SIKU chache baada ya Bunge kuhitimisha mjadala wa uchotwaji wa zaidi
ya Sh bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow na kupitisha maazimio
nane ikiwa ni pamoja na kuwawajibisha watendaji na wanasiasa
waliohusika, Ikulu imesema itayafanyia kazi maazimio hayo kwa uzito
mkubwa.
Hayo yalisemwa jana na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue,
alipozungumza na MTANZANIA juu ya hatua
Ikulu Yasema Itatekeleza Maazimio Ya Bunge Kwa Nguvu Kubwa....Yasubiri Taarifa Rasmi ili Rais Achukue Uamuzi
↧
↧
Zitto Kabwe: Kashfa nne mbaya zaidi ya Escrow zinakuja
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Kabwe
Zitto amesema baada ya kukamilisha shughuli ya ufisadi wa Akaunti ya
Tegeta Escrow ambayo Sh306 bilioni zilichotwa, kamati yake sasa
inaelekeza nguvu katika kashfa nyingine nne.
Zitto
alisema kamati yake itatumia mwezi huu na Januari kupitia ripoti nne
ambazo zina masilahi kwa Taifa, ikiwamo ya utoaji wa vibali vya
↧
Chadema Arusha Yapata Pigo
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepata pigo baada ya mapingamizi yake 155 kwa wagombea katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Jiji la Arusha kutupwa.
Mapingamizi hayo yaliwasilishwa kwa Katibu Tawala wilaya ya Arusha na msimamizi mkuu wa uchaguzi, Juma Iddy ambaye pia ni Mkurugenzi wa Jiji la Arusha kwa ajili ya kusikiliza rufaa.
Akitoa uamuzi huo juzi, Katibu
↧
Wafugaji tisa wauawa Kisarawe
Mapigano makali yamezuka kati ya jamii mbili za wafugaji katika
Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani na kusababisha vifo vya watu zaidi ya
tisa.
Tukio hilo limetokea katika Kijiji cha Kihale,
Tarafa ya Chole wilayani Kisarawe na yamehusisha jamii mbili za wafugaji
wa kabila la Wasukuma na Wabarbaig ‘Mang’ati’.
Hata
hivyo, imeelezwa kuwa ni miili ya wafugaji watano tu ndiyo
↧
Mvua Iliyonyesha Jijini Mwanza Yasababisha Mafuriko
Mvua kubwa iliyonyesha asubuhi ya leo jijini Mwanza, imesababisha mafuriko katika baadhi ya maeneo kama inavyoonekana pichani.
Baadhi ya
wakazi wa jiji hilo hawana sehemu za kukaa baada ya maji kuingia kwenye
nyumba zao na kusababisha uharibifu mkubwa wa mali.
↧
↧
Al Sabab Yaua Watu 36 Nchini Kenya
Takribani watu 36 wanahofiwa kufariki katika shambulio lililotokea
kwenye machimbo ya kokoto karibu na mji wa Mandera kaskazini mwa Kenya.
Shirika la Msalaba Mwekundu nchini Kenya limethibitisha.
Wakazi wa eneo hilo wamesema waathirika wote wa tukio hilo ni watu
wasio Waislam ambao walikuwa wakifanya kazi katika machimbo hayo
yaliyopo Kormey kilomita 15 kutoka mji wa Mandera
↧
Wakuu wa usalama watimuliwa Kenya
Rais Uhuru Kenyatta amemwachisha
kazi waziri wa usalama Joseph Ole Lenku na kumpendekeza waziri mpya wa
usalama Joseph Nkaiseri kuchukua nafasi hio.
Wakati huohuo mkuu wa
polisi nchini Kenya inspekta generali David Kimaiyo amejiuzulu kutokana
na shinikizo dhidi yake afanye hivyo kwa kushindwa kukabiliana na utovu
wa usalama nchini.
Rais Kenyatta alisema kuwa baada ya mazungumzo
↧
Rais Kikwete Amuapisha CAG Mpya, Prof Musa Juma Assad Ikulu jijini Dar es salaam
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za
Serikali (CAG), Profesa Musa Juma Assad Ikulu jijini Dar es salaam
Novemba 02, 2014.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akitia sahihi yake kwenye nyaraka baada ya
kumuapisha Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Profesa
Musa Juma Assad Ikulu jijini Dar es salaam Novemba 02, 2014.
Rais
↧
LHRC yasikitishwa na kauli ya Pinda
Kituo
cha sheria na haki za binadamu kimesema kimesikitishwa na kauli
aliyoitoa waziri mkuu Mh Mizengo Pinda bungeni wakati akiahirisha bunge
kuwa hakuna uhakika kwamba fedha zilizokuwa katika akaunt ya Escrow kama
ni za serikali ama la jambo ambalo amesema kwa kufanya hivyo ni kutaka
kuwalinda waliohuska katika wizi huo.
Akizungumza katika makao makuu ya kituo hicho mkurugenzi wa
↧
↧
Wagombea 68 CHADEMA Arumeru Mashariki wapingwa
Wagombea
68 wa nafasi mbalimbali za uongozi katika jimbo la Arumeru Mashariki
kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wamewekewa pingamizi
kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ya kutotimiza vigezo na masharti
ya tume ya uchaguzi.
Baadhi ya wagombea hao waliowekewa pingamizi wa CHADEMA wametafsiri
hali hiyo kama njama za kisiasa zinazofanywa na chama tawala kutaka
↧
Mtunisi aendelea kusota ndani baada ya kumpiga mkewe
Msanii wa filamu, Mtunisi aliyepandishwa mahakamani Jumatatu
iliyopita kutokana na shtaka la kumshambulia mke wake, ameendelea
kukaa ndani baada ya kukataliwa dhamana kufuatia mkewe kuwa kwenye hali
mbaya.
Akizungumza na Mpekuzi, muigizaji mwenzake, Batulli amesema
wanashindwa kuingilia suala hilo moja kwa moja kwa sababu limekaa
kifamilia zaidi.
“Tunafuatilia lakini unajua
↧
Mdogo wake na Zari aponda uhusiano wake na Diamond, Zari asisitiza ni marafiki tu
Mdogo wake na Zari Hassan aka The Bosslady, aitwaye Karim ametumia
Facebook kumkosoa dada yake kwa kuwa na uhusiano na Diamond Platnumz
ambaye anamzidi miaka 9.
Kwenye post hiyo, Karim aliandika: You are ashaming us, how can you date a boy my age. You moved from one man to another in less than 3 days.”
Akitumia akaunti yake binafsi ya Facebook yenye jina ‘Zarinah Tlale’,
kujibu
↧
Diamond: Nilivyofika Nigeria nilikuwa najiona kama mkiwa, siwaoni wasanii wenzangu hata Ally simuoni
Baada ya Diamond Platnumz kutua jijini Dar es salaam December 2
akitokea Afrika Kusini akiwa na tuzo zake 3 za Channel O, alikutana na
wadau, mashabiki pamoja na waandishi pale Escape 1 kuzungumzia ushindi
wake na safari nzima ilivyokuwa.
Miongoni mwa maeneo aliyozungumzia ni pamoja na umoja unaohitajika
kwa wasanii wa Tanzania ili waweze kuwa wengi katika majukwaa ya
↧
↧
Korea Kaskazini yaishutumu US kusambaza Ebola na kutumia Afrika kama sehemu ya kujaribia silaha hiyo ya Kibailojia
Koreas Kaskazini imeishutumu Marekani kwa kusambaza makusudi virusi
vya ugonjwa wa Ebola na kwamba inatengeneza silaha hiyo ya kibailojia
ili kuwa taifa lenye nguvu zaidi duniani.
Taifa hilo limelazimika kufunga mipaka yake kuzuia watalii ikiwa ni
pamoja na kumtenga kila anayeingia. Ripoti ya Korean Central News
Agency (KCNA) inadai kuwa aliyekuwa msaidizi wa Rais wa zamani
↧
Mtoto afa kwa kunyongwa na baba wa kambo Morogoro
Mtoto
mwenye umri wa mwaka mmoja mkazi wa kijiji cha Kindo wilaya ya Mvomero
mkoani Morogoro amefariki dunia baada ya kunyongwa na baba yake wa kambo
kufuatia migogoro ya kifamilia kati yake na mkewe.
Kamanda wa polisi mkoa wa Morogoro Leonard Paul amesema mtoto
Abdallah Hamis amenyongwa na baba yake wa kambo Zamili Shabani (27)
muda mfupi baada ya mama wa mtoto kwenda dukani
↧
Shirika la kazi la Umoja wa Mataifa (ILO) Lasema Tanzania inaongoza kwa watu wasiofanya kazi
Shirika la kazi la umoja wa mataifa (ILO) limesema pamoja na
Tanzania kuwa na mikakati mingi ya kutaka kuwakwamua wananchi
wake na Lindi la umaskini itakuwa vigumu kufikiwa kwa lengo hilo
kutokana na kuwa na watu wengi wasiofanya kazi
Akizungumza
na wataalam na watafiti wa idara za kazi ajira na takwimu
kutoka mikoa mbalimbali nchini
↧
Mmiliki wa IPTL atema cheche....Asema anafikiria mara mbilimbili kuendelea kuwekeza nchini
Mmiliki wa Kampuni ya Kufua Umeme ya IPTL, Habirnder Seth Singh
amesema anafikiria mara mbilimbili iwapo aendelee kuwekeza nchini au la,
baada ya kuwapo kwa tuhuma kwamba alihusika na uchotaji wa fedha katika
Akaunti ya Tegeta Escrow katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
“Nimeongelewa
sana kiasi kwamba naona kama hakuna hata amani ya kuwekeza Tanzania,
nitajifikiria mara mbili mbili.
↧
↧
Vigogo CHADEMA waburutwa kortini
Jeshi la Polisi mkoani Simiyu linawashikilia wanachama tisa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA wilayani Meatu wakiongozwa na Mwenyekiti wa mkoa wa chama hicho kwa madai ya kufanya vurugu na kuharibu mali.
Wanachama hao pamoja na viongozi wao mbali na kukamatwa na jeshi hilo jana, wamefikishwa mahakamani, katika Mahakama ya Wilaya ya Meatu Mkoani hapa kujibu tuhuma
↧
TRA yazuiwa kufuta hati za malipo ya kodi ya IPTL
Bodi ya Rufani za Kodi (TRAB), imetoa amri ya zuio la muda kwa
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuhusu kusudio lake la
kufuta hati ya malipo ya kodi iliyotokana na uuzwaji wa hisa za Kampuni
ya Kufua Umeme ya IPTL.
Uamuzi huo wa TRAB ulitolewa
na Katibu wake, Respecius Mwijage kutokana na maombi yaliyofunguliwa na
Kampuni za Pan Africa Power Solution Tanzania
↧
UKAWA Yavunjika vipande vipande Mkoani Arusha baada ya vyama vinavyounda umoja huo kushindwa kuachiana nafasi za Uongozi
VYAMA vinne vya upinzani vilivyoungana na kuunda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) vimeshindwa kuachiana nafasi za uongozi mkoani Arusha, katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Desemba 14.
Vyama vinavyounda Ukawa ni Chadema, CUF, NCCR-Mageuzi na NLD, lakini vyote vimesimamisha wagombea katika mitaa ndani ya mkoa wa Arusha, kinyume na makubaliano yaliyosainiwa na
↧
More Pages to Explore .....