilizosababisha baadhi ya
↧
Jeshi la polisi latoa onyo kwa wananchi ambao wamekuwa wakifanya fujo katika zoezi la uapishwaji viongozi serikali za mitaa.
Jeshi la polisi nchini limetoa onyo kwa baadhi ya wananchi ambao
wamekuwa wakifanya fujo katika zoezi la uapishwaji viongozi wa Serikali
za mitaa kwa madai kuwa hawakushinda kihalali katika uchaguzi huo jambo
ambalo ni kinyume cha sheria, kanuni na taratibu za nchi.
Kauli hiyo imetolewa na Msemaji wa Jeshi la polisi SSP-Advera
Bulimba ambapo amesema kuwa Jeshi la Polisi kamwe
↧
↧
CCM yavitaka vyombo vinavyoshughulikia sakata la Tegeta Escrow kuchukua hatua.
Chama cha mapinduzi CCM kimevitaka vyombo vinavyotakiwa kuchukuwa
hatua dhidi ya watuhumiwa wa sakata la Tegeta Escrow baada ya bunge
kumaliza jukumu lake vitimize wajibu wao kwa wakati kwa kuchukuwa hatua
stahiki kwani kadri vinavyochelewa vinasababisha maswali mengi kwa
wananchi.
Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM Bw Nape Nnauye ameyasema hayo
jijini Dar es Salaam ambapo amesema
↧
Bilion 3 kutengwa kumaliza tatizo la "Panya Road"
Wizara ya Kazi na Ajira nchini Tanzania itatenga shilingi Bilioni 3 za
kitanzania kwa ajili ya mafunzo ya ujasiriamali kwa vijana ili waweze
kujiajiri na kujiinua kiuchumi na kuachana na kukaa vijiweni na kujiunga
na vikundi vya kihalifu.
Akizungumza
na Mpekuzi, Naibu Waziri wa Kazi na Ajira Mh. Dkt. Makongoro Mahanga
amesema tatizo la ajira nchini ni kubwa lakini wizara yake
↧
CUF yamtaka waziri Ghasia kuachia ngazi
Chama cha wananchi CUF kimemtaka waziri wa nchi ofisi ya Waziri Mkuu
TAMISEMI Hawa Ghasia kuachia ngazi kwa kusababisha vurugu katika zoezi
la kuapisha wenyeviti wa serikali za mitaa nchini.
CUF
kimesema Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
TAMISEMI kimechangia kwa kiasi kikubwa kuvurugika kwa zoezi la
kuwaapisha Wenyeviti wa serikali za mitaa jijini Dar es
↧
Walimu 200 Wavamia Ofisi ya Mkurugenzi Dar
ZAIDI ya walimu 200 wa shule za msingi na sekondari za Manispaa za Kinondoni, Dar es Salaam jana wameandamana hadi katika Ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa hiyo wakitaka kutekelezewa madai mbalimbali wanayoidai manispaa hiyo, zikiwamo fedha za likizo pamoja na kupandishwa madaraja.
Walimu hao wa shule za msingi na sekondari walinza kuandamana saa 5.00 asubuhi katika Ofisi za Chama cha
↧
↧
Polisi Ufaransa Yaua Washukiwa wa Shambulizi la Charlie
Makomandoo wakirusha mabomu sambamba na moto katika Glosary kabla ya kumkabili mtekaji, Amedy Coulibaly. Picha ikiwaonyesha maofisa polisi wakiwa wameuzunguka mwili wa mtekaji, Amedy Coulibaly. Baadhi ya maofisa polisi wakiendelea na ukaguzi nje ya supa maketi ya Kosher nchini Ufaransa. Mwanamke mmoja ambaye alikutwa ndani ya Glosary ya Kosher akiokolewa kutoka nje na mapolisi huku akiwa
↧
Meseji ya Wolper Yatibua Uchumba wa Nay wa Mitego
Mwigizaji Jacqueline Wolper ameibua tafrani la aina yake kwa Mbongo
Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ baada ya kumtumia meseji
iliyomtia shaka mpenzi wa staa huyo, Siwema.
Tukio hilo lilitokea juzikati nyumbani kwa Nay wa Mitego, Kimara-
Korogwe jijini Dar ambapo ilisemekana Wolper alituma SMS iliyokuwa
ikiuliza muafaka wa jambo fulani ndipo Siwema akaja juu na kuanza
↧
"Mikikimikiki ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa"......Wanachama 11 wa CUF Wafikishwa Mahakamani, Mhadhiri CBE naye Apandishwa Kizimbani
Wanachama 11 wa Chama cha Wananchi (CUF), Chama cha Demokrasia
na Maendeleo (Chadema) na Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamefikishwa katika
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na kesi ya kujeruhi,
kuwatishia na kuwazuia maofisa wa polisi kutekeleza majukumu yao.
Watu
hao wanadaiwa kufanya vurugu kwa nyakati tofauti wakati wa uapishwaji
wa wenyeviti wa Serikali za Mitaa katika
↧