Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Diamond Platnumz Ashinda Tuzo Nyingine Nchini Nigeria.

0
0
STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' usiku wa kuamkia leo ameshinda tuzo nyingine huko Lagos nchini Nigeria kutoka The Future Awards Africa Prize in Entertainment 2014.   Tuzo hiyo ya Diamond ilipokelewa na Meneja wake Salaam na kwenye kipengele cha tuzo hiyo kulikuwa na wakali wengine wakiwemo Panshack au Ice Prince wa Nigeria na Michael Kwesi kutoka nchini Ghana.

Mheshimiwa Rais Kikwete, tunakuombea kwa Mungu Upone Haraka.....Tuko nawe kwa Dua na Sadaka

0
0
Mheshimiwa Rais, kwa niaba ya watu wa Oman tuishio Tanzania na wenzetu waliopo Oman, tunakuombea Mungu akujalie uweze kupona haraka ili urejee katika majukumu yako na kuendeleza nchi kwa ‘speed’ yako kali MANSHALAH.   Siku zote utakumbukwa kwa maendeleo uliyoifanyia nchi yetu ya Tanzania na ushirikiano mzuri na nchi zote duniani.   Tunakuombea upone haraka na upate furaha na kuweza

Amanda: Starehe kwanza,Mungu baadaye

0
0
Staa mwenye shepu ya aina yake ndani ya Bongo Movies, Tamrina Poshi ‘Amanda’ ameibuka na kusema kuwa siku ikifika atarejea kwa Mwenyezi Mungu lakini kwa sasa bado anakula ujana. Akiongea na Gazeti la Ijumaa Wikienda, Amanda alisema kwa sasa umri wake unamruhusu kula ujana kwa mambo ya starehe kama kuvaa mavazi ya kuacha mwili wake nusu utupu kwa sababu muda wa kurejea kwa Mungu bado

Diamond na Davido ndani ya BIFU Zito.....Kisa na mkasa ni Tanzania kushinda Big Brother Africa

0
0
Usiku wa December 07 Tanzania imechukua tena headline kwenye vyombo mbalimbali vya habari na hii ni baada ya Mtazania Idris kufanikiwa kushinda kwenye shindano la Big Brother Hot Shot 2014. Mara baada ya Mshiriki wa Tanzania Katika Shindano la Big Brother Africa 2014 Idris Sultan kutangazwa mshindi, watanzania wengi walionekana kufurahishwa sana na Ushindi wake huku wengine

Hausigeli ( Dada wa Kazi) Nusura Auawe

0
0
Msaidizi wa kazi za ndani (hausigeli), Rehema Ally (17), mkazi wa Yombo, Machimbo Mwisho, Ilala jijini Dar, amechanwachanwa kwa wembe na kisu sehemu mbalimbali za mwili wake, hali iliyosababisha alazwe katika Hospitali ya Amana kwa matibabu. Akizungumza na gazeti la Uwazi nyumbani kwa mwajiri wake aliyejulikana kwa jina moja la Ghati, Yombo jijini Dar, Rehema aliyefika jijini hapa

Taarifa ya Ikulu ya Rais Kikwete kuanza kazi rasmi

0
0
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete jana, Jumatatu, Desemba 8, 2014, ameanza kazi rasmi baada ya afya yake kuimarika kufuatia upasuaji aliofanyiwa mwezi uliopita. Mhe. Rais ameanza kazi rasmi kwa kumwapisha Mkuu mpya wa Mkoa wa Arusha, Mheshimiwa Daudi Felix Ntibenda katika shughuli fupi iliyofanyika Ikulu, Dar Es

Filamu ya ‘Nimekubali Kuolewa’ ya Dr Cheni yaruhusiwa kutoka

0
0
Msanii wa filamu, Mahsein Awadh Said aka Dr. Cheni’ amesema filamu yake ya ‘Nimekubali Kuolewa’ iliyokuwa imezuiwa kutoka na Bodi ya Filamu Tanzania (TFB) inatarajiwa kutoka mapema mwakani baada kukamilisha matakwa yao.   Dokta Cheni alisema kuzuiliwa kwa filamu hiyo kulimnyima raha kiasi cha kumfanya asifanye kazi nyingine mpaka akamilishe kazi hiyo.   “Nimefanikiwa kuipigania

Utafiti waitaja Tanzania miongoni mwa nchi zenye watu wenye roho mbaya Afrika!

0
0
Kwa mujibu wa ripoti ya World Giving Index 2014, Tanzania ni miongoni mwa nchi zenye watu wenye roho mbaya barani Afrika.   Hiyo ni kwa mujibu wa utafiti uliodhaminiwa na Charities Aid Foundation (CAF) na kufanywa na kampuni ya utafiti ya Gallup na kuhusisha nchi 135 duniani kote. Data hizo zilikusanywa kuanzia mwaka 2013.   Tanzania ilikamata nafasi ya 14 kati ya nchi 24

Video: Mtazame mshindi wa BBA Hotshots, Idris akijibu maswali ya mashabiki wa Afrika

0
0
Mtazame mshindi wa BBA Hotshots, Idris Sultan akijibu maswali ya mashabiki mbalimbali wa Afrika Live kupitia Google Hangouts.    Wengi wamemuuliza mambo mbalimbali ikiwemo atazitumiaje US $ 300,000 alizoshida, msichana gani ambaye angependa kuendelea kuwa na uhusiano nae nje ya BBA kati ya wale aliokuwa nao mjengoni nk.

Ikulu: Rais Kikwete hatawaadhibu vigogo wa Escrow bila ya uchunguzi

0
0
Ikulu imesema pamoja na kuwa Rais Jakaya Kikwete amekwishapokea maazimio ya Bunge kuhusu wanaotuhumiwa kuchota Sh306 bilioni katika Akaunti ya Tegeta Escrow, hawezi kuwachukulia hatua mpaka hapo uchunguzi kuhusu suala hilo utakapokamilika.   “Rais lazima aagize vyombo vya uchunguzi kufanya kazi yake na baada ya hapo ndipo atapata mahali pa kuanzia. Watu wengi walitaka Rais Kikwete

Leo ni Sikukuu ya Miaka 53 Ya Uhuru

0
0
Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akiinua juu bango linalonadi UHURU KAMILI miaka 53 iliyopita. Leo ni sikukuu ya kukumbuka siku hii adhimu Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akiwasili uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam kujiunga na wananchi kusherehekea sikukuu ya Uhuru miaka 53 iliyopita.

MITANDAONI:Jionee Shilole Feki Akimwaga Ngeli

0
0
Lile wimbi la watu kutumia majina ya mastaa kwenye mitandao ya kijamii  bado linaendelea  kwa kasi. Mwandishi wetu  amekutana  huyu anayejiita SHILOLE CLASIC akijifanya kuwa yeye ni  Shilole ambaye  ni  mwigizaji na mwanamziki maarufu hapa Bongo. Hebu tusaidiane kusoma hii NGELI aliyoitoa hapa.   Baada ya taarifa hizi kumfikia Shilole mwenye hiki ndicho alichokisema.   “Nimetumiwa

Viongozi wa CCM, Chadema wapigana Dar, wafikishana Polisi

0
0
Zikiwa zimebaki siku tano kabla ya kufanyika kwa uchaguzi wa Serikali za mitaa nchini, Katibu wa Kata ya Kisutu, Dar es Salaam wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Sauda Addy na Mjumbe wa Kamati ya Udhamini ya Chama Cha Demekrasia na Maendeleo (Chadema), Muslim Hassan, wamepigana. Sababu za kupigana kwao zinatokana na Hassan kuchana bango la mgombea wa CCM wa nafasi ya Uenyekiti wa Serikali ya

Zomeazomea ya Escrow yaikera CCM

0
0
 Kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa, ambazo zimekuwa zikitawaliwa na zomeazomea na vurugu, zimechukua sura mpya baada ya wafuasi wa CCM kuitwa ‘escrow’ kiasi cha katibu wa chama hicho wilayani Arusha, Feruz Bana kutaka wapinzani wazungumze hoja.    CCM ilijikuta kwenye kashfa hiyo inayohusu uchotwaji wa fedha kutoka Akaunti ya Tegeta Escrow iliyofunguliwa Benki Kuu ya Tanzania,

Umesikia habari MPYA kuhusu wale Mapacha walioungana India? ...Bofya hapa kama imekupita

0
0
Mapacha ambao wameungana huko Bengal Magharibi Ganga na Jamuna Mondal 45, wamesema hawajawahi kuwa na mpenzi katika maisha yao kwa sababu ya kukataliwa kutokana na mwonekano wao.   Mabinti hao ambao wanatumia mikono minne na miguu mitatu wamesema kwa sasa wanafuraha ambayo hawajawahi kuwa nayo katika maisha yao baada ya kukutana na mwanaume aliyewapenda kwa mara ya kwanza Mwalimu

Vurugu kubwa za Wakulima na Wafugaji Zaibuka Dumila,Morogoro......Barabara yafungwa kwa masaa kadhaa,Polisi waingilia kati

0
0
Jeshi la Polisi limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wananchi wa Dumila na Mbigiri wilayani Kilosa mkoani Morogoro baada ya kufunga barabara ya Morogoro Dodoma kwa kutumia mawe na kuchoma matairi barabarani katika eneo la Dumila na kusababisha abiria wanaotumia barabara ya Morogoro Dodoma kukosa mawasiliano kwa zaidi ya masaa sita.   Mpekuzi imeshuhudia wananchi

Rais Kikwete Kutoa Maamuzi ya Escrow Wiki Ijayo

0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amepokea Ripoti, nyaraka na ushauri wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu Akaunti ya Tegeta Escrow na atavifanyia maamuzi katika wiki moja ijayo.   Rais Kikwete ambaye alianza kazi rasmi jana, Jumatatu, Desemba 8, 2014 baada ya mapumziko ya kufuatia upasuaji aliofanyiwa mwezi uliopita, amepokea

Maadhimisho ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara yafana jijini Dar leo

0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwapungia mikono wananchi waliofurika katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam katika Maadhimisho ya sherehe za miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara akiwa katika Gari maalum liliozunguuka katika uwanja huo leo.Kushoto ni Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama,Jenerali Davis Mwamunyange. Vikosi vya Ulinzi na Usalama

Rais Kikwete Afungua Jengo Jipya La Ikulu ( (Multipurpose Hall)

0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete jana, Jumatatu, Desemba 8, 2014, amefungua rasmi Jengo la Shughuli Nyingi (Multipurpose Hall) la Ikulu katika moja ya shughuli zake za kwanza baada ya kuanza rasmi kazi kufuatia upasuaji mwezi uliopita.   Sherehe hiyo ya ufunguzi wa Jengo hilo lililoko upande wa kushoto wa Bustani za Ikulu upande wa Lango Kuu la

Rais Kikwete Asamehe Wafungwa 4,969......Kati yao 887 Kuachiwa Huru

0
0
RAIS Jakaya Kikwete ametoa msamaha kwa wafungwa 4,969 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 53 ya Uhuru.   Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari, iliyotolewa Dar es Salaam jana, Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe alisema msamaha huo utawahusu wafungwa 4,969, ambapo 887 kati yao wataachiwa huru na wafungwa 4,082 watapunguziwa vifungo vyao na kubaki gerezani wakitumikia sehemu
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images