Ofisi ya mbunge na Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, jana
ilikanusha vikali uvumi uliozagaa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii
kuwa mbunge huyo wa Monduli amelazwa nchini Ujerumani.
Taarifa zilizoenea zinaeleza kuwa Lowassa, ambaye
wakati wote wa Mkutano wa 15/16 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano
uliofanyika kwa wiki tatu, hakuwepo bungeni, amekuwa Ujerumani ambako
amelazwa
Ukweli Kuhusu taarifa zilizoenea kuwa Edward Lowasa kalazwa Ujerumani
↧
↧
Mkanda wa ngono wa Mpenzi wa Diamond Platnumz "Zari The Bosslady" Wavuja!
Mkanda wa ngono unaomuonesha mpenzi wa Diamond Platnumz ambaye ni mfanyabiashara wa Uganda, Zarinah Tlale
maarufu kama Zari the Bosslady akifanya mapenzi na mwanaume
asiyejulikana umesambaa.
Picha za Zari akivunja amri ya sita kutoka kwenye mkanda huo zimechapishwa kwenye gazeti la udaku la Red Pepper la Uganda.
“For exclusive pictures and a clear description of how Zari
↧
Feza Kessy athibitisha kuachana na O’neal
It’s official, Oneza haipo tena. Feza Kessy na mpenzi wake wa Botswana, O’neal wameachana.
Feza ameiambia Mpekuzi kuwa ni yeye mwenyewe ndiye alitoa taarifa hiyo kupitia Twitter japo aliamua kuifuta tweet hiyo.
“Ni kweli tumeachana, siwezi kuongelea in detail, ya matatizo vitu
vingine vitafunguka in the future, lakini kwa sasa it’s better when I
apart, so nilitangaza through Twitter
↧
Idris kushinda $300,000 za Big Brother Jumapili hii? Afrika Mashariki yajiunga kumpigia kura kwa fujo!
Wanasema ni vyema kutumainia mema na kujiandaa kwa mabaya na wengine
wanaonya kuwa ukiwa na matarajio makubwa usishangae kufedheheshwa kwa
kiasi kikubwa pia.
Pamoja na misemo hiyo, ni wazi tuna kila sababu ya kuwa na matumaini
kuwa kijana wetu Idris Sultan anaweza kushinda taji la Big Brother
Africa, Hotshots.
Tunaona jinsi ambavyo mastaa na watu wa kawaida katika
nchi za Afrika
↧
KIVAZI Cha LULU Chaonyesha Tatoo Yake Ya Juu Ya Kiuno
Muigizaji Diana Elizabeth Michael kama anavyojiita kwenye ukurasa
wake wa INSTAGRAM, maarufu kwajian la LULU ni mmoja kati wa mastaa wa
Bongo movie wanaotumia kurasa zao kwenye mtandao wa INSTAGRAM ku-Share
nasi picha zao, stori na jumbe mbalimbali .
Hivi majuzi mwanadada LULU aliweka picha matata (icheki hapo juu)
ambayo iliwafanya Followers wake kwenye ukurasa wake watoe
↧
↧
Walimu waandamana Kasulu, Kigoma
Walimu
zaidi ya 200 katika wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma wameandamana na
kumpa wakati mgumu mkurugenzi wa halmashauri ya Kasulu Masalu Mayaya,
wakishinikiza kulipwa kwa madai yao mbalimbali yanayofikia zaidi ya
shilingi milioni 172.
Viongozi wa chama cha walimu pamoja na walimu hao kutoka shule
mbalimbali za sekondari na msingi wamesema kwa muda mrefu wanaidai
serikali fedha za
↧
Wanaume wanaofanyiwa ukatili waanza kujitokeza
Matukio
ya wanaume kunyanyaswa na kufanyiwa ukatili na wake zao ikiwemo
kumwagiwa maji ya moto na hata wengine kukatwa viungo vyao yameshika
kasi mkoani Ruvuma ambapo baadhi ya wanaume wameanza kuripoti matukio
ya kunyanyaswa na wake zao katika madawati ya Jinsia.
Hayo yameelezwa na wanaharakati wa haki za binadamu kwenye
kongamano la maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili
↧
Idris Kushinda Big Brother Africa Leo
90% Huenda mshiriki kutoka Tanzania anayewakilisha ndani ya mjengo wa
Big Brother ‘hotshots’ , Idris Sultan akaibuka kidedea leo usiku katika
shindano hilo.
Tangu
asubuhi Runinga ya DStv kupitia Channel 197 na 198 inayoonyesha moja
washiriki 8 waliobakia katika mjengo huo, huku kamera ikimmulika zaidi
Idris mara kwa mara jambo linaloashiria huenda Watanzania tukacheka kwa
ushindi
↧
Watu 2 wapigwa na kuvuliwa nguo nyumbani kwa Wema, ni mafundi wake waliodaiwa kuiba
Nyumbani kwa Miss Tanzania 2006 na muigizaji wa filamu, Wema Sepetu,
kumetokea tukio la kushangaza la watu wawili wanaodaiwa kuwa mafundi,
kupigwa na kudhalilishwa kwa kuachwa uchi wakidaiwa kuhusika na wizi.
Akizungumza na Mpekuzi jana, jirani wa Wema aliyetambulika kwa jina la
Mama Steve, alisema tukio hilo lilitokea Ijumaa majira ya saa 5 asubuhi
mpaka saa 9 jioni.
“Waliopigwa
↧
↧
Lady Jaydee asema kamwe hatarajii kujiingiza katika siasa
MWANADADA
anayefanya vizuri katika muziki wa kizazi kipya nchini, Judith Wambura
'Lady Jaydee' amesema kamwe hatarajii kujiingiza katika masula ya siasa
kama wanavyofanya wanamuziki wenzake.
Kauli
hiyo aliitoa wakati akizungumza na waandishi wa habari wa gazeti la
Jambo Leo Dar es Salaam jana, baada ya kutembelea chumba cha habari cha
gazeti hilo katika Jengo la Hifadhi House katika
↧
Rais Kikwete Apiga Tizi Mara Tatu Kwa Siku Kuimarisha Afya Yake
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifanya mazoezi katika viwanja vya Ikulu
kufuatia ushauri wa madaktari waliomtaka afanye hivyo mara tatu kwa
siku ili kuendelea kuimarisha afya yake baada ya kufanyiwa upasuaji
mwezi uliopita katika hospitali ya Johns Hopkins nchini Marekani.
Picha na Ikulu
↧
Maandalizi ya Siku ya Uhuru Yapamba Moto
Maandalizi ya siku ya uhuru wa Tanganyika (Tanzania
Bara) Desemba 9, kutimiza miaka 53, yanaendelea Uwanja wa Uhuru ambapo
kutakuwa na gwaride la kijeshi vikundi vya sanaa, kwaya, halaiki ya
vijana, ‘brass band’ na matarumbeta.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sadiki, amesema milango
katika Uwanja wa Uhuru itakuwa wazi kuanzia saa 12:00 asubuhi ambapo
wananchi
↧
PICHA KALI:Irene Uwoya Alivyolipamba Jariba La Vibe Tz akiwa Nusu Uchi
Jarida la maswala ya burudani, liitwalo Vibe Tz lililotoka hivi
karibuni,limepambwa kwa picha za muigizaji wa filamu hapa Bongo, Irene
Uwoya amaye ni mrembo aliyebarikiwa sura na umbo matata bila kusahau
rangi yake,kitu ambacho huwafanya vidume wengi kupagawa na kuwa na
mashabiki wengi wa kazi zake mbali nakipaji chake katika sanaa.
Japokuwa kwasasa ni mama wa mtoto mmoja , Uwoya
↧
↧
Nimfanye Nini Huyu Mdada wa Kazi?....Alinikuta nikiwa Uchi, sasa anataka kulipa fadhila
Nina mdada wa kazi kuna siku kwa bahati mbaya alinikuta uchi chumbani.
Nilitoka kuoga kumbe yeye alikuwa chumbani
anachukua nguo za kuvaa watoto shule, sasa mie sikumuona vizuri nikajua
tu ni wife kumbe ni yeye, basi kwa kujiachia nilikuwa nimeweka taulo
mabegani na uku chini nikiwa mtupu manake yeye alikuwa upande wa pili wa
kioo.
Sina hili na lile kumbe yeye alishajua mie
↧
Breaking News: Idris Sultan Toka Tanzania aibuka mshindi wa shilingi milioni 514 za Big Brother Africa
Idris Sultan ndio mshindi wa Big Brother Africa Hotshots. Baada ya
kutupa karata yake kwa takriban miezi miwili ndani ya jumba hilo
lililopo nchini Afrika Kusini, Afrika imemchagua kuwa mshindi wa msimu
huu wa Big Brother na hivyo kushinda kitita cha $300,000 ambazo ni zaidi
ya shilingi milioni 514 za Tanzania.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Big Brother hivi punde, Idris
↧
Majambazi Wawili Wauawa Tanga
Watu
wawili kati ya wanne wanaosadikiwa kuwa majambazi wameuawa na wananchi
wenye hasira baada ya jaribio lao la kutaka kupora fedha zaidi ya
shilingi milioni 100 katika kiwanda cha kutengeneza chokaa cha Nelkanth
kilichopo eneo la Amboni jijini Tanga kushindikana.
Kaimu kamanda wa polisi mkoani Tanga kamishina msaidizi wa polisi
Juma Ndaki amewataja majambazi waliouawa kuwa ni
↧
Wananchi Wataka Maazimio ya Bunge Kuhusu Sakata la Escrow Yatekelezwe
Wananchi
wa vijiji mbalimbali katika wilaya za Kilosa na Mvomero mkoani Morogoro
wameitaka serikali kuharakisha utekelezaji wa maazimio ya bunge ya
kuwawajibisha watu wote waliohusika na wizi wa fedha za akaunti ya
Tegeta Escrow ili iwe fundisho kwa watumishi wa umma wanapopewa nafasi
za kusimamia majukumu mbalimbali ya serikali.
Wakiongea na Mpekuzi wananchi hao wakiwemo vijana
↧
↧
Rais Kikwete Ameteua Mkuu Mpya Mmoja wa Mkoa na Kuwahamisha Wengine 6
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete
amemteua Mkuu Mpya mmoja wa Mkoa na kuwahamisha vituo vya kazi wengine
sita kuanzia Jumamosi, Desemba 6, 2014.
Taarifa iliyotolewa Jumapili, Desemba 7, 2014 na Katibu Mkuu
Kiongozi (KMK), Balozi Ombeni Sefue mjini Dar es Salaam inasema kuwa
Rais amemteua Mkuu wa Wilaya ya Karatu, Mkoa wa Arusha, Ndugu Daudi
↧
Kaka Mtu Amfumania dada yake akingonoka na Njemba chumbani Kwake
Kaka mtu aliyejitambulisha kwa jina moja la
Nicholaus amesimamia fumanizi la dada’ke ambaye ni mwanafunzi wa sekondari
moja jijini Dar ambapo
alimfumania chumbani na njemba mmoja sharobaro aliyetajwa kwa jina la
Abuu Ally, mkazi wa Mbagala-Charambe, Dar.
Akisimulia mkasa wa fumanizi hilo, Nicholaus alisema amekuwa akiumizwa na taarifa kwamba
kila ikifika saa 2: 00 usiku kuna
↧
Polisi atoa ushahidi kumsaidia mtuhumiwa Mahakamani
KESI ya kughushi inayomkabili mfanyabiashara, Hans Aingaya Macha imechukua sura mpya, baada ya askari Johanes Mgendi mwenye namba E 2982 kutoa ushahidi katika upande wa mtuhumiwa kwenye kesi hiyo.
Mgendi ambaye ni mtaalamu wa maandishi Makao Makuu ya Polisi mjini Dar es Salaam, alitoa ushahidi huo mwishoni mwa wiki katika kesi hiyo iliyopo Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu chini ya Hakimu,
↧
More Pages to Explore .....