Kuna uwezekano mkubwa wa kolabo kati ya Mrisho Mpoto na msanii wa Zimbabwe, Oliver Mtukudzi.
Akizungumza na mwandishi wetu, Mpoto amesema mazungumzo yao yamefanikiwa
kwa kiasi kikubwa hali iliyompa matumaini ya kuwepo kwa kolabo hiyo.
“Nimefanya mazungumzo ya kolabo na Oliver Mtukudzi wa Zimbabwe
kwahiyo kuna possibility kubwa kidogo ya kufanya na Oliver Mtukudzi,”
amesema Mpoto.
Mrisho Mpoto yupo kwenye mazunguzo kufanya kolabo na Oliver Mtukudzi
↧
↧
Diamond amtaja msanii wa Marekani ambaye ana ndoto ya kufanya naye collabo
Tumeshasikia kuwa kuna msanii wa Marekani ambaye Diamond Platnumz
tayari amefanya naye collabo ingawa bado hajamuweka wazi, lakini hivi
karibuni alimtaja msanii mkubwa wa Mareknai ambaye ana ndoto ya kufanya
naye pia collabo.
Akizungumza na show ya Sporah, Diamond amesema licha ya kufanikiwa
kufanya collabo na baadhi ya wasanii wakubwa wa Africa kama Davido,
Iyanya, Mafikizolo na
↧
Moto uliozuka katika jengo la Machinga Complex jijini Dar wadhibitiwa
Moto mkubwa uliozuka leo mchana katika jengo la biashara Machinga
Complex Ilala jijini Dar es salaam, umedhibitiwa baadaa ya kuteketeza mali
katika baadhi ya maduka.
Akizungumza na mwandishi wetu, Mwenyekiti wa bodi ya usimamizi wa jengo
la Machinga Complex, Godwin Mmbaya amesema moto huo umedhibitiwa na hali
ni shwari.
“Tunashukuru Mungu moto umedhibitiwa kabla haujasambaa zaidi,
↧
Rais Kikwete atoka wodini, familia ya Nyerere yatuma salamu
Rais Jakaya Kikwete ametoka wodini katika Hospitali ya Johns
Hopkins na kuhamishiwa kwenye hoteli maalumu ambako ataendelea kuwa
chini ya uangalizi wa madaktari.
Rais Kikwete alifanyiwa upasuaji wa tezi dume wiki iliyopita na afya yake imekuwa ikiimarika siku hadi siku.
Makundi
mbalimbali ya wananchi yamekuwa yakimtakia uponaji wa haraka kwa njia
ya ujumbe mfupi wa simu.
↧
Mchungaji Afariki Dunia Akijaribu kutembea juu ya Maji kama Yesu
Mchungaji kutoka Nigeria, Frank Kabele akizama alipojaribu kutembea juu ya maji kama Yesu.
...Akiomba msaada kutoka kwa waumini wake bila mafanikio.
Mchungaji kutoka Nigeria, Frank Kabele (35) amesombwa na maji katika mto mmoja nchini humoo na kufariki alipojaribu kutembea juu ya maji kama Yesu.
Frank Kabele aliwaambia waumini wake kuwa mtu mwenye imani anaweza kufanya miujiza
↧
↧
Gharama mpya za Muhimbili zasitishwa.....nI Tozo ya Kitanda na Chakula kwa Wagonjwa, MSD Yalipwa deni.....Yaagizwa kutoa dawa
SERIKALI imesitisha ongezeko la tozo zilizoanza kutumika hivi karibuni katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), ambayo ndiyo yenye vifaa tiba na madaktari wenye uwezo mkubwa kuliko hospitali yoyote nchini.
Hatua hiyo ya Serikali, ipo katika kauli ya Serikali bungeni, iliyotolewa jana na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid, ambapo pia Bohari ya Dawa (MSD) iliagizwa
↧
Serikali yataja vijiwe vyote vya wauza ‘unga’
SERIKALI imetaja vijiwe vya wauzaji wa dawa za kulevya ‘unga’ vilivyopo katika mikoa mbalimbali nchini.
Pia, imesema inafanya uchunguzi ili kubaini kama Watanzania waliokamatwa na dawa za kulevya nchini China ni Watanzania kwa kuzaliwa au ni watu waliotumia tu pasi za kusafiria (pasipoti) za Tanzania.
Kauli hiyo ilitolewa jana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na
↧
Wabunge Wataka Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam Ang'olewe
Baadhi
ya Wabunge wameomba mwongozo wa kutaka kuchunguzwa kwa Mkurugenzi wa
jiji la Dar es salaam Bwana Willison Kabwe kutokana tuhuma za kuipatia
kazi kampuni ya Tanzania Buildings Works ambayo imeshindwa kutekeleza
miradi ya ujenzi katika mikoa yote aliyoiongoza ikiwemo Mbeya na Mwanza
na kusababisha hasara ya zaidi ya shilingi bilioni Tatu.
Akiomba mwongozo wa spika kufuatia
↧
Mastaa Wanaomuunga mkono Lowassa Wajipanga kumfanyia Sherehe ya kumpongeza kwa Ushindi
Siku chache baada ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward
Lowassa kutangazwa kuwa anaongoza katika kinyang’anyiro cha urais 2015,
mastaa mbalimbali wanaomuunga mkono wameandaa mkakati wa kumfanyia
sherehe ya kumpongeza.
Chanzo kimoja kilichopo ndani ya kamati ya wasanii hao wa Bongo
Movies kimesema kuwa kitendo cha Taasisi ya Twaweza kutangaza kuwa Lowassa anaongoza
na kuwagaragaza makada
↧
↧
Kikongwe mbaroni kwa ubakaji
Polisi mkoani Klimanjaro inamshikilia mzee Mungai Molel(75) kwa
tuhuma za kumbaka mtoto wa miaka 11 wa shule ya msingi Okaseni na
kumjeruhi vibaya sehemu za siri.
Kamanda wa Polisi
mkoani humo Geofrey Kamwela, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na
kwamba lilitokea Novemba 12 mwaka huu saa 12:00 jioni kijiji cha Kitandu
kata ya Uru Kusini.
Kamwela alisema mtuhumiwa huyo
↧
Mtoto Ajeruhiwa Vibaya Akituhumiwa Kuiba Paka
Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo ya Mengwe, Adinani Kingazi
amemhukumu kifungo cha miaka mitatu jela, Gedfrey Kimaria (35) baada ya
kukutwa na hatia ya kumjeruhi vibaya mtoto wa miaka sita kwa kumng’ata
mgongoni kwa madai ya kuiba paka.
Kesi hiyo ilivuta
hisia za watu wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro na wananchi wilayani
humu walifurika katika mahakama hiyo kusikiliza hukumu ya kesi
↧
Mauaji yazidi kutikisa Kiteto....Waliopoteza UHAI Wafika 7
Mapigano baina ya wakulima na wafugaji Wilayani Kiteto mkoani
Manyara, yameendelea tena, ambapo watu wengine wawili wamefariki dunia
jana na kufanya idadi ya waliouawa kuwa saba.
Awali,
Novemba 11, mkulima Hassan Kondeja mkazi wa Kitongoji cha Bwawani Kijiji
cha Matui aliuawa kwa kukatwa shingo na wafugaji na ndipo yakatokea
mauaji ya wakulima wawili na wafugaji wawili.
↧
Urais CCM kazi pevu....Makundi Matano kuingia Tano Bora, kundi la kifo ndo lenye ushindani mkubwa
Wakati joto la urais ndani ya CCM likiendelea kupamba moto, watu
watakaoingia kundi la tano bora ambalo litapitishwa na Halmashauri Kuu
ya Taifa ya CCM (NEC), wamefahamika.
Uchambuzi
uliofanywa na makada mbalimbali wa chama hicho unaonyesha kuwa makundi
hayo ambayo yatatoa wagombea mmoja, ni kundi la wagombea vijana, kundi
la kifo, kundi la waziri mkuu aliyepo madarakani, wagombea
↧
↧
Mtoto anayedaiwa kugeuka nyoka azua kizaazaa Geita
Mtoto mchanga mwenye umri wa miezi minne amezua kizaazaa cha
aina yake, baada ya kuwapo taarifa kwamba mara kadhaa umbo lake limekuwa
likigeuka na kuwa nyoka na mwili wake ukiendelea kudhoofu kutokana na
kukataa kunyonya maziwa ya mama yake.
Mtoto huyo (jina
lake tunalihifadhi kwa sasa), wiki iliyopita alivuta umati wa wakazi wa
Kijiji cha Nkome mkoani Geita ambao walifurika ndani
↧
Mgogoro wa Wafugaji na Mwekezaji: Magari 9 Yachomwa Moto, Nyumba 16 Zatiwa Moto huko Siha-Kilimanjaro
Mgogoro mkubwa wa kugombea malisho umeibuka katika kijiji cha Miti
Mirefu, wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro, baina ya jamii ya kifugaji ya
Kimasai na Mwekezaji katika shamba la Ndarakwai, na kusababisha ugomvi
hata kuzua hali ya wasiwasi katika eneo hilo ambapo magari tisa
yameteketezwa kwa moto huku nyumba zaidi ya 16 zikichomwa moto.
Vurugu hizo zilizuka hivi karibuni kati ya
↧
Mbaroni kwa kumbaka mtoto wa jirani yake.....Aliyebakwa ni mtoto wa miaka Mitano, Alikutwa Akicheza Uchi mlangoni kwa Jirani yao
Mtoto wa miaka (5) mkazi wa Kijiji cha Kabuhima Kata ya Uyovu
Wilaya ya Bukombe mkoani Geita amefanyiwa ukatili wa kinyama baada ya
kubakwa na jirani yao.
Mtuhumiwa anayedaiwa kufanya
kitendo hicho cha kikatili inadaiwa kuwa alimkuta mtoto huyo anacheza
mlangoni kwao akiwa hajavalishwa nguo ya ndani na wazazi wake jambo
lililpelekea kufanya ukatili huo.
Akizungumuza na
↧
Sitti Mtemvu Aiponza Miss Tanzania
Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kupitia Baraza la
Sanaa la Taifa (Basata), wanatarajia kuifanyia tathmini Kamati ya Miss
Tanzania kujua mapungufu yaliyopo ili kuchukua hatua stahiki.
Utata wa umri wa aliyekuwa mshindi wa taji la
mwaka huu, Sitti Mtemvu, unaonekana kama chanzo cha kuibuka kwa matatizo
mengine yaliyokuwa yakidaiwa kufanyika kinyume cha taratibu za
↧
↧
Watoto Wawili wa kike Wabakwa na Mwanaume Mwenye Virusi Vya UKIMWI.......Kabla ya kuwabaka, mwanaume huyo alikuwa na mahusiano na Mama Yao
Taarifa kutoka katika mitandao ya
Nigeria imesema watoto wadogo wawili ndugu, mmoja mwenye umri wa miaka
sita na mwingine miaka nane wamebakwa na mwanaume ambaye amewahi kuwa na
mahusiano ya kimapenzi na mama yao.
Mtu huyo, Terkula Iorpuur
mwenye miaka 32 aliyekuwa akijishughulisha na kazi za ujenzi,
aliripotiwa kituo cha Polisi cha ‘B’ Division Police Station na mjomba
wa watoto
↧
Risasi zatumika Kuwatawanya WEZI wa mafuta Ya Petrol Waliovamila Lori lililopata Ajali eneo la Tabata Kisiwani kwa Mama Pindapinda.
Ilikuwa ni hekaheka, patashika nguo kuchanika, wakati risasi na
mabomu ya machozi ziliporindima kutoka kwa Jeshi la Polisi kuwatawanya
wananchi waliokuwa wakichota mafuta yaliyomwagika kutoka kwenye lori la
mafuta aina ya scania lililopata ajali.
Sinema ilianza
saa tatu usiku wa kuamkia jana baada ya lori hilo lililobeba shehena ya
mafuta ya petroli, kushindwa kupanda mlima,
↧
Mwanamke Anyolewa Nywele kwa Kisu baada ya Kufumaniwa na Mume wa Mtu......Baada ya kunyolewa, alazimishwa akalie Chupa kumaliza hamu zake
Mwanamke mmoja ambaye ni mke wa mtu amejikuta katika wakati mgumu baada ya kufumaniwa na mume wa mtu kupitia njia za panya zilizoandaliwa na mke wa mwanaume huyo....
Baada ya mitego ya kumnasa kutimia, mwanamke huyo alikalishwa kitako na kisha kuanza kunyolewa nywele zake kwa kisu huku akitakiwa aeleze kila kitu na ni lini alianza kutoka
↧
More Pages to Explore .....