Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live

Aunt Lulu Akiri Wasanii Wa Kike Kujiuza Mitandaoni

$
0
0
Mwanadada  mwenye umbo la utata Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunt Lulu’ ameibuka na kueleza kwamba mastaa wamegundua njia mpya ya kujiuza ambayo ni kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii.   Akiongea na Gpl, Aunt Lulu alisema mastaa wengi wa kike wanajiuza kwenye mitandao ambapo mapedeshee waliopo mikoa mbalimbali wakishaziona picha zao huwa wanawatafuta kwa udi na uvumba ambapo wanawapigia

Flaviana Matata Avishwa Pete Ya Uchumba !

$
0
0
Mwanamitindo wa kimataifa anayetokea Tanzania, Flaviana Matata ambaye amekuwa akiishi Marekani, kafungua ukurasa  mpya kwenye maisha yake baada ya kuvishwa pete ya Uchumba.    Kwa furaha aliyokua nayo, Flavvy aliipost picha kwenye page yake ya Instagram @FlavianaMatata Nov 16 2014 na kuionyesha hiyo pete na kama vile haitoshi, akaandika maneno ya ‘I said YES‘ ambapo Yes aliiandika kwa

Big Brother Africa: Idris apeta, Samantha na Mr. 265 wayaaga mashindano

$
0
0
Mwakilishi wa Tanzania aliyesalia kwenye shindano la Big Brother Africa, Idris Sultan ataendelea kuipeperusha bendera ya Tanzania baada ya Jumapili hii kuokolewa na kura za mashabiki barani kote. Hata hivyo Idris anaweza akawa amejeruhiwa kwa mara ya kwanza baada ya rafiki yake wa karibu, Samantha wa Afrika Kusini kuondolewa. Mrembo huyu ameungana na mwakilishi wa Malawi Mr. 265

Prof Maghembe asema urais si mashindano ya urembo

$
0
0
Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe ameshangazwa na utitiri wa watu wanaotaka kugombea urais kwenye Uchaguzi Mkuu 2015, akisema nafasi hiyo ya juu nchini haifanani na mashindano ya urembo ambayo mtu yeyote anaweza kujaribu.   Mbunge huyo wa Mwanga alisema watu hao wanaojitokeza kuwania urais hawaelezi wanataka kulifanyia nini Taifa na akashauri wasioweza kueleza hoja zao

Kimenuka: Ripoti ya CAG yabaini fedha zote akaunti ya Escrow IPTL ni za umma ..... Ofisi ya AG, Wizara ya Nishati na Madini, Bodi Tanesco, BoT zaguswa

$
0
0
Matokeo  ya ukaguzi uliofanywa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuhusiana na kuchotwa kwa Sh. bilioni 306 kifisadi kwenye akaunti ya Tegeta Escrow ndani ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) umeiweka matatani Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), huku yakizitambua fedha hizo kuwa ni za umma. Ofisi ya AG inadaiwa kuingia matatani, baada ya ripoti ya ukaguzi huo

Membe akerwa na ripoti ya mbio za urais 2015.....Ni ya Twaweza aliyoshika nafasi ya tano

$
0
0
Twaweza Jumatano iliyopita ilitoa ripoti ya utafiti, pamoja na mambo mengine ikionyesha baadhi ya majina ya wagombea urais wanavyokubalika kwa wananchi ikiwa uchaguzi wa rais ungefanyika Septemba mwaka huu. Katika orodha hiyo, Membe alishika nafasi ya tano kwa kupata asilimia tano, huku akitanguliwa na Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa aliyeshika nafasi ya kwanza kwa kupata asilimia 13

Lady Jaydee: Mimi Siyo Yesu Wala Bikra Maria

$
0
0
Wakati kukiwa na maneno mengi juu ya madai ya kuvunjika kwa ndoa yake na mtangazaji  maarufu Bongo wa Redio E-FM, Gardner G Habash ‘Kepteini’, supastaa wa Bongo Fleva, Judith Wambura Mbibo a.k.a Jide au Jaydee amefunguka kuwa naye si mkamilifu kwani siyo Yesu wala Bikira Maria.    Kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii, wikiendi iliyopita Jide aliamua kuvunja ukimya kufuatia maswali

Rais Kikwete akutana na Jaji Mkuu wa Tanzania na ujumbe wake waliomtembelea kumjulia hali marekani

$
0
0
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Jaji Mkuu waTanzania Mhe Mohamed Chande Othman pamoja na ujumbe wake walipomtembelea na kumjulia hali Jumapili Novemba 16, 2014 katika hoteli maalumu jirani na Hospitali ya Johns Hopkins jijini Baltimore, Maryland, Marekani anakoishi baada kutoka katika hospitali hiyo alikofanyiwa upasuaji wa tezi dume.   Jaji Mkuu na ujumbe wake wako Marekani kwa

Maendeleo ya Nchi hii Yataletwa na CCM - Nape

$
0
0
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye (pichani), amesema maendeleo kamwe hayawezi kupatikana kwa njia ya matusi na kufarakanisha wananchi kama wanavyofanya viongozi wa upinzani. Pia amewataka wananchi kuhakikisha wanachagua wagombea wa CCM katika uchaguzi ujao wa serikali za mitaa akisema ndicho chama chenye viongozi imara watakaowaletea maendeleo. Nape

Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unataka kuimarisha mishipa yako ili uweze kwenda Raundi mbili na kuendelea??....Bofya hapa ukutane na JIKO

$
0
0
Neema  Herbalist  & Nutritional  Foods  Clinic  ni  wauzaji wa dawa  mbalimbali  za  asili. Tunapenda  kuwatangazia  wateja  wetu  kuwa  tunayo  dawa nzuri  ya  asili  inatibu na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume.  Dawa  hii iitwayo  JIKO  ni  ya  asili  kabisa  (PURE HERBAL) na inaponyesha  na  kumaliza  kabisa  tatizo  la  nguvu  za kiume

Watu 13 mbaroni kwa mauaji ya Kiteto

$
0
0
Polisi mkoani Manyara wanawashikilia zaidi ya watu 13 wanaodaiwa kuhusika na mauaji ya wakulima na wafugaji yaliyotokea wiki iliyopita katika Kata za Matui na Kiperesa wilayani hapa.   Kamanda wa Polisi Mkoa wa Manyara, Deusdedit Nsimeki amesema bado wanaendelea na uchunguzi kabla ya kuchukua hatua ya kuwafikisha mahakamani watu hao.   “Hatuwezi kutaja idadi kamili wala majina yao

Je, Una Mwili Mwembamba au Umedhoofika kutokana na Maradhi?.....Bofya hapa Ujipatie Dawa Lishe ya kuongeza na kunenepesha mwili

$
0
0
Je  una  mwili  mwembamba  na  unataka  kuongeza  na  kunenepesha  mwili  wako ? Umedhoofika  kutokana  na  maradhi  mbalimbali  na  unataka  kurejesha  afya  yako  na  mwili  wako ? Unataka  kutengeneza  shape  ya  mwili  wako  kwa  vitu  vya  asili  visivyo  na  madhara  kwa  afya  yako ? Kama  jibu  ni  ndio  basi, hii ni  habari njema  sana  kwako. Neema  Herbalist  ni  wauzaji  wa 

Ripoti Maalumu ya CAG Kuhusu Akaunti ya Escrow Yakabidhiwa Kwa Mwenyekiti wa PAC Leo

$
0
0
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai akikabidhi Ripoti maalumu ya  CAG Kuhusu akaunti ya ESCROW kwa Mwenyekiti wa PAC Mhe. Zitto Kabwe na Kaimu wake Mh. Deo Filikunjombe,Bungeni mjini Dodoma leo. Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai akikabidhi Ripoti maalumu ya  CAG Kuhusu akaunti ya ESCROW kwa Mwenyekiti wa PAC,

Mtoto Mwingine Atekwa, Akatwa Nyeti na Kuuawa

$
0
0
Wimbi  la utekaji na mauaji ya watoto katika Jiji la Dar bado ni tishio kufuatia wiki iliyopita, maiti ya mtoto Nuru Mohamed (7) mkazi wa Majohe Kichangani Wilaya ya Ilala, kuokotwa ikiwa imeharibika vibaya, tena baadhi ya viungo vyake vikiwa vimenyofolewa. Tukio hilo la kusikitisha lilitokea Novemba 6, mwaka huu, majira ya saa 12 jioni, baada ya watoto wenzake aliokuwa akicheza nao

Viongozi Manyara, Kiteto Wakalia Kuti Kavu

$
0
0
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amesema Serikali itafanya mabadiliko ya kiutawala katika ngazi mbalimbali Wilaya ya Kiteto na Mkoa wa Manyara wiki hii ili kuimarisha uongozi kukabiliana na mauaji ya wakulima na wafugaji yaliyosababisha vifo vya watu 17 tangu Januari 12 mwaka huu hadi sasa.   Pinda alisema hayo bungeni mjini Dodoma jana wakati akitoa taarifa kuhusu vurugu zinazoendelea

Werema,Maswi,Mboma Wapumulia Mashine.....Ni Kuhusiana na Kashfa akaunti ya Escrow, Kamati ya Zito Kuwahoji

$
0
0
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) inatarajia kuwahoji Mwanasheria Mkuu (AG), Jaji Frederick Werema, Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Eliachim Maswi,  Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Robert Mboma na wengine waliotajwa  katika kashfa ya kuchotwa Sh. bilioni 306 ya  akaunti ya Tegeta Escrow ndani ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT). Hatua hiyo

Laveda Azungumza na Global Tv Online......Akanusha Kujichua ( Kupiga Puli) Ndani ya Jumba La Big Brother

$
0
0
Aliyekuwa mwakilishi wa Tanzania katika Big Brother Africa Hotshots, Irene Laveda wiki  amezungumza na  Global tv online  kuhusiana  na  maisha  yake  ndani  ya  jumba  la  Big Brother. Ifuatayo ni sehemu ya mahojiano hayo ambayo pia yanapatikana katika tovuti ya www.globaltvtz.com. ;   Mwandishi: Safari yako kuelekea Big Brother Africa ilikuwaje?   Laveda:  Nilienda kwenye usaili

Huddah Monroe aiunga mkono kampeni ya ‘‎MydressMychoice‬’

$
0
0
Staa wa Kenya, Huddah Monroe amewaunga mkono wanawake nchini Kenya waliondamana kudai haki ya kuvaa nguo wanazopenda ‘‎MydressMychoice‬’. Akizungumza na BBC mmoja ya wanawake hao, alisema ameamua kuandamana ili kuitaka serikali ya nchi hiyo kuunda sheria kali ya kuwalinda wanawake.    “Wanawake wanafaa kuacha kunyanyaswa wanapo nyanyaswa, sheria za kuadhibu mtu yoyote ambaye

Dully Sykes na Maunda Zorro Waachia Wimbo wa Matusi (18+)

$
0
0
Dully Sykes na Maunda Zorro wameungana kufanya wimbo wa matusi... Ngoma hiyo inaitwa That’s the Way ambapo Dully mwanzo mwisho anarap kuhusu KUS3X.. na huku Maunda akisikika akilia milio ya uliwaji.. Isikilize hapo chini.

Desire Luzinda: Picha ya UCHI imenipa umaarufu ambao sikuwahi kuupata kupitia muziki, adai yeye ni tishio kwa Kim kardashian

$
0
0
Licha ya kuwa tukio la kuvuja kwa picha za utupu limempa picha mbaya kwa jamii muimbaji wa Uganda Desire Luzinda, lakini upande mwingine limemuongezea umaarufu mkubwa kwa muda mfupi ambao hakuwahi kuupata kupitia muziki wake ambao amekuwa akiufanya miaka mingi. Sasa amefahamika zaidi ndani na nje ya Uganda. Kwa mujibu wa Bigeye ya Uganda, Luzinda amewaambia marafiki zake jinsi
Viewing all 45270 articles
Browse latest View live




Latest Images