Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Lady Jaydee Aanika Kisa cha Kuachana na Gardner

$
0
0
Kwa mara ya kwanza, staa wa muziki wa Bongo Fleva, Judith Wambura Mbibo ‘Jide’ ameanika kisa cha kummwaga mumewe, Gardner Gabriel Habash ‘Kaptein’ akieleza mateso aliyokutana nayo kwenye ndoa yao. Akizungumza na Kituo cha Radio Times FM cha jijini Dar, wikiendi iliyopita, Jide alifunguka kuwa yeye ndiye aliyeamua kummwaga Gardner.   Katika mahojiano hayo, Jide alisema kwamba alikuwa

Askari wa JKT akutwa mferejini akiwa kalewa chakari .....Pombe Ilipozidi alianza kujisaidia ndani ya basi

$
0
0
Katika hali isiyotegemewa askari mmoja wa jeshi la kujenga Taifa (JKT) anayesadikika kuwa ni wa kambi ya Mafinga wilaya ya Mufindi mkoani Iringa usiku wa jana amenusurika kuvuliwa nguo za jeshi hadharani baada ya kukutwa amelewa chakari na kulala katika mfereji wa maji machafu eneo la nje ya stendi kuu ya mabasi yaendayo mikoani mjini Iringa Tukio hilo lilitokea muda wa saa 2 usiku

Kumalizika kwa Sakata la "Escrow", waumini waliombea Taifa

$
0
0
Baada ya Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kumaliza mjadala wa sakata la Escrow, maelfu ya waumini wa madhehebu mbalimbali mkoani Arusha wamefanya ibada maalumu ya kuliombea taifa amani na pia kuwaombea watendaji wa serikali na wananchi kwa ujumla kumtanguliza Mungu kwa kila wanalolifanya.   Wakizungumza katika ibada hiyo

Leo ni Siku ya UKIMWI Duniani...Njombe Yaongoza kwa maambukizi

$
0
0
Ikiwa leo ni siku ya UKIMWI, Duniani ambapo Tanzania Kitaifa siku hiyo inafanyika Mkoani Njombe Juhudi za kupambana na maambukizi ya ukimwi mkoani humo zimezidi kushika kasi kutoka katika mashirika mbalimbali na kuanza kuungana na viongozi wa mila Akizungumza na mwandishi wetu katika viwanja vya Sabasaba mkoani njombe, afisa uhusiano wa PSI kanda ya njanda za juu kusini,

Zitto, Filikunjombe wadai waziri Lukuvi alitaka kuiba ripoti ya Escrow

$
0
0
Viongozi wa Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe na Deo Filikunjombe wamemtuhumu Waziri William Lukuvi kuwa alitaka kuiba ripoti ya kamati yao kuhusu uchotwaji wa Sh306 bilioni kutoka Akaunti ya Tegeta Escrow.    Sakata hilo lilihitimishwa Jumamosi wakati Bunge lilipoazimia kuwajibishwa kwa watu wote waliohusika kwenye uchotwaji wa fedha hizo, ikiwa ni pamoja na kuchukuliwa

Sakata la Escrow: Siri ya Mizengo Pinda kunusurika yatajwa

$
0
0
Siri ya kunusurika kwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda katika sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow imebainika kuwa wajumbe wa Kamati ya Maridhiano walikubaliana kumwacha kutokana na kubakiza muda mfupi na pia kukwepa kuvunja Baraza la Mawaziri kwa mara ya pili.   Mmoja wa wajumbe wa kamati hiyo walioandaa maazimio manane ya Bunge, Dk Hamis Kigwangalla alisema jana kuwa bila kufikia

Usafi wa Wabunge Wahojiwa......Makinda Aonya Wala Rushwa, asema wakiswekwa ndani hatakwenda kumtoa mtu

$
0
0
SPIKA wa Bunge, Anne Makinda amewaambia wabunge kuwa vitendo vyao vya kukubali kurubuniwa kwa rushwa na baadhi ya wafanyabiashara, watajikuta wanakwenda ndani na Bunge halitawatetea.   Akizungumza kabla ya kuahirishwa kwa Mkutano wa 16 na 17 wa Bunge mjini Dodoma juzi, Makinda aliwataka wabunge kuachana na watu wanaofanya ushawishi kwa kutumia fedha.   Alisema vitendo hivyo,

Je, Una Mwili Mwembamba au Umedhoofika kutokana na Maradhi?.....Bofya hapa Ujipatie Dawa Lishe ya kuongeza na kunenepesha mwili

$
0
0
Je  una  mwili  mwembamba  na  unataka  kuongeza  na  kunenepesha  mwili  wako ? Umedhoofika  kutokana  na  maradhi  mbalimbali  na  unataka  kurejesha  afya  yako  na  mwili  wako ? Unataka  kutengeneza  shape  ya  mwili  wako  kwa  vitu  vya  asili  visivyo  na  madhara  kwa  afya  yako ? Kama  jibu  ni  ndio  basi, hii ni  habari njema  sana  kwako. Neema  Herbalist  ni  wauzaji  wa 

Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unataka kuimarisha mishipa yako ili uweze kwenda Raundi mbili na kuendelea??....Bofya hapa ukutane na JIKO

$
0
0
Neema  Herbalist  & Nutritional  Foods  Clinic  ni  wauzaji wa dawa  mbalimbali  za  asili. Tunapenda  kuwatangazia  wateja  wetu  kuwa  tunayo  dawa nzuri  ya  asili  inatibu na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume.  Dawa  hii iitwayo  JIKO  ni  ya  asili  kabisa  (PURE HERBAL) na inaponyesha  na  kumaliza  kabisa  tatizo  la  nguvu  za kiume

Escrow yazamisha watatu Urais 2015

$
0
0
KASHFA ya uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow, imewachafua viongozi watatu ambao walishaanza harakati za kuusaka urais kwa mwaka 2015.   Baadhi ya viongozi hao ni pamoja na Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Mbunge wa Sengerema, William Ngeleja na Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka.   Kwa upande wa Pinda, ripoti ya

Baada ya Kutwaa Tuzo 3, Diamond kupiga Shoo Marekani

$
0
0
STAA wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' anataraji kufanya shoo ya nguvu Jumamosi ijayo ya Desemba 6, mwaka huu nchini Marekani.   Diamond ambaye juzi usiku alikomba tuzo tatu za Channel O ambazo ni Most Gifted New Comer, Most Gifted Afropop na Most Gifted East kupitia wimbo wake wa Number One anataraji kupiga shoo jijini Washington DC kwenye Ukumbi wa Hoteli ya Sheraton

Mmiliki wa Mattei Logde Afariki Dunia katika Ajali ya Gari

$
0
0
Mmiliki wa Mattei Lodge iliyopo Area D mkoani Dodoma aliyefahamika kwa jina moja tu la Mattei amefariki dunia katika ajali ya gari jana Jumapili eneo la Pandembili, Kongwa.   Chanzo cha ajali hiyo inadaiwa kuwa mwendo kasi uliopelekea gari hilo kuligonga gari lingine na kisha kupinduka.   Marehemu Mattei alikuwa na wenzake watatu katika gari ambao walijeruhiwa.

Rais Kikwete Amteua Profesa Asad kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) mpya akimrithi Ludovic Utoh

$
0
0
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Profesa Mussa Juma Assad kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG). Taarifa iliyotolewa leo, Jumatatu, Desemba Mosi, 2014 na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, inasema kuwa uteuzi wa Bwana Assad ulianza Novemba 5, mwaka huu, 2014. Taarifa hiyo

Serikali haitatoa msamaha kwa viongozi na watendaji walioshiriki katika sakata la Tegeta Escrow.

$
0
0
Serikali  imesisitiza  kuwa   haitakuwa  na  msamaha   kwa   viongozi   na  watendaji   ambao   wametajwa    kwa   namna   moja   au  nyingine kushiriki   katika  uchotwaji   wa  mabilioni   ya  fedha  katika  akaunti   ya  Tegeta  Escrow   kitendo  ambacho   kimesababisha   serikali  kupoteza  mabilioni   ya  fedha  kama  kodi. Naibu   Waziri  wa  fedha Mh   Mwigulu  Nchemba  ambaye

ITV imeingia rasmi kwenye king'amuzi cha DSTV kwa chanel namba 293.

$
0
0
Hatimae kilio cha muda mrefu cha watazamaji na wapenzi wa ITV juu ya ITV kuingia kwenye king'amuzi cha DSTV kimesikika na sasa ITV imeingia rasmi kwenye king'amuzi hicho na itaonekana kwenye vifurushi vyote vya DSTV.   Akizungumza jijini Dar es Salaam Mkurugenzi mtendaji wa ITV/Radio One Joyce Mhavile amesema baada ya mazungumzo ya muda mrefu kati ya ITV na DSTV kuhusu ITV kuingia

Serikali Kuunda Mfuko Maalum wa Kupambana na UKIMWI

$
0
0
Serikali ipo kwenye mchakato wa kukamilisha uundwaji wa mfuko maalumu wa UKIMWI  (Trust Fund) kwa lengo la kuboresha huduma za UKIMWI zinazotolewa na pia kupunguza utegemezi wa wahisani  na kuongeza kasi ya mapambano dhidi ya UKIMWI. Akihutubia umati wa wakazi wa mkoa wa Njombe na mikoa jirani katika maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani iliyofanyika kitaifa mkoani njombe  makamu

Diamond Platnumz Ashiriki Project ya Ebola

$
0
0
Nyota wa muziki Diamond Platnumz ambaye mwishoni mwa wiki ameweza kushinda tuzo tatu huko Afrika Kusini, amekuwa ni moja kati ya wasanii wakubwa Afrika walioshiriki katika project ya pamoja inayokwenda kwa jina We are the World Africa. Kazi hii kubwa imefanyika huko Afrika Kusini ikiwashirikisha pia mastaa kutoka nchi nyingine za Afrika kama vile Banky W, Mafikizolo, Iyanya, Don

Askari wa JWTZ amtendea ukatili wa Kutisha Bibi wa miaka 60

$
0
0
Bibi Mariam Abdallah, mwenye umrin wa miaka 60, mkazi wa Kijiji cha Mnanila, ambaye anadaiwa kushushiwa kipigo nyumbani kwake na Askari wa JWTZ,akiwa amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kigoma, Maweni kwa matibabu. Akielezea mkasa huo Mariam Abdallah alisema kuwa Novemba 23 mwaka huu, majira ya saa tatu usiku, watu wanne waliokuwa wamevalia sare za Jeshi la Wananchi wa

Kigwangalla alia na viongozi wanaoshutumiwa kwa kashfa ya wizi wa Bilioni 321 akauti ya Tegeta Escrow.

$
0
0
Tabia ya serikali kutochukua hatua kali za kisheria kwa baadhi ya viongozi wanaochukua mali za umma na kugawana kama karanga inawafanya wananchi kukosa imani ya serikali yao kuwa na  hasira na pengine  kusababisha kutoweka kwa amani kwa kuwa hakuna mtu anayeweza kuvumilia shida wakati anaona watu wachache wakigawana mali ya umma na kuendelea na nyadhifa zao.   Mwenyekiti wa kamati ya

Mgonjwa Amuua Mwenzake Wodini......Polisi Wamtia Pingu, mganga mkuu adai hana matatizo yoyote ya Akili

$
0
0
Katika hali isiyo ya kawaida mgonjwa aliyelazwa katika Hospitali ya Mkoa ya Mount Meru, akisumbuliwa na maradhi ya mguu, Hashimu Mohammed Mollel (28), (pichani) mkazi wa Lemala, Arusha amemuua mgonjwa mwenzake aliyelazwa naye, Lazaro Mollel (75) kwa kumpiga na chuma cha kutundikia dripu. Tukio hilo la aina yake lilitokea Novemba 22, mwaka huu saa 6 usiku katika wodi ya majeruhi
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live


Latest Images