Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Busisi waanza kutumia tiketi za kielectroniki

$
0
0
Waziri wa ujenzi, Mh. Dk. John Magufuli ameitaka ofisi ya wakala wa ufundi na umeme (TEMESA), kuboresha maslahi ya watumishi wa vivuko ili kuepukana na wizi wa mafuta yanayotumika katika kuendeshea mitambo pamoja na vivuko hapa nchini. Dkt. Magufuli amemuagiza mtendaji mkuu wa TEMESA mhandisi Marcelin Magessa, kuzingatia ushauri huo wa kuwaboreshea watumishi wake maslahi wakati

Nisha na Mpenzi Wake Wamwagana

$
0
0
Msanii wa filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’  na mpenzi wake aliyejulikana kwa jina la Farhad wanadaiwa kumwagana baada ya kuwa kwenye uhusiano kwa muda mrefu.   Chanzo kimoja kimedai  kwamba Nisha na mpenzi wake huyo ambaye walikuwa na mipango ya kuoana mwaka jana lakini ndoa ikayeyuka waliachana kutokana na sababu zisizojulikana na sasa kila mmoja  yupo bize na maisha yake. Baada ya

Aunt Lulu Aanza Mwaka Vizuri kwa Kupima UKIMWI

$
0
0
Zikiwa zimepita siku chache tangu mwaka wa 2015 uanze, mwanadada mwenye umbo matata Bongo, Lulu Semagongo ‘Anti Lulu’ amekiri kuuanza vizuri baada ya kupima ngoma.   Akizungumza na Gpl, Anti Lulu alisema anafurahi kwa kuwa ameuanza mwaka vizuri baada ya kwenda kupima Ukimwi akiongozana na mama yake na kujikuta yupo salama. “Yaani nina furaha ya ajabu baada ya kukutwa niko mzima kwani

Wenyeviti Ilala waapishwa chini ya ulinzi mkali

$
0
0
Zoezi la kuwaapisha jumla ya wenyeviti 154 wa serikali za mitaa walioshinda katika maeneo mbalimbali manispaa ya Ilala jijini Dar es salaam limefanyika jana katika ukumbi wa Anatogro, chini ya ulinzi mkali. Mwanasheria wa Manispaa ya Ilala Bi Hela Mlimanazi jana amewaapisha Wenyeviti wa serikali za mitaa walioshinda katika uchaguzi wa serikali za mitaa katika Wilaya ya Ilala

Mwanamke huyu afunga ndoa na Paka

$
0
0
Dunia haishi maajabu na maajabu yamekuwa yakitokea siku hadi siku na yanatokea karibu kila mahali. Mwanamke mmoja huko nchini Marekani aitwaye Barbarella Buchner ametoa kali ya mwaka 2015 baada ya kufunga ndoa na paka wake wawili. Mwanamke huyo alipokuwa anatoa ufafanuzi juu ya tukio hilo amesema kuwa hakuwahi kuwa na wazo la kuolewa na mpenzi yoyote yule wa kiume kati ya wapenzi alio nao

Escrow yasimamisha watumishi 7 Wizara ya Fedha

$
0
0
Naibu waziri wa fedha nchini Tanzania Mwigulu Nchemba amesema serikali imewasimamisha kazi watumishi Saba wa wizara hiyo kupisha uchunguzi wa kashfa ya fedha za Akaunti ya Tegeta ESCROW. Waziri Nchemba ametoa kauli hiyo jana jijini Dar es salaam alipotembelea Hospitali ya Mwananyamala ambapo alisema fedha hizo zilizotumika kiubadhilifu zingeweza kuokoa maisha ya wagonjwa na hasa

Watakaoshindwa kujenga Maabaara kutimuliwa - Pinda

$
0
0
Waziri mkuu Mizengo Pinda amesema viongozi wa serikali ambao watakuwa hawajakamilisha kazi ya ujenzi wa maabara za shule za sekondari  watafukuzwa kazi kwa kushindwa kutekeleza agizo la serikali. Pinda amesema baada ya miezi sita kuanzia sasa viongozi wa serikali ambao watakuwa hawajakamilisha kazi ya ujenzi wa maabara za shule za sekondari wakiwemo wakuu wa wilaya, wakurugenzi wa

Aunty Ezekiel na Wema Sepetu Waangua Vicheko Kaburini kwa Ngwea, Wapita Njia Wawashangaa

$
0
0
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, waigizaji Wema Sepetu na rafiki yake Aunt Ezekiel wameonekana wa kiangua kicheko na kutuma mesegi kwa simu wakiwa juu ya kaburi  la aliekuwa msanii wa Bongo Fleva, marehemu Albert Mangweha ‘Ngwea’.   Kwa mujibu wa GPL,tukio hilo lilitokea Januari Mosi, mwaka huu ambapo Wema akiwa na team yake nzima ya Endless Fame walitembelea kaburini hapo yaliyopo 

Waziri Mahanga anusurika kipigo.....Polisi wamuokoa chini ya ulinzi mkali, Wananchi wamzomea, wamwita mwizi.

$
0
0
Wakati utata ukizidi kujitokeza katika uapishaji wa viongozi wa Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam kutokana na waliodaiwa kushinda kuwekwa kando na kuapishwa walioshindwa, Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk Makongoro Mahanga jana alikumbana na zomeazomea hadi kulazimika kuondoka kwenye Ofisi za Manispaa ya Ilala, Arnatouglou ambako shughuli hiyo ilikuwa ikifanyika.   Dk Mahanga

Jaji Mkuu mstaafu Samatta na Prof. Safari watoa ushahidi kesi ya Dk. Slaa

$
0
0
Jaji Mkuu mstaafu, Barnabas Samatta jana alipanda kizimbani kutoa ushahidi katika Mahakama ya Wilaya ya Hai tukio lililovuta hisia za wananchi wengi kwani ni la kwanza na la aina yake kwa kiongozi wa juu wa mhimili huo wa dola.   Jaji Samatta aliingia eneo la Mahakama saa 2.40 asubuhi akifuatana na Profesa Abdallah Safari na baadaye kwenda moja kwa moja chumba cha mapumziko kabla ya

"Panya Road" waliotiwa mbaroni wafikia 953

$
0
0
Vijana 953 wanaodaiwa kujihusisha na vitenda vya kihalifu chini ya kundi maarufu la ‘Panya Road’ wamekamatwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam. Watuhumiwa hao wamekatwa katika mikoa ya kipolisi ya  Temeke na Ilala ambapo jeshi la polisi limefanya msako mkali kuweza kuwabaini. Kamanda wa polisi Ilala, Mary Nzuki, alisema operesheni hiyo imefanyika kwenye  maeneo mbalimbali

Kuna hii taarifa ya Askari aliyejiua ndani ya ghala la Silaha la Polisi jijini Mbeya

$
0
0
Askari Polisi wa Kituo cha Polisi Wilaya ya Mbozi, Patrick Kondwa amejiua kwa kujipiga risasi akiwa ndani ya ghala la kuhifadhia silaha katika kituo hicho.   Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo saa tisa usiku wa juzi kuamkia jana ambapo Askari huyo alikuwa lindo katika chumba hicho cha silaha.   Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi wa

Baba ajinyonga akidhani amemuua mwanaye kwa kipigo

$
0
0
Mkazi mmoja wa Kijiji cha Bushembe, wilayani Muleba, mkoani Kagera amefariki dunia kwa kujinyonga baada ya kumpiga mwanaye na kumpasua kichwa.   Ofisa Mtendaji wa Kata hiyo, Dickson Wilson alimtaja mtu huyo kuwa ni Godfrey Joseph, mkazi wa Kijiji cha Bushembe na kwamba tukio hilo lilitokea Januari 3, mwaka huu.   Wilson alisema kabla ya kujinyonga, alimpiga mtoto wake wa miaka

Picha za Lulu Michael Zatikisa Mitandao ya Kijmanii

$
0
0
Staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael Kimemeta 'Lulu' akiwa katika mapozi tofauti baada ya kuachia picha hizi kupitia account yake ya Instagram siku ya jana na kupelekea kutikisa katika mitandao ya kijamii huku wapenzi wake wakimuita Kim Kardashian wa bongo.        

Ni kweli Matonya aliwekewa madawa kwenye pombe? Alewa na kukutwa vichakani hajitambui

$
0
0
Hitmaker wa ‘Anita’ Matonya aliwekewa vitu vinavyohisiwa kuwa ni madawa kwenye pombe aliyokuwa akinywa, kwa mujibu wa Rich One ambaye ni jirani yake. Picha ya Matonya inayomuonesha akiwa amelala vichakani hajitambui ilisambaa wiki hii kwenye mitandao ya kijamii kiasi cha watu kuzusha kuwa amefariki dunia.   Rich alikiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM  kuwa tangu afahamiane na

Afisa Mtendaji wa Kijiji ashushiwa kipigo, Vunjo......Kosa lake ni kuchakachua matokeo ya uchaguzi wa Wenyeviti

$
0
0
Wananchi wa kijiji cha Nduoni kata ya Kirua Vunjo magharibi mkoani Kilimanjaro wamefunga ofisi ya kijiji na kumpiga afisa mtendaji wa kata hiyo kwa madai ya kuchakachua matokeo ya uchaguzi uliopita kwa kumtangaza mgombea wa Chama Cha Mapinduzi kuwa mshindi badala ya mgombea wa chama cha NCCR Mageuzi.   Wananchi hao walikusanyika katika ofisi ya kijiji hicho wakiwa na mabango

Mapacha Walioungana Wafariki Dunia

$
0
0
Watoto mapacha wa kike waliozaliwa katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Mara iliyopo mjini Musoma wakiwa wameungana sehemu ya kifua na tumbo wamefariki dunia jana majira ya saa 9.10 Alasiri wakiwa katika hospitali ya rufaa ya Bugando jijini Mwanza kabla ya kufanyiwa upasuaji.   Watoto hao pacha walizaliwa Januari 4 mwaka huu na mama mmoja mkazi wa manispaa ya Musoma Helena Paulo

Penzi Kinyume na Maumbile Lamtesa Lungi

$
0
0
Msanii wa filamu za Kibongo, Lungi Maulanga, amesema kuwa mpenzi wake amekuwa akimsaliti kila kukicha huku akihisi kuwa, huenda wanawake anaowafuata huko nje wanampa mapenzi kinyume na maumbile.   Akizungumza Gpl Lungi alisema kuwa siku chache zilizopita alilia sana kutokana na usaliti aliofanyiwa na mpenzi wake aliyemhifadhi kwa jina, akasema aliamua kumsamehe kwa kuwa anampenda.   

Wanafunzi Form One "Wakacha" shule Dodoma

$
0
0
Ikiwa ni wiki moja sasa tangu shule zifunguliwe Mkoani Dodoma ni wanafunzi 18 kati ya 274 waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza ndiyo waliofika kuanza masomo yao katika shule tatu za kata Wilayani Mpwapwa. Hayo yamebainika jana katika ziara ya kushtukiza ya Ofisa elimu Mkoa wa Dodoma, Juma Kaponda aliyoifanya katika wilaya hiyo na kujionea hali halisi ya ukosefu wa wanafunzi

Wenyeviti Wapya wa Mitaa wataka Serikali Ianze Kuwalipa Mishahara

$
0
0
Wenyeviti  wa serikali za mitaa na wajumbe wao katika Halmashauri ya manispaa ya Kigoma Ujiji wameapishwa jana kuanza kutumikia wananchi kulingana na nafasi zao.   Wakizungumza kwa nyakati tofauti, walitaka serikali kuangalia suala la kulipa mishahara kila mwezi kwa wenyeviti na wajumbe hao.   Mwenyekiti wa Mtaa wa Mnazi Mmoja, kata ya Kitongoni Manispaa ya Kigoma Ujiji, Nuru Bashange
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images